< Yeremia 22 >

1 Bwana asema hivi, “Nenda kwenye nyumba ya mfalme wa Yuda, utangaze neno hili huko.
خداوند چنین گفت: «به خانه پادشاه یهودا فرود آی و در آنجا به این کلام متکلم شو۱
2 Ukaseme, 'Ewe Mfalme wa Yuda, wewe aliyeketi kiti cha Daudi, usikilize neno la Bwana. Nisikilizeni, enyi watumishi wake, na ninyi, watu wake mnaokuja kwa malango haya.
و بگو: ای پادشاه یهودا که بر کرسی داود نشسته‌ای، تو و بندگانت و قومت که به این دروازه‌ها داخل می‌شوید کلام خداوند را بشنوید:۲
3 Bwana asema hivi, “Fanya haki na uadilifu, na mtu yeyote ambaye ameibiwa-muokoeni kutoka mkononi mwa mshindani. Usimtendee mabaya mgeni yeyote katika nchi yako, au yatima au mjane. Usifanye vurugu au kumwaga damu isiyo na hatia mahali hapa.
خداوند چنین می‌گوید: انصاف وعدالت را اجرا دارید و مغصوبان را از دست ظالمان برهانید و بر غربا و یتیمان و بیوه‌زنان ستم و جور منمایید و خون بی‌گناهان را در این مکان مریزید.۳
4 Kwa kuwa mkifanya mambo hayo, basi wafalme wanaoketi kiti cha Daudi wataingia milango ya nyumba hii wakiendesha gari na farasi, yeye, watumishi wake, na watu wake!
زیرا اگر این کار را بجا آورید هماناپادشاهانی که بر کرسی داود بنشینند، ازدروازه های این خانه داخل خواهند شد و هر یک با بندگان و قوم خود بر ارابه‌ها و اسبان سوارخواهند گردید.۴
5 Lakini ikiwa hamsikilizi maneno haya kutoka kwangu ambayo nimeyasema-hili ndilo tamko la Bwana-basi nyumba hii ya kifalme itaharibiwa.'”
اما اگر این سخنان را نشنویدخداوند می‌گوید که به ذات خود قسم خوردم که این خانه خراب خواهد شد.۵
6 Kwa maana Bwana asema hivi juu ya nyumba ya mfalme wa Yuda, “Wewe uko kama Gileadi, au kama kilele cha Lebanoni kwangu. Hata hivyo nitakugeuza kuwa jangwa, katika miji isiyo na wenyeji.
زیرا خداونددرباره خاندان پادشاه یهودا چنین می‌گوید: اگرچه تو نزد من جلعاد و قله لبنان می‌باشی لیکن من تو را به بیابان و شهرهای غیرمسکون مبدل خواهم ساخت.۶
7 Kwa kuwa nimewaagiza waharibifu kuja juu yenu! Watu wenye silaha zao watakata mierezi yako iliyo bora na kuiacha kuanguka kwenye moto.
و بر تو خراب کنندگان که هریک با آلاتش باشد معین می‌کنم و ایشان بهترین سروهای آزاد تو را قطع نموده، به آتش خواهندافکند.۷
8 Kisha mataifa mengi yatapita kwenye mji huu. Kila mtu atamwambia yule anayefuata, “Mbona Bwana amefanya hivi kwa jiji hili kuu?”
و امت های بسیار چون از این شهر عبورنمایند به یکدیگر خواهند گفت که خداوند به این شهر عظیم چرا چنین کرده است.۸
9 Na mwingine atajibu, “Kwa sababu waliiacha agano la Bwana, Mungu wao, wakainama kwa miungu mingine, wakaiabudu.”
و جواب خواهند داد از این سبب که عهد یهوه خدای خودرا ترک کردند و خدایان غیر را سجده و عبادت نمودند.۹
10 Usilie kwa ajili ya aliyekufa. Usiomboleze kwa ajili yake. Lakini mlilie mtu yeyote anayeingia kifungoni, kwa maana hatarudi tena kuiona nchi aliyozaliwa.'
