< Yeremia 2 >
1 Neno la BWANA lilinijia likisema,
Et voici ce que dit encore le Seigneur: Je me suis souvenu de ta jeunesse en ma miséricorde, et de mon amour pour ta consécration, quand tu suivais le Saint d'Israël, dit le Seigneur.
2 “Nenda ukanene katika masikio ya Yerusalemu. Useme; BWANA asema hivi: Ninakumbuka agano la uaminifu la ujana wako, upendo wako wakati tulipokuwa tumechumbiana, ulipokuwa ukinihitaji kule jangwani, katika ile nchi iliyokuwa haijapandwa.
Et voici ce que dit encore le Seigneur: Je me suis souvenu de ta jeunesse en ma miséricorde, et de mon amour pour ta consécration, quand tu suivais le Saint d'Israël, dit le Seigneur.
3 Israeli alikuwa ametengwa kwa BWANA, malimbuko yake ya mavuno yake! Wote waliokula malimbuko yake walikuwa na hatia! majanga yaliwajia—asema BWANA.'”
Israël est le peuple saint du Seigneur, prémices de ses fruits; tous ceux qui le dévorent sont coupables; les maux viendront sur eux, dit le Seigneur.
4 Sikilizeni neno la BWANA, enyi nyumba ya Yakobo na kila familia katika nyumba ya Israeli.
Écoutez la parole du Seigneur, maison de Jacob, et vous, famille entière de la maison d'Israël
5 BWANA anasema hivi, “Ni makosa gani ambayo baba zenu waliyaona kwangu, hata wakatae kunifuata mimi? hata wazifuate sanamu ambazo hazina chochote na wao kuwa si kitu?
Voici ce que dit le Seigneur: Quelle faute vos pères ont-ils trouvée en moi, pour s'éloigner ainsi de moi et marcher après les vanités et devenir vains eux-mêmes?
6 Wala hawakusema, BWANA yuko wapi, ambaye alitutoa katika nchi ya Misri? BWANA yuko wapi, ambaye alituongoza katika jangwa, katika nchi ya Araba na mashimo, katika nchi ya ukame na giza nene, katika nchi ambayo hakuna mtu apitaye wala hakuna mtu anayeishi humo?
Et ils n'ont point dit: Où est le Seigneur qui nous a ramenés de la terre d'Égypte, qui nous a conduits dans le désert, en une terre inhabitée et sans chemin, terre sans eau et sans fruit, que nul n'avait traversée et que nul n'habitait?
7 Lakini nilwaleta katika nchi ya Kameli, ili mle matunda yake na vitu vingine vyema! Lakini mlipokuja, mliitia unajisi nchi yangu, mliufany urithi wangu kuwa chukizo!
Et je vous ai menés sur le Carmel, pour vous en faire manger les fruits et les biens; et vous êtes entrés dans ma terre, et vous l'avez souillée, et vous avez fait de mon héritage une abomination.
8 Hata makuhani hawakusema, 'BWANA yuko wapi?' na watalamu wa sheria hawakunijali mimi! wachungaji wametenda dhambi dhidi yangu. Manabii wamemtolea Baali unabii na kuvitafuta vitu ambvyo havina faida.
Les prêtres n'ont pas dit: Où est le Seigneur? Et les dépositaires de la loi ne m'ont point connu; et les pasteurs ont péché contre moi, et les prophètes ont prophétisé pour Baal, et ils ont marché après des vanités.
9 Kwa hiyo nitaendelea kuwashitaki - hili ni neno la BWANA - na nitawashitiki watoto wa watoto wenu.
A cause de cela, j'entrerai encore en jugement avec vous, et j'entrerai en jugement avec vos fils.
10 Kwa kuvuka kwenda hadi pwani ya Kitimu na kutazama. Tuma wajumbe kwenda Kedari na tafuta uone kama kama iliwahi kutokea hapo awali vitu kama hivi.
Allez aux lies de Céthim et voyez, envoyez à Cédar, informez-vous et voyez si on y fait pareilles choses;
11 Je, taifa limebadilisha miungu, hata kama haikuwa miungu? Lakini watu wangu wameubadili utukufu wao kwa kitu ambacho hakiwezi kuwasaidia.
Si les gentils ont changé leurs dieux (et ce ne sont pas des dieux). Cependant mon peuple a échangé sa gloire pour des choses sans utilité.
12 Sitajabuni, enyi mbingu kwa sababu ya hili! Tetemekeni na kuogopa -asema BWANA.
Le ciel en a été stupéfait et il a frémi de choses pires encore, dit le Seigneur.
13 Kwa kuwa watu wangu wametenda maovu mawili dhidi yangu: Wameziacha chemichemi za maji ya uhai kwa kuchimba mabarika kwa ajili yao, mabarika yanayovuja yasiyoweza kutunza maji!
Car mon peuple a fait deux choses mauvaises: ils m'ont délaissé, moi la fontaine d'eau vive, et ils se sont creusé des citernes crevassées qui ne pourront retenir l'eau.
