< Yeremia 23 >

1 “Ole wao wachungaji ambao huangamiza na kuwatawanya kondoo wa malisho yangu-hii ndiyo ahadi ya Bwana.”
»›Gorje pastirjem, ki uničujejo in razganjajo ovce mojega pašnika!‹ govori Gospod.
2 Kwa hiyo, Bwana, Mungu wa Israeli, asema hivi juu ya wachungaji ambao wanawachunga watu wake, “Ninyi mnawatawanya kundi langu na kuwafukuza. Hamuwajali hata kidogo. Tambueni hili! Mimi nitawalipiza uovu wa matendo yenu-hili ni tamko la Bwana.
Zato tako govori Gospod, Izraelov Bog, zoper pastirje, ki pasejo moje ljudstvo: ›Razkropili ste moj trop in jih odgnali proč in jih niste obiskovali. Glejte, na vas bom obiskal zlo vaših dejanj, ‹ govori Gospod.
3 Mimi mwenyewe nitakusanya mabaki ya kondoo wangu kutoka nchi zote nilizowafukuza, nami nitawarejesha kwenye eneo la malisho, ambako watazaa na kuongezeka.
Zbral bom preostanek svojega tropa iz vseh dežel, kamor sem jih pognal in ponovno jih bom privedel k njihovim stajam; in bodo plodne in se množile.
4 Ndipo nitawainua wachungaji juu yao ambao watawachunga hivyo hawataogopa tena au kupotezwa. Hakuna hata mmoja atakayepotea-hili ni tamko la Bwana.
Postavil bom pastirje nad njimi, ki jih bodo pasli, in ne bodo se več bale niti bile prestrašene niti ne bodo trpele pomanjkanja, ‹ govori Gospod.
5 Angalia, siku zinakuja-hili ndilo tamko la Bwana-nitakapomuinulia Daudi tawi la haki. Atatawala kama mfalme; atatenda kwa busara na kusababisha hukumu na haki katika nchi.
›Glej, prihajajo dnevi, ‹ govori Gospod ›ko bom Davidu vzdignil pravično Mladiko in Kralj bo vladal in uspeval in na zemlji bo izvajal sodbo in pravico.
6 Katika siku zake Yuda ataokolewa, na Israeli wataishi kwa usalama. Na jina lake atakayeitwa Bwana ni haki yetu.
V njegovih dneh bo Juda rešen in Izrael bo varno prebival. To je njegovo ime, s katerim bo imenovan: GOSPOD, NAŠA PRAVIČNOST.
7 Kwa hiyo, tazama, siku zinakuja-hili ndilo tamko la Bwana-hawatasema tena, 'Kama Bwana aishivyo, aliyewatoa wana wa Israeli kutoka nchi ya Misri.'
Zato, glejte, prihajajo dnevi, ‹ govori Gospod, ›ko ne bodo več rekli: › Gospod živi, ki je Izraelove otroke privedel gor iz egiptovske dežele, ‹
8 Badala yake watasema, 'Kama Bwana aishivyo, ambaye aliwaleta na ambaye aliwaongoza wana wa nyumba ya Israeli kutoka nchi ya kaskazini na nchi zote walizofukuzwa.' Nao watakaa katika nchi yao wenyewe.”
temveč › Gospod živi, ki jih je privedel gor in ki je vodil seme Izraelove hiše iz severne dežele in iz vseh dežel, kamor sem jih pognal; in prebivali bodo v svoji lastni deželi.‹«
9 Kuhusu manabii, moyo wangu umevunjika ndani yangu, na mifupa yangu yote imetetemeka. Nimekuwa kama mlevi, kama mtu ambaye ameshindwa na divai, kwa sababu ya Bwana na maneno yake matakatifu.
Moje srce znotraj mene je zlomljeno zaradi prerokov, vse moje kosti se tresejo. Podoben sem pijanemu človeku in podoben človeku, ki ga je vino premagalo, zaradi Gospoda in zaradi besed njegove svetosti.
