< Yeremia 32 >

1 Neno likaja kwa Yeremia kutoka kwa Yahwe katika mwaka wa kumi wa Sedekia mfalme wa Yuda, katika mwaka wa kumi na nane wa Nebukadreza.
[the] word which to be to(wards) Jeremiah from with LORD (in/on/with year *Q(K)*) [the] tenth to/for Zedekiah king Judah he/she/it [the] year eight ten year to/for Nebuchadnezzar
2 Katika wakati huo, jeshsi la mfalme wa Babeli lilikuwa limeuzunguka Yerusalemu, na Nehemia nabii alikuwwa amefungwa katika uwanja wa walinzi katika nyumba ya mfalme wa Yuda.
and then strength: soldiers king Babylon to confine upon Jerusalem and Jeremiah [the] prophet to be to restrain in/on/with court [the] guardhouse which house: home king Judah
3 Sedekia mfalme wa Yuda alikuwa amemfunga na kusema, “Kwa nini unatabiri na kusema, 'Yahwe anasema hivi: Angalia, niko karibu kuweka mji huu katika mikono ya mfalme wa Babeli, na atauteka.
which to restrain him Zedekiah king Judah to/for to say why? you(m. s.) to prophesy to/for to say thus to say LORD look! I to give: give [obj] [the] city [the] this in/on/with hand: power king Babylon and to capture her
4 Sedekia mfalme wa Yuda hatapona kutoka kwenye mikono ya Wakaldayo, kwa maana hakika atatiwa katika mkono wa mfalme wa Babeli. Mdomo wake utazumzia kwenye mdomo wa mfalme, na macho yake yatayaona macho ya mfalme.
and Zedekiah king Judah not to escape from hand: power [the] Chaldea for to give: give to give: give in/on/with hand: power king Babylon and to speak: speak lip his with lip his and eye his [obj] (eye his *Q(K)*) to see: see
5 Atampeleka Sedekia Babeli, na atabaki huko hadi nimuadhibu—hili ni tangazo la Yahwe. Ingawa unapigana dhidi ya Wakaldayo, hautafanikiwa.”
and Babylon to go: take [obj] Zedekiah and there to be till to reckon: visit I [obj] him utterance LORD for to fight with [the] Chaldea not to prosper
6 Yeremia akasema, “Neno la Yahwe likaja kwangu, likisema, Angalia, Hanameli mwana wa Shalumu mjomba wako anakuja kwako na atasema,
and to say Jeremiah to be word LORD to(wards) me to/for to say
7 “Linunue shamba langu ambalo liko katika Anathothi kwa ajili yako, kwa maana haki ya kununua ni yako.””
behold Hanamel son: child Shallum beloved: male relative your to come (in): come to(wards) you to/for to say to buy to/for you [obj] land: country my which in/on/with Anathoth for to/for you justice [the] redemption to/for to buy
8 Kisha, kama Yahwe alivyotangaza, Hanameli, mwana wa mjomba wangu, akaja kwangu katika uwanja wa walinzi, na akasema kwangu, 'Linunue shamba langu kwa ajili yako ambalo liko Anathothi katika nchi ya Benyamini, kwa maana haki ya urithi ni ya kwako, na haki ya kulinunua ni yako. Linunue kwa ajili yako.' Kisha nilijua kuwa hili lilikuwa neno la Yahwe.
and to come (in): come to(wards) me Hanamel son: descendant/people beloved: male relative my like/as word LORD to(wards) court [the] guardhouse and to say to(wards) me to buy please [obj] land: country my which in/on/with Anathoth which in/on/with land: country/planet Benjamin for to/for you justice [the] possession and to/for you [the] redemption to buy to/for you and to know for word LORD he/she/it
9 Kwa hiyo nililinua shamba katika Anathothi kutoka kwa Hanameli, mwana wa mjomba wangu, na nilipima fedha kwa ajili yake, shekeli kumi na saba katika uzito.
and to buy [obj] [the] land: country from with Hanamel son: descendant/people beloved: male relative my which in/on/with Anathoth and to weigh [emph?] to/for him [obj] [the] silver: money seven shekel and ten [the] silver: money
10 Kisha niliandika katika barua na kuitia muhuri, na kulikuwa na mashadi wakaishuhudia. Kisha nikampa fedha katika mizani.
