< Yeremia 31 >
1 “Katika wakati huo—hili ni tangazo la Yahwe—Nitakuwa Mungu wa familia zote za Israel, na watakuwa watu wangu.”
Hatnavah, kai teh Isarel imthungnaw pueng hanlah Cathut lah ka o vaiteh, ahnimouh hai ka tami lah o awh han, telah BAWIPA ni a dei.
2 Yahwe anasema hivi, “Watu ambao wamenusurika na upanga wamepata kibali katika nyika; nitatoka nje kuwapa pumziko Israeli.”
BAWIPA ni hettelah a dei, Isarel hah kâhatnae poe hanlah ka cei navah, tahloi dawk hoi kahloutnaw ni kahrawng vah pahrennae a hmu awh.
3 Yahwe alionitokea zamani na kusema, “Nimekupenda wewe, Israeli, kwa upendo wa milele. Kwa hiyo nimekuvuta kwang kwa agano la uaminifu.
Ahlanae koehoi kai koe kamnuek e BAWIPA ni hettelah a dei, ka poutthaihoeh e lungpatawnae hoi lung na pataw, hatdawkvah lungmanae dawk na kâenkhai.
4 Nitakujenga tena kwa hiyo utakuwa umejengwa, bikra wa Israeli..... na kwenda nje michezo ya furaha.
Na kangdue sak vaiteh kangdue e lah na o han, oe tanglakacuem Isarel, kacakcalah kangdue lah na o han. Tâbaw hoi na kamthoup vaiteh a lungkahawinaw lamnae koe na bawk van han.
5 Utapanda mizabibu tena juu ya milima Samaria; wakulima watatapanda na kuweka matunda kwa ajili ya matumizi mazuri.
Misur takha hah Samaria mon dawk na sak vaiteh hot van kho kasaknaw ni amamouh ngai patetlah a ca awh han.
6 Kwa maana siku itakuja wakati walizi watakapotangaza katika milima ya Efraimu, 'Inuka, twndeni juu kwenye mlimaa wa Yahwe Mungu wetu.'
Ephraim mon dawk khokasaknaw ni, thaw awh haw, maimae BAWIPA Cathut onae koe Zion mon koe cet awh sei telah hramnae tueng a pha han, telah a ti.
7 Kwa maana Yahwe anasema hivi, Piga kelele za shangwe juu ya Yakobo! Pigeni za furaha kwa ajili ya watu wakuu wa mataifa! Sifa zisikike. Sema, ''Yahwe amewaokoa watu wake, masalia wa Israeli.'
Bangkongtetpawiteh, BAWIPA ni hettelah a dei, Jakop hanlah lunghawi laihoi la sak awh haw, kalenpounge miphun hanlah hram awh, pathang laihoi pholen awh, oe BAWIPA, kacawirae na tami Isarelnaw rungngang haw, telah dei awh.
8 Ona, niko karibu kuwaletaa kutoka nchi za kusini. Nitawakusanya kutoka sehemu zaa mbali za dunia. Vipofu na wenye ulemavu watakuwa kati kati yao; wanawake wajawazito na wale waliokaribu kujifungua wataakuwa pamoja nao. Kusanyiko kubwa litarudi hapa.
Khenhaw! atunglae ram dawk hoi ka thokhai vaiteh, talai poutnae koehoi ka pâkhueng awh vaiteh mitdawn, khokkhem, camo ka vawn e napui hoi ka pataw e taminaw moikapap kamkhueng awh han.
9 Watakuja kwa kuomboleza; nitawaongoza huku wakifanya maoambi yao. Nitawafanya wasafiri kataika mikondo ya maji katika bara bara ilinyoka. Hawatajikwaa juu yake, kwa maana nitakuwa baba kwa Israeli, na Afraimu atakuwa mzaliwa wanagau wwa kwanza
Mitphi hoi tho awh vaiteh ngaithoumnae hoi ka hrawi awh han, ka lawng e tui koe, kamthuinae kaawm hoeh e lam kalan dawk ka hrawi han. Bangkongtetpawiteh, kai teh Isarel e a na pa lah ka o teh, Ephraim teh ka camin lah ao.
10 Sikia neno la Yahwe, mataifa. Litangazeni pembezoni mwa visiwa mbali. Enyi mataifa lazima museme, 'Yule aliyemtawanya Israeli anamkusanya tena na kuwalinda kama mchungaji alindavyo kondoo.'
Oe miphunnaw, BAWIPA e lawk thai awh haw, a hlanae ram dawk pâpho awh, Isarel kâkapek sakkung ni bout a pâkhueng han, tukhoumkung ni tuhu a khetyawt e patetlah a khetyawt han.
