< Yeremia 20 >

1 Pashuri, mwana wa Imeri, kuhani, alikuwa msimamizi mkuu, akamsikia Yeremia akihubiri maneno haya mbele ya nyumba ya Bwana.
Debolo ouligisu gobele salasu dunu ea dio Ba: sie (Ime egefe) da na alofele iasu sia: nababeba: le,
2 Basi Pashuri akampiga nabii Yeremia, akamtia katika masanduku yaliyokuwa kwenye lango la juu la Benyamini ndani ya nyumba ya Bwana.
e da na fegasuga fama: ne sia: ne, na lobo amola emo la: gili, gado logo holei ea dio Bediamini, Debolo diasu ganodini gala, amo gadenene la: gilisima: ne sia: i.
3 Ikawa siku ya pili Pashuri akamtoa Yeremia nje ya makabati. Yeremia akamwambia, “Bwana hakukuita Pashuri, lakini wewe ni Magor-Misabibu.
Golale hahabe, Ba: sie da na la: gi fadegai. Amalalu, na da ema amane sia: i, “Hina Gode da dima Ba: sie dio hame asuli. Be E da dima ‘Beda: su da Sisiga: sa’ amo dio asuli.
4 Kwa maana Bwana asema hivi, 'Tazama, nitakufanya kuwa kitu cha kutisha, wewe na wapendwa wako wote; kwa maana wataanguka kwa upanga wa adui zao, na macho yako yataona. Nitawatia Yuda mkononi mwa mfalme wa Babeli. Atawafanya kuwa mateka huko Babeli au kuwaangamiza kwa upanga.
Hina Gode Hisu da sia: i dagoi, ‘Na da di amola dia dogolegei beda: ma: ne, dia hou hamomu. Dia fi dunu huluane ilia ha lai gegesu gobihei amoga medole legei dagoi ba: mu. Na da Yuda fi dunu huluane amo Ba: bilone hina ouligima: ne imunu. E da mogili hi sogega afugili oule masunu amola mogili medole legemu.
5 Nitampa mali zote za jiji hili na utajiri wake wote, vitu vyote vya thamani na hazina zote za wafalme wa Yuda. Nitaweka vitu hivi mikononi mwa adui zako, nao watawakamata. Nao watawachukua na kuwaleta Babeli.
Amola Na da logo doasibiba: le, Yuda dunu ilia ha lai da Yelusaleme liligi huluane, amola Yuda hina bagade ilia liligi noga: iwane, amo huluane lale, Ba: bilone sogega gaguli masunu.
6 Lakini wewe Pashuri, na wenyeji wote wa nyumba yako watakwenda mateka. Utakwenda Babeli na kufa huko. Wewe na wapendwa wako wote ambao uliwatabiria maneno ya uongo mtazikwa huko.'”
Be di, Ba: sie, di amola dia sosogo huluane da afugili, Ba: bilone sogega mugululi asi dagoi ba: mu. Amogawi, di amola dia na: iyado dunu, ilima di da ogogosu sia: bagohame olelei, dilia huluane bogole, uli dogoiga sali ba: mu.”
7 “Umenidanganya, Bwana. Kwa hakika nimedanganyika. Wewe ulinikamata na kunishinda. Nimekuwa kitu cha kuchekesha. Watu wananidharau kila siku, siku zote.
“Hina Gode! Di da nama ogogoiba: le, na giadofale dawa: i. Dia gasa da na gasa baligiba: le, Dia da nama hasalasi. Dunu huluane da eso huluane mae fisili, nama oufesega: sa.
8 Kwa maana wakati wowote nimenena, nimeita na kutangaza, 'Vurugu na uharibifu.' Na neno la Bwana limefanywa shutumu na dhihaka kwangu kila siku.
Eso huluane, na da sia: sea, na da “Bidi hamosu! Wadela: su!” amo fawane wele sia: nana. Hina Gode! Na da Dia sia: alofele olelebeba: le, dunu huluane da nama higale, oufesega: lala.
9 Nami nikisema, 'Sitafikiria juu ya Bwana tena. Sitatangaza tena jina lake.' Ni kama moto moyoni mwangu, uliofanyika ndani ya mifupa yangu. Kwa hiyo ninajitahidi kustahimili lakini siwezi.