and to write in/on/with scroll: document and to seal and to testify witness and to weigh [the] silver: money in/on/with balance
11 Kisha nikaichukua hati ya manunuzi ambayo ilikuwa imepigwa muhuri, kwa kuifuata amri na taratibu, na kama ilivyo ada.
and to take: take [obj] scroll: document [the] purchase [obj] [the] to seal [the] commandment and [the] statute: decree and [obj] [the] to reveal: uncover
12 Ile barua nikampa Baruku mwana wa Neria wa Maaseya mbele ya Hanameli, mwana wa mjomba wangu, na mashahidi waliotia sahihi kwenye barua iliyopigwa muhuri, na mbele ya Wayahudi wote waliokaa katika uwanja wa walinzi.
and to give: give [obj] [the] scroll: document [the] purchase to(wards) Baruch son: child Neriah son: child Mahseiah to/for eye: before(the eyes) Hanamel beloved: male relative my and to/for eye: before(the eyes) [the] witness [the] to write in/on/with scroll: document [the] purchase to/for eye: before(the eyes) all [the] Jew [the] to dwell in/on/with court [the] guardhouse
13 Kwa hiyo nikampa amri Baruku mbele yao. Nilisema,
and to command [obj] Baruch to/for eye: before(the eyes) their to/for to say
14 Yahwe, Mungu wa Israeli, anasema hivi: Chukua nyaraka hizi, vyote hati hii ya manunuzi iliyopigwa muhuri na nakala zisizopigwa muhuri za manunuzi, na uziweke katika chungu cha udongo ili vidumu kwa muda mrefu.
thus to say LORD Hosts God Israel to take: take [obj] [the] scroll: document [the] these [obj] scroll: document [the] purchase [the] this and [obj] [the] to seal and [obj] scroll: document [the] to reveal: uncover [the] this and to give: put them in/on/with article/utensil earthenware because to stand: stand day many
15 Kwa maana Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: Nyumba, mashamba, na mashamba ya mizabibu vitanunuliwa tena katika nchi hii.
for thus to say LORD Hosts God Israel still to buy house: home and land: country and vineyard in/on/with land: country/planet [the] this
16 Baada ya kumpa Baruki mwana wa Neria ile hati ya manunuzi, nikaomba kwa Yahwe nikasema,
and to pray to(wards) LORD after to give: give I [obj] scroll: document [the] purchase to(wards) Baruch son: child Neriah to/for to say
17 Ole, Bwana Yahwe! Angalia! Wewe peke yako umezitengeneza mbingu na dunia kwa nguvu zako kuu na kwa mkono wako ulioinuka. Hakuna kitu ambacho ukisema kwako ni kigumu sana kukifanya.
alas! Lord YHWH/God behold you(m. s.) to make [obj] [the] heaven and [obj] [the] land: country/planet in/on/with strength your [the] great: large and in/on/with arm your [the] to stretch not to wonder from you all word: thing
18 Wewe huonesha agano la uaminifu kwa maelfu na kumimina makosa ya wanadamu katika mapaja ya watoto wao baada yao. Wewe ni Mungu mkuu na mwenye nguvu.
to make: do kindness to/for thousand and to complete iniquity: guilt father to(wards) bosom: lap son: child their after them [the] God [the] great: large [the] mighty man LORD Hosts name his
19 Wewe ni mkuu katika hekima na una nguvu katika matendo, kwa maana macho yako yanaona njia zote za watu, ili kumlipa kila mtu stahiki ya matendo yake.
great: large [the] counsel and many [the] deed which eye your to open upon all way: conduct son: child man to/for to give: give to/for man: anyone like/as way: conduct his and like/as fruit deed his
20 Ulifanya ishara na maajabu katika nchi ya Misiri. Hata leo hapa Israeli na kati ya wanadamu wengine wote, umelifanya jina lako kuwa maarufu.
which to set: make sign: miraculous and wonder in/on/with land: country/planet Egypt till [the] day: today [the] this and in/on/with Israel and in/on/with man and to make to/for you name like/as day: today [the] this
21 Kwa maana uliwanunua watu wako Israeli kwa ishira na maajabu, kwa mkono hodari, kwa mkono ulioinuka, na kwa hofu kuu.
and to come out: send [obj] people your [obj] Israel from land: country/planet Egypt in/on/with sign: miraculous and in/on/with wonder and in/on/with hand: power strong and in/on/with arm to stretch and in/on/with fear great: large
22 Kisha uliwapa nchi hii—ambayo uliapa kwa babu zao kwamba utawapa—nchi itiririkayo maziwa na asali.
and to give: give to/for them [obj] [the] land: country/planet [the] this which to swear to/for father their to/for to give: give to/for them land: country/planet to flow: flowing milk and honey
23 Hivyo walingia na kuimiliki. Lakini hawakuitii sauti yako wala kuishi kwa kuitii sheria yako. Hawakufanya chochote ulichowaamuru kufanya, kwa hiyo umeleta juu yao majanga haya yote.
