< Yeremia 26 >

1 Mwanzoni mwa utawala wake Yehoyakimu mwana wa Yosia, neno likaja kutoka kwa Yeremia, likisema,
Au commencement du règne de Jehoïakim, fils de Josias, roi de Juda, cette parole vint de par l’Éternel, disant:
2 “Yahwe anasema hivi: Simama katika uwanja wa nyumba yangu na sema kuhusu miji yote ya Yuda ambao huja kuabudu katika nyumba yangu. Tangaza maneno yote niliyokuamuru kuyasema kwao. Usipunguze neno lolote!
Ainsi dit l’Éternel: Tiens-toi dans le parvis de la maison de l’Éternel, et dis à toutes les villes de Juda, qui viennent pour se prosterner dans la maison de l’Éternel, toutes les paroles que je t’ai commandé de leur dire; n’en retranche pas une parole.
3 Labda watasikiliza, kwamba kila mtu ataziacha njia zake mbaya, ili nighairi majanga ninayokusudia kuyaleta juu yao kwa sababu ya uovu wa matendo yao.
Peut-être qu’ils écouteront, et qu’ils reviendront chacun de sa mauvaise voie; et je me repentirai du mal que je pense à leur faire à cause de l’iniquité de leurs actions.
4 Kwa hiyo lazima useme kwao, 'Yahwe anasema hivi: Kama hamtanisikiliza ili mtembee katika sheria yangu ambayo nimeiweka mbele yenu—
Et tu leur diras: Ainsi dit l’Éternel: Si vous ne m’écoutez pas, pour marcher dans ma loi que j’ai mise devant vous,
5 kama hamsikilizi maneno ya watumishi wangu manabii ambao naendelea kuwatuma kwenu—lakini hamjasikiliza! —
pour écouter les paroles de mes serviteurs, les prophètes que je vous envoie, me levant de bonne heure et [les] envoyant, – mais vous ne les avez pas écoutés –
6 kisha nitaifanya nyumba hii kuwa kama Shilo; nitaifanya nyumba hii kuwa laana katika macho ya mataifa yote juu ya dunia.
je rendrai cette maison comme Silo, et je livrerai cette ville pour être une malédiction à toutes les nations de la terre.
7 Makuhani, manabii, na watu wote wakamsikia Yeremia akitangaza maneno haya katika nyumba ya Yahwe.
Et les sacrificateurs et les prophètes et tout le peuple entendirent Jérémie dire ces paroles dans la maison de l’Éternel.
8 Kwa hiyo ikatokea kwamba Yeremia alipomaliza kutangaza aliyokuwa Yahwe alimwwamuru kuyasema kwa watu wote, makuhani, manabii, na watu wote wakamsimamisha na kusema, “Hakika utakufa!
Et il arriva que, comme Jérémie achevait de dire tout ce que l’Éternel avait commandé de dire à tout le peuple, les sacrificateurs et les prophètes et tout le peuple le saisirent, disant: Tu mourras certainement!
9 Kwa nini umetabiri katika jina la Yahwe na kusema kwamba nyumba hii itakuwa kama Shilo na mji huu utakuwa ukiwa, pasipo wakaaji?” Kwa maana watu wote wameunda kundi dhidi ya nyumba ya Yeremia.
Pourquoi prophétises-tu au nom de l’Éternel, disant: Cette maison sera comme Silo, et cette ville sera désolée, de sorte qu’il n’y aura pas d’habitant? Et tout le peuple s’assembla contre Jérémie dans la maison de l’Éternel.
10 Kisha wakuu wa Yuda wakasikia maneno haya na wakapanda kutoka nyumba ya mfalme kwenda kwenye nyumba ya Yahwe. Wakakaa katika njia ya lango katika Lango Jipya la nyumba ya Yahwe.
Et les princes de Juda entendirent ces choses, et ils montèrent de la maison du roi à la maison de l’Éternel, et s’assirent dans l’entrée de la porte neuve de l’Éternel.
11 Makuhani na manabii wakasema kwa wakuu wa Yuda na kwa watu wote. Wakasema, “Ni haki kwa mtu huyu kufa, kwa maana ametabiri juu ya mji huu, kama mlivyosikia kwa masikio yenu!”
Et les sacrificateurs et les prophètes parlèrent aux princes et à tout le peuple, disant: Cet homme mérite la mort; car il a prophétisé contre cette ville, comme vous avez entendu de vos oreilles.
12 Kwa hiyo Yeremia akasema kwa wakuu wote na watu wote, “Yeremia amenituma kutabiri juu ya nyumb hii na mji wake, kusema maneno yote ambayo mmeyasikia.
Et Jérémie parla à tous les princes et à tout le peuple, disant: L’Éternel m’a envoyé pour prophétiser contre cette maison et contre cette ville toutes les paroles que vous avez entendues.
13 Kwa hiyo sasa, imarisheni njia zenu na matendo yenu, na sikilizeni sauti ya Yahwe Mungu wenu kwamba ataghairi kuhusu janga ambalo ametangaza dhidi yenu.