10 Kwa maana nchi imejaa wazinzi. Kwa sababu ya hayo nchi imeuka. Milima katika jangwa imekauka. Njia hizi za manabii ni mbaya; nguvu zao hazitumiwi kwa namna sahihi.
»Kajti dežela je polna zakonolomcev, kajti zaradi priseganja dežela žaluje. Prijetni kraji divjine so se posušili in njihova smer je zlo in njihova moč ni prava.
11 Kwa maana manabii na makuhani wote wamekufuru. Nimeona uovu wao ndani ya nyumba yangu! - hili ndilo tamko la Bwana;
Kajti tako prerok kakor duhovnik sta oskrunjena; da, v svoji hiši sem našel njuno zlobnost, « govori Gospod.
12 kwa hiyo njia yao itakuwa kama mahali pa kupumzika katika giza. Watasukumwa chini. Wao wataanguka ndani yake. Kwa maana nitawatuma mabaya juu yao katika mwaka wa adhabu yao; hili ndilo tamko la Bwana.
Zato jim bo njihova pot kakor spolzke poti v temi, pognani bodo naprej in padli na njej, kajti zlo bom privedel nadnje, celó leto njihovega obiskanja, « govori Gospod.
13 kwa maana nimeona uchungu kati ya manabii huko Samaria. Walitabiri kwa Baali na wakawaongoza watu wangu Israeli kwenye njia sahihi.
Videl sem nespametnost pri samarijskih prerokih. Prerokovali so pri Báalu in mojemu ljudstvu Izraelu povzročili, da zaide na kriva pota.
14 Na miongoni mwa manabii huko Yerusalemu nimeona mambo ya kutisha: wanafanya uzinzi na huenda kwa udanganyifu. Wanaimarisha mikono ya waovu; hakuna mtu anarejea na kuacha uovu wake. Wote wamekuwa kama Sodoma kwangu na wenyeji wake kama Gomora!”
Tudi pri jeruzalemskih prerokih sem videl strašno stvar: zagrešujejo zakonolomstvo in hodijo v lažeh. Prav tako krepijo roke hudodelcem, da se nihče ne vrne od svoje zlobnosti. Vsi so mi kakor Sódoma in njeni prebivalci kakor Gomóra.«
15 Kwa hiyo, Bwana wa majeshi asema hivi juu ya manabii, “Tazameni, nitawafanya wale magugu na kunywa maji yenye sumu, kwa maana kufuru imetoka kwa manabii wa Yerusalemu na kuingia katika nchi yote.”
Zato tako govori Gospod nad bojevniki glede prerokov: »Glej, hranil jih bom s pelinom in jih pripravil piti vodo iz žolča, kajti od jeruzalemskih prerokov je izšla oskrunjenost po vsej deželi.«
16 Bwana wa majeshi asema hivi, “Usisikilize maneno ya manabii wanaokuhubiri. Wamekudanganya! Wanatangaza maono kutoka kwenye mawazo yao wenyewe, si kwa kinywa cha Bwana.
Tako govori Gospod nad bojevniki: »Ne poslušajte besed prerokov, ki vam prerokujejo. Delajo vas domišljave, govorijo videnje iz svojega lastnega srca in ne iz Gospodovih ust.
17 Wanasema daima kwa wale wanaonidharau mimi, 'Bwana asema kutakuwa na amani kwako.' Na kila mtu anayetembea katika ukaidi wa moyo wake anasema, 'mabaya hayatakuja kwenu.'
Tem, ki me prezirajo, nenehno pravijo: ›GOSPOD je rekel: ›Imeli boste mir; ‹‹ in vsakomur, ki hodi po zamisli svojega lastnega srca, pravijo: ›Nobeno zlo ne bo prišlo nad vas.«
18 Lakini nani amesimama katika mkutano wa baraza la Bwana? Ni nani anayeona na kusikia neno lake? Ni nani anayezingatia maneno yake na kusikiliza?
Kajti kdo je stal na posvetovanju pri Gospodu in zaznal ter slišal njegovo besedo? Kdo je opazil njegovo besedo in jo slišal?
