< Yeremia 22 >

1 Bwana asema hivi, “Nenda kwenye nyumba ya mfalme wa Yuda, utangaze neno hili huko.
Voici ce que dit l’Eternel: "Descends à la maison du roi de Juda, et là parle en ces termes;
2 Ukaseme, 'Ewe Mfalme wa Yuda, wewe aliyeketi kiti cha Daudi, usikilize neno la Bwana. Nisikilizeni, enyi watumishi wake, na ninyi, watu wake mnaokuja kwa malango haya.
tu diras: Ecoute la parole de l’Eternel, roi de Juda, qui sièges sur le trône de David, toi et tes serviteurs et ton peuple, vous tous qui entrez par ces portes.
3 Bwana asema hivi, “Fanya haki na uadilifu, na mtu yeyote ambaye ameibiwa-muokoeni kutoka mkononi mwa mshindani. Usimtendee mabaya mgeni yeyote katika nchi yako, au yatima au mjane. Usifanye vurugu au kumwaga damu isiyo na hatia mahali hapa.
Voici ce que dit l’Eternel: Pratiquez la justice et l’équité, arrachez celui qu’on dépouille des mains de l’oppresseur, ne faites subir ni avanie ni violence à l’étranger, à l’orphelin et à la veuve, et ne versez point de sang innocent en ce lieu-ci.
4 Kwa kuwa mkifanya mambo hayo, basi wafalme wanaoketi kiti cha Daudi wataingia milango ya nyumba hii wakiendesha gari na farasi, yeye, watumishi wake, na watu wake!
Si vraiment vous agissez de cette manière, il entrera encore par les portes de cette maison des rois de la race de David, héritiers de son trône, montés sur des chars et des chevaux, entourés de leurs officiers et de leur peuple.
5 Lakini ikiwa hamsikilizi maneno haya kutoka kwangu ambayo nimeyasema-hili ndilo tamko la Bwana-basi nyumba hii ya kifalme itaharibiwa.'”
Mais si vous ne tenez pas compte de ces paroles, j’en jure par moi, dit l’Eternel, cette maison deviendra une ruine.
6 Kwa maana Bwana asema hivi juu ya nyumba ya mfalme wa Yuda, “Wewe uko kama Gileadi, au kama kilele cha Lebanoni kwangu. Hata hivyo nitakugeuza kuwa jangwa, katika miji isiyo na wenyeji.
Voici, en effet, ce que dit l’Eternel au sujet du palais' du roi de Juda: Tu équivaux pour moi à Ghilead, au sommet du Liban! Mais, j’en jure, je te rendrai pareil à un désert, à des villes inhabitées.
7 Kwa kuwa nimewaagiza waharibifu kuja juu yenu! Watu wenye silaha zao watakata mierezi yako iliyo bora na kuiacha kuanguka kwenye moto.
Je ferai appel contre toi à des démolisseurs, tous armés de leurs outils: ils abattront tes plus beaux cèdres et les jetteront au feu.
8 Kisha mataifa mengi yatapita kwenye mji huu. Kila mtu atamwambia yule anayefuata, “Mbona Bwana amefanya hivi kwa jiji hili kuu?”
Et quand, passant près de cette ville, des peuples en foule se demanderont les uns aux autres: "Pourquoi l’Eternel a-t-il traité de la sorte cette grande cité?"
9 Na mwingine atajibu, “Kwa sababu waliiacha agano la Bwana, Mungu wao, wakainama kwa miungu mingine, wakaiabudu.”
on leur répondra: "C’Est que ses habitants ont abandonné l’alliance de l’Eternel, leur Dieu; ils se sont prosternés devant d’autres dieux, et ils les ont adorés."
10 Usilie kwa ajili ya aliyekufa. Usiomboleze kwa ajili yake. Lakini mlilie mtu yeyote anayeingia kifungoni, kwa maana hatarudi tena kuiona nchi aliyozaliwa.'
