< Yeremia 30 >

1 Neno lilokuja kwa Yeremia kutoka kwa Yahwe likisema,
Słowo, które doszło do Jeremiasza od PANA, mówiące:
2 “Hivi ndivyo Yahwe, Mungu wa Israeli, anasema, 'Jiandikie mwenyewe katika baraua maneno yote niliyotangaza kwako katika barua.
Tak mówi PAN, Bóg Izraela: Napisz sobie w księdze wszystkie słowa, które powiedziałem do ciebie.
3 Maana ona, siku zinakuja—hili ni tangazo la Yahwe—nitakapowarudisha mateka wa watu wangu Israeli na Yuda. Mimi, Yahwe, nimesema hili. Kwa maana nitawarudisha kwenye nchi ambayo niliwapa babu zao, na wataimiliki.”'
Oto bowiem nadchodzą dni, mówi PAN, gdy odwrócę niewolę swego ludu Izraela i Judy, mówi PAN, i sprowadzę ich do ziemi, którą dałem ich ojcom, i posiądą ją.
4 Haya ni maneno ambayo Yahwe anatangaza kuhusu Israeli na Yuda,
A to są słowa, które PAN mówił o Izraelu i o Judzie:
5 “Kwa maana Yahwe anasema hivi, 'Tumesikia sauti ya kutetemesha ya hofu na wala siyo ya amani.
Tak mówi PAN: Słyszeliśmy głos strachu i lęku, a nie pokoju.
6 Ulizeni na muone kama mwanaume anamwogopa mtoto. Mbona ninamwona kila mwanaume kijana ameshika mikono yake juu ya kiuno chake kama mwanamke anayejifungua mtoto? Kwa nini nyuso zao wote zimegeuka rangi?
Pytajcie teraz i zobaczcie: Czy mężczyzna może rodzić? Czemu więc widzę, że każdy mężczyzna trzyma ręce na biodrach – jak u rodzącej – i że ich twarze stały się blade?
7 Ole! Kwa maana siku hiyo itakuwa kuu, isiyofanana na yoyote. Utakuwa wakati wa huzuni kwa Yakobo, lakini ataokolewa.
Biada! Bo wielki jest ten dzień, że nie będzie mu równego. To jest czas utrapienia Jakuba, ale będzie z niego wybawiony.
8 Kwa maana itakuwa katika siku hiyo—hili ni tangazo la Yahwe wa majeshi—kwamba nitaivunja nira ya shingo zenu, na nitaisambaza minyororo yenu, kwa hiyo wageni hawatawafanya watumwa tena.
W tym dniu bowiem, mówi PAN zastępów, złamię jego jarzmo znad twojej szyi i rozerwę twoje więzy, i cudzoziemcy już nie będą go ujarzmiać;
9 Bali watamwabudu Yahwe Mungu wao na kumtumikia Daudi mfalme wao, ambaye nitamfanya mfalme juu yao.
Ale będą służyć PANU, swemu Bogu, i Dawidowi, swemu królowi, którego im wzbudzę.
10 Kwa hiyo wewe, mtumishi wangu Yakobo, usiogope—hili ni tangazo la Yahwe—na usikate tamaa, Israeli. Maana ona, niko karibu kukurudisha kutoka mbali, na uzao wako kutoka nchi ya utumwa, Yakobo atarudi na kuwa katika amani; ataokolewa, na hapatakuwa na hofu zaidi.
Dlatego nie bój się, mój sługo, Jakubie, mówi PAN, nie lękaj się, Izraelu! Oto bowiem wybawię cię z daleka, twoje potomstwo z ziemi jego niewoli. Powróci Jakub, aby zaznać odpoczynku i spokoju i nikt nie będzie [go] straszył.
11 Kwa maana niko pamoja nawe—hili ni tangazo la Yahwe—ili kukuokoa. Kisha nitaleta mwisho kamili kwa mataifa yote ambako nimewatawanya. Bali sitaweka mwisho kwako, ingawa ninakuadhibu kwa haki na kwa hakika sitakuacha bila kukuadhibu.'
Ja bowiem jestem z tobą, mówi PAN, aby cię wybawić. A chociaż położę kres wszystkim narodom, wśród których cię rozproszyłem, tobie jednak nie położę kresu, ale ukarzę cię sprawiedliwie, nie zostawię cię całkiem bez kary.
12 Kwa maana Yahwe anasema hivi, 'Jeraha lako si la kupona; kidonda chako kimeenea.
Tak mówi PAN: Twoje zranienie jest nieuleczalne, bardzo bolesna twoja rana.
