< Yeremia 25 >

1 Hili ndilo neno ambalo lilimjia Yeremia juu ya watu wote wa Yuda. Ikawa mwaka wa nne wa Yehoyakimu, mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda. Huo ndio mwaka wa kwanza wa Nebukadreza, mfalme wa Babeli.
Discours inspiré à Jérémie concernant tout le peuple de Juda, la quatrième année du règne de Joïakim, fils de Josias, roi de Juda, (correspondant à la première année de Nabuchodonosor, roi de Babylone);
2 Yeremia nabii aliwahubiria watu wote wa Yuda na wenyeji wote wa Yerusalemu.
que prononça Jérémie en présence de tout le peuple de Juda et de tous les habitants de Jérusalem en ces termes:
3 Akasema, “Kwa miaka ishirini na mitatu, tangu mwaka wa kumi na tatu wa Yosia mwana wa Amoni, mfalme wa Yuda mpaka leo, maneno ya Bwana yamekuja kwangu. Nimewahubiria ninyi. Nilikuwa na nia ya kutangaza, lakini hamkunisikiliza.
"Depuis la treizième année de Josias, fils d’Amon, roi de Juda, jusqu’à ce jour, voilà vingt-trois ans que la parole de l’Eternel m’est adressée, et je vous la redis chaque matin, sans relâche, et vous n’écoutez point.
4 Bwana akawapeleka watumishi wake wote manabii kwako. Walikuwa na nia ya kwenda, lakini hukusikiliza wala kutega masikio.
Et l’Eternel vous a envoyé tous ses serviteurs, les prophètes, sans fin ni trêve, et vous n’avez pas voulu entendre, et vous n’avez point prêté l’oreille pour écouter,
5 Manabaii hawa walisema, 'Kila mtu auache uovu wake na udhalimu wa matendo yake na kurudi kwenye nchi ambayo Yahwe aliitoa wakati wa zamanai kwa ajili ya babu zenu na ninyi, kama zawadi ya kudumu.
quand ils disaient: Abandonnez donc chacun votre mauvaise voie et vos mauvaises actions, et vous resterez dans le pays que Dieu vous a donné à vous et à vos ancêtres, d’éternité en éternité;
6 Kwa hiyo msiifuate miungu mingine ili kuiabudu au kuiinamia chini, na msimkasirishe kwa kazi ya mikono yenu ili kwamba awaumize.
ne marchez pas à la suite de divinités étrangères pour les servir et les adorer; ne soulevez pas ma colère par l’oeuvre de vos mains, pour que je n’aie pas à sévir contre vous.
7 Lakini hamkunisikiliza-hili ndilo tamko la Bwana-kwa hiyo umenikasirisha kwa kazi ya mikono yako ili kujidhuru nafsi zemu.
Mais vous ne m’avez pas écouté, dit l’Eternel, en vue de soulever ma colère par l’œuvre de vos mains, pour votre malheur.
8 Basi, Bwana wa majeshi asema hivi, 'Kwa kuwa hukusikiliza maneno yangu,
Par conséquent, voici ce que dit l’Eternel-Cebaot: Puisque vous n’avez pas écouté mes paroles,
9 tazama, nitaagiza amri ya kukusanya watu wote wa kaskazini- asema Bwana- na Nebukadreza, mtumishi wangu, mfalme wa Babeli, na kuwaleta juu ya nchi hii na wenyeji wake, na juu ya mataifa yote yaliyo karibu nawe. Kwa maana nitawaangamiza. Nitawageuza kuwa na hofu, kuwa kitu cha kuzomewa na ukiwa wa daima.
voici que j’envoie quérir toutes les tribus du Nord, dit l’Eternel, et, avec elles, Nabuchodonosor, roi de Babylone, mon serviteur, et je les amène contre ce pays et contre ses habitants, et contre tous les peuples à l’entour, et je les vouerai à l’anathème, et j’en ferai un sujet de stupeur et de dérision, un tas de ruines à perpétuité.
10 Sauti ya furaha na sherehe-sauti ya bwana arusi na bibi arusi, sauti ya mawe ya kusagia na mwanga wa taa-nitafanya mambo yote haya kutoweka kutoka kwa mataifa haya.
Et je ferai cesser parmi eux les cris de joie et les chants d’allégresse, la voix du fiancé et la voix de la fiancée, le bruit des meules et la lumière du flambeau;
11 Ndipo nchi hii yote itakuwa ukiwa na hofu, na mataifa haya watamtumikia mfalme wa Babeli kwa miaka sabini.
et tout ce pays deviendra une ruine et une solitude, et toutes ces nations seront asservies au roi de Babylone pendant soixante-dix ans.
12 Kisha miaka sabini itakapokamilika, nitamuadhibu mfalme wa Babeli na taifa hilo, nchi ya Wakaldayo-hili ndilo tamko la Bwana-kwa uovu wao na kuifanya kuwa ukiwa milele.