Ne pleurez pas celui qui est mort, et ne le plaignez pas! Pleurez, pleurez celui qui est parti, car il ne reviendra plus et ne reverra pas la terre qui l’a vu naître.
11 Maana Bwana asema hivi juu ya Yehoahazi, mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, aliyekuwa mfalme badala ya Yosia babaye, 'ametoka mahali hapa, wala hatarudi.
Voici en effet ce que dit l’Eternel au sujet de Challoum, le fils de Josias, roi de Juda, qui a régné à la place de son père Josias et qui a quitté ce lieu-ci: "Il n’y reviendra plus!
12 Atakufa huko mahali ambapo walimchukua mateka, na hataiona tena nchi hii.'
Mais il mourra là où on l’a déporté; il ne reverra plus cette terre!"
13 Ole mtu yeyote anayejenga nyumba yake kwa uovu na vyumba vyake vya juu katika udhalimu; ambao wengine hufanya kazi, lakini hawalipwi.
Malheur à celui qui bâtit sa maison à l’aide de l’injustice et surélève ses appartements au prix de l’iniquité; qui fait travailler son prochain pour rien, sans lui donner de salaire;
14 Ole mtu yeyote atakayesema, 'Nitajenga nyumba ndefu na vyumba vya juu vipana, na hujenga madirisha mapana, na kuta zenye mwerezi, na huipaka rangi nyekundu.'
qui dit: "Je me bâtirai une maison de belle taille avec des chambres hautes, bien spacieuses"; qui y perce de larges fenêtres, l’orne de lambris de cèdre et de peinture rouge.
15 Je, hii ndiyo inakufanya uwe mfalme mzuri, kwamba unataka kuwa na mbao za mwerezi? Je baba yako hakula na kunywa, lakini lakini alifanya hukumu na haki? Kisha mambo yakawa mazuri kwa ajili yake.
Penses-tu être roi parce que tu mets ton orgueil dans le cèdre? Ton père aussi mangeait et buvait, mais il pratiquait la justice et l’équité, et par là il fut heureux;
16 Alihukumu maneno ya masikini na mhitaji. Ilikuwa vizuri. Je, huku siko kunijua mimi? - hili ni tamko la Bwana.
il faisait droit au pauvre, au malheureux, et il s’en trouvait bien. Voilà certes, ce qui s’appelle me connaître, dit l’Eternel.
17 Lakini hakuna kitu machoni na moyoni mwako isipokuwa wasiwasi kwa faida yako isiyo ya haki na kwa kumwaga damu isiyo na hatia, kwa ukandamizaji kuwatendea jeuri wengine.
Mais toi, tu n’as d’yeux ni de coeur que pour ton intérêt, pour verser le sang innocent, pour exercer l’oppression et la violence.
18 Kwa hiyo Bwana asema hivi juu ya Yehoyakimu, mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda. Hawatamwomboleza wakisema 'ole, ndugu yangu! au 'Ole, dada yangu!' Hawataomboleza kwa kusema 'Ole, bwana! ' au 'ole, utukufu!'
C’Est pourquoi, voici ce que dit l’Eternel au sujet de Joïakim, fils de Josias, roi de Juda: "On ne conduira pas son deuil en s’écriant: "Hélas! mon frère! et hélas! ma soeur!" On ne conduira pas son deuil en s’écriant: "Hélas, le Maître! et hélas! Sa Majesté!"
19 Atazikwa maziko ya punda, ataburuzwa mbali na kutupwa nje ya milango ya Yerusalemu.
C’Est la sépulture d’un âne qu’on lui donnera; on le traînera, on le jettera au loin, hors des portes de Jérusalem.
20 Panda milima ya Lebanoni piga kelele. Paza sauti yako Bashani. Piga kelele kutoka kwenye milima ya Abarimu, kwa maana marafiki zako wote wataharibiwa.
