< Yeremia 28 >

1 Ilitokea katika mwaka ule, mwanzoni mwa utawala wa Sedekia mfalme wa Yuda, katika mwaka wa nne na mwezi wa tano, Hanania mwana wa Azuri nabii, alikuwa wa Gibeoni, alisema kwangu katika nyumba ya Yahwe mbele za makuhani na watu wote. Alisema,
It happened in that year, in the beginning of the reign of Zedekiah king of Judah, in the fourth year and the fifth month, Hananiah son of Azzur the prophet, who was from Gibeon, spoke to me in Yahweh's house in front of the priests and all the people. He said,
2 “Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: Nimeivunja nira iliyowekwa na mfalme wa Babeli.
“Yahweh of hosts, God of Israel, says this: I have broken the yoke imposed by the king of Babylon.
3 Ndani ya miaka miwili nitavirudisha katika sehemu hii vyombo vyote vya nyumba ya Yahwe ambavyo Nebukadreza mfalme wa Babeli livichukua kutoka sehemu hii na kuvisafirisha hadi Babeli.
Within two years I will bring back to this place all the objects belonging to Yahweh's house that Nebuchadnezzar king of Babylon took from this place and transported to Babylon.
4 Kisha nitawarudisha katika sehemu hii Yekonia mwana wa Yehotakimu, mfalme wa Yuda, na mateka wote wa Yuda ambao walipelekwa Babeli—hili ni tangazo la Yahwe—kwa maana nitaivunja nira ya mfalme wa Babeli.”
Then I will bring back to this place Jehoiachin son of Jehoiakim, king of Judah, and all the captives of Judah who were sent to Babylon—this is Yahweh's declaration—for I will break the yoke of the king of Babylon.”
5 Kwa hiyo Yeremia nabii akasema kwa Hanania nabii mbele ya makuhani na kwa watu wote waliosimama katika nyumba ya Yahwe.
So Jeremiah the prophet spoke to Hananiah the prophet in front of the priests and to all the people who stood in Yahweh's house.
6 Yeremia nabii akasema, “Yahwe afanye hivi! Yahwe ayathibitishe maneno ambayao ulitabiri na kuvirudisha katika sehemsu hii vyombo vya nyumb a ya Yahwe, na mateka wote kutoka Babeli.
Jeremiah the prophet said, “May Yahweh do this! May Yahweh confirm the words that you prophesied and bring back to this place the objects belonging to Yahweh's house, and all the captives from Babylon.
7 Vile vile, sikilizeni neno ambaloo ninalitangaza katika masikio yenu na katika masikio ya watu wote.
However, listen to the word that I am proclaiming in your hearing and in the hearing of all the people.
8 Manabii ambao walikuwepo mbele yangu na na mbele yenu muda mrefu uliopita pia walitabiri kuhusu mataifa mengi na juu ya falme kuu, kuhusu vita, njaa, na mapigo.
The prophets who existed before me and you from long ago also prophesied about many nations and against great kingdoms, about war, famine, and plague.
9 Kwa hiyo nabii anayetabiri kwamba kutakuwa na amani—kama neno lake litatimia, basi itajulikana kwamba yeye ni nabii kweli aliyetumwa na Yahwe.”
So the prophet who prophesies that there will be peace—if his word comes true, then it will be known that he is indeed a prophet sent out by Yahweh.”
10 Lakini Hanania nabii akaichukua nira kutoka kwenye shingo ya Yeremia na kuivunja.
But Hananiah the prophet took the yoke from the neck of Jeremiah the prophet and broke it.
11 Kisha Hanania akanena mbele ya watu wote na kusema, “Yahwe anasema hivi: Kama hivi tu, ndani ya miaka miwili nitaivunja nira iliyowekwa na Nebukadreza mfalme wa Babeli kutoka kwenye shingo ya kila taifa.” Kisha Yeremia nabii akaenda njia yake.
Then Hananiah spoke in front of all the people and said, “Yahweh says this: Just like this, within two years I will break from off the neck of every nation the yoke imposed by Nebuchadnezzar king of Babylon.” Then Jeremiah the prophet went on his way.
12 Baada ya Hanania nabii kuivunja nira kutoka kwenye shingo ya Yeremia nabii, neno la Yahwe likamjia Yeremia. likisema,
After Hananiah the prophet had broken the yoke from the neck of Jeremiah the prophet, the word of Yahweh came to Jeremiah, saying,
13 Nenda na ukaseme kwa Hanania na useme, Yahwe anasema hivi: Uliivunja nira ya mbao, lakini badala yake nitafanya nira ya chuma.'
“Go and speak to Hananiah and say, 'Yahweh says this: You broke a yoke of wood, but I will make instead a yoke of iron.'
14 Kwa maana Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: Nimeweka nira ya chuma shingoni mwa mataifa haya yote ili wamtumikea Nebukadreza mfalme wa Babeli, na watamtumikia. Pia nimempa wanyama wa mashambani awatawale.”
For Yahweh of hosts, God of Israel, says this: I have placed a yoke of iron on the neck of all of these nations to serve Nebuchadnezzar king of Babylon, and they will serve him. I have also given him the wild beasts in the fields to rule over.”
15 Kisha nabii Yeremia akamwambia Hanania nabii, “Sikiliza Hanania! Yahwe hajakutuma, bali wewe mwenyewe umewasababisha watu hawa kuamini katika uongo.
Next Jeremiah the prophet said to Hananiah the prophet, “Listen Hananiah! Yahweh has not sent you, but you yourself have caused this people to believe in lies.
16 Kwa hiyo Yahwe anasema hivi: Angalia, niko karibu kukutuma nje ya dunia. Mwaka huu utakufa.”
So Yahweh says this: Look, I am about to send you out from the earth. You will die this year, since you proclaimed rebellion against Yahweh.”
17 Katika mwezi wa saba wa mwaka ule ule, Hanania nabii akafa.
In the seventh month of that same year, Hananiah the prophet died.

< Yeremia 28 >