< Yeremia 30 >
1 Neno lilokuja kwa Yeremia kutoka kwa Yahwe likisema,
Beseda, ki je prišla Jeremiju od Gospoda, rekoč:
2 “Hivi ndivyo Yahwe, Mungu wa Israeli, anasema, 'Jiandikie mwenyewe katika baraua maneno yote niliyotangaza kwako katika barua.
»Tako govori Gospod, Izraelov Bog, rekoč: ›V knjigo si zapiši vse besede, ki sem ti jih govoril.
3 Maana ona, siku zinakuja—hili ni tangazo la Yahwe—nitakapowarudisha mateka wa watu wangu Israeli na Yuda. Mimi, Yahwe, nimesema hili. Kwa maana nitawarudisha kwenye nchi ambayo niliwapa babu zao, na wataimiliki.”'
Kajti glej, prihajajo dnevi, ‹ govori Gospod, ›da bom ponovno privedel ujetništvo svojega ljudstva Izraela in Juda, ‹ govori Gospod ›in povzročil jim bom, da se vrnejo v deželo, ki sem jo dal njihovim očetom in oni jo bodo vzeli v last.‹«
4 Haya ni maneno ambayo Yahwe anatangaza kuhusu Israeli na Yuda,
To so besede, ki jih je Gospod govoril glede Izraela in glede Juda.
5 “Kwa maana Yahwe anasema hivi, 'Tumesikia sauti ya kutetemesha ya hofu na wala siyo ya amani.
Kajti tako govori Gospod: »Slišali smo glas trepetanja, strahu in ne miru.
6 Ulizeni na muone kama mwanaume anamwogopa mtoto. Mbona ninamwona kila mwanaume kijana ameshika mikono yake juu ya kiuno chake kama mwanamke anayejifungua mtoto? Kwa nini nyuso zao wote zimegeuka rangi?
Vprašajte torej in poglejte, ali je mož v porodnih mukah z otrokom? Zakaj vidim vsakega moža s svojimi rokami na svojih ledjih, kakor žensko v porodnih mukah in so vsi obrazi postali bledi?
7 Ole! Kwa maana siku hiyo itakuwa kuu, isiyofanana na yoyote. Utakuwa wakati wa huzuni kwa Yakobo, lakini ataokolewa.
Ojoj! Kajti ta dan je velik, tako da mu ni nobeden podoben. To je celo čas Jakobove stiske, toda rešen bo iz nje.
8 Kwa maana itakuwa katika siku hiyo—hili ni tangazo la Yahwe wa majeshi—kwamba nitaivunja nira ya shingo zenu, na nitaisambaza minyororo yenu, kwa hiyo wageni hawatawafanya watumwa tena.
Kajti to se bo zgodilo na ta dan, « govori Gospod nad bojevniki, » da bom zlomil njegov jarem s tvojega vratu in raztrgal tvoje vezi in tujcem ne bo več sužnjeval,
9 Bali watamwabudu Yahwe Mungu wao na kumtumikia Daudi mfalme wao, ambaye nitamfanya mfalme juu yao.
temveč bodo služili Gospodu, svojemu Bogu in Davidu, svojemu kralju, ki jim ga bom vzdignil.
10 Kwa hiyo wewe, mtumishi wangu Yakobo, usiogope—hili ni tangazo la Yahwe—na usikate tamaa, Israeli. Maana ona, niko karibu kukurudisha kutoka mbali, na uzao wako kutoka nchi ya utumwa, Yakobo atarudi na kuwa katika amani; ataokolewa, na hapatakuwa na hofu zaidi.
Zato se ne boj, oh moj služabnik Jakob, ‹ govori Gospod; ›niti ne bodi zaprepaden, oh Izrael, kajti, glej, rešil te bom od daleč in tvoje seme iz dežele njihovega ujetništva. Jakob se bo vrnil in bo v miru in bo tiho in nihče ga ne bo prestrašil.
11 Kwa maana niko pamoja nawe—hili ni tangazo la Yahwe—ili kukuokoa. Kisha nitaleta mwisho kamili kwa mataifa yote ambako nimewatawanya. Bali sitaweka mwisho kwako, ingawa ninakuadhibu kwa haki na kwa hakika sitakuacha bila kukuadhibu.'
Kajti jaz sem s teboj, ‹ govori Gospod, ›da te rešim. Čeprav naredim poln konec vsem narodom, kamor sem te razkropil, vendar iz tebe ne bom naredil polnega konca, temveč te bom grajal po meri in te ne bom pustil povsem nekaznovanega.‹
12 Kwa maana Yahwe anasema hivi, 'Jeraha lako si la kupona; kidonda chako kimeenea.
Kajti tako govori Gospod: ›Tvoja poškodba je nezaceljiva in tvoja rana je boleča.
