< Yeremia 29 >

1 Haya ni maneno katika waraka ambao Yeremia nabii alituma kutoka Yerusalemu kwa wazee waliosalia miongoni mwa mateka na makuhuni, manabii, na watu wote ambao Nebukadreza aliwapeleka utumwani kutoka Yerusalemu hadi Babeli.
پس از آنکه یهویاکین پادشاه و مادرش به همراه درباریان، بزرگان یهودا و اورشلیم و صنعتگران و پیشه‌وران به دست نِبوکَدنِصَّر به بابِل به اسارت برده شدند، نامه‌ای از اورشلیم برای سران یهود و کاهنان، انبیا و تمام قوم تبعیدی نوشتم،
2 Hii ilikuwa baada ya Yekonia mfalme, mama yake mfalme, na watumishi wakuu, viongozi wa Yuda na Yerusalemu, na wahunzi walikuwa wamepelekwa mbali na Yerusalemu.
3 Aliutuma waraka huu kwa mkono wa Elasa mwana wa Shafani, Gemaria, mwana wa Hilkia, ambaye Sedekia, mfalme wa Yuda, alikuwa amemtuma kwa Nebukadreza mfalme wa Babeli
و آن را به‌وسیلۀ العاسه (پسر شافان) و جمریا (پسر حلقیا) به بابِل فرستادم. این دو نفر سفیران صدقیا پادشاه یهودا بودند که قرار بود به حضور نِبوکَدنِصَّر به بابِل بروند. متن نامه چنین بود:
4 Waraka ulisema, Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi kwa mateka ambao niliwasababisha kuwa mateka kutoka Yerusalemu hadi Babeli,
خداوند لشکرهای آسمان، خدای اسرائیل، به همهٔ شما که به خواست او از اورشلیم به بابِل تبعید شده‌اید، می‌فرماید:
5 'Jengeni nyumba na muishi ndani yake. Pandeni bustani na mle matunda yake.
«خانه‌ها بسازید و در آنها زندگی کنید؛ درختان بکارید و از میوه آنها بخورید، چون سالهای زیادی در آنجا خواهید بود.
6 Chukueni wake na mzae wana na mabinti. Kisha Kisha chukueni wake kwa ajili ya wana wenu, na wapatieni waume binti zenu. Wazae wana na mabinti na waongezeke ili msiwe wachache sana.
ازدواج کنید و صاحب فرزند شوید؛ بگذارید فرزندانتان هم ازدواج کنند و بچه‌دار شوند، تا در آنجا تعدادتان افزوده شود!
7 Itafuteni amani ya mji ambako nimewafanya kuwa watumwa, na mkauombee kwangu kwa niaba yake kwa kuwa kutakuwa na amani kwenu kama mji uko katika amani.'
خواهان آسایش و پیشرفت بابِل باشید و برای آن نزد من دعا کنید، چون آرامش آنجا، آسایش شماست!»
8 Kwa maana Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi, 'Msiwaache manabii ambao wako katikati yenu na wabashiri wenu kuwadanganya, na msizisikilize ndoto ambazo ninyi wenyewe mnaota.
خداوند لشکرهای آسمان، خدای اسرائیل می‌فرماید: «نگذارید انبیای دروغین و فالگیرانی که در میان شما هستند شما را فریب دهند؛ به خوابها و رؤیاها و پیشگویی‌های آنها گوش ندهید.
9 Kwa maana wanatabiri uongo kwenu katika jina langu. Mimi sikuwatuma—hili ni tangazo la Yahwe.'
آنها به نام من به دروغ پیشگویی می‌کنند، در حالی که من آنها را نفرستاده‌ام.» این است فرمودۀ خداوند.
10 Kwa maana Yahwe anasema hivi, 'Babeli atakapokuwa amewatawala kwa muda wa mika sabini, nitawasaidia ninyi na kulitimiza neno langu jema kwa ajili yenu ili kuwarudisha ninyi katika sehemu hii.
و حال خداوند می‌فرماید: «اما وقتی هفتاد سال اسارت در بابِل تمام شود، همان‌طور که قول داده‌ام، بر شما نظر لطف خواهم انداخت و شما را به وطنتان باز خواهم گرداند.
11 Kwa maana mimi mwenyewe naijua mipangao niliyonayo kwa ajili yenu—hili ni tangazo la Yahwe—mipango kwa ajili ya amani na siyo kwa ajili ya mabaya, ili kuwapa ninyi tumaini na siku zenu za mwisho.
خواست و ارادهٔ من، سعادتمندی شماست و نه بدبختی‌تان، و کسی به‌جز من از آن آگاه نیست. من می‌خواهم به شما امید و آیندهٔ خوبی ببخشم.