13 Hakuna mtu wa kukutetea kesi yako; hakuna utetezi kwa ajili ya kidonda chako ili upone.
Nie ma nikogo, kto by bronił twojej sprawy, abyś była uleczona. Nie masz lekarstwa na gojenie [ran].
14 Wapenzi wako wote wamekusahau. Hawatakuangalia, kwa maana nimekujeruhi kwa jeraha la adui na nidhimu ya bwana mkatili kwa sababu ya uovu wako mwingi na dhambi zako zisizohesabika.
Wszyscy twoi kochankowie zapomnieli o tobie, nie szukają cię, gdyż zraniłem cię ciosem wroga i okrutnym karaniem z powodu mnóstwa twoich nieprawości i twoich niezliczonych grzechów.
15 Kwa nini unaita msaada kwa ajili ya jeraha lako? Maumivu yako hayaponyeki. kwa sambabu ya uovu wako mwingi, dhambi zako zisizohesabika, nimefanya mambo haya kwako.
Czemu wołasz z powodu swej rany i ciężkiej boleści? Za ogrom twoich nieprawości i twoje niezliczone grzechy uczyniłem ci to.
16 Kila mtu akulaye ataliwa, na adui zako wote wataenda utumwani. Kwa maana kila aliyekuteka nyara atatekwa, na nitawafanya wote wanaokuwinda kuwa mawindo.
Wszyscy jednak, co cię pożerają, zostaną pożarci; wszyscy, którzy cię uciskają, pójdą w niewolę; ci, którzy cię ograbiają, zostaną ograbieni; a wszystkich, którzy cię łupią, wydam na łup.
17 Kwa maana nitaleta uponyaji juu yako; nitakuponya majeraha yako—hili ni tangazo la Yahwe—nitafanya hivyo kwa sababu walikuita: Mwenyekutupwa. Hakuna anayeujali Sayuni.”
Przywrócę ci bowiem zdrowie i uleczę cię z twoich ran, mówi PAN, gdyż nazwali cię Odrzuconą, [mówiąc]: To jest Syjon, o który nikt się nie troszczy.
18 Yahwe anasema hivi, “Ona, niko karibu kuwarudisha mateka wa hema za Yakobo na kuwa na huruma juu ya nyumba zake. Kisha mji utajengwa juu ya lundo la magofu, na jumba litakuwepo tena kama ilivyokuwa kawaida.
Tak mówi PAN: Oto odwrócę niewolę namiotów Jakuba i zlituję się nad jego mieszkaniem, i miasto [zostanie] odbudowane na swoim wzgórzu, a pałac wystawiony według swego porządku.
19 Kisha wimbo wa kusifu na sauti ya ya shangwe itasikika kutoka kwao, kwa maana nitawaongeza na wala sitawapunguza; nitawaheshimu ili kwamba wasifanywe wanyonge.
I rozlegnie się stamtąd dziękczynienie i głos weselących się. Rozmnożę ich i nie będzie ich ubywało, uwielbię ich i nie będą poniżeni.
20 Kisha watu watakuwa kama ilivyokuwa mwanzo, na kusanyiko lao litaanzishwa mbele yangu wakati nitakapowaadhibu wote wanaowatesa kwa sasa.
Jego synowie będą tak jak dawniej i jego zgromadzenie będzie utwierdzone przede mną, ale ukarzę wszystkich, którzy ich trapią.
21 Kiongozi wao atatoka miongoni mwao. Atatokeza kutoka kati yao nitakapomleta karibu na atakapanikaribia mimi. kama sitafanya hivyo, ni nani atakayethubutu kunisogelea? —hili ni tangazo la Yahwe.
I z niego powstanie jego władca, panujący nad nim spośród niego wyjdzie; każę mu się zbliżyć, a przystąpi do mnie. Kim bowiem jest ten, co odważyłby się w sercu zbliżyć do mnie? – mówi PAN.
22 Kisha mtakuwa watu wangu, na nitakuwa Mungu wenu.
I będziecie moim ludem, a ja będę waszym Bogiem.
23 Ona, tufani ya Yahwe, ghadhabu yake, imekwenda nje. Ni tufani isiyokoma. Itazunguka juu ya vichwa vya watu waovu.
Oto wicher PANA zrywa się w zapalczywości, trwający wicher spadnie nad głowy bezbożnych.
24 Hasira ya Yahwe haitarudi mpaka itoke na kutimiza makusudi ya moyo wake. Katika siku za mwisho mtalielewa hili.”
Zapalczywość gniewu PANA nie odwróci się, aż on to uczyni i wykona zamysły swego serca. W dniach ostatecznych to zrozumiecie.

< Yeremia 30 >