Mais quand les soixante-dix ans seront révolus, je châtierai pour leurs méfaits le roi de Babylone et ce peuple-là, dit l’Eternel, et le pays des Chaldéens: j’en ferai d’éternelles solitudes.
13 Nami nitaleta juu ya nchi hiyo maneno yote niliyosema, na kila kitu kilichoandikwa katika kitabu hiki ambacho Yeremia ametabiri juu ya mataifa yote.
J’Accomplirai à l’encontre de ce pays toutes les menaces que j’ai proférées contre lui, tout ce qui est écrit dans ce livre et qui a été prophétisé par Jérémie contre tous les peuples.
14 Kwa maana pia mataifa mengi na wafalme wakuu watapata watumwa kutoka mataifa haya. Nitawalipa kwa matendo yao na kazi za mikono yao.'”
Car ils seront asservis, eux aussi, par des nations puissantes et de grands rois, et je les paierai selon leur façon d’agir, selon l’oeuvre de leurs mains."
15 Kwa kuwa Bwana, Mungu wa Israeli, asema hivi, “Chukua kikombe hiki cha divai ya ghadhabu kutoka mkononi mwangu, ukawanyweshe mataifa yote niliyokutuma.
Oui, voici ce que m’a dit l’Eternel, Dieu d’Israël: "Prends de ma main cette coupe de vin, cette coupe de colère, et donne-la à boire à tous les peuples auprès desquels je t’envoie.
16 Kwa maana watakunywa na kisha watalewa na kufanya wazimu mbele ya upanga ambao nitaupeleka kati yao.”
Qu’ils boivent, qu’ils titubent et soient affolés, devant le glaive que j’envoie au milieu d’eux."
17 Basi, nikakichukua kikombe mkononi mwa Bwana, nikawanywesha mataifa yote ambayo Bwana alinituma:
Je pris la coupe de la main de l’Eternel, et la fis boire à tous les peuples auprès desquels l’Eternel m’avait envoyé,
18 Yerusalemu, miji ya Yuda, na wafalme wake, na wakuu wake, na kuwafanya kuwa ukiwa na kitu cha kutisha, na kuwa kitu cha kuzomewa na laana, kama ilivyo hata leo.
à Jérusalem, aux villes de Juda, à ses rois et à ses chefs, de façon à faire d’eux une ruine, un objet de consternation, de dérision et de malédiction, comme cela se voit aujourd’hui;
19 Mataifa mengine pia walipaswa kunywa: Farao mfalme wa Misri na watumishi wake; maafisa wake na watu wake wote;
à Pharaon, roi d’Egypte, à ses serviteurs, à ses grands et à tout son peuple;
20 watu wote wa urithi wa mchanganyiko na wafalme wote wa nchi ya Uzi; na wafalme wote wa nchi ya Wafilisti, na Ashkeloni, na Gaza, na Ekroni, na mabaki ya Ashdodi;
à tout ce ramassis de tribus, à tous les rois du pays d’Ouç, à tous les rois du pays des Philistins, à Ascalon, Gaza, Ekron et aux survivants d’Asdod;
21 Edomu na Moabu na wana wa Amoni.
à Edom, à Moab et aux enfants d’Ammon;
22 Wafalme wa Tiro na Sidoni, wafalme wa pwani ng'ambo ya pili ya bahari,
à tous les rois de Tyr, à tous les rois de Sidon et aux rois du littoral au delà de la mer;
23 Dedani, Tema, na Busi pamoja na wale wanyoao nywele zao upande wa pili wa vichwa vyao, pia walipaswa kukinywa.
à Dedan, à Tèmà, à Bouz et à tous ceux qui ont le menton rasé;
24 Watu hawa pia walitakiwa kukinywa; wafalme wote wa Uarabuni na wafalme wote wa watu wa asili mchanganyiko wanaoishi nyikani;
à tous les rois d’Arabie, à tous les rois des peuples mélangés qui habitent le désert;
25 wafalme wote wa Zimri, wafalme wote wa Elamu, na wafalme wote wa Wamedi;
à tous les rois de Zimri, à tous les rois d’Elam et à tous les rois de Médie;
26 wafalme wote wa kaskazini, wale wa karibu na wale wa mbali—kila mmoja na ndugu zake na falme zote za ulimwengu ambazo ziko chini ya uso wa dunia. Hatimaye mfalme wa Babeli atakunywa baada yao wote.
à tous les rois du Nord, proches ou éloignés les uns des autres, et à tous les royaumes de la terre qui occupent la surface du sol; puis le roi de Sésàc boira après eux.
27 Bwana akaniambia, “Basi, uwaambie, 'Bwana wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi kunywa na kulewa, kisha tapika, uanguke, wala usisimame mbele ya upanga nitakaoutuma kati yenu.'