12 Kisha mtaniita, na kwenda na kuniomba mimi, na nitawasikiliza.
در آن زمان، مرا خواهید خواند و نزد من دعا خواهید کرد و من به دعای شما پاسخ خواهم داد؛
13 Kwa maana mtanitafuta na kunipata, kwa kuwa mtanitafuta kwa moyo wenu wote.
و اگر با تمام وجود مرا بطلبید مرا خواهید یافت.
14 Kisha nitapatikana kwenu—hili ni tangazo la Yahwe—na nitawarudisha watu wenu waliofungwa; nitawakusanya kutoka mataifa yote na sehehemu zote ambako nimewatawanya—hili ni tangazo la Yahwe—kwa maana nitawarudisha kutoka sehemu ambako niliwasababisha kuwa mateka.
بله، بی‌گمان مرا خواهید یافت و من به اسارت شما پایان خواهم بخشید و شما را از سرزمینهایی که شما را به آنجا تبعید کرده‌ام جمع کرده، به سرزمین خودتان باز خواهم آورد.» این است فرمودۀ خداوند.
15 Tangu mliposema kwamba Yahwe ameinua manabii kwa ajili yetu katika Babeli,
ولی حال چون انبیای دروغین را در میان خود راه داده‌اید و می‌گویید که خداوند آنها را فرستاده است.
16 Yahwe anasema hivi kwa mfalme aliyeketi katika kiti cha enzi cha Daudi na watu wote wakaao katika mji huo, ndugu zenu ambao hawakwenda pamoja nanyi utumwani—
اما خداوند دربارۀ پادشاهی که از خاندان داوود است و کسانی که در اورشلیم باقی مانده‌اند، یعنی بستگان شما که به بابِل تبعید نشده‌اند، چنین می‌فرماید:
17 Yahwe wa majeshi anasema hivi, ''Ona, niko karibu kutuma upanga, njaa, na ugonjwa juu yao. Kwa maana nitawafanya kuwa kama tini mbovu ambazo ni mbaya sana hazifai kuliwa.
آری، خداوند لشکرهای آسمان می‌گوید: «جنگ و قحطی و وبا خواهم فرستاد. ایشان را مانند انجیرهای گندیده‌ای خواهم ساخت که قابل خوردن نیستند و باید دور ریخته شوند!
18 Kisha nitawafuata kwa upanga, njaa, na tauni na kuwafanya kuwa kitu cha kushangaza kwa falme zote juu ya dunia—kitu cha kuogofya, kitu cha kulaaniwa na kuzomewa, na kitu cha aibu miongoni mwa mataifa yote ambako nilimtawanya.
آنها را در سراسر جهان سرگردان خواهم کرد؛ در هر سرزمینی که پراکنده‌شان سازم، مورد نفرین و مسخره و ملامت واقع خواهند شد و مایهٔ وحشت خواهند بود،
19 Hii ni kwa sababu hawakulisikiliza neno langu—hili ni tangazo la Yahwe—ambalo nililituma kwao kupitia watumishi wangu manabii. Niliwatuma tena na tena, lakini hamkusikiliza—hili ni tangazo la Yahwe. '
چون نخواستند به سخنان من گوش فرا دهند، با اینکه بارها به‌وسیلۀ انبیای خود با ایشان صحبت کردم.» این است فرمودۀ خداوند.
20 Kwa hiyo ninyi wenyewe sikilizeni neno la Yahwe, ninyi mateka wote ambao amewatuma kutoka Yerusalemu hadi Babeli,
همگی شما که در بابِل اسیرید، به کلام خداوند گوش دهید.
21 'Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi kuhusu Ahabu mwana wa Kolaya na Sedekia mwana wa Maaseya, watabirio uongo kwenu katika jina langu: Ona, niko karibu kuwaweka katika mkono wa Nebukadreza mfalme wa Babeli. Atawaua mbele ya macho yenu.
خداوند لشکرهای آسمان، خدای اسرائیل دربارهٔ اَخاب (پسر قولایا) و صدقیا (پسر معسیا) که به نام او، پیشگویی‌های دروغ می‌کنند، فرموده است: «آنها را به دست نِبوکَدنِصَّر خواهد سپرد تا در مقابل چشمان همه کشته شوند.
22 Kisha laana itatamkwa na wafungwa wote wa Yuda katika Babeli kuhusu watu hawa. Laana itasema: Yahwe awafanye kuwa kama Sedekia na Ahabu, ambao mfalme wa Babeli aliwaoka kwenye moto.