19 Tazama, kuna dhoruba inayotoka kwa Bwana! Hasira yake inatoka, na dhoruba inazunguka. Inazunguka vichwa vya waovu.
Glej, vrtinčast veter od Gospoda je v razjarjenosti šel naprej, celo bridek vrtinčast veter; ta bo bridko padel na glavo zlobnih.
20 Hasira za Bwana hazitarejea mpaka zitakapotimiza nia ya moyo wake. Katika siku za mwisho, utaelewa.
Jeza od Gospoda se ne bo vrnila, dokler ne izvrši in dokler ne izvede misli njegovega srca. V zadnjih dneh boste to popolno preudarili.
21 Sikuwatuma manabii hawa. Wao tu walionekana. Sikuwahubiri jambo lolote kwao, lakini bado wanatabiri.
Teh prerokov nisem pošiljal, vendar tečejo; nisem jim govoril, vendar so prerokovali.
22 Kwa kuwa kama walisimama katika mkutano wangu wa baraza, wangeweza kuwasababisha watu wangu kusikia neno langu; wangewafanya wapate kuacha maneno yao mabaya na mazoea mabaya.
Toda če bi stali na mojem posvetu in storili mojemu ljudstvu, da sliši moje besede, potem bi jih obrnili iz njihovih zlih poti in od zla njihovih početij.
23 Mimi ni Mungu aliye karibu-hili ni tamko la Bwana-mimi sio Mungu aliye mbali?
Ali sem jaz Bog pri roki, « govori Gospod »in ne Bog daleč proč?
24 Je, kuna mtu yeyote anayejificha mahali penye siri ili nisiweze kumwona? -Hili ndilo tamko la Bwana-Je mbingu na nchi hazikujawa nami? -hili Ndilo tamko la Bwana.
Ali se lahko kdo skrije na skrivnih krajih, da bi ga jaz ne videl?« govori Gospod. »Mar ne napolnjujem neba in zemlje?« govori Gospod.
25 Nimesikia yale waliyosema manabii, wale waliokuwa wanatabiri uongo kwa jina langu. Wakisema, 'Nilikuwa na ndoto!
»Slišal sem kaj so rekli preroki, ki v mojem imenu prerokujejo laži, rekoč: ›Sanjalo se mi je, sanjalo se mi je.‹
26 Nilikuwa na ndoto!' Je, hii itaendelea mpaka lini, manabii wanaotabiri uongo kutoka kwa akili zao, na wanasema nini kutokana na udanganyifu mioyoni mwao?
Doklej bo to v srcu prerokov, ki prerokujejo laži? Da, oni so preroki prevare svojega lastnega srca;
27 Wana mpango wa kuwafanya watu wangu kusahau jina langu kwa ndoto ambazo wanazoripoti, kila mmoja kwa jirani yake, kama vile babu zao walivyosahau jina langu kwa ajili ya jina la Baali.
ki mislijo, da bi mojemu ljudstvu povzročili, da pozabi moje ime s svojimi sanjami, ki jih oni govorijo vsak mož svojemu sosedu, kakor so njihovi očetje pozabili moje ime zaradi Báala.
28 Nabii aliye na ndoto, aseme ndoto hiyo. Lakini yule ambaye nimemwambia kitu fulani, basi aseme neno langu kwa kweli. Je, majani yanahusiana na nafaka? - hili ni tamko la Bwana-
Prerok, ki ima sanje, naj ta pripoveduje sanje in kdor ima mojo besedo, naj zvesto govori mojo besedo. Kaj je plevel v primerjavi s pšenico?« govori Gospod.
29 Na neno langu si kama moto? -Hili ni tamko la Bwana-na kama mwamba wenye kupiga nyundo?
» Mar ni moja beseda kakor ogenj?« govori Gospod, »in kakor kladivo, ki razbija skalo na koščke?
30 Tazameni, ninapingana na nabii-hii ndiyo ahadi ya Bwana-yeyote anayeiba maneno kutoka kwa mtu mwingine na anasema yanatoka kwangu.
Zato glej, jaz sem zoper preroke, « govori Gospod, »ki kradejo moje besede, vsakdo od svojega soseda.