Be na da “Na Hina Gode gogolemu. Na da Ea Dioba: le, bu hamedafa sia: mu,” amo sia: sea, Dia sia: da lalu agoane na dogodafa ganodini nenana. Na da amo lalu ha: ba: domusa: dawa: lala, be ea logo ga: mu hamedei ba: sa.
10 Nimesikia habari za ugaidi kutoka kwa watu wengi pande zote. 'Mshitaki! Lazima tumshitaki' Wale walio karibu nami kuangalia kama nitaanguka. 'Labda anaweza kudanganywa. Ikiwa ndivyo, tunaweza kumshinda na kujilipiza kisasi kwake.'
Na da naba, dunu huluane da sadoga sia: sa, “Dunu huluane da bagade beda: i. Ninia amo dunu ea hou ouligisu dunuma olelemu.” Na dogolegei sama dunu da na dafama: ne ouesala. Ilia da amane sia: sa, “Amabela: ? Ninia da ema dabe ima: ne, e dafama: ne sani gemu da defea.”
11 Lakini Bwana yu pamoja nami kama mpiganaji mwenye nguvu, hivyo wale wanaonifuata watajikwaa. Hawatanishinda. Watakuwa na aibu sana, kwa sababu hawatafanikiwa. Watakuwa na aibu ya kudumu, haitasahauliwa kamwe.
Be Di, Hina Gode, da namagale fidisa. Amola Di da gasa bagadeba: le, dunu amo da nama se iabe da dafamu. Ilia da bu mae heda: ma: ne gogosiamu. Ilia da didili hamomu hamedeiwane ba: mu, amola ilia gogosiasu da gogolemu hamedei agoane ba: mu.
12 Lakini wewe, Bwana wa majeshi, wewe unayemtazama wenye haki na ambaye huona akili na moyo. Hebu nipate kuona kisasi chako juu yao kwa maana nimekuletea shitaka langu kwako.
Be Hina Gode Bagadedafa! Di da moloidafawane dunuma adoba: sa. Ilia asigi dawa: su, Di da ba: lala. Amaiba: le, na ba: ma: ne, Dia na ha lai amoma dabema. Bai na hou huluane, na da Dia lobo da: iya ligisi dagoi.
13 Mwimbieni Bwana! Msifuni Bwana! Kwa kuwa ameokoa maisha ya wale waliokandamizwa kutoka kwenye mikono ya waovu.
Hina Godema gesami hea: ma! Hina Godema nodonanoma! Bai dunu fonoboi da wadela: i hamosu dunu amoga banenesi ba: sea, E da amo gaga: sa.
14 Na ilaaniwe siku niliyozaliwa. Usiruhusu siku ambayo mama yangu alinizaa ibarikiwe.
Na lalelegesu eso amoga gagabusu aligima: ne ilegema! Eso amoga na ame da na lalelegei, amo gogolemu da defea.
15 Na alaaniwe mtu aliyemwambia baba yangu akisema, 'Amezaliwa mtoto wa kiume,' na kusababisha furaha kubwa.
Dunu afae da na ada hahawane ba: ma: ne, ema na lalelegei amane olelei, “Dunu mano! Dia da dunu mano lai dagoi.” Amo dunuma gagabusu aligima: ne ilegema!
16 Mtu huyo atakuwa kama miji ambayo Bwana aliiangamiza bila huruma. Na asikie wito wa msaada asubuhi na sauti ya vita wakati wa mchana.
Amo dunu da moilai amo Hina Gode da mae asigiwane wadela: lesi, agoaiwane ba: mu da defea. E da hahabe se nabasu digini wele sia: su nabimu da defea amola esomogoa gegesu dalabede nabimu da defea.
17 Hiyo itatokea, kwa kuwa Bwana hakuniua tumboni au kumfanya mama yangu kaburi langu, tumbo la ujauzito milele.
Bai e da na mae lalelegele, na hame medole legei. Amai hamoi ganiaba, na: me ea hagomo da na bogoi uli dogoi agoai gala: loba.
18 Kwa nini nilitoka tumboni ili kuona matatizo na uchungu, ili siku zangu zijazwe na aibu?”
Na da abuliba: le lalelegebela: ? Na da da: i dioi amola bidi hamosu amola gogosiane bogomu amo ba: ma: ne fawane lalelegebela: ?

< Yeremia 20 >