سرنوشت شوم آنها برای همۀ تبعیدیان یهودا که در بابِل هستند ضرب‌المثل خواهد شد، به طوری که هر که بخواهد کسی را نفرین کند، خواهد گفت:”خداوند تو را به سرنوشت صدقیا و اَخاب دچار کند که پادشاه بابِل آنها را زنده‌زنده سوزانید!“
23 Hili litatokea kwa sababu ya mambo ya aibu waliyofanya katika Israeli walipofanya uzinzi na wake za majarani zao na kutangaza maneno ya uongo katika jina langu, mambo ambayo sikuwaamuru wayaseme. Kwa maana mimi ndiye nijuaye; mimi ni shahidi—hili ni tangazo la Yahwe.”'
چون این افراد در میان قوم خدا گناهان هولناکی مرتکب شده‌اند؛ با زنان همسایگان خود زنا کرده‌اند و از طرف خداوند به دروغ برای مردم پیام آورده‌اند. خداوند بر همهٔ کارهای آنها ناظر و آگاه است. من، خداوند، این را می‌گویم.»
24 Kuhusu Shemaya Mnehelami, sema hivi:
خداوند لشکرهای آسمان، خدای اسرائیل، دربارهٔ شمعیای نحلامی پیامی به من داد. این شخص نامه‌ای خطاب به مردم اورشلیم، کاهنان و صفنیای کاهن (پسر معسیا) نوشته بود که در آن به صفنیا چنین گفته بود:
25 'Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: Kwa sababu ulituma barua kwa jina lako kwa watu wote katika Yerusalemu, kwa Sefania mwana wa Maaseya kuhani, na kwa makuhani wote, na ulisema,
26 “Yahwe aliwafanya ninyi kuwa makuhani badala ya Yehoyada kuhani, ili muwe wasimamizi wa nyumba ya Yahwe. Ninyi ni viongozi wa watu wote wajitiao wazimu na kujifanya wenyewe manabii. Mtawaweka katika mkatale na minyororo.
«خداوند تو را به جای یهویاداع تعیین کرده تا در خانۀ خدا در اورشلیم کاهن باشی و وظیفه تو این است که هر دیوانه‌ای را که ادعا کند نبی خداست، بگیری و در کنده و زنجیر نگه داری.
27 Kwa hiyo sasa, kwa nini hamkumkemea Yeremia wa Anathothi, ambaye hujifanya mwenyewe nabii juu yenu?
پس چرا با ارمیای عناتوتی چنین عمل نکرده‌ای که ادعا می‌کند از طرف خدا سخن می‌گوید؟
28 Kwa maana ametutumia sisi katika Babeli, 'Itakuwa muda mrefu. Jengeni nyumba na muishi ndani yake, na pandeni busitani na mule matunda yake.””
چون برای ما که در بابِلیم نامه نوشته و گفته است که سالها در اینجا اسیر خواهیم ماند، و ما را تشویق کرده است که خانه‌ها بسازیم تا بتوانیم مدتها در آنجا زندگی کنیم و درختان میوه بکاریم تا بتوانیم در آینده از میوه‌اش بخوریم!»
29 Sefania kuhani akaisoma barua hii mbele ya Yeremia nabii.
صفنیا نامه را پیش من آورد و برایم خواند.
30 Kisha neno la Yahwe likaja kwa Yeremia, likisema,
آنگاه خداوند به من فرمود که
31 “tuma neno kwa mateka wote na sema, 'Yahwe anasema hivi kuhusu Shemaya Mnehelami: Kwa sababu Shemaya amewatabiria ninyi wakati mimi sikumtuma, na amewaongoza kuamini uongo,
نامه‌ای برای تمام تبعیدی‌های بابِل بفرستم و در آن چنین بنویسم: خداوند دربارهٔ شمعیای نحلامی چنین می‌فرماید: «او برای شما به دروغ پیشگویی می‌کند و شما را فریب می‌دهد و می‌خواهد که دروغهایش را باور کنید، در حالی که من او را نفرستاده‌ام.
32 kwa hiyo Yahwe anasema hivi: Angalia, niko karibu kumwadhibu Shemaya Mnehelami na uzao wake. Hapatakuwa na mtu wa kukaa miongoni mwa watu hawa kwa ajili yake. Hataona mema nitakayofanya kwa ajili ya watu wangu—hili ni tangazo la Yahwe—kwa maana ametangaza uasi dhidi ya Yahwe.””
پس من نیز او و فرزندانش را مجازات خواهم کرد و هیچ‌کس از خانوادهٔ او در میان شما باقی نخواهد ماند. او آن لطف و احسانی را که در حق قومم خواهم نمود، نخواهد دید، چون شما را بر ضد من برانگیخته است. من، خداوند، این را می‌گویم.»

< Yeremia 29 >