< Yeremia 26 >

1 Mwanzoni mwa utawala wake Yehoyakimu mwana wa Yosia, neno likaja kutoka kwa Yeremia, likisema,
In [the] beginning of [the] reign of Jehoiakim [the] son of Josiah [the] king of Judah it came the word this from with Yahweh saying.
2 “Yahwe anasema hivi: Simama katika uwanja wa nyumba yangu na sema kuhusu miji yote ya Yuda ambao huja kuabudu katika nyumba yangu. Tangaza maneno yote niliyokuamuru kuyasema kwao. Usipunguze neno lolote!
Thus - he said Yahweh stand in [the] court of [the] house of Yahweh and you will speak to all [the] cities of Judah who come to bow down [the] house of Yahweh all the words which I have commanded you to speak to them may not you hold back a word.
3 Labda watasikiliza, kwamba kila mtu ataziacha njia zake mbaya, ili nighairi majanga ninayokusudia kuyaleta juu yao kwa sababu ya uovu wa matendo yao.
Perhaps they will listen and they may turn back everyone from way his evil and I will repent concerning the calamity which I [am] planning to do to them because of [the] wickedness of deeds their.
4 Kwa hiyo lazima useme kwao, 'Yahwe anasema hivi: Kama hamtanisikiliza ili mtembee katika sheria yangu ambayo nimeiweka mbele yenu—
And you will say to them thus he says Yahweh if not you will listen to me to walk in law my which I have set before you.
5 kama hamsikilizi maneno ya watumishi wangu manabii ambao naendelea kuwatuma kwenu—lakini hamjasikiliza! —
To listen to [the] words of servants my the prophets whom I [have been] sending to you and rising early and sending and not you have listened.
6 kisha nitaifanya nyumba hii kuwa kama Shilo; nitaifanya nyumba hii kuwa laana katika macho ya mataifa yote juu ya dunia.
And I will make the house this like Shiloh and the city (this *Q(k)*) I will make into a curse for all [the] nations of the earth.
7 Makuhani, manabii, na watu wote wakamsikia Yeremia akitangaza maneno haya katika nyumba ya Yahwe.
And they heard the priests and the prophets and all the people Jeremiah speaking the words these in [the] house of Yahweh.
8 Kwa hiyo ikatokea kwamba Yeremia alipomaliza kutangaza aliyokuwa Yahwe alimwwamuru kuyasema kwa watu wote, makuhani, manabii, na watu wote wakamsimamisha na kusema, “Hakika utakufa!
And it was - when had finished Jeremiah to speak all that he had commanded Yahweh to speak to all the people and they seized him the priests and the prophets and all the people saying certainly you will die.
9 Kwa nini umetabiri katika jina la Yahwe na kusema kwamba nyumba hii itakuwa kama Shilo na mji huu utakuwa ukiwa, pasipo wakaaji?” Kwa maana watu wote wameunda kundi dhidi ya nyumba ya Yeremia.
Why? have you prophesied in [the] name of Yahweh saying like Shiloh it will be the house this and the city this it will be desolate from not inhabitant and it assembled all the people to Jeremiah in [the] house of Yahweh.
10 Kisha wakuu wa Yuda wakasikia maneno haya na wakapanda kutoka nyumba ya mfalme kwenda kwenye nyumba ya Yahwe. Wakakaa katika njia ya lango katika Lango Jipya la nyumba ya Yahwe.
And they heard - [the] officials of Judah the things these and they came up from [the] house of the king [the] house of Yahweh and they sat at [the] entrance of [the] gate of Yahweh new.
11 Makuhani na manabii wakasema kwa wakuu wa Yuda na kwa watu wote. Wakasema, “Ni haki kwa mtu huyu kufa, kwa maana ametabiri juu ya mji huu, kama mlivyosikia kwa masikio yenu!”
And they said the priests and the prophets to the officials and to all the people saying a sentence of death [belongs] to the man this for he has prophesied against the city this just as you have heard with own ears your.
12 Kwa hiyo Yeremia akasema kwa wakuu wote na watu wote, “Yeremia amenituma kutabiri juu ya nyumb hii na mji wake, kusema maneno yote ambayo mmeyasikia.
And he said Jeremiah to all the officials and to all the people saying Yahweh he sent me to prophesy against the house this and against the city this all the words which you have heard.
13 Kwa hiyo sasa, imarisheni njia zenu na matendo yenu, na sikilizeni sauti ya Yahwe Mungu wenu kwamba ataghairi kuhusu janga ambalo ametangaza dhidi yenu.
And therefore make good ways your and deeds your and listen to [the] voice of Yahweh God your so he may repent Yahweh concerning the calamity which he has spoken on you.
