< Yeremia 24 >
1 Bwana alinionyeshea kitu. Tazama, vikapu viwili vya tini viliwekwa mbele ya hekalu la Bwana. (Maono haya yalitokea baada ya Nebukadreza, mfalme wa Babeli, kumchukua mateka Yekonia mwana wa Yehoyakimu, mfalme wa Yuda, maofisa wa Yuda, mafundi na wafua vyuma kutoka Yerusalemu na kuwapeleka Babeli.)
Pokaza mi Gospod, i gle, dvije kotarice smokava namještene pred crkvom Gospodnjom, pošto Navuhodonosor car Vavilonski zarobi Jehoniju sina Joakimova cara Judina, i knezove Judine, i drvodjelje i kovaèe iz Jerusalima i odvede ih u Vavilon.
2 Kikapu kimoja cha tini kilikuwa nzuri sana, kama tini za kwanza zilizoiva, lakini kikapu kingine cha tini zilizokuwa mbaya sana zisizoweza kuliwa.
U jednoj kotarici bijahu smokve vrlo dobre, kake bijahu rane smokve, a u drugoj kotarici bijahu vrlo rðave smokve, koje se ne mogahu jesti, tako bijahu rðave.
3 Bwana akaniambia, “Unaona nini Yeremia?” Nikasema, “Tini. Tini ambazo ni nzuri sana na tini ambazo ni mbaya sana haziwezi kuliwa.”
I reèe mi Gospod: šta vidiš, Jeremija? A ja rekoh: smokve, jedne dobre smokve, vrlo dobre, a druge rðave, vrlo rðave, koje se ne mogu jesti, tako su rðave.
4 Ndipo neno la Bwana likanijia, kusema,
I doðe mi rijeè Gospodnja govoreæi:
5 “Bwana, Mungu wa Israeli, asema hivi: nitawaangalia mateka wa Yuda kwa manufaa yao, kama vile tini hizi nzuri, nilipowatoa mateka kutoka hapa mpaka nchi ya Wakaldayo.
Ovako veli Gospod Bog Izrailjev: kake su te smokve dobre, tako æe mi biti dobra radi roblje Judino, koje odaslah iz ovoga mjesta u zemlju Haldejsku.
6 Nitaweka macho yangu kwao wapate mema na kuwarejeshea nchi hii. Nitawajenga, wala sitawaangamiza.
I obratiæu oèi svoje na njih dobra radi, i dovešæu ih opet u ovu zemlju, i sazidaæu ih i neæu ih razoriti, i nasadiæu ih i neæu ih poèupati.
7 Nitawapanda, wala sitawang'oa. Ndipo nitawapa moyo wa kunijua; kwa kuwa mimi ndimi Bwana. Watakuwa watu wangu na mimi nitakuwa Mungu wao, hivyo watanirudia kwa moyo wao yote.
Jer æu im dati srce da me poznadu da sam ja Gospod, i biæe mi narod i ja æu im biti Bog, jer æe se obratiti k meni svijem srcem svojim.
8 Lakini kama vile tini mbaya ambazo ni hazifai kuliwa - asema Bwana - nitatenda hivi kwa Sedekia, mfalme wa Yuda, pamoja na viongozi wake, na pamoja na wengine wa Yerusalemu ambao wanabaki katika nchi hii au kwenda kukaa katika nchi ya Misri.
A kake su te rðave smokve da se ne mogu jesti, kako su rðave, takim æu, veli Gospod, uèiniti Sedekiju cara Judina i knezove njegove i ostatak Jerusalimljana koji ostaše u ovoj zemlji i koji žive u zemlji Misirskoj.
9 Nitawafanya kuwa kitu cha kutisha, wapate maafa, mbele ya falme zote duniani, aibu na somo kwa mithali, matusi, na laana mahali pote nitakapowafukuza.
Uèiniæu da se potucaju po svijem carstvima zemaljskim na zlo, da budu sramota i prièa i rug i uklin po svijem mjestima, kuda ih raždenem.
10 Nitatuma upanga, njaa, na tauni dhidi yao watapotelea mbali kutoka kwenye nchi niliyowapa wao na baba zao.”
I poslaæu na njih maè, glad i pomor, dokle se ne istrijebe sa zemlje, koju sam dao njima i ocima njihovijem.