13 Hakuna mtu wa kukutetea kesi yako; hakuna utetezi kwa ajili ya kidonda chako ili upone.
Nobenega ni, da zagovarja tvoj primer, da bi bil lahko obvezan. Nobenih zdravilnih zdravil nimaš.
14 Wapenzi wako wote wamekusahau. Hawatakuangalia, kwa maana nimekujeruhi kwa jeraha la adui na nidhimu ya bwana mkatili kwa sababu ya uovu wako mwingi na dhambi zako zisizohesabika.
Vsi tvoji ljubimci so te pozabili. Ne iščejo te; kajti ranil sem te z rano sovražnika, s kaznovanjem krutega, zaradi množice tvojih krivičnosti, ker so tvoji grehi narasli.
15 Kwa nini unaita msaada kwa ajili ya jeraha lako? Maumivu yako hayaponyeki. kwa sambabu ya uovu wako mwingi, dhambi zako zisizohesabika, nimefanya mambo haya kwako.
Zakaj vpiješ zaradi svoje stiske? Tvoja bridkost je neozdravljiva zaradi množice tvoje krivičnosti. Ker so tvoji grehi narasli, sem ti jaz storil te stvari.
16 Kila mtu akulaye ataliwa, na adui zako wote wataenda utumwani. Kwa maana kila aliyekuteka nyara atatekwa, na nitawafanya wote wanaokuwinda kuwa mawindo.
Zatorej bodo vsi, ki te požirajo, požrti, in vsi tvoji nasprotniki, vsak izmed njih, bodo šli v ujetništvo, in tisti, ki te plenijo, bodo plen in vse to ukradeno blago na tebi bom dal za plen.
17 Kwa maana nitaleta uponyaji juu yako; nitakuponya majeraha yako—hili ni tangazo la Yahwe—nitafanya hivyo kwa sababu walikuita: Mwenyekutupwa. Hakuna anayeujali Sayuni.”
Kajti jaz ti bom obnovil zdravje in jaz te bom ozdravil tvojih ran, ‹ govori Gospod, ›ker so te imenovali Izobčenec, rekoč: ›To je Sion, ki ga noben človek ne išče.‹
18 Yahwe anasema hivi, “Ona, niko karibu kuwarudisha mateka wa hema za Yakobo na kuwa na huruma juu ya nyumba zake. Kisha mji utajengwa juu ya lundo la magofu, na jumba litakuwepo tena kama ilivyokuwa kawaida.
Tako govori Gospod: ›Glej, ponovno bom privedel ujetništvo Jakobovih šotorov in se usmilil njegovih bivališč, in mesto bo zgrajeno na svojem lastnem kupu in palača bo ostala po svoji lastni navadi.
19 Kisha wimbo wa kusifu na sauti ya ya shangwe itasikika kutoka kwao, kwa maana nitawaongeza na wala sitawapunguza; nitawaheshimu ili kwamba wasifanywe wanyonge.
Iz njih bo izšlo zahvaljevanje in glas tistih, ki se veselijo. Pomnožil jih bom in ne bo jih malo; prav tako jih bom proslavil in ne bodo majhni.
20 Kisha watu watakuwa kama ilivyokuwa mwanzo, na kusanyiko lao litaanzishwa mbele yangu wakati nitakapowaadhibu wote wanaowatesa kwa sasa.
Tudi njihovi otroci bodo kakor poprej in njihova skupnost bo utrjena pred menoj, kaznoval pa bom vse, ki jih zatirajo.
21 Kiongozi wao atatoka miongoni mwao. Atatokeza kutoka kati yao nitakapomleta karibu na atakapanikaribia mimi. kama sitafanya hivyo, ni nani atakayethubutu kunisogelea? —hili ni tangazo la Yahwe.
Njihovi plemiči bodo izmed njih in njihov voditelj bo izšel iz njihove srede. Povzročil mu bom, da se približa in pristopil bo k meni, kajti kdo je ta, ki daje svojemu srcu jamstvo, da se mi približa?‹ govori Gospod.
22 Kisha mtakuwa watu wangu, na nitakuwa Mungu wenu.
›Vi boste moje ljudstvo in jaz bom vaš Bog.‹«
23 Ona, tufani ya Yahwe, ghadhabu yake, imekwenda nje. Ni tufani isiyokoma. Itazunguka juu ya vichwa vya watu waovu.
Glej, vrtinčast veter od Gospoda gre naprej z razjarjenostjo, nenehen vrtinčast veter; boleče bo padel na glavo zlobnih.
24 Hasira ya Yahwe haitarudi mpaka itoke na kutimiza makusudi ya moyo wake. Katika siku za mwisho mtalielewa hili.”
Gospodova kruta jeza se ne bo vrnila, dokler ne bo tega storil in dokler ne izpolni namene svojega srca. V zadnjih dneh boste to preudarili.