11 Kwa maana Yahwe amemfidia Yakobo na kumkomboa kutoka mkono ambao ulikuwa na nguvu sana kwake.
Bangkongtetpawiteh, Jakop teh BAWIPA ni a ratang teh, ahni hlak thakaawme kut dawk hoi a rungngang.
12 Kisha watakuja na kufurahia katika vilele vya Sayuni. Nyuso zao zitamelemeta kwa sababu ya wema wa Yahwe, juu ya nafaka na divai mpya, juu ya mafuta na malimbuko ya kwanza ya makundi na ng'ombe. Kwa maana maisha yao yatakuwa kama busitani iliyomwagiliwa, na hatatajisikia huzuni tena.
Zion monsom vah la sak laihoi tho awh vaiteh BAWIPA hawinae dawk lunghawi awh han, cakang, misur hoi satui, tu hoi saringnaw dawk a lunghawi awh han, ahnimae hringnae teh tui awi e takha patetlah ao vaiteh a yungyoe lungmathoenae awm mahoeh toe.
13 Kisha wanawali watafurahia kwa kucheza, na vijana na wanaume wazee watakuwa pamaoja. Kwa maana nitayageuza maombolezo yao kuwa sherehe. Nitakuwa na huruma juu yao na kuwafanya kufurahi badala ya kuhuzunika.
Tanglakacuem teh lam laihoi a lunghawi vaiteh, thoundoun, hoi minpui, mintawngpanaw hoi a lunghawi awh han. Ahnimae cingounae teh lunghawinae lah coungsak laihoi lung ka mawng sak vaiteh a lungmathoenae dawk hoi lung kahawi sak han.
14 Kisha nitayaloanaisha sana maisha ya makuhani. Watu wangu watajijaza wenyewe kwa wema—hili ni tangazo la Yahwe.”
Vaihmanaw teh kathâw e moi hoi kaboumcalah ka paca vaiteh, ka hawinae dawk ka taminaw a lungkuep awh han telah BAWIPA ni a dei.
15 Yahwe anasema hivi: “Sauti imesikika katika Rama, kilio na maombolezo mengi. Ni Raheli akiomboleza kwa ajili watoto wake. Hataki kufarijiwa tena juu yao, kwa maana hawako hai tena.”
BAWIPA ni hettelah a dei, Ramah kho dawk kamthang ka thai, tamikadout rabui laihoi kanae kamthang doeh. Rachel ni a canaw a khui teh a canaw o hoeh toung dawkvah lungpahawi thai kawi lah awm hoeh toe.
16 Yahwe anasema hivi, Zuia sauti yako usilie na macho yako yasitoe machizi; kwa maana kuna fidia kwa ajili ya mateso yako—hili ni tangazo la Yahwe—watoto wako watarudi kutoka nchi ya adui.
BAWIPA ni hettelah a dei, ka hoeh nahanlah na lawk kâpanguep leih, na mitphi hai hui leih, bangkongtetpawiteh, na tawksak e dawk tawkphu a hmu vaiteh, tarannaw e ram dawk hoi bout ban awh han telah BAWIPA ni a dei.
17 Kuna matumaini kwa ajili ya siku zenu za baadaye—hili ni tangazo la Yahwe—uzao wako watarudi ndani ya mipaka yao.”
Nang e tueng poutnae dawk ngaihawinae ao. Na canaw teh bout a ban awh han telah, BAWIPA ni a dei.
18 Kwa hakika nimemsikia Efraimu akilia, 'Uliniadhibu, nami nieadhibika kama ndama assiye na mafunzo. Nirudisha na nitarudishwa, kwa maana wewe ni Yahwe Mungu wangu.
Ephraim na khuikanae lawk ka thai doeh, nang nama ni na yue teh kacuete Maitotan patetlah bout na katha sak haw, bout ka ban han. Bangkongtetpawiteh, nang teh ka BAWIPA Cathut lah na o.
19 Kwa maana baada ya kurudi kwako, nilikuwa na huzuni; baada ya kufundiswa, nilijipiga kofi sshavu langu. Niliaibika ana dharirika, kwa maana nilizaliwa na hataia ya ujana wangu.'
Bout ka ban hnukkhu pankângai katang, na yue hnukkhu ka phai ka tabawng teh ka kaya, ka naw nah min mathoenae dawk kaya laihoi duem ka o.
20 Efraimu siyo mtoto wangu wa thamani? Yeye si mpendwa wangu, mwanangu anipendezaye? Kwa maana kila ninaponena juu yake, bado nina mwita kipenzi cha akili yangu. Kwa namna hii moyo wangu unamtamani. Kwa hakika nitaakuwa na huruma ajuu yake—hili ni tangazo la Yahwe.”
