< Yeremia 22 >
1 Bwana asema hivi, “Nenda kwenye nyumba ya mfalme wa Yuda, utangaze neno hili huko.
Pakaiyin hitin aseiye, “Nangma Judah lengpa in-ah chesuh inlang, hiche thuhi gaseipeh tan,’’
2 Ukaseme, 'Ewe Mfalme wa Yuda, wewe aliyeketi kiti cha Daudi, usikilize neno la Bwana. Nisikilizeni, enyi watumishi wake, na ninyi, watu wake mnaokuja kwa malango haya.
Juda lengpa, David laltouna toupa, ngaiyin, chule namite leh nasohten jong ngaicheh’uhen.
3 Bwana asema hivi, “Fanya haki na uadilifu, na mtu yeyote ambaye ameibiwa-muokoeni kutoka mkononi mwa mshindani. Usimtendee mabaya mgeni yeyote katika nchi yako, au yatima au mjane. Usifanye vurugu au kumwaga damu isiyo na hatia mahali hapa.
Pakaiyin hitin aseiye, Thu adih in tanpih uvin chule thil adih in bol uvin. Athil kichompih ho chu panhu’uvin lang, amaho chu akibol ganthei nauva kon in huhdoh uvin. Chule nagitlounau chu dalhauvin. Gamchom mileh kholjin miho bolse hih un, chule chagate leh meithai ho chu pumhat in boldauvin. Chule themmona bei mite chunga thisan sodauvin.
4 Kwa kuwa mkifanya mambo hayo, basi wafalme wanaoketi kiti cha Daudi wataingia milango ya nyumba hii wakiendesha gari na farasi, yeye, watumishi wake, na watu wake!
Nanghon kathu nangaiyuleh, hiche mun’a hi, David laltouna-a, David son le pah ho toujing ding ahi. Chutia chu, lengho leh alhachac ho chule asohte, kangtalai leh sakol a tou uva, leng inpi kelkot a chu, lutle potle abol diu ahi.
5 Lakini ikiwa hamsikilizi maneno haya kutoka kwangu ambayo nimeyasema-hili ndilo tamko la Bwana-basi nyumba hii ya kifalme itaharibiwa.'”
Amavang, nanghon kathusei hi donlouva nakoi vang ule, keima tah kamin’a kakitepna kasem ahi; Hiche mun hi ahomkeo leh keohel’a kalha ding ahi, tin Pakaiyin aseiye.
6 Kwa maana Bwana asema hivi juu ya nyumba ya mfalme wa Yuda, “Wewe uko kama Gileadi, au kama kilele cha Lebanoni kwangu. Hata hivyo nitakugeuza kuwa jangwa, katika miji isiyo na wenyeji.
Pakaiyin, Judah leng inpi thua hitin aseiye, “Keiding in nangma hi, Gilead lhang leh Lebanon gam hoitah banga chule mihem chennalou gam kasosah ding nahi.
7 Kwa kuwa nimewaagiza waharibifu kuja juu yenu! Watu wenye silaha zao watakata mierezi yako iliyo bora na kuiacha kuanguka kwenye moto.
Keiman nangma sumang ding mi kakou ding, amahon ama cheh manchah ahin kichoi uva, nasuh gamdiu ahi. Amahon, Cedar thing hoilai ho aphuh uva, meiya ahalvam diu ahi.
8 Kisha mataifa mengi yatapita kwenye mji huu. Kila mtu atamwambia yule anayefuata, “Mbona Bwana amefanya hivi kwa jiji hili kuu?”
Gam chom chom’a kon hung kholjin namtin vaipin, hiche khopi hinjotpa jousen, ‘Ibol’a Pakaiyin hiche khopi lentah hi ahiti suhmang jeng hitam? tia amaho leh amaho kihoudiu ahi.
9 Na mwingine atajibu, “Kwa sababu waliiacha agano la Bwana, Mungu wao, wakainama kwa miungu mingine, wakaiabudu.”
Chutengle, “Amahon Pakai a Pathen’u toh akitepnau asuhkeh jeh uva, kisumang ahiuve,’ ti ahetdoh diu ahi.
10 Usilie kwa ajili ya aliyekufa. Usiomboleze kwa ajili yake. Lakini mlilie mtu yeyote anayeingia kifungoni, kwa maana hatarudi tena kuiona nchi aliyozaliwa.'