14 Mimi mwenyewe—niangalieni! —niko mikononi mwenu. Nitendeeni yaliyo mema na sahihi katika macho yenu.
And I here I [am] in hand your do to me according to the good and according to the right in view your.
15 Lakini kwa hakika lazima mjue kwamba kama mtaniua mimi, basi mnaiweka damu isiyo na hatia juu yenu wenyewe na juu ya mji huu na wakaaji wake, kwa maana Yahwe amenituma kweli kwenu ili nitangaze maneno yote kwa ajili ya masikio yenu.”
Only - certainly you will know that except [are] about to put to death you me for blood innocent you [are] about to put on yourselves and to the city this and to inhabitants its for in truth he has sent me Yahweh to you to speak in ears your all the words these.
16 Kisha wakuu na watu wote wakasema kwa makuhani na manabii, “Si vyema kwa mtu huyu kufa, kwa maana ametangaza mambo haya kwetu katika jina la Yahwe Mungu wetu.”
And they said the officials and all the people to the priests and to the prophets not [belongs] to the man this a sentence of death for in [the] name of Yahweh God our he has spoken to us.
17 Kisha watu kutoka wazee wa nchi wakasimama na kusema kwa kusanyiko lote la watu.
And they arose men from [the] elders of the land and they said to all [the] assembly of the people saying.
18 Wakasema, “Mikaya Mmorashi alikuwa akitabiri katika siku za Hezekia mfalme wa Yuda. Alinena kwa watu wote wa Yuda na kusema, 'Yahwe wa majeshi anasema hivi: Sayuni utalimwa kama shamba, Yerusalemu utakuwa lundo la magofu, na mlima wa hekalu utakuwa kilima kilichoota vichaka.' Hezekia mfalme wa Yuda na Yunda wote walimuua?
(Micah *Q(K)*) the Morasthite he was prophesying in [the] days of Hezekiah [the] king of Judah and he said to all [the] people of Judah saying thus he says - Yahweh of hosts Zion a field it will be plowed and Jerusalem heaps of ruins it will be and [the] mountain of the house high places of a forest.
19 Hakumwogopa Yahwe na kuutaka radhi uso wa Yahwe ili kwamba Yahwe angeghairi kuhusu janga ambalo alilitangaza kwao? Kwa hiyo tutafanya maovu makubwa zaidi juu ya maisha yetu sisi wenyewe?”
¿ Really did they put to death him Hezekiah [the] king of Judah and all Judah ¿ not was he fearing Yahweh and did he entreat [the] face of Yahweh and he repented Yahweh concerning the calamity which he had spoken on them and we [are] about to do an evil great on selves our.
20 Wakati huo huo palikuwa na mtu mwingine ambaye alitabiri katika jina la Yahwe—Uria mwan wa Shemaya kutoka Kiriath Yearimu—pia alitabiri juu ya mji na nchi hii, akikubaliana na maneno yote ya Yeremia.
And also a man he was prophesying in [the] name of Yahweh Uriah [the] son of Shemaiah from Kiriath Jearim and he prophesied on the city this and on the land this like all [the] words of Jeremiah.
21 Lakini Mfalme Yohoyakimu na wanajeshi wake wote na watumishi wake wote waliposikia maneno yake, kisha mfalme alijaribu kumuua, lakini Uria alisikia na kuogopa, kwa hiyo alikimbia na akaenda Misiri
And he heard the king Jehoiakim and all warriors his and all the officials words his and he sought the king to put to death him and he heard Uriah and he was afraid and he fled and he went Egypt.
22 Kisha mfalme Yehoyakimu alituma watu kwenda Misiri—Elnathani mwana wa Achbori na watu kwenda Misiri kumfuata Uria.
And he sent the king Jehoiakim men Egypt Elnathan [the] son of Achbor and men with him to Egypt.
23 Wakamtoa Uria nje kutoka Misiri na kumleta kwa Mfalme Yehoyakimu. Kisha Yehoyakimu akamuua kwa upanga na kumpeleka nje kwenye makaburi ya watu wa kawaida.
And they brought out Uriah from Egypt and they took him to the king Jehoiakim and he struck him with the sword and he threw corpse his to [the] graves of [the] sons of the people.
24 Lakini mkno wa Ahikamu mwana wa Shapni alikuwa pamoja na Yeremia, hivyo hakutiwa mikonono mwa watu ili auawe.
Nevertheless [the] hand of Ahikam [the] son of Shaphan it was with Jeremiah to not to give him in [the] hand of the people to put to death him.

< Yeremia 26 >