«برای مرده گریه منمایید و برای او ماتم مگیرید. زارزار بگریید برای او که می‌رود زیرا که دیگر مراجعت نخواهد کرد و زمین مولد خویش را نخواهد دید.۱۰
11 Maana Bwana asema hivi juu ya Yehoahazi, mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, aliyekuwa mfalme badala ya Yosia babaye, 'ametoka mahali hapa, wala hatarudi.
زیرا خداوند درباره شلوم بن یوشیا پادشاه یهودا که بجای پدر خود یوشیاپادشاه شده و از این مکان بیرون رفته است چنین می گوید که دیگر به اینجا برنخواهد گشت.۱۱
12 Atakufa huko mahali ambapo walimchukua mateka, na hataiona tena nchi hii.'
بلکه در مکانی که او را به اسیری برده اندخواهد مرد و این زمین را باز نخواهد دید.۱۲
13 Ole mtu yeyote anayejenga nyumba yake kwa uovu na vyumba vyake vya juu katika udhalimu; ambao wengine hufanya kazi, lakini hawalipwi.
«وای بر آن کسی‌که خانه خود را به بی‌انصافی و کوشکهای خویش را به ناحق بنامی کند که از همسایه خود مجان خدمت می‌گیردو مزدش را به او نمی دهد.۱۳
14 Ole mtu yeyote atakayesema, 'Nitajenga nyumba ndefu na vyumba vya juu vipana, na hujenga madirisha mapana, na kuta zenye mwerezi, na huipaka rangi nyekundu.'
که می‌گوید خانه وسیع و اطاقهای مروح برای خود بنا می‌کنم وپنجره‌ها برای خویشتن می‌شکافد و (سقف ) آن را از سرو آزاد می‌پوشاند و با شنجرف رنگ می‌کند.۱۴
15 Je, hii ndiyo inakufanya uwe mfalme mzuri, kwamba unataka kuwa na mbao za mwerezi? Je baba yako hakula na kunywa, lakini lakini alifanya hukumu na haki? Kisha mambo yakawa mazuri kwa ajili yake.
آیا از این جهت که با سروهای آزادمکارمت می‌نمایی، سلطنت خواهی کرد؟ آیاپدرت اکل وشرب نمی نمود و انصاف و عدالت رابجا نمی آورد، آنگاه برایش سعادتمندی می‌بود؟۱۵
16 Alihukumu maneno ya masikini na mhitaji. Ilikuwa vizuri. Je, huku siko kunijua mimi? - hili ni tamko la Bwana.
فقیر و مسکین را دادرسی می‌نمود، آنگاه سعادتمندی می‌شد. مگر شناختن من این نیست؟ خداوند می‌گوید:۱۶
17 Lakini hakuna kitu machoni na moyoni mwako isipokuwa wasiwasi kwa faida yako isiyo ya haki na kwa kumwaga damu isiyo na hatia, kwa ukandamizaji kuwatendea jeuri wengine.
اما چشمان و دل تو نیست جز برای حرص خودت و برای ریختن خون بی‌گناهان و برای ظلم و ستم تا آنها را بجا آوری.۱۷
18 Kwa hiyo Bwana asema hivi juu ya Yehoyakimu, mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda. Hawatamwomboleza wakisema 'ole, ndugu yangu! au 'Ole, dada yangu!' Hawataomboleza kwa kusema 'Ole, bwana! ' au 'ole, utukufu!'
بنابراین خداوند درباره یهویاقیم بن یوشیاپادشاه یهودا چنین می‌گوید: که برایش ماتم نخواهند گرفت و نخواهند گفت: آه‌ای برادر من یا آه‌ای خواهر و نوحه نخواهند کرد و نخواهندگفت: آه‌ای آقا یا آه‌ای جلال وی.۱۸
19 Atazikwa maziko ya punda, ataburuzwa mbali na kutupwa nje ya milango ya Yerusalemu.
کشیده شده و بیرون از دروازه های اورشلیم بجای دورانداخته شده به دفن الاغ مدفون خواهد گردید.۱۹
20 Panda milima ya Lebanoni piga kelele. Paza sauti yako Bashani. Piga kelele kutoka kwenye milima ya Abarimu, kwa maana marafiki zako wote wataharibiwa.