Lengpa din kadauvin, lunghempi dauvin, ama chu athi ahitai. Amavang, sohchanga kikaimangpa chu kapiuvin lang, apul douvun. Ajeh chu, aman agamsung ahung mukit louhel ding ahitai.
11 Maana Bwana asema hivi juu ya Yehoahazi, mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, aliyekuwa mfalme badala ya Yosia babaye, 'ametoka mahali hapa, wala hatarudi.
Hiche thuhi, apa Josiah khel’a lengchang Jehoahaz chungthu asei ahi. ama chu gal-hinga kikaimang ahin, agam a hung kilekit louding ahi.
12 Atakufa huko mahali ambapo walimchukua mateka, na hataiona tena nchi hii.'
Ama chu migam’a thiden ding, agamsung anungmu louhel ding ahi.
13 Ole mtu yeyote anayejenga nyumba yake kwa uovu na vyumba vyake vya juu katika udhalimu; ambao wengine hufanya kazi, lakini hawalipwi.
Pakaiyin hitin aseiye, ‘Ohe ada ahi, lamdih lou tah’a in kisahpa! Thudih louva inpi kehlen’a, aheng akom tohman pelouva goipa, chule pumhat a kulpi kisempa!
14 Ole mtu yeyote atakayesema, 'Nitajenga nyumba ndefu na vyumba vya juu vipana, na hujenga madirisha mapana, na kuta zenye mwerezi, na huipaka rangi nyekundu.'
Hichepa hin, ‘Keiman inlentah khat kisah inge, indan tampi sem ing katin chule bangkot tampi Cedar thing in sem inge. Hichu rong sen in hoitah in loi ing kate,’’ ati.
15 Je, hii ndiyo inakufanya uwe mfalme mzuri, kwamba unataka kuwa na mbao za mwerezi? Je baba yako hakula na kunywa, lakini lakini alifanya hukumu na haki? Kisha mambo yakawa mazuri kwa ajili yake.
amavang, Cedar thinga leng inpi nomtah leh loupitah kisahdoh jeh’a, leng vaipoa kipang ahipoi. Napa Josiah chu neh le don aning lhing set in; ama chu thudihtah ahin, ijakai adih in abol’e. Hijeh chun, Pathen phattheiboh achange.
16 Alihukumu maneno ya masikini na mhitaji. Ilikuwa vizuri. Je, huku siko kunijua mimi? - hili ni tamko la Bwana.
Aman vaicha gentheite apanpin, dihtah in vai ahom e. chule ama din imajouse aphatouvin akhangtouve. Hiche hi hilouham, keima toh kivopjing, kitichu,’’ tin Pakaiyin aseiye.
17 Lakini hakuna kitu machoni na moyoni mwako isipokuwa wasiwasi kwa faida yako isiyo ya haki na kwa kumwaga damu isiyo na hatia, kwa ukandamizaji kuwatendea jeuri wengine.
Nang invang, namit teni leh nalungthim hi, nangma changseh ding le alamlouva phatchomna muna ding bouvin naming in; monabei nathat in, vaicha gentheite nabol gentheijin, chule hepina umlouvin vai nahom e.
18 Kwa hiyo Bwana asema hivi juu ya Yehoyakimu, mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda. Hawatamwomboleza wakisema 'ole, ndugu yangu! au 'Ole, dada yangu!' Hawataomboleza kwa kusema 'Ole, bwana! ' au 'ole, utukufu!'
Hijeh chun, Josaih chapa Jehoiakim chung thuhi, Pakaiyin hitin aseiye. “Amapa hi, mihon athini le along a-oplou diu, vo sopipa vo golpa tiajong koima kaplou ding ahi. Amite jeng injong, vo Lengpa, kapu tia akapi umlou ding ahiuve.
19 Atazikwa maziko ya punda, ataburuzwa mbali na kutupwa nje ya milango ya Yerusalemu.
Athi long chu, sangan thisa kivui banga, Jerusalem khopia kon’a kikaidoh’a, kelkot polam’a gakivui ding ahi.
20 Panda milima ya Lebanoni piga kelele. Paza sauti yako Bashani. Piga kelele kutoka kwenye milima ya Abarimu, kwa maana marafiki zako wote wataharibiwa.