and to come (in): come and to possess: take [obj] her and not to hear: obey in/on/with voice your (and in/on/with instruction your *Q(K)*) not to go: walk [obj] all which to command to/for them to/for to make: do not to make: do and to encounter: chanced [obj] them [obj] all [the] distress: harm [the] this
24 Angalia! Urefu wa maboma haya umefika hadi kwenye mji ili kuuteka. Kwa sababu ya upanga, njaa, na tauni, mji umetiwa kwenye mikono ya Wakaldayo wanaopigana dhidi yake. Kwa maana ulichosema kitatokea sasa kinatokea, na ona, unatazama.
behold [the] mound to come (in): come [the] city to/for to capture her and [the] city to give: give in/on/with hand: power [the] Chaldea [the] to fight upon her from face: because [the] sword and [the] famine and [the] pestilence and which to speak: speak to be and look! you to see: see
25 Kisha wewe mwenyewe uliniambia, “Nunua shamba kwa fedha kwa ajili yako na mashahidi wameshuhudia, ingawa mji huu unatiwa mikononi mwa Wakaldayo.””
and you(m. s.) to say to(wards) me Lord YHWH/God to buy to/for you [the] land: country in/on/with silver: money and to testify witness and [the] city to give: give in/on/with hand: power [the] Chaldea
26 Neno la Mungu likaja kwa Yeremia, likisema,
and to be word LORD to(wards) Jeremiah to/for to say
27 “Angalia! Mimi ni Yahwe, Mungu wa wanadamu wote. Kuna kitu cho chote kigumu sana kwangu kukifanya?
behold I LORD God all flesh from me to wonder all word: thing
28 Kwa hiyo Yahwe anasema hivi, 'Ona, niko karibu kuutia mji huu kwenye mikono ya Wakaldayo na Nebukadreza, mfalme wa Babeli. Atauteka.
to/for so thus to say LORD look! I to give: give [obj] [the] city [the] this in/on/with hand: power [the] Chaldea and in/on/with hand: power Nebuchadnezzar king Babylon and to capture her
29 Wakaldayo wanaopigana dhidi ya mji huu watakuja na kuwasha moto kwenye mji huu na kuunguza, pamoja na nyumba juu ya paa la watu waliomwabudu Baali na kumimina dhabihu kwa miungu wengine ili kunikasirisha.
and to come (in): come [the] Chaldea [the] to fight upon [the] city [the] this and to kindle [obj] [the] city [the] this in/on/with fire and to burn her and [obj] [the] house: home which to offer: burn upon roof their to/for Baal and to pour drink offering to/for God another because to provoke me
30 Kwa maana watu wa Israeli na Yuda hakika wamekuwa watu wanaofanya maovu mbele ya macho yangu tangu ujana wao. Watu wa Israeli hakika wameniudhi kwa matendo ya mikono yao—hili ni tangazo la Yahwe.
for to be son: child Israel and son: child Judah surely to make: do [the] bad: evil in/on/with eye: seeing my from youth their for son: child Israel surely to provoke [obj] me in/on/with deed: work hand their utterance LORD
31 Yahwe anatangaza kwamba mji huu umekuwa sababu ya hasira yangu na ghadhabu yangu tangu siku walipoujenga. Umekuwa hivyo hata leo. Kwa hiyo nitaundoa mbele ya uso wangu
for upon face: anger my and upon rage my to be to/for me [the] city [the] this to/for from [the] day: today which to build [obj] her and till [the] day: today [the] this to/for to turn aside: remove her from upon face my
32 kwa sababu ya uovu wote wa watu wa Israeli na Yuda, mambo waliyofanya ili kunichukiza—wao, wafalme wao, wana wa wafalme, makuhani, manabii, na kila mtu katika Yuda na wakaaji wa Yerusalemu.
upon all distress: evil son: child Israel and son: child Judah which to make: do to/for to provoke me they(masc.) king their ruler their priest their and prophet their and man: anyone Judah and to dwell Jerusalem
33 Wamenigeuzia migongo yao badala ya nyuso zao, ingawa niliwafundisha kwa furaha. Nilijitahidi kuwafundisha, lakini hakuna hata mmoja wao aliyenisikiliza ili kupokea marekebisho.
