< Yeremia 22 >
1 Bwana asema hivi, “Nenda kwenye nyumba ya mfalme wa Yuda, utangaze neno hili huko.
Ainsi a dit l'Eternel: descends en la maison du Roi de Juda, et y prononce cette parole.
2 Ukaseme, 'Ewe Mfalme wa Yuda, wewe aliyeketi kiti cha Daudi, usikilize neno la Bwana. Nisikilizeni, enyi watumishi wake, na ninyi, watu wake mnaokuja kwa malango haya.
Tu diras donc: écoute la parole de l'Eternel, ô Roi de Juda! qui es assis sur le trône de David, toi et tes serviteurs, et ton peuple, qui entrez par ces portes.
3 Bwana asema hivi, “Fanya haki na uadilifu, na mtu yeyote ambaye ameibiwa-muokoeni kutoka mkononi mwa mshindani. Usimtendee mabaya mgeni yeyote katika nchi yako, au yatima au mjane. Usifanye vurugu au kumwaga damu isiyo na hatia mahali hapa.
Ainsi a dit l'Eternel: faites jugement et justice, et délivrez celui qui aura été pillé, d'entre les mains de celui qui lui fait tort; ne foulez point l'orphelin, ni l'étranger, ni la veuve; et n'usez d'aucune violence, et ne répandez point le sang innocent dans ce lieu-ci.
4 Kwa kuwa mkifanya mambo hayo, basi wafalme wanaoketi kiti cha Daudi wataingia milango ya nyumba hii wakiendesha gari na farasi, yeye, watumishi wake, na watu wake!
Car si vous mettez exactement en effet cette parole, alors les Rois qui sont assis en la place de David sur son trône, montés sur des chariots et sur des chevaux, entreront par les portes de cette maison, eux et leurs serviteurs, et leur peuple.
5 Lakini ikiwa hamsikilizi maneno haya kutoka kwangu ambayo nimeyasema-hili ndilo tamko la Bwana-basi nyumba hii ya kifalme itaharibiwa.'”
Mais si vous n'écoutez point ces paroles, j'ai juré par moi-même, dit l'Eternel, que cette maison sera réduite en désolation.
6 Kwa maana Bwana asema hivi juu ya nyumba ya mfalme wa Yuda, “Wewe uko kama Gileadi, au kama kilele cha Lebanoni kwangu. Hata hivyo nitakugeuza kuwa jangwa, katika miji isiyo na wenyeji.
Car ainsi a dit l'Eternel touchant la maison du Roi de Juda: tu m'es un Galaad, [et] le sommet du Liban, [mais] si je ne te réduis en désert, et en villes qui ne sont point habitées.
7 Kwa kuwa nimewaagiza waharibifu kuja juu yenu! Watu wenye silaha zao watakata mierezi yako iliyo bora na kuiacha kuanguka kwenye moto.
Je préparerai contre toi des destructeurs chacun avec ses armes, qui couperont tes cèdres exquis, et les jetteront au feu;
8 Kisha mataifa mengi yatapita kwenye mji huu. Kila mtu atamwambia yule anayefuata, “Mbona Bwana amefanya hivi kwa jiji hili kuu?”
Et plusieurs nations passeront près de cette ville, et chacun dira à son compagnon: pourquoi l'Eternel a-t-il fait ainsi à cette grande ville?
9 Na mwingine atajibu, “Kwa sababu waliiacha agano la Bwana, Mungu wao, wakainama kwa miungu mingine, wakaiabudu.”
Et on dira: c'est parce qu'ils ont abandonné l'alliance de l'Eternel leur Dieu, et qu'ils se sont prosternés devant d'autres dieux, et les ont servis.
10 Usilie kwa ajili ya aliyekufa. Usiomboleze kwa ajili yake. Lakini mlilie mtu yeyote anayeingia kifungoni, kwa maana hatarudi tena kuiona nchi aliyozaliwa.'
Ne pleurez point celui qui est mort, et n'en faites point de lamentation; mais pleurez amèrement celui qui s'en va, car il ne retournera plus, et ne verra plus le pays de sa naissance.
11 Maana Bwana asema hivi juu ya Yehoahazi, mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, aliyekuwa mfalme badala ya Yosia babaye, 'ametoka mahali hapa, wala hatarudi.
Car ainsi a dit l'Eternel touchant Sallum fils de Josias, Roi de Juda, qui a régné en la place de Josias son père, [et] qui est sorti de ce lieu, iI n'y retournera plus.
12 Atakufa huko mahali ambapo walimchukua mateka, na hataiona tena nchi hii.'
Mais il mourra au lieu auquel on l'a transporté, et ne verra plus ce pays.
13 Ole mtu yeyote anayejenga nyumba yake kwa uovu na vyumba vyake vya juu katika udhalimu; ambao wengine hufanya kazi, lakini hawalipwi.
Malheur à celui qui bâtit sa maison par l'injustice, et ses étages sans droiture, qui se sert pour rien de son prochain, et ne lui donne point le salaire de son travail.
14 Ole mtu yeyote atakayesema, 'Nitajenga nyumba ndefu na vyumba vya juu vipana, na hujenga madirisha mapana, na kuta zenye mwerezi, na huipaka rangi nyekundu.'
Qui dit: je me bâtirai une grande maison et des étages bien aérés, et qui se perce des fenêtrages; elle est lambrissée de cèdre, et peinte de vermillon.
15 Je, hii ndiyo inakufanya uwe mfalme mzuri, kwamba unataka kuwa na mbao za mwerezi? Je baba yako hakula na kunywa, lakini lakini alifanya hukumu na haki? Kisha mambo yakawa mazuri kwa ajili yake.
Régneras-tu, que tu te mêles parmi les cèdres? Ton père n'a-t-il pas mangé et bu? quand il a fait jugement et justice, alors il a prospéré.
