< Yeremia 29 >

1 Haya ni maneno katika waraka ambao Yeremia nabii alituma kutoka Yerusalemu kwa wazee waliosalia miongoni mwa mateka na makuhuni, manabii, na watu wote ambao Nebukadreza aliwapeleka utumwani kutoka Yerusalemu hadi Babeli.
Voici les paroles de la lettre que Jérémie, le prophète, envoya de Jérusalem au reste des anciens de la captivité, aux sacrificateurs, aux prophètes, et à tout le peuple que Nabuchodonosor avait emmené captif de Jérusalem à Babylone,
2 Hii ilikuwa baada ya Yekonia mfalme, mama yake mfalme, na watumishi wakuu, viongozi wa Yuda na Yerusalemu, na wahunzi walikuwa wamepelekwa mbali na Yerusalemu.
(après que le roi Jeconia, la reine mère, les eunuques, les princes de Juda et de Jérusalem, les artisans et les forgerons eurent quitté Jérusalem), la reine mère, les eunuques, les princes de Juda et de Jérusalem, les artisans et les forgerons avaient quitté Jérusalem),
3 Aliutuma waraka huu kwa mkono wa Elasa mwana wa Shafani, Gemaria, mwana wa Hilkia, ambaye Sedekia, mfalme wa Yuda, alikuwa amemtuma kwa Nebukadreza mfalme wa Babeli
par la main d'Elasah, fils de Shaphan, et de Gemaria, fils de Hilkija, (que Sédécias, roi de Juda, envoya à Babylone auprès de Nebucadnetsar, roi de Babylone). Il est dit:
4 Waraka ulisema, Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi kwa mateka ambao niliwasababisha kuwa mateka kutoka Yerusalemu hadi Babeli,
Yahvé des Armées, le Dieu d'Israël, dit à tous les captifs que j'ai fait emmener de Jérusalem à Babylone:
5 'Jengeni nyumba na muishi ndani yake. Pandeni bustani na mle matunda yake.
« Construisez des maisons et habitez-les. Plantez des jardins et mangez leurs fruits.
6 Chukueni wake na mzae wana na mabinti. Kisha Kisha chukueni wake kwa ajili ya wana wenu, na wapatieni waume binti zenu. Wazae wana na mabinti na waongezeke ili msiwe wachache sana.
Prenez des femmes et engendrez des fils et des filles. Prenez des femmes pour vos fils, et donnez vos filles à des maris, afin qu'elles enfantent des fils et des filles. Multipliez-y, et ne vous laissez pas abattre.
7 Itafuteni amani ya mji ambako nimewafanya kuwa watumwa, na mkauombee kwangu kwa niaba yake kwa kuwa kutakuwa na amani kwenu kama mji uko katika amani.'
Recherchez la paix de la ville où je vous ai fait emmener en captivité, et priez Yahvé pour elle, car dans sa paix vous aurez la paix. »
8 Kwa maana Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi, 'Msiwaache manabii ambao wako katikati yenu na wabashiri wenu kuwadanganya, na msizisikilize ndoto ambazo ninyi wenyewe mnaota.
Car Yahvé des Armées, le Dieu d'Israël, dit: « Ne vous laissez pas tromper par vos prophètes qui sont au milieu de vous et par vos devins. N'écoutez pas les rêves que vous faites rêver.
9 Kwa maana wanatabiri uongo kwenu katika jina langu. Mimi sikuwatuma—hili ni tangazo la Yahwe.'
Car ils vous prophétisent faussement en mon nom. Ce n'est pas moi qui les ai envoyés », dit Yahvé.
10 Kwa maana Yahwe anasema hivi, 'Babeli atakapokuwa amewatawala kwa muda wa mika sabini, nitawasaidia ninyi na kulitimiza neno langu jema kwa ajili yenu ili kuwarudisha ninyi katika sehemu hii.
Car Yahvé dit: « Lorsque soixante-dix ans se seront écoulés pour Babylone, je vous visiterai et j'accomplirai ma bonne parole à votre égard, en vous faisant revenir dans ce lieu.
11 Kwa maana mimi mwenyewe naijua mipangao niliyonayo kwa ajili yenu—hili ni tangazo la Yahwe—mipango kwa ajili ya amani na siyo kwa ajili ya mabaya, ili kuwapa ninyi tumaini na siku zenu za mwisho.
Car je connais les pensées que je nourris à votre égard, dit Yahvé, des pensées de paix et non de malheur, pour vous donner de l'espoir et un avenir.
