< Yeremia 27 >
1 Katika mwanzo wa utawala wa Sedekia mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, neno hil lilimjia Yeremia kutoka kwa Yahwe. (Ingawa nakala nyingi za Kiebrania zinasema “Yehoyakimu, matoleo mengi ya kisasa yanasema “Sedekia”, kwa sababu tukio katika sura hii lilitokea katika kipindi cha utawala wake).
Au commencement du règne de Joakim, fils de Josias, roi de Juda, cette parole fut adressée à Jérémie par le Seigneur, disant:
2 Hiki ndicho Yahwe alisema kwangu, “Tengeneza vifungo na nira kwa ajili yako mwenyewe. Ziweke shingoni mwako.
Voici ce que me dit le Seigneur: Fais-toi des liens, et des chaînes, et tu les mettras à ton cou.
3 Kisha akawatuma kwenda kw mfalme wa Edomu, mfalme wa Moabu, mfalme wa watu wa amoni, mfalme wa Tiro, na kwa mfalme wa Sidoni. Watume kwa mkono wa wajumbe hao wa wafalme ambao walikuja Yerusalemu kwa Sedekia mfalme wa Yuda.
Et tu les enverras au roi d’Edom, et au roi de Moab, et au roi des enfants d’Ammon, et au roi de Tyr, et au roi de Sidon, par la main des ambassadeurs qui sont venus à Jérusalem vers Sédécias, roi de Juda.
4 Toa amri kwao kwa ajili ya mabwana zao na sema, ' Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: Hivyo ndivyo utakavyosema kwa mabwana zenu,
Et tu leur ordonneras de parler ainsi à leurs maîtres: Voici ce que dit le Seigneur des armées, Dieu d’Israël: Vous direz ceci à vos maîtres:
5 Mimi mwenyewe niliiumba dunia kwa nguvu zangu kuu na mkono wangu ulioinuka. Pia niliwaumba watu na wanyama juu ya dunia, na nikawatoa kwa yeyote aliyesahihi katika macho yangu.
C’est moi qui ai fait la terre, et les hommes et les hôtes qui sont sur la face de la terre, par ma grande puissance et par mon bras étendu; et j’ai donné la terre à celui qui a plu à mes yeux.
6 Kwa hiyo sasa, Mimi mwenyewe naziweka nchi hizi zote kwenye mkono wa Nebukadreza, mfalme wa Babeli, mtumishi wangu. Pia, ninavikabidhi kwake viumbe hai vyote katika mashamba ili vimtumikie.
Et c’est pourquoi moi j’ai maintenant mis toutes ces terres dans la maison de Nabuchodonosor, roi de Babylone, mon serviteur; de plus, je lui ai donné les bêtes de la campagne, afin qu’elles lui soient soumises.
7 Kwa maana mataifa yote watamtumikia yeye, wanaye, na wajukuu zake hadi muda wa nchi yake ufike. Kisha mataifa mengi na wafalme wengi watamtiisha.
Et toutes les nations lui seront soumises, à lui et à son fils, et au fils de son fils, jusqu’à ce que vienne le temps de son royaume et son propre temps, et beaucoup de nations et de grands rois lui seront soumis.
8 Kwa hiyo taifa na ufalme ambo haumtumikii Nebukadreza, mfalme wa Babeli, na ule usioweka shingo yake chini ya nira ya Nebukadreza mfalme wa Babeli—nitaliadhibu taifa hilo kwa upanga, njaa, na pigo—hili ni tangazo la Yahwe—hadi nitakapokuwa nimewateketeza kwa mkono wake.
Mais la nation et le royaume qui ne se soumettra pas à Nabuchodonosor, roi de Babylone, et quiconque ne courbera pas son cou sous le joug du roi de Babylone, c’est par le glaive, par la faim, et par la peste, que je visiterai cette nation, jusqu’à ce que je les aie consumés par sa main.
9 Kwa hiyo msiwasikilize manabii wenu, wabashiri wenu, waonaji wenu, ndoto zenu, watambuzi wenu, ambao wamekuw wakisema kwenu na kusema, ' Msimtumikie mfalme wa Babeli.'
Vous donc, n’écoutez pas vos prophètes, et vos devins et vos rêveurs, vos augures et vos magiciens, qui vous disent: Vous ne serez pas soumis au roi de Babylone.
10 Kwa maana wanatabiri uongo kwenu ili kuwapeleka mbali na nchi zenu, kwa maana nitawapeleka mbali, na mtakufa.
Parce qu’ils vous prophétisent un mensonge, afin de vous envoyer loin de votre terre, et de vous en chasser, et de vous faire périr.
11 Lakini taifa ambalo wataweka shingo zao chini ya nira ya mfalme wa Babeli na kumtumikia, nitawaruhusu kupumzika katika nchi yao—hili ni tangazo la Yahwe—na watailima na kufanya nyumba zao humo.””