«به فراز لبنان برآمده، فریاد برآور و آوازخود را در باشان بلندکن. و از عباریم فریاد کن زیرا که جمیع دوستانت تلف شده‌اند.۲۰
21 Nilinena nawe wakati ulioko salama, lakini ukasema, 'Sitasikia.' Hii ilikuwa desturi yako tangu ujana wako, kwani hukusikiliza sauti yangu.
در حین سعادتمندی تو به تو سخن گفتم، اما گفتی گوش نخواهم گرفت. همین از طفولیتت عادت تو بوده است که به آواز من گوش ندهی.۲۱
22 Upepo utawalisha wachungaji wako wote, na marafiki zako watakwenda kufungwa. Hakika wewe utakuwa na aibu na kufadhaika kwa matendo yako yote mabaya.
باد تمامی شبانانت را خواهد چرانید و دوستانت به اسیری خواهند رفت. پس در آن وقت به‌سبب تمامی شرارتت خجل و رسوا خواهی شد.۲۲
23 Wewe mfalme, wewe ambaye huishi katika Nyumba ya Msitu wa Lebanoni, wewe aliyefanya kiota kati ya mierezi, utakuwa na hali ya kuhurumiwa utakapopata utungu kama wakati wa kuzaa.”
‌ای که درلبنان ساکن هستی و آشیانه خویش را درسروهای آزاد می‌سازی! هنگامی که المها و دردمثل زنی که می‌زاید تو را فرو‌گیرد چه قدر بر توافسوس خواهند کرد؟۲۳
24 “Kama mimi niishivyo-hili ndilo tamko la Bwana-hata kama wewe, Konia, mwana wa Yehoyakimu, mfalme wa Yuda, ulikuwa alama ya mkono wangu wa kulia, ningekuangusha.
یهوه می‌گوید: به حیات من قسم که اگر‌چه کنیاهو ابن یهویاقیم پادشاه یهودا خاتم بر دست راست من می‌بود هرآینه تو را از آنجا می‌کندم.۲۴
25 Kwa kuwa nimewatia mikono ya wale wanaotaka uhai wenu na kwenye mkono wa wale ambao mnawaogopa, hata mkononi mwa Nebukadreza, mfalme wa Babeli na Wakaldayo.
و تو را به‌دست آنانی که قصد جان تو دارند و به‌دست آنانی که ازایشان ترسانی و به‌دست نبوکدرصر پادشاه بابل وبه‌دست کلدانیان تسلیم خواهم نمود.۲۵
26 Nitawatupa wewe na mama yako aliyekuzaa katika nchi nyingine, nchi ambayo hujazaliwa, na huko utakufa.
و تو ومادر تو را که تو را زایید، به زمین غریبی که در آن تولد نیافتید خواهم‌انداخت که در آنجا خواهیدمرد.۲۶
27 Na kuhusu eneo hili ambalo watataka kurudi, hawatarudi hapa.
اما به زمینی که ایشان بسیار آرزو دارند که به آن برگردند مراجعت نخواهند نمود.»۲۷
28 Je! Hiki ni chombo kilichodharauliwa na kilichopasuka? Je, Konia ni chombo kilichodharauliwa? Kwa nini wamemtupa yeye na wazao wake, kumpeleka katika nchi wasiyoijua?
آیا این مرد کنیاهو ظرفی خوار شکسته می‌باشد و یا ظرفی ناپسندیده است؟ چرا او بااولادش به زمینی که آن را نمی شناسند انداخته وافکنده شده‌اند؟۲۸
29 Ee Ardhi, Ardhi, Ardhi! Sikieni neno la Bwana!
‌ای زمین‌ای زمین‌ای زمین، کلام خداوند رابشنو!۲۹
30 Bwana asema hivi, 'Andika juu ya mtu huyu Konia Yeye hatakuwa na mtoto. Hatafanikiwa wakati wa siku zake, wala hakuna hata mmoja kati ya uzao wake atakayefanikiwa au kuketi tena kwenye kiti cha Daudi na kutawala juu ya Yuda.'”
خداوند چنین می‌فرماید: «این شخص را بی‌اولاد و کسی‌که در روزگار خود کامیاب نخواهد شد بنویس، زیرا که هیچکس از ذریت وی کامیاب نخواهد شد و بر کرسی داود نخواهدنشست، و بار دیگر در یهودا سلطنت نخواهد نمود.»۳۰

< Yeremia 22 >