12 Kisha mtaniita, na kwenda na kuniomba mimi, na nitawasikiliza.
Vous m'invoquerez, vous irez me prier, et je vous écouterai.
13 Kwa maana mtanitafuta na kunipata, kwa kuwa mtanitafuta kwa moyo wenu wote.
Tu me chercheras et tu me trouveras, si tu me cherches de tout ton cœur.
14 Kisha nitapatikana kwenu—hili ni tangazo la Yahwe—na nitawarudisha watu wenu waliofungwa; nitawakusanya kutoka mataifa yote na sehehemu zote ambako nimewatawanya—hili ni tangazo la Yahwe—kwa maana nitawarudisha kutoka sehemu ambako niliwasababisha kuwa mateka.
Tu me trouveras, dit l'Éternel, et je ramènerai tes captifs, je te rassemblerai de toutes les nations et de tous les lieux où je t'ai chassé, dit l'Éternel. Je vous ramènerai dans le lieu d'où je vous ai fait partir en captivité. »
15 Tangu mliposema kwamba Yahwe ameinua manabii kwa ajili yetu katika Babeli,
Parce que vous avez dit: « Yahvé nous a suscité des prophètes à Babylone »,
16 Yahwe anasema hivi kwa mfalme aliyeketi katika kiti cha enzi cha Daudi na watu wote wakaao katika mji huo, ndugu zenu ambao hawakwenda pamoja nanyi utumwani—
Yahvé dit, au sujet du roi assis sur le trône de David et de tout le peuple qui habite cette ville, de vos frères qui ne sont pas partis avec vous en captivité,
17 Yahwe wa majeshi anasema hivi, ''Ona, niko karibu kutuma upanga, njaa, na ugonjwa juu yao. Kwa maana nitawafanya kuwa kama tini mbovu ambazo ni mbaya sana hazifai kuliwa.
Yahvé des armées dit: « Voici, j'enverrai sur eux l'épée, la famine et la peste, et je les rendrai semblables à des figues pourries qui ne peuvent être mangées, tant elles sont mauvaises.
18 Kisha nitawafuata kwa upanga, njaa, na tauni na kuwafanya kuwa kitu cha kushangaza kwa falme zote juu ya dunia—kitu cha kuogofya, kitu cha kulaaniwa na kuzomewa, na kitu cha aibu miongoni mwa mataifa yote ambako nilimtawanya.
Je les poursuivrai par l'épée, la famine et la peste, et je les livrerai pour qu'ils soient ballottés entre tous les royaumes de la terre, pour qu'ils soient un objet d'épouvante, d'étonnement, de sifflement et d'opprobre parmi toutes les nations où je les ai chassés,
19 Hii ni kwa sababu hawakulisikiliza neno langu—hili ni tangazo la Yahwe—ambalo nililituma kwao kupitia watumishi wangu manabii. Niliwatuma tena na tena, lakini hamkusikiliza—hili ni tangazo la Yahwe. '
parce qu'ils n'ont pas écouté mes paroles, dit Yahvé, par lesquelles je leur ai envoyé mes serviteurs les prophètes, me levant de bonne heure et les envoyant; mais vous n'avez pas voulu écouter », dit Yahvé.
20 Kwa hiyo ninyi wenyewe sikilizeni neno la Yahwe, ninyi mateka wote ambao amewatuma kutoka Yerusalemu hadi Babeli,
Écoutez donc la parole de Yahvé, vous tous, les captifs que j'ai envoyés de Jérusalem à Babylone.
21 'Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi kuhusu Ahabu mwana wa Kolaya na Sedekia mwana wa Maaseya, watabirio uongo kwenu katika jina langu: Ona, niko karibu kuwaweka katika mkono wa Nebukadreza mfalme wa Babeli. Atawaua mbele ya macho yenu.
Yahvé des armées, le Dieu d'Israël, dit au sujet d'Achab, fils de Kolaja, et de Sédécias, fils de Maaséja, qui vous prophétisent le mensonge en mon nom: « Voici, je les livre entre les mains de Nebucadnetsar, roi de Babylone, et il les fera mourir sous vos yeux.
22 Kisha laana itatamkwa na wafungwa wote wa Yuda katika Babeli kuhusu watu hawa. Laana itasema: Yahwe awafanye kuwa kama Sedekia na Ahabu, ambao mfalme wa Babeli aliwaoka kwenye moto.