31 Tazama, ninapingana na manabii-hili ndilo tamko la Bwana-ambao hutumia lugha zao kutabiri maneno.
Glej, jaz sem zoper preroke, « govori Gospod, »ki uporabljajo svoje jezike in govorijo: ›On pravi.‹
32 Tazameni, ninapingana na manabii wanaoota ndoto-hii ndiyo ahadi ya Bwana-na kisha kuwahubiri na kwa njia hii kuwadanganya watu wangu kwa udanganyifu wao na kujivunia. Mimi ni juu yao, kwa kuwa sikuwatuma wala kuwapa amri. Kwa hivyo hawatawasaidia watu hawa - hili ndilo tamko la Bwana.
Glej, jaz sem zoper tiste, ki prerokujejo lažne sanje, « govori Gospod » in jih pripovedujejo in mojemu ljudstvu povzročajo, da s svojimi lažmi in s svojo lahkomiselnostjo zaide s svojih poti, vendar jih nisem jaz poslal niti jim zapovedal, zato sploh ne bodo koristili temu ljudstvu, « govori Gospod.
33 Watu hawa au nabii au kuhani wakakuuliza, 'Je, ni nini tamko la Bwana?' basi lazima uwaambie, 'Ni tamko gani? Kwa maana nimekuacha wewe-hili ndilo tamko la Bwana.
»In ko te bo to ljudstvo ali prerok ali duhovnik, vprašalo, rekoč: ›Kaj je breme od Gospoda?‹ jim boš potem rekel: ›Kakšno breme? Jaz vas bom celo zapustil, ‹« govori Gospod.
34 Kwa habari ya manabii, makuhani, na watu wanaosema, 'Hili ndilo tamko la Bwana,' nitamuadhibu mtu huyo na nyumba yake.
»In kar se tiče preroka, duhovnika in ljudstva, ki bodo rekli: ›Breme od Gospoda, ‹ jaz bom celo kaznoval tistega moža in njegovo hišo.
35 Endelea kusema, kila mtu kwa jirani yake na kila mtu kwa ndugu yake, 'Bwana alijibu nini?' na 'Bwana alitangaza nini?'
Tako boste govorili vsak svojemu sosedu in vsak svojemu bratu: ›Kaj je Gospod odgovoril?‹ in ›Kaj je Gospod govoril?‹
36 Lakini usizungumze tena juu ya tamko la Bwana, kwa kuwa kila tamko kutoka kwa kila mtu limekuwa ujumbe wake mwenyewe, na umepotosha maneno ya Mungu aliye hai, Bwana wa majeshi, Mungu wetu.
Gospodovega bremena pa ne boste več omenjali, kajti vsakogar beseda bo njegovo breme, kajti sprevračali ste besede živega Boga, Gospoda nad bojevniki, našega Boga.
37 Utamuuliza nabii hivi, 'Bwana alikujibu nini? Je, Bwana alisema nini? Kisha unasema tamko kutoka kwa Bwana;
Tako boš govoril preroku: ›Kaj ti je Gospod odgovoril?‹ in ›Kaj je rekel Gospod?‹
38 lakini Bwana asema hivi, Sema hivi, “Hili ni tamko la Bwana” ingawa nimekuagiza na kusema, “Usiseme: Hili ni tamko kutoka kwa Bwana.”
Toda ker pravite: ›Breme od Gospoda; ‹« zato tako govori Gospod, »Ker pravite to besedo: ›Breme od Gospoda ‹ in sem jaz poslal k vam, rekoč: ›Ne boste rekli: ›Breme od Gospoda; ‹‹
39 Kwa hiyo, angalia, nitawachukua na kukutupa mbali na mimi, pamoja na jiji ambalo nilikupa wewe na baba zako.
zato glejte, jaz, celo jaz, vas bom popolnoma pozabil in zapustil vas in mesto, ki sem ga dal vam in vašim očetom in vas vrgel iz svoje prisotnosti,
40 Ndipo nitaweka aibu ya milele na fedheha juu yenu ambayo haitasahauliwa.'”
in nad vas bom privedel večno grajo in neprestano sramoto, ki ne bo pozabljena.«

< Yeremia 23 >