Et tu leur diras: "Ainsi parle l’Eternel-Cebaot, Dieu d’Israël: Buvez et enivrez-vous, et vomissez, et tombez pour ne plus vous relever, devant l’épée que j’envoie parmi vous."
28 Kisha itatokea kwamba ikiwa wanakataa kuchukua kikombe mkononi mwako ili kunywa, utawaambia, 'Bwana wa majeshi asema hii lazima mnywe.
Que s’ils refusent de prendre la coupe de ta main pour boire, tu leur diras: "Ainsi parle l’Eternel-Cebaot: Il faut que vous buviez.
29 Kwa maana, tazama, nitaleta janga juu ya mji ulioitwa kwa jina langu, je ninyi mtaachiliwa msiadhibiwe? Hutakuwa huru, kwa maana nitaita upanga juu ya wenyeji wote wa nchi! - ndilo tamko la Bwana wa majeshi.'
Quoi! c’est par la ville qui porte mon nom que je commence à sévir, et vous, vous resteriez entièrement indemnes! Non, vous ne resterez pas indemnes; car je fais appel au glaive contre tous les habitants de la terre, dit l’Eternel-Cebaot."
30 Basi wewe mwenyewe, Yeremia, tabiri kwao maneno haya yote. Uwaambie, 'Bwana atanguruma kutoka juu, naye atapaza sauti yake toka makao yake matakatifu, na radi kutoka mahali pake patakatifu; naye atapiga kelele kama wale wakanyagao zabibu dhidi ya wote wanaoishi duniani.
Toi donc prophétise-leur tous ces événements, dis-leur: "L’Eternel rugit du haut de l’Empyrée, du fond de sa demeure sainte il fait retentir sa voix; il pousse de violents rugissements contre le lieu de sa résidence, tel que les fouleurs au pressoir, il lance des clameurs contre tous les habitants de la terre.
31 Kelele huja mpaka mwisho wa nchi, kwa sababu mgogoro kutoka kwa Bwana utaleta mashtaka dhidi ya mataifa. Ataleta haki kwa wote wenye mwili. Yeye atawatia waovu katika upanga-hili ndi'o tamko la Bwana.'
Le fracas ira jusqu’au bout de la terre, car l’Eternel prend à partie les nations, il entre en jugement contre toute chair; les méchants, il les livre à l’épée; telle est la parole de l’Eternel."
32 Bwana wa majeshi asema hivi, 'Tazameni, taabu itatokea toka kwa taifa hadi taifa, na dhoruba kubwa itatokea toka pande za mwisho za dunia.
Ainsi parle l’Eternel-Cebaot: "Une calamité va passer de nation à nation, un ouragan terrible surgit des confins du monde.
33 Kisha wale waliouawa na Bwana watakuja kutoka upande mmoja wa dunia hadi mwingine; hawataomboleza, kukusanyika, au kuzikwa. Watakuwa kama samadi chini.
Les cadavres de ceux que Dieu aura frappés seront couchés en ce jour d’un bout de la terre à l’autre; ils ne seront ni pleurés ni recueillis, ni ensevelis, ils seront du fumier sur la surface du sol.
34 Pigeni Yowe, wachungaji, na pigeni kelele ya kuomba msaada! Gaagaa katika ardhi, enyi mlio hodari katika kundi. Kwa kuwa siku yako ya kuuawa na kutawanywa imekuja. Utaanguka kama kondoo waliochaguliwa.
Lamentez-vous, ô bergers, et poussez des cris, roulez-vous dans la poussière, conducteurs du troupeau! Car l’heure est venue pour vous du massacre; disséminés de tout côté, vous tomberez comme un vase de prix.
35 Wachungaji hawatakuwa na pa kukimbilia. Hakuna kutoroka kwa watu walio hodari katika kundi.
Plus de refuge pour les bergers, plus de moyen de salut pour les conducteurs du troupeau.
36 Kuna mlio wa wasiwasi wa wachungaji na milio ya kulalama kwa watu walio hodari katika kundi, kwa kuwa Yahweh anayaharibu malisho yao.
On entend les cris tumultueux des bergers, les lamentations des conducteurs du troupeau; car l’Eternel a dévasté leur pâturage,
37 Kwa hiyo, malisho ya amani yataharibiwa kwa sababu ya hasira ya Bwana.
et les prairies paisibles sont désolées devant l’ardente colère de l’Eternel.
38 Kama simba, ameacha shimo lake, kwa kuwa ardhi yao itakuwa kitu cha kushangaza kwa sababu ya hasira ya muonevu, kwa sababu ya ghadhabu yake kali'”
Il est parti, tel le lion abandonnant son fourré, parce que leur pays est devenu une solitude par la violence de l’épée destructrice et la fureur de son ressentiment."

< Yeremia 25 >