< Yeremia 21 >
1 Hili ndilo neno lililotoka kwa Bwana kwa Yeremia wakati mfalme Sedekia alimtuma Pashuri mwana wa Malkiya na Sefania mwana wa Maaseya, kuhani. Wakamwambia,
Слово, еже бысть от Господа ко Иеремии, егда посла к нему царь Седекиа Пасхора сына Мелхиина и Софонию сына Васаиева, священника, глаголя:
2 “Pata ushauri kutoka kwa Bwana kwa ajili yetu, kwa kuwa Nebukadreza, mfalme wa Babeli, analeta vita. Labda Bwana atafanya miujiza kwetu, kama ilivyokuwa zamani, na kumfanya aondoke kwetu.”
вопроси о нас Господа, яко Навуходоносор царь Вавилонский воста на нас: сотворит ли Господь с нами по всем чудесем Своим, и отидет от нас?
3 Basi Yeremia akawaambia, “Hivi ndivyo mtakavyomwambia Sedekia
И рече Иеремиа к ним: тако рцыте Седекии: сия глаголет Господь Бог Израилев:
4 'Bwana, Mungu wa Israeli, asema hivi: Tazama, niageuza nyuma vyombo vya vita vilivyo mkononi mwenu, ambavyo mnapigana dhidi ya mfalme wa Babeli na Wakaldayo wanaokufunga kutoka nje ya kuta! Kwa maana nitawakusanya katikati ya jiji hili.
се, Аз обращаю оружия бранная, яже суть в руках ваших, имиже вы ополчаетеся на царя Вавилонска и Халдейска, иже обстоят вас окрест вне стен: и соберу та посреде града сего,
5 Nami nitapigana nanyi kwa mkono ulioinuka na mkono wenye nguvu, na ukali, ghadhabu, na hasira kubwa.
и поборю Аз по вас рукою простертою и мышцею крепкою с яростию и гневом великим,
6 Kwa maana nitawaangamiza wenyeji wa mji huu, wanadamu na wanyama, watakufa kwa tauni kali.
и побию всех обитающих во граде сем, человеки и скоты, губителством великим, и измрут.
7 Baada ya hayo- hii ndiyo ahadi ya Bwana-Sedekia mfalme wa Yuda, watumishi wake, watu, na kila mtu aishiye katika mji huu baada ya tauni, upanga na njaa, nitawatia wote mkononi mwa Nebukadreza mfalme wa Babeli, na mikononi mwa adui zao, na katika mkono wa wale wanaotaka uhai wao. Ndipo atawaua kwa makali ya upanga. Hatawahurumia, hatawaokoa, au kuwa na rehema.'
И по сих, тако глаголет Господь, дам Седекию царя Иудина и рабы его, и люди его и оставльшыяся во граде сем от губителства и глада и меча, в руку Навуходоносора царя Вавилонска и в руку врагов их и в руку ищущих душ их, и побиет их острием меча: и не пощажу их, ниже милостив буду им.
8 Basi uwaambie watu hawa, 'Bwana asema hivi Angalia, nitaweka mbele yako njia ya uzima na njia ya mauti.
И к людем сим речеши: сия глаголет Господь: се, Аз даю пред вами путь живота и путь смерти:
9 Mtu yeyote anayeishi katika mji huu atakufa kwa upanga, njaa, na tauni; lakini mtu yeyote atakayetoka na kuanguka kwa magoti mbele ya Wakaldayo ambao wamefungwa dhidi yako ataishi. Yeye ataokoka na maisha yake.
иже обитает во граде сем, умрет мечем и гладом и губителством, а исходяй, иже прибежит ко Халдеом обстоящым вас, жив будет, и будет душа его в плен, и жив будет.
10 Kwa maana nimeweka uso wangu juu ya mji huu ili kuleta maafa na sio kuleta mema-hili ndilo tamko la Bwana. Utatiwa mkononi mwa mfalme wa Babeli naye atauteketeza.'
Утвердих бо лице Мое на град сей во злая, а не во благая, рече Господь: в руки царя Вавилонска предастся, и сожжет его огнем.
11 Kuhusu nyumba ya mfalme wa Yuda, sikiliza neno la Bwana.
Доме царя Иудина, слышите слово Господне:
12 Nyumba ya Daudi, Bwana asema, “Hukumuni kwa haki asubuhi. Umuokoe yule aliyeibiwa kwa mkono wa mwenye kuonea, au ghadhabu yangu itatoka kama moto na kuchoma, na hakuna mtu anayeweza kuizima, kwa sababu ya matendo yako mabaya.
доме Давидов, сия глаголет Господь: судите заутра суд и исправите, и избавите силою угнетенаго от руки обидящаго и, да не зажжется яко огнь ярость Моя и возгорится, и не будет угашающаго, ради лукавых умышлений ваших.
13 Angalia, mwenyeji wa bonde na mwamba wa nchi ya wazi! Mimi niko juu yako, - hii ndiyo ahadi ya Bwana- Mimi ni juu ya mtu yeyote anayesema, 'Ni nani atashuka kutupiga?' au 'Ni nani atakayeingia kwenye nyumba zetu?'
Се, Аз к тебе обитающему во крепце и польне удолии, рече Господь, иже глаголете: кто побиет нас? Или кто внидет в домы нашя?
14 Nitawaadhibu kutokana na matunda ya matendo yako-hili ndilo tamko la Bwana- na nitawasha moto katika misitu, na utateketeza kila kitu.'”
И посещу на вас по лукавым начинанием вашым, рече Господь, и возжгу огнь в лесе его, и пояст вся, яже окрест его.