Et maintenant, amendez vos voies et vos actions, et écoutez la voix de l’Éternel, votre Dieu, et l’Éternel se repentira du mal qu’il a prononcé contre vous.
14 Mimi mwenyewe—niangalieni! —niko mikononi mwenu. Nitendeeni yaliyo mema na sahihi katika macho yenu.
Pour moi, me voici entre vos mains; faites-moi comme il est bon et droit à vos yeux.
15 Lakini kwa hakika lazima mjue kwamba kama mtaniua mimi, basi mnaiweka damu isiyo na hatia juu yenu wenyewe na juu ya mji huu na wakaaji wake, kwa maana Yahwe amenituma kweli kwenu ili nitangaze maneno yote kwa ajili ya masikio yenu.”
Seulement, sachez bien que, si vous me faites mourir, vous mettrez du sang innocent sur vous, et sur cette ville, et sur ses habitants; car en vérité l’Éternel m’a envoyé vers vous pour prononcer à vos oreilles toutes ces paroles.
16 Kisha wakuu na watu wote wakasema kwa makuhani na manabii, “Si vyema kwa mtu huyu kufa, kwa maana ametangaza mambo haya kwetu katika jina la Yahwe Mungu wetu.”
Et les princes et tout le peuple dirent aux sacrificateurs et aux prophètes: Cet homme ne mérite pas la mort; car il nous a parlé au nom de l’Éternel, notre Dieu.
17 Kisha watu kutoka wazee wa nchi wakasimama na kusema kwa kusanyiko lote la watu.
Et quelques hommes des anciens du pays se levèrent, et parlèrent à toute la congrégation du peuple, disant:
18 Wakasema, “Mikaya Mmorashi alikuwa akitabiri katika siku za Hezekia mfalme wa Yuda. Alinena kwa watu wote wa Yuda na kusema, 'Yahwe wa majeshi anasema hivi: Sayuni utalimwa kama shamba, Yerusalemu utakuwa lundo la magofu, na mlima wa hekalu utakuwa kilima kilichoota vichaka.' Hezekia mfalme wa Yuda na Yunda wote walimuua?
Michée, le Morashtite, prophétisait dans les jours d’Ézéchias, roi de Juda, et a parlé à tout le peuple de Juda, disant: Ainsi dit l’Éternel des armées: Sion sera labourée comme un champ, et Jérusalem sera des monceaux de pierres, et la montagne de la maison, les lieux hauts d’une forêt.
19 Hakumwogopa Yahwe na kuutaka radhi uso wa Yahwe ili kwamba Yahwe angeghairi kuhusu janga ambalo alilitangaza kwao? Kwa hiyo tutafanya maovu makubwa zaidi juu ya maisha yetu sisi wenyewe?”
Ézéchias, le roi de Juda, avec tout Juda, le fit-il donc mourir? Ne craignit-il pas l’Éternel, et n’implora-t-il pas l’Éternel, de sorte que l’Éternel se repentit du mal qu’il avait prononcé contre eux? Et nous ferions un grand mal contre nos âmes. –
20 Wakati huo huo palikuwa na mtu mwingine ambaye alitabiri katika jina la Yahwe—Uria mwan wa Shemaya kutoka Kiriath Yearimu—pia alitabiri juu ya mji na nchi hii, akikubaliana na maneno yote ya Yeremia.
Il y avait aussi un homme qui prophétisait au nom de l’Éternel, Urie, fils de Shemahia, de Kiriath-Jéarim; et il prophétisait contre cette ville et contre ce pays, selon toutes les paroles de Jérémie;
21 Lakini Mfalme Yohoyakimu na wanajeshi wake wote na watumishi wake wote waliposikia maneno yake, kisha mfalme alijaribu kumuua, lakini Uria alisikia na kuogopa, kwa hiyo alikimbia na akaenda Misiri
et le roi Jehoïakim, et tous ses hommes forts et tous les princes, entendirent ses paroles, et le roi chercha à le faire mourir; mais Urie l’apprit, et eut peur, et s’enfuit, et alla en Égypte.
22 Kisha mfalme Yehoyakimu alituma watu kwenda Misiri—Elnathani mwana wa Achbori na watu kwenda Misiri kumfuata Uria.
Et le roi Jehoïakim envoya des hommes en Égypte, Elnathan, fils d’Acbor, et des hommes avec lui, en Égypte;
23 Wakamtoa Uria nje kutoka Misiri na kumleta kwa Mfalme Yehoyakimu. Kisha Yehoyakimu akamuua kwa upanga na kumpeleka nje kwenye makaburi ya watu wa kawaida.
et ils firent sortir d’Égypte Urie, et l’amenèrent au roi Jehoïakim, et il le frappa avec l’épée, et jeta son cadavre dans les sépulcres des fils du peuple. –
24 Lakini mkno wa Ahikamu mwana wa Shapni alikuwa pamoja na Yeremia, hivyo hakutiwa mikonono mwa watu ili auawe.
Toutefois la main d’Akhikam, fils de Shaphan, fut avec Jérémie, afin qu’on ne le livre point aux mains du peuple pour le faire mourir.

< Yeremia 26 >