< Yeremia 2 >

1 Neno la BWANA lilinijia likisema,
И бысть слово Господне ко мне глаголющее: иди и вопий во ушы Иерусалиму, рекий: сия глаголет Господь:
2 “Nenda ukanene katika masikio ya Yerusalemu. Useme; BWANA asema hivi: Ninakumbuka agano la uaminifu la ujana wako, upendo wako wakati tulipokuwa tumechumbiana, ulipokuwa ukinihitaji kule jangwani, katika ile nchi iliyokuwa haijapandwa.
помянух милость юности твоея и любовь совершенства твоего, егда последовал еси в пустыни ненасеянней Святому Израилеву, глаголет Господь.
3 Israeli alikuwa ametengwa kwa BWANA, malimbuko yake ya mavuno yake! Wote waliokula malimbuko yake walikuwa na hatia! majanga yaliwajia—asema BWANA.'”
Свят Израиль Господеви, начаток плодов Его: вси поядающии его согрешат, злая приидут на них, рече Господь.
4 Sikilizeni neno la BWANA, enyi nyumba ya Yakobo na kila familia katika nyumba ya Israeli.
Услышите слово Господне, доме Иаковль и вся племена дому Израилева.
5 BWANA anasema hivi, “Ni makosa gani ambayo baba zenu waliyaona kwangu, hata wakatae kunifuata mimi? hata wazifuate sanamu ambazo hazina chochote na wao kuwa si kitu?
Сия глаголет Господь: кое обретоша отцы ваши во Мне погрешение, яко удалишася от Мене и ходиша вслед суетных и осуетишася,
6 Wala hawakusema, BWANA yuko wapi, ambaye alitutoa katika nchi ya Misri? BWANA yuko wapi, ambaye alituongoza katika jangwa, katika nchi ya Araba na mashimo, katika nchi ya ukame na giza nene, katika nchi ambayo hakuna mtu apitaye wala hakuna mtu anayeishi humo?
и не рекоша: где есть Господь, изведый нас от земли Египетския, преведый нас по пустыни, по земли необитанней и непроходней, по земли безводней и неплодней, по земли, по нейже не ходил муж никогдаже и не обитал человек тамо?
7 Lakini nilwaleta katika nchi ya Kameli, ili mle matunda yake na vitu vingine vyema! Lakini mlipokuja, mliitia unajisi nchi yangu, mliufany urithi wangu kuwa chukizo!
И введох вас в землю Кармил, да снесте плоды его и благая того: и внидосте, и осквернили есте землю Мою, и достояние Мое поставили есте в мерзость.
8 Hata makuhani hawakusema, 'BWANA yuko wapi?' na watalamu wa sheria hawakunijali mimi! wachungaji wametenda dhambi dhidi yangu. Manabii wamemtolea Baali unabii na kuvitafuta vitu ambvyo havina faida.
Священницы не рекоша: где есть Господь? И держащии закон не ведеша Мя, и пастырие нечествоваша на Мя, и пророцы пророчествоваша в Ваала и идолом последоваша.
9 Kwa hiyo nitaendelea kuwashitaki - hili ni neno la BWANA - na nitawashitiki watoto wa watoto wenu.
Сего ради еще судом претися имам с вами, рече Господь, и с сыны вашими препрюся.
10 Kwa kuvuka kwenda hadi pwani ya Kitimu na kutazama. Tuma wajumbe kwenda Kedari na tafuta uone kama kama iliwahi kutokea hapo awali vitu kama hivi.
Того ради приидите во островы Хеттим и видите, и в Кидар послите и разсмотрите прилежно и видите, аще сотворена быша таковая?
11 Je, taifa limebadilisha miungu, hata kama haikuwa miungu? Lakini watu wangu wameubadili utukufu wao kwa kitu ambacho hakiwezi kuwasaidia.
Аще премениша языцы боги своя, и тии не суть бози? Людие же Мои премениша славу свою на то, от негоже не упользуются.
12 Sitajabuni, enyi mbingu kwa sababu ya hili! Tetemekeni na kuogopa -asema BWANA.
Ужасеся небо о сем и вострепета попремногу зело, глаголет Господь.
13 Kwa kuwa watu wangu wametenda maovu mawili dhidi yangu: Wameziacha chemichemi za maji ya uhai kwa kuchimba mabarika kwa ajili yao, mabarika yanayovuja yasiyoweza kutunza maji!