Or la nation qui mettra son cou sous le joug du roi de Babylone, et se soumettra à lui, je la laisserai dans sa terre, dit le Seigneur; et elle la cultivera, et elle y habitera.
12 Kwa hiyo nilisema kwa Sedekia mfalme wa Yuda na kumpa ujumbe huu, “Ziwekeni shingo zenu chini ya nira ya mfalme wa Babeli na mtumikieni yeye na watu wake, na mtaishi.
Et à Sédécias, roi de Juda, dans les mêmes termes j’ai parlé, disant: Mettez vos cous sous le joug du roi de Babylone, et soumettez-vous à lui et à son peuple, et vous vivrez.
13 Kwa nini mfe—wewe na watu wako—kwa upanga, njaa, na pigo, kama vile nilivyotangaza kuhusu taifa ambalo watapuuza kumtumikia mfalme wa Babeli?
Pourquoi mourrez-vous, vous et votre peuple, par le glaive, et par la famine, et par la peste, comme l’a dit le Seigneur de la nation qui n’aura pas voulu se soumettre au roi de Babylone?
14 Msisikilize maneno ya manabii wanaozungumza kwenu na kusema, 'Msimtumikie mfalme wa Babeli', kwa maana wanatabiri uongo kwenu.
N’écoutez pas les paroles des prophètes qui vous disent: Vous ne serez pas soumis au roi de Babylone; parce que c’est un mensonge qu’eux vous disent.
15 'Kwa maana mimi sikuwatuma—hili ni tangazo la Yahwe—kwa maana wanatabiri uongo katika jina langu ili kwamba niwafukeze inje na muangamie, ninyi nyote na manabii wanaotabiri kwenu.”'
Parce que je ne les ai pas envoyés, dit le Seigneur, et ils prophétisent en mon nom faussement, afin de vous chasser de votre terre et de vous faire périr, vous et les prophètes qui vous prédisent l’avenir.
16 Nilitangaza hili kwa makuhani na watu wote na kusema, “Yahwe anasema hivi: Msisikilize maneno ya manabii wanaotabiri kwenu na kusema, 'Angalia! Vyombo vya nyumba ya Yahwe vinarudishwa kutoka Babeli sasa hivi!' Wanatabiri uongo kwenu.
Et j’ai parlé aux prêtres et à ce peuple, disant: Voici ce que dit le Seigneur: N’écoutez pas les paroles de vos prophètes qui vous prophétisent, disant: Voilà que les vases du Seigneur seront bientôt rapportés de Babylone; car c’est un mensonge qu’ils vous prophétisent.
17 Msiwasikilize. Mtamtumikia mfalme wa Babeli na mtaishi. Kwa nini mji huu uangamizwe?
Ne les écoutez donc pas; mais soumettez-vous au roi de Babylone, afin que vous viviez; pourquoi cette cité sera-t-elle réduite en une solitude?
18 Kama ni manabii, na kama neno la Mungu limekuja kwao kweli, basi wamwombe Yahwe wa majeshi asivipeleke Babeli vyombo vilivyosalia katika nyumba, nyumba ya mfalme wa Yuda, na Yerusalemu.
Que s’ils sont prophètes et que la parole du Seigneur soit en eux, qu’ils s’opposent au Seigneur des armées, afin que les vases laissés dans la maison du Seigneur, et dans la maison du roi de Juda, et à Jérusalem, ne soient pas transférés à Babylone.
19 Yahwe wa majeshi anasema hivi kuhusu zile nguzo, bahari, na kitako, na vyombo vyote vilivyosalia katika mji huu—
Parce que voici ce que dit le Seigneur des armées relativement aux colonnes, et à la mer, et aux bases, et aux restes des vases qui ont été laissés dans cette cité,
20 vyombo ambavyo Nebukadreza mfalme wa Babeli hakuvichukua wakati alipomchukua Yekonia mwana wa Yehoyakimu, mfalme wa Yuda, katika utumwa kutoka Yerusalemu kwenda Babeli pamoja na wakuu wote wa Yuda na Yerusalemu.
Que n’emporta pas Nabuchodonosor, roi de Babylone, lorsqu’il transféra Jéchonias, fils de Joakim, roi de Juda, de Jérusalem à Babylone, et tous les grands de Juda et de Jérusalem;
21 Yahwe wa majeshsi, Mungu wa Israeli, anasema hivi kuhusu vyombo vilivyosalia katika nyumba ya Yahwe, nyumba ya mfalme wa Yuda, na Yerusalemu,
Parce que, dis-je, voici ce que dit le Seigneur des armées, Dieu d’Israël, relativement aux vases qui ont été laissés dans la maison du roi de Juda et dans Jérusalem:
22 'Vitaletwa Babeli, na vitabaki huko hadi siku niyovipangia kutimia—hili ni tangazo la Yahwe—kisha nitavileta na kuvirudisha kataika sehemu hii.”
Ils seront transportés à Babylone, et ils y seront jusqu’au jour de leur visite, dit le Seigneur; et je les ferai rapporter et rétablir en ce lieu.