Ephraim teh ka lungpataw e capa, ka kâuep e camo nahoehmaw. Bangkongtetpawiteh, ahni taranlahoi lawk ka dei eiteh ahni khoeroe ka pahnim thai hoeh. Hatdawkvah ka lungthin ni a rabui teh ka lungma roeroe han telah, BAWIPA ni a dei.
21 Jiwekee alama za bara bara kwa ajili yako mwenyewe. Weka matangaazo ya maelekezo kwa ajili yako mwenyewe. Iweke akili yako juu ya njia sahihi, njia unayopaswa kufuata. Rudii, bikra Israeli! Rudi kwenye hii miji yako.
Mitnoutnae a vo nateh, ram mitnoutnae hah sak haw. Na cei tangcoungnae lamthungpui dawk na lungthin hrueng haw. Bout ban, oe tanglakacuem Isarel na khopui koe bout ban leih.
22 Utatanga tanga hadi lini, binti usiye mwaminifu? Kwa maana Yahwe ameumba kitu fulani kipya juu ya dunia—mwanamke anamzunguka mwanaume.
Oe, nang hnuklah ka ban e canu, bangkongmaw na kâva han rah. Bangkongtetpawiteh BAWIPA ni talai dawk hno katha a sak toe. Napui ni tongpa a kalup han telah, a ti.
23 Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi, '“Nitakapowarudisha watu katika nchi yao, watasema hivi katika anchi ya Yuda na miji yake, “Yahwe akubariki, wewe sehemu takatifu ambapo anaishi, ewe mlima mtakatifu.'
Isarel Cathut, ransahu BAWIPA ni hettelah a dei, santoungnae thung hoi ka bankhai torei teh, Judah ram hoi khopui dawk hete lawk bout a hno awh han, oe lannae khosaknae hmuen, oe mon kathoung BAWIPA ni yawhawinae poe seh, telah a ti.
24 Kwa maana Yuda na miji yake yote wataishi pamoja humo, kama vile watakavyoishi wakulima na wachungaji pamaoja na makundi yao.
Hote Judah taminaw hoi a khopui thung e taminaw pueng hah, hmuen touh koe takhakatawkkungnaw hoi saring ka pacanaw hoi kho rei ka sak awh han.
25 Kwa maana nitawapa majai ya kunywa waliochoaka, na nitamjaza kila anayeteseka na kiu.”
Bangkongtetpawiteh, ka voutthoupnaw ka kawk vaiteh, lung ka mathoutnaw hai ka kawk han telah a ti.
26 Baada ya haya niliamka, na nikagundua kwamba usingizi wangu ulikuwa unaburudisha.
Hahoi, ka kâhlaw teh, kahawipoung e mang lah doeh a la o.
27 Angalia, siku zinakuja—hili ni tangazo la Yaahwe—nitakapoipanda nyumba ua Israeli na Yuda pamoja na wazawa wa wanadamaau na wanyama.
Khenhaw! a tueng kuep tawmlei, Isarel imthung hoi Judah imthung dawk tami e cati hoi saring e cati ka tu han telah, BAWIPA ni a dei.
28 Zamani, niliwaweka katika uangalizi ili kuwang'oa na kuwabomoa, kuwaangusha, kuwaharibu, na kuwaletea madhara. Lakini katika siku zijazo, nitawaangalia, ili niwajenge na kuwapanda—hili ji tangazo la Yahwe.
Kai ni ahnimouh ka phawk, ka pakhup pathan, ouk ka rektap e patetlah, ahnimouh bout ka kangdue sak han telah a ti.
29 Katika siku hizo hakuna atakayesema tena, “Baba za watu wamekula zabibu kali, bali meno ya watoto ni butu.'
Hatnae tueng dawk a napanaw ni ka thut e misur a nei awh vaiteh a capanaw a hâ kayâ, tet awh mahoeh toe.
30 Kwa maana kila mtu atakuwa katika uovu wake mwenyewe; kila alaye zabibu kalai, meno yake yataakuwa butu.
Hatei taminaw pueng mae sak payonnae dawk a due awh vaiteh, kathut e misurtui ka net e hânaw dueng doeh a kayâ han toe.
31 Angalia, siku zinakuja—hili ni tangazo la Yahwe—nitakapoanzisha aganao jipya pamaoja na nyumba aya Israeli na nyumba ya Yuda.
Khenhaw! atueng kuep tawmlei telah, BAWIPA ni a dei, Isarel imthung hoi Judah imthung koe lawkkam katha ka sak toteh,
32 Halitakuwa kama agano ambalo nilianzisha na baba zao nilipowatoa kwa mkono wao nje ya nchi ya Missiri. Hizo zzilikuwa siku ambapo walilivunja aaganao lanaahu, ingawa nilikuwa mme kwao—hili ni tangazo la Yahwe.