16 Alihukumu maneno ya masikini na mhitaji. Ilikuwa vizuri. Je, huku siko kunijua mimi? - hili ni tamko la Bwana.
Il a jugé la cause de l'affligé, et du pauvre, et alors il a prospéré; cela n'était-il pas me connaître? dit l'Eternel.
17 Lakini hakuna kitu machoni na moyoni mwako isipokuwa wasiwasi kwa faida yako isiyo ya haki na kwa kumwaga damu isiyo na hatia, kwa ukandamizaji kuwatendea jeuri wengine.
Mais tes yeux et ton cœur ne [sont adonnés] qu'à ton gain déshonnête, qu'à répandre le sang innocent, qu'à faire tort, et qu'à opprimer.
18 Kwa hiyo Bwana asema hivi juu ya Yehoyakimu, mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda. Hawatamwomboleza wakisema 'ole, ndugu yangu! au 'Ole, dada yangu!' Hawataomboleza kwa kusema 'Ole, bwana! ' au 'ole, utukufu!'
C'est pourquoi, ainsi a dit l'Eternel touchant Jéhojakim fils de Josias Roi de Juda: on ne le plaindra point, [en disant]: hélas mon frère! et hélas ma sœur! on ne le plaindra point, [en disant]: hélas Sire! et, hélas sa magnificence!
19 Atazikwa maziko ya punda, ataburuzwa mbali na kutupwa nje ya milango ya Yerusalemu.
Il sera enseveli de la sépulture d'un âne, étant traîné, et jeté au delà des portes de Jérusalem.
20 Panda milima ya Lebanoni piga kelele. Paza sauti yako Bashani. Piga kelele kutoka kwenye milima ya Abarimu, kwa maana marafiki zako wote wataharibiwa.
Monte au Liban, et crie, jette ta voix en Basan, et crie par les passages, à cause que tous tes amoureux ont été mis en pièces.
21 Nilinena nawe wakati ulioko salama, lakini ukasema, 'Sitasikia.' Hii ilikuwa desturi yako tangu ujana wako, kwani hukusikiliza sauti yangu.
Je t'ai parlé durant ta grande prospérité, [mais] tu as dit: je n'écouterai point; tel [est] ton train dès ta jeunesse, que tu n'as point écouté ma voix.
22 Upepo utawalisha wachungaji wako wote, na marafiki zako watakwenda kufungwa. Hakika wewe utakuwa na aibu na kufadhaika kwa matendo yako yote mabaya.
Le vent remplira tous tes pasteurs, et tes amoureux iront en captivité; certainement tu seras alors honteuse et confuse à cause de toute ta malice.
23 Wewe mfalme, wewe ambaye huishi katika Nyumba ya Msitu wa Lebanoni, wewe aliyefanya kiota kati ya mierezi, utakuwa na hali ya kuhurumiwa utakapopata utungu kama wakati wa kuzaa.”
Tu te tiens au Liban, et tu fais ton nid dans les cèdres, ô que tu seras un objet de compassion quand les tranchées te viendront, [et] ta douleur, comme de la femme qui est en travail d'enfant.
24 “Kama mimi niishivyo-hili ndilo tamko la Bwana-hata kama wewe, Konia, mwana wa Yehoyakimu, mfalme wa Yuda, ulikuwa alama ya mkono wangu wa kulia, ningekuangusha.
Je suis vivant, dit l'Eternel, que quand Chonja, fils de Jéhojakim, Roi de Juda, serait un cachet en ma main droite, je l'arracherai de là.
25 Kwa kuwa nimewatia mikono ya wale wanaotaka uhai wenu na kwenye mkono wa wale ambao mnawaogopa, hata mkononi mwa Nebukadreza, mfalme wa Babeli na Wakaldayo.
Et je le livrerai en la main de ceux qui cherchent la vie, et en la main de ceux de la présence desquels tu as peur, et en la main de Nébucadnetsar Roi de Babylone, et en la main des Caldéens.
26 Nitawatupa wewe na mama yako aliyekuzaa katika nchi nyingine, nchi ambayo hujazaliwa, na huko utakufa.
Et je te jetterai, toi et ta mère qui t'a enfanté, en un autre pays, auquel vous n'êtes point nés; et vous y mourrez.
27 Na kuhusu eneo hili ambalo watataka kurudi, hawatarudi hapa.
Et quant au pays qu’ils désirent pour y retourner, ils n'y retourneront point.
28 Je! Hiki ni chombo kilichodharauliwa na kilichopasuka? Je, Konia ni chombo kilichodharauliwa? Kwa nini wamemtupa yeye na wazao wake, kumpeleka katika nchi wasiyoijua?
Ce personnage Chonja serait-ce une idole méprisée [et] rompue? serait-ce un vaisseau qui n’a rien d’aimable? pourquoi ont-ils été jetés là, lui et sa postérité, jetés, dis-je, en un pays qu'ils ne connaissent point?
29 Ee Ardhi, Ardhi, Ardhi! Sikieni neno la Bwana!
Ô terre! terre! terre! écoute la parole de l'Eternel.
30 Bwana asema hivi, 'Andika juu ya mtu huyu Konia Yeye hatakuwa na mtoto. Hatafanikiwa wakati wa siku zake, wala hakuna hata mmoja kati ya uzao wake atakayefanikiwa au kuketi tena kwenye kiti cha Daudi na kutawala juu ya Yuda.'”
Ainsi a dit l'Eternel: écrivez que ce personnage-là est privé d'enfant, que c'est un homme qui ne prospérera point pendant ses jours, et que même il n'y aura point d'homme de sa postérité qui prospère, et qui soit assis sur le trône de David, ni qui domine plus en Juda.