Monte sur le Liban, fille de Sion et pousse des cris; dans Basan, fais retentir ta voix, et du haut d’Abarim pousse des cris, car ils sont brisés, tous ceux qui te chérissaient.
21 Nilinena nawe wakati ulioko salama, lakini ukasema, 'Sitasikia.' Hii ilikuwa desturi yako tangu ujana wako, kwani hukusikiliza sauti yangu.
Je m’adressais à toi au temps de ta prospérité, mais tu disais: "Je n’écouterai point! "Telle est ton habitude depuis ta jeunesse, de ne pas écouter ma voix.
22 Upepo utawalisha wachungaji wako wote, na marafiki zako watakwenda kufungwa. Hakika wewe utakuwa na aibu na kufadhaika kwa matendo yako yote mabaya.
Tous ceux qui étaient tes guides, le vent les emportera, tes amants iront en exil: oh! alors, tu auras honte et tu rougiras de tous tes méfaits.
23 Wewe mfalme, wewe ambaye huishi katika Nyumba ya Msitu wa Lebanoni, wewe aliyefanya kiota kati ya mierezi, utakuwa na hali ya kuhurumiwa utakapopata utungu kama wakati wa kuzaa.”
O toi, qui demeures sur le Liban, qui fixes ton nid sur les cèdres, comme tu seras un objet de pitié, lorsque des douleurs viendront t’assaillir, des convulsions comparables à celles d’une femme en travail!
24 “Kama mimi niishivyo-hili ndilo tamko la Bwana-hata kama wewe, Konia, mwana wa Yehoyakimu, mfalme wa Yuda, ulikuwa alama ya mkono wangu wa kulia, ningekuangusha.
Par ma vie, dit l’Eternel, quand bien même Coniahou, fils de Joïakim, roi de Juda, serait une bague à ma main droite, je t’en arracherais,
25 Kwa kuwa nimewatia mikono ya wale wanaotaka uhai wenu na kwenye mkono wa wale ambao mnawaogopa, hata mkononi mwa Nebukadreza, mfalme wa Babeli na Wakaldayo.
et je te livrerais aux mains de ceux qui en veulent à ta vie, aux mains de ceux que tu redoutes, aux mains de Nabuchodonosor, roi de Babylone et aux mains des Chaldéens!
26 Nitawatupa wewe na mama yako aliyekuzaa katika nchi nyingine, nchi ambayo hujazaliwa, na huko utakufa.
Et je te jetterai, toi et ta mère qui t’a enfanté, sur une terre étrangère, où vous n’êtes pas nés, et là vous mourrez.
27 Na kuhusu eneo hili ambalo watataka kurudi, hawatarudi hapa.
Quant à la terre où leur coeur aspire à revenir, ils n’y reviendront pas.
28 Je! Hiki ni chombo kilichodharauliwa na kilichopasuka? Je, Konia ni chombo kilichodharauliwa? Kwa nini wamemtupa yeye na wazao wake, kumpeleka katika nchi wasiyoijua?
Est-il donc, cet homme, ce Coniahou, un méprisable morceau de pot cassé, un vase dont personne ne veut? Pourquoi ont-ils été enlevés, lui et sa race, et jetés dans un pays qu’ils ne connaissent pas?
29 Ee Ardhi, Ardhi, Ardhi! Sikieni neno la Bwana!
Terre, terre, terre, écoute la parole de l’Eternel:
30 Bwana asema hivi, 'Andika juu ya mtu huyu Konia Yeye hatakuwa na mtoto. Hatafanikiwa wakati wa siku zake, wala hakuna hata mmoja kati ya uzao wake atakayefanikiwa au kuketi tena kwenye kiti cha Daudi na kutawala juu ya Yuda.'”
Ainsi dit l’Eternel: Inscrivez cet homme comme étant sans postérité, comme un malheureux qui ne réussit à rien au cours de sa vie; car nul de sa race ne parviendra à s’asseoir sur le trône de David ni à régner sur Juda.

< Yeremia 22 >