Lebanon’a naloi ho din kapin, chule amaho ding chu Bashan mun’a othong leuvin gasamin. Ab’arim mun’a amaho chu gaholtan, chule amaho din kapin, amaho chu abon'un akisugamtauve.
21 Nilinena nawe wakati ulioko salama, lakini ukasema, 'Sitasikia.' Hii ilikuwa desturi yako tangu ujana wako, kwani hukusikiliza sauti yangu.
Nangma nakhantoupet in kana hil in, Ahinlah, nangman ngaiseh in naneipoi. Hitia hi, naneolaiya pat a kathusei ngailouva hung umpeh chu nahi.
22 Upepo utawalisha wachungaji wako wote, na marafiki zako watakwenda kufungwa. Hakika wewe utakuwa na aibu na kufadhaika kwa matendo yako yote mabaya.
Tua hi, khopi huiyin napankhompi jouse asumang ding chule naloi nagol ho abon’a sohchanga kikaimang ding ahiuve. Chutahle nagitlouna ho jal’a, nangma najah chading chule nakisuh lungdong ding ahi.
23 Wewe mfalme, wewe ambaye huishi katika Nyumba ya Msitu wa Lebanoni, wewe aliyefanya kiota kati ya mierezi, utakuwa na hali ya kuhurumiwa utakapopata utungu kama wakati wa kuzaa.”
Lebanon gam Cedar thinga kisa leng inpi hoitah sung’a busah chu anom e. Hijongle, numei naosonat tobanga nathoh gimmna ding hesoh gentheina nachunga hung lhung ding ahi.
24 “Kama mimi niishivyo-hili ndilo tamko la Bwana-hata kama wewe, Konia, mwana wa Yehoyakimu, mfalme wa Yuda, ulikuwa alama ya mkono wangu wa kulia, ningekuangusha.
Pakaiyin aseiye, ‘Keima kahing jinge. Juda lengpa Jehoiakim chapa Jehoiachin, keiman nagma kadalhah ding nahi. Keidinga nangma hi kajitlam’a kibut khutjem nahivangin, kasutlhah ding nahi.
25 Kwa kuwa nimewatia mikono ya wale wanaotaka uhai wenu na kwenye mkono wa wale ambao mnawaogopa, hata mkononi mwa Nebukadreza, mfalme wa Babeli na Wakaldayo.
Nanghi, thadinga nahol namelmate khut’a, chule nakichat mama jeng Nebuchadnezzar leh asepaite khut’a kapehdoh nahitai.
26 Nitawatupa wewe na mama yako aliyekuzaa katika nchi nyingine, nchi ambayo hujazaliwa, na huko utakufa.
Nang le nanu jong hiche gamsung’a kon’a kanodoh ding, chule nangma hiche gamsunga nathi lou ding, migam danga nathiden ding ahi.
27 Na kuhusu eneo hili ambalo watataka kurudi, hawatarudi hapa.
Chule nagam’a nahung kilekit tah louding ahi.
28 Je! Hiki ni chombo kilichodharauliwa na kilichopasuka? Je, Konia ni chombo kilichodharauliwa? Kwa nini wamemtupa yeye na wazao wake, kumpeleka katika nchi wasiyoijua?
Ibol’a Jehoiachin kitipa hi, belkehsa panna neilou banga um hitam? Ibol’a ama leh achate jouse mi gamdanga soh’a kinomang u hitam?
29 Ee Ardhi, Ardhi, Ardhi! Sikieni neno la Bwana!
Vo leiset, vo gam leiset, Pakai thusei hi ngaiyun!
30 Bwana asema hivi, 'Andika juu ya mtu huyu Konia Yeye hatakuwa na mtoto. Hatafanikiwa wakati wa siku zake, wala hakuna hata mmoja kati ya uzao wake atakayefanikiwa au kuketi tena kwenye kiti cha Daudi na kutawala juu ya Yuda.'”
Pakaiyin hitin aseiye, Jehoiachin kitipa hi, son leh pah neilou, ahinkho sunga ima boldohlou mipa ahi, tin sunlut un. Ajeh chu achate atute khatcha beh jong, David laltouna touva, Judah gamsung a vaihom ding umlou ding ahi.