Une malédiction sera prononcée à leur sujet par tous les captifs de Juda qui sont à Babylone, en disant: 'Yahvé te rendra semblable à Sédécias et à Achab, que le roi de Babylone a fait rôtir au feu';
23 Hili litatokea kwa sababu ya mambo ya aibu waliyofanya katika Israeli walipofanya uzinzi na wake za majarani zao na kutangaza maneno ya uongo katika jina langu, mambo ambayo sikuwaamuru wayaseme. Kwa maana mimi ndiye nijuaye; mimi ni shahidi—hili ni tangazo la Yahwe.”'
parce qu'ils ont fait des folies en Israël, qu'ils ont commis l'adultère avec les femmes de leurs voisins, et qu'ils ont prononcé en mon nom des paroles mensongères que je ne leur avais pas ordonnées. Je suis celui qui sait, et je suis témoin », dit Yahvé.
24 Kuhusu Shemaya Mnehelami, sema hivi:
Tu parleras de Shemahia, Néhélamite, en disant:
25 'Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: Kwa sababu ulituma barua kwa jina lako kwa watu wote katika Yerusalemu, kwa Sefania mwana wa Maaseya kuhani, na kwa makuhani wote, na ulisema,
« Yahvé des armées, le Dieu d'Israël, dit: Parce que tu as envoyé des lettres en ton nom à tout le peuple qui est à Jérusalem, à Sophonie, fils de Maaséja, le prêtre, et à tous les prêtres, en disant:
26 “Yahwe aliwafanya ninyi kuwa makuhani badala ya Yehoyada kuhani, ili muwe wasimamizi wa nyumba ya Yahwe. Ninyi ni viongozi wa watu wote wajitiao wazimu na kujifanya wenyewe manabii. Mtawaweka katika mkatale na minyororo.
« Yahvé t'a établi prêtre à la place du prêtre Jehoïada, afin qu'il y ait des officiers dans la maison de Yahvé, pour tout homme qui est fou et qui se fait prophète, que tu le mettes au pilori et aux fers.
27 Kwa hiyo sasa, kwa nini hamkumkemea Yeremia wa Anathothi, ambaye hujifanya mwenyewe nabii juu yenu?
Maintenant donc, pourquoi n'avez-vous pas réprimandé Jérémie d'Anathoth, qui se fait passer pour un prophète auprès de vous,
28 Kwa maana ametutumia sisi katika Babeli, 'Itakuwa muda mrefu. Jengeni nyumba na muishi ndani yake, na pandeni busitani na mule matunda yake.””
parce qu'il nous a envoyé à Babylone dire: La captivité est longue. Bâtissez des maisons, et habitez-les. Plantez des jardins, et mangez-en les fruits? »".
29 Sefania kuhani akaisoma barua hii mbele ya Yeremia nabii.
Sophonie, le prêtre, lut cette lettre à l'audience de Jérémie, le prophète.
30 Kisha neno la Yahwe likaja kwa Yeremia, likisema,
Alors la parole de Yahvé fut adressée à Jérémie, en ces termes:
31 “tuma neno kwa mateka wote na sema, 'Yahwe anasema hivi kuhusu Shemaya Mnehelami: Kwa sababu Shemaya amewatabiria ninyi wakati mimi sikumtuma, na amewaongoza kuamini uongo,
« Envoie à tous les captifs, en disant: « Yahvé dit au sujet de Schemaiah, le Néhélamite: « Parce que Shemaiah vous a prophétisé et que je ne l'ai pas envoyé, et qu'il vous a fait croire au mensonge: « Parce que Shemaiah vous a prophétisé, et que je ne l'ai pas envoyé, et qu'il vous a fait mettre votre confiance dans le mensonge »,
32 kwa hiyo Yahwe anasema hivi: Angalia, niko karibu kumwadhibu Shemaya Mnehelami na uzao wake. Hapatakuwa na mtu wa kukaa miongoni mwa watu hawa kwa ajili yake. Hataona mema nitakayofanya kwa ajili ya watu wangu—hili ni tangazo la Yahwe—kwa maana ametangaza uasi dhidi ya Yahwe.””
c'est pourquoi Yahvé dit: « Voici, je vais punir Shemaiah, le Néhélamite, et sa descendance. Il n'aura pas d'homme pour habiter au milieu de ce peuple. Il ne verra pas le bien que je ferai à mon peuple, dit Yahvé, parce qu'il a parlé de rébellion contre Yahvé. »'"

< Yeremia 29 >