Два бо зла сотвориша людие Мои: Мене оставиша источника воды живы, и ископаша себе кладенцы сокрушеныя, иже не возмогут воды содержати.
14 Je, Israeli ni mtumwa? Kwani hakuzaliwa nyumbani? Kwa nini sasa amekuwa nyara?
Еда раб есть Израиль, или домочадец есть? Вскую бысть в пленение?
15 Wanasimba wameunguruma dhidi yake. Wamepiga kelele sana na kuifanya kuwa ukiwa. Miji yake imeharibiwa na kubaki bila watu.
На него рыкаша львове и издаша глас свой, иже поставиша землю его в пустыню, и грады его сожжени суть, еже не обитати в них.
16 Pia watu wa Nufu na Tahapanesi watakinyoa kichwa chako.
И сынове Мемфиса и Тафны познаша тя и поругашася тебе.
17 Je, hamkufanya haya kwa ajili yenu mlipomwacha BWANA, wakati Mungu wenu, alipokuwa akiwaongoza njiani?
Не сия ли сотвори тебе то, яко оставил еси Мене? Глаголет Господь Бог твой.
18 Kwa hiyo, kwa nini kutafuta msaada Misri na kunywa maji ya Shihori? Kwa nini kutafuta msaada Ashuru na kunywa maji ya Mto Frati?
И ныне что тебе и пути Египетскому, еже пити воду Геонскую? И что тебе и пути Ассирийскому, да пиеши воду речную?
19 Uovu wako unakukemea, na maasi yako yatakuadhibu. Kwa hiyo yafikiri hayo; tambua kuwa ni uovu na uchungu kwenu ninyi kuniacha mimi, BWANA Mungu wako, na kutokuwa na hofu yangu - asema BWANA wa majeshi.
Накажет тя отступление твое и злоба твоя обличит тя и увеждь и виждь, яко зло и горько ти есть, еже оставити мя, глаголет Господь Бог твой: и не благоволих от тебе, глаголет Господь Бог твой.
20 Kwa kuwa niliivunja nira yenu mliyokuwa nayo wakati wa kale; Nilivichana vifungo vyako kutoka kwako. Lakini bado ulisema, 'Sitamtumikia!' tangu ulipopiga magoti katika kila kilima kuusogelea kila mti wenye majani mabichhi, enyi makahaba.
Понеже от века сокрушил еси иго твое и растерзал еси узы твоя и рекл еси: не имам тебе служити, но пойду на всякий холм высокий и под всяким древом лиственным тамо разлиюся в блуде моем.
21 Lakini mimi mwenyewe niliwapanda kama mzabibu niliouchagua, mbegu iliyokamilika. Lakini tazama jinsi ulivyobadilika mbele yangu, na kuwa mzabibu usiofaa na mzabibu pori!
Аз же насадих тя виноград плодоносен, весь истинен: како превратился еси в горесть, виноград чуждий?
22 Kwa kuwa hata kama utajisafisha mwenyewe mtoni na kuoga kwa sabuni kali, bado dhambi yako ni madoa mbele yangu - asema BWANA Mungu.
Аще умыешися нитром и умножиши себе травы борифовы, порочен еси во беззакониих твоих предо Мною, рече Господь Бог.
23 Wawezaje kusema, 'Mimi sijanajisika! Mimi sjaenda kwa Mabaal?' Tazama tabia zako zilivyokuwa bondeni! Tambua kile ulichofanya, wewe ngamia mwepesi! akimbiaye katika njia yake!
Како речеши: не осквернихся и вслед Ваала не ходих? Виждь пути твоя на месте многогробищнем и увеждь, что сотворил еси. В вечер глас его рыдаше,
24 Wewe ni punda wa mwitu, aliyeizoelea nyika, avutaye pumzi za upepo usiofaa katika tamaa ya kuishi! Ni nani awezaye kumgeuza anapotafuta dume la kumpanda? Na punda dume amtafutaye hajichoshi mwenyewe. Huenda kwake wakati wa mwezi wa kupandwa.
пути своя разшири на воды пустынныя, в похотех души своея ветром ношашеся, предан бысть, кто обратит его? Вси ищущии его не утрудятся, во смирении его обрящут его.
25 Lazima uizuie miguu yako isikose kiatu na koo lako kuwa na kiu! Lakini umesema, 'Hakuna matumaini! Hapana! Nawapenda wageni nami huwatafuta!'
Отврати ногу твою от пути стропотна и гортань твой от жажди. И рече: возмужаюся, яко возлюби чуждих и вслед их хождаше.