and to turn to(wards) me neck and not face and to learn: teach [obj] them to rise and to learn: teach and nothing they to hear: hear to/for to take: recieve discipline: instruction
34 Walisimamisha sanamu zao za ajabu katika nyumba inayoitwa kwa jina langu, ili kunitia unajisi.
and to set: make abomination their in/on/with house: temple which to call: call by name my upon him to/for to defile him
35 Wakazijenga sehemu za juu katika Bonde la Beni Hinomu ili kuwatia katika moto wana wao na binti zao kwa ajili ya Moleki. Mimi sikuwaagiza. Sikuweka akilini mwangu kamwe kwamba watafanya mambo maovu na kwa hiyo kuwasabisha Yuda watende dhambi.
and to build [obj] high place [the] Baal which in/on/with valley son: child (Topheth of son of) Hinnom to/for to pass [obj] son: child their and [obj] daughter their to/for Molech which not to command them and not to ascend: rise upon heart my to/for to make: do [the] abomination [the] this because (to sin *Q(k)*) [obj] Judah
36 Kwa hiyo sasa, Mimi, Yahwe, Mungu wa Israeli, kuhusu mji huu ninasema hivi, 'mji ambao mnasema, 'Umetiwa mikononi mwa mfalme wa Babeli kwa upanga, njaa, na pigo.'
and now to/for so thus to say LORD God Israel to(wards) [the] city [the] this which you(m. p.) to say to give: give in/on/with hand: power king Babylon in/on/with sword and in/on/with famine and in/on/with pestilence
37 Ona, niko karibu kuwakusanya kutoka kila nchi nilikowapeleka katika hasira yangu, ghadhabu, hasira kuu. Niko karibu kuwarudisha kwenye sehemu hii na kuwawezesha kuishi katika usalama.
look! I to gather them from all [the] land: country/planet which to banish them there in/on/with face: anger my and in/on/with rage my and in/on/with wrath great: large and to return: return them to(wards) [the] place [the] this and to dwell them to/for security
38 Kisha watakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao.
and to be to/for me to/for people and I to be to/for them to/for God
39 Nitawapa moyo mmjoa na na njia moja ya kuniheshimu kila siku ili kwamba yawepo mema kwa ajili yao na uzao wao baada yao.
and to give: give to/for them heart one and way: conduct one to/for to fear: revere [obj] me all [the] day: always to/for good to/for them and to/for son: child their after them
40 Kisha nitafanya pamoja nao agano la milele, ili nisiache kufanya mema kwa ajili yao. nitajiwekea heshima katika mioyo yao, ili kwamba wasiniache.
and to cut: make(covenant) to/for them covenant forever: enduring which not to return: return from after them to/for be good me [obj] them and [obj] fear my to give: put in/on/with heart their to/for lest to turn aside: turn aside from upon me
41 Kisha nitajifurahisha katika kufanya mema kwao. Kwa uaminifu nitawapanda katika anchi hii kwa moyo wangu wote na maisha yangu yoye.
and to rejoice upon them to/for be good [obj] them and to plant them in/on/with land: country/planet [the] this in/on/with truth: faithful in/on/with all heart my and in/on/with all soul my
42 Kwa amaana Yahwe anasema hivi, 'Kama tu nilivyoyaleta majanga haya makubwa yote juu ya watu hawa, hivyo hivyo nitaleta juu yao mambo mema niliyosema kwamba nitafanya kwa ajili yao.
for thus to say LORD like/as as which to come (in): bring to(wards) [the] people [the] this [obj] all [the] distress: harm [the] great: large [the] this so I to come (in): bring upon them [obj] all [the] welfare which I to speak: promise upon them
43 Basi mashamba yatanunuliwa katika nchi hii, ambayo mnaisema, “Hii ni nchi iliyoharibiwa, isiyo na mwanadamu wala mnyama. Imetiwa mikononi mwa Wakaldayo”
and to buy [the] land: country in/on/with land: country/planet [the] this which you(m. p.) to say devastation he/she/it from nothing man and animal to give: give in/on/with hand: power [the] Chaldea
44 Watanunua mashamba kwa fedha na kuandika katika barua zilizopigwa muhuri. Watawakusanya mashahidi katika nchi ya Benyamini, wote kuzunguka Yerusalemu na miji ya Yuda katika miji ya nchi yenye vilima, na katika nchi tambarare, na katika miji ya Negebu. Kwa maana nitawarejesha wafungwa wao—hili ni tangazo la Yahwe.”'
land: country in/on/with silver: money to buy and to write in/on/with scroll: document and to seal and to testify witness in/on/with land: country/planet Benjamin and in/on/with around Jerusalem and in/on/with city Judah and in/on/with city [the] mountain: hill country and in/on/with city [the] Shephelah and in/on/with city [the] Negeb for to return: rescue [obj] captivity their utterance LORD

< Yeremia 32 >