Izip ram dawk hoi tâcokhai hanlah ahnimae kut ka kuet hnin vah a na mintoenaw koe, ahnimae vâ lah ka o eiteh a rapha awh e ka lawkkam patetlah laipalah, telah BAWIPA ni a dei.
33 Lakaini hili ni agano nitakaloanzisha na nyumba ya Israeli baada ya siku hizi—hili ni tangazo la Yahwe: Nitaiweka sheria yangu ndani yao na nitaiandika juu ya mioyo yao, kwa maana nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watau wangu.
Hatei hetheh, Isarel imthungnaw koe lawkkamnae ka sak han e doeh, telah BAWIPA ni a dei. Ahnimouh koe ka kâlawk ka hruek vaiteh a lungthin dawk ka thut han, kai ahnimae Cathut lah ka o vaiteh, ahnimouh teh ka tami lah o awh han.
34 Kisha kila mtu hatamfundisha jiranai yake, wala mtu hatamfundisha ngugu yake akisema, 'Mjue Yahwe!' Kwa maana wao wote, kuanzia mdogo wao hata mkubwa, watanijua—hili ni tangazo la Yahwe—kwa maana nitawasamehe uovu wao na sitazikumbuka tena dhambi zao.”'
Apipatet nihai, BAWIPA teh panuek telah ma hoi imri hoi hmaunawngha cangkhai mahoeh toe. Bangkongtetpawiteh, kathoengca koehoi kalenpoung totouh abuemlahoi kai na panue awh han toe, telah BAWIPA ni a dei. Kâtapoenae naw ka ngaithoum vaiteh yonnae naw hai ka pâkuem pouh mahoeh toe.
35 Yahwe anasema hivi—Yahwe, yeye afanyaye jua kuangaza mchana na kuzipanga mwezi na nyota kuangaza usiku. Yeye ndiye aiwekaye bahari katika mwendo ili mawimbi yake yaungurume. Yahwe wa majeshi katika ajina lake.
Hettelah BAWIPA teh khodai ang sak hanlah kanî kapoekung, karum angnae ka poe hanlah thapa hoi âsi hanlah phunglam kapoukpouhkung, tuicapa pawlawk kathosakkung ni a dei. A min teh ransahu BAWIPA doeh.
36 Anasema hivi, ikiwa tu mambo haya ya akudumu yakitoweka machoni panaagu—hili ni agizo la Yahwe—uzao wa Israeli hawatasimama mbaalai nami wasiwe taiafa.”
Hete phunglamnaw heh, ka mithmu hoi kahmat pawiteh Isarel catounnaw hai ka mithmu vah miphun buet touh a coungnae dawk hoi a kahma awh han, telah BAWIPA ni a dei.
37 Yahwe anasema hivi, “Kama tu urefu wa mbingu unaweza kupimwa, na kama tu misingi ya dunia chini inaweza kugunduliwa, nitawakataa uzao wote wa Israeli kwa sababu ya yote waliyofanya—hili ni tangazo la Yahwe.”
BAWIPA ni hettelah a dei, lathueng e kalvan bangnue thai teh, talaidu pâlei thai pawiteh, Isarel catounnaw pueng a tawksak payonnae naw dawk ka raphoe van han telah BAWIPA ni a dei.
38 “Angalia, siku zinakuja—hili ni tanagazo la Yahwe—ambapo mji utajengwa tena kwa ajili yanagu, kutoka Mnara wa Hananeli hadi kwenye Lango la Pembeni.
Khenhaw! atu a pha tawmlei, Hananel imrasang hoi kamtawng teh khopui takin longkha totouh, khopui hah BAWIPA hanlah sak lah ao han, telah BAWIPA ni a dei.
39 Kisha mistari ya kupimia itaenda nje hadi mbali, hadi kwenye kilima cha Garebu na kuzunguka Goa.
A bangnuenae teh Gereb mon dawk kalancalah a cei vaiteh Goah lah a kalup han.
40 Bonde lote la miili iliyokufa na majivu, na shamaba lenye matuta linalofika hadi Bonde la Kidroni mbali hadi kwenye kona ya Lango la Farasi upande wa mashariki, litateuliwa kwa ajili ya Yahwe. Mji hautang'olewa wala kupinduliwa tena, milele.”
Tami ro hoi hraba rabawknae tanghlingnaw hoi kahrawngnaw pueng, Kidron palang tanghling totouh. Kanîtholah hoi marang longkha takin totouh BAWIPA hanlah kathounge lah ao han. Hothateh nâtuek hai kapek e hoi raphoe e lah awm mahoeh toe.