26 Kama aibu ya mwizi ilivyo anapokuwa amekamatwa, ndivyo aibu ya Israeli itakavyokuwa - wao, wafalme wao, malikia wao, makuhani na manabii wao!
Якоже стыд татю, егда ят будет, тако постыдятся сынове Израилевы, тии и царие их, и началницы их и священницы их и пророцы их.
27 Hawa ndio wale waiambiayo miti, 'Ninyi ndio baba zangu,' na mawe, 'Ninyi ndio mlinizaa.' Kwa kuwa migongo yao hunitazama na siyo nyuso zao. Hata hivyo, wakati wa shida husema, 'Amka utuokoe!'
Древу рекоша: яко отец мой еси ты: и камени: ты мя родил еси: и обратиша ко Мне хребты, а не лица своя: и во время озлобления своего рекут: востани и избави нас.
28 Lakini iko wapi ile miungu mliyojitengenezea? Acha hao wainuke kama wanaweza kuwaokoa wakati wa shida, kwa kuwa hizo sanamu zenu zina idadi sawa na miji yenu, katika Yuda.
И где суть бози твои, яже сотворил еси тебе? Да востанут и избавят тя во время озлобления твоего: по числу бо градов твоих быша бози твои, Иудо, и по числу путий Иерусалимских жряху Ваалу.
29 Kwa hiyo kwa nini kunituhumu kwa kufanya makosa? Ninyi nyote mmeniasi - asema BWANA wa majeshi.
Вскую глаголете ко Мне? Вси вы нечествовасте и вси вы беззаконновасте ко Мне, глаголет Господь.
30 Nimewadhibu watu wenu bure. Wala hawakutaka kurudiwa. Upanga wako umewaangamiza manabii wenu kama kama simba aangamizaye!
Всуе поразих чада ваша, наказания не приясте, мечь пояде пророки вашя, аки лев погубляяй, и не убоястеся.
31 Enyi watu wa kizazi hiki! Sikilizeni neno langu, neno la BWANA! Je, nimekuwa jangwa kwa Israeli? Au nchi yenye giza nene? Kwa nini watu wangu husema, 'Acha tuzungukezunguke, hatutakuja kwako tena'?
Слышите слово Господне, тако глаголет Господь: еда пустыня бых Израилю, или земля неплодна? Вскую реша людие Мои: обладаеми не будем и потом не приидем к Тебе?
32 Je, mwanamwali anaweza kusahau mapambo yake, na bibi arusi mavazi yake? Lakini watu wngu wamenisahau mimi kwa siku nyingi!
Еда забудет невеста красоту свою, и дева мониста персий своих? Людие же Мои забыша Мене дни безчисленны.
33 Jinsi mlivyotengeneza njia zenu vizuri ili kutafuta mapenzi. Hata mmewafundisha njia zenu wanawake waovu.
Что еще добро ухитриши на путех твоих, еже взыскати любве? Не тако: но и ты лукавновала еси, еже осквернити пути твоя,
34 Damu ambayo ilikuwa ndio uhai wa watu wasio na hatia, imeonekana katika mavazi yenu. Hawa watu hawajawahi kuonekana katika matendo maovu.
и в руках твоих обретеся кровь душ (убогих) неповинных: не в ровех обретох их, но во всяцей дубраве.
35 Pamoja na mambo haya yote, wewe unaeendelea kusema kuwa hauna hatia. Kwa hakika hasira ya BWANA itageuka kutoka kwangu. 'Lakini tazama! Utahukumiwa kwa sababu, 'Sikutenda dhambi.'
И рекла еси: неповинна есмь, но да отвратится ярость Твоя от мене. Се, Аз суждуся с тобою, внегда рещи тебе: не согреших:
36 Kwa nini mnatangatanga kwa urahisi katika njia zenu? Pia Misri itawahuzunisha sana, kama ilivyokuwa kwa Ashuru.
понеже презрела еси зело, еже повторити пути твоя: и от Египта постыдишися, якоже постыдена еси от Ассура:
37 Mtaondoka hapo mkiwa mmehuzunika sana, mkiwa mmeweka mikono vichwani mwenu, kwa kuwa BWANA amemkutaa yule mliyemtumainia, kwa hiyo hamtapata msaada toka kwao,”
яко и оттуду изыдеши, и руце твои на главе твоей: яко отрину Господь надеяние твое, и не благопоспешится тебе в нем.

< Yeremia 2 >