14 Je, Israeli ni mtumwa? Kwani hakuzaliwa nyumbani? Kwa nini sasa amekuwa nyara?
Israël est-il un esclave? est-il né dans la servitude? Pourquoi est-il devenu une proie?
15 Wanasimba wameunguruma dhidi yake. Wamepiga kelele sana na kuifanya kuwa ukiwa. Miji yake imeharibiwa na kubaki bila watu.
Les lions ont rugi contre lui; et ceux qui ont fait de ses champs un désert ont jeté des clameurs; et ses cités ont été détruites, parce qu'elles n'étaient plus habitées.
16 Pia watu wa Nufu na Tahapanesi watakinyoa kichwa chako.
Et les fils de Memphis et de Taphnès t'ont connue, ô Jérusalem, et ils se sont joués de toi.
17 Je, hamkufanya haya kwa ajili yenu mlipomwacha BWANA, wakati Mungu wenu, alipokuwa akiwaongoza njiani?
Et n'as tu pas été traitée de la sorte pour m'avoir abandonné? dit le Seigneur ton Dieu.
18 Kwa hiyo, kwa nini kutafuta msaada Misri na kunywa maji ya Shihori? Kwa nini kutafuta msaada Ashuru na kunywa maji ya Mto Frati?
Et maintenant qu'as-tu à faire avec la voie de l'Égypte, pour y boire l'eau du Géhon? Qu'as-tu à faire avec la voie des Assyriens, pour y boire l'eau de leurs fleuves?
19 Uovu wako unakukemea, na maasi yako yatakuadhibu. Kwa hiyo yafikiri hayo; tambua kuwa ni uovu na uchungu kwenu ninyi kuniacha mimi, BWANA Mungu wako, na kutokuwa na hofu yangu - asema BWANA wa majeshi.
Ta rébellion même te punira, et ta malice t'accusera; sache donc, et vois comme il est amer pour toi de m'avoir abandonné, dit le Seigneur ton Dieu; je ne me suis point complu en toi, dit le Seigneur ton Dieu.
20 Kwa kuwa niliivunja nira yenu mliyokuwa nayo wakati wa kale; Nilivichana vifungo vyako kutoka kwako. Lakini bado ulisema, 'Sitamtumikia!' tangu ulipopiga magoti katika kila kilima kuusogelea kila mti wenye majani mabichhi, enyi makahaba.
Dès les premiers temps, tu as rompu ton joug, tu as mis en pièces tes liens, et tu as dit: Je ne vous servirai pas, mais j'irai sur tous les hauts lieux, et à l'ombre de tous les bois touffus je me livrerai à ma prostitution.
21 Lakini mimi mwenyewe niliwapanda kama mzabibu niliouchagua, mbegu iliyokamilika. Lakini tazama jinsi ulivyobadilika mbele yangu, na kuwa mzabibu usiofaa na mzabibu pori!
Moi cependant j'ai planté pour toi une vigne féconde en fruits, toute de bon plant; pourquoi as-tu tourné à l'amertume, ô vigne étrangère?
22 Kwa kuwa hata kama utajisafisha mwenyewe mtoni na kuoga kwa sabuni kali, bado dhambi yako ni madoa mbele yangu - asema BWANA Mungu.
Quand même on te laverait dans le nitre, quand tu multiplierais pour toi la saponaire, tu serais toujours souillée de tes iniquités devant moi, dit le Seigneur.
23 Wawezaje kusema, 'Mimi sijanajisika! Mimi sjaenda kwa Mabaal?' Tazama tabia zako zilivyokuwa bondeni! Tambua kile ulichofanya, wewe ngamia mwepesi! akimbiaye katika njia yake!
Comment peux-tu dire: Je ne me suis point souillée, je n'ai point couru après Baal? Considère tes voies dans le cimetière, et reconnais ce que tu as fait; sa voix a poussé des hurlements jusqu'à l'entrée de la nuit.
24 Wewe ni punda wa mwitu, aliyeizoelea nyika, avutaye pumzi za upepo usiofaa katika tamaa ya kuishi! Ni nani awezaye kumgeuza anapotafuta dume la kumpanda? Na punda dume amtafutaye hajichoshi mwenyewe. Huenda kwake wakati wa mwezi wa kupandwa.
Elle a dilaté ses voies vers les eaux du désert; elle a été emportée au gré des désirs de son âme; elle a été asservie; qui la ramènera? Tous ceux qui la cherchent n'auront pas de peine; ils la trouveront dans son abaissement.
25 Lazima uizuie miguu yako isikose kiatu na koo lako kuwa na kiu! Lakini umesema, 'Hakuna matumaini! Hapana! Nawapenda wageni nami huwatafuta!'
Détourne ton pied de la voie escarpée, et ton gosier de la soif; mais elle a dit: J'aurai du courage, parce que j'aime les étrangers; et elle a cheminé après eux.
26 Kama aibu ya mwizi ilivyo anapokuwa amekamatwa, ndivyo aibu ya Israeli itakavyokuwa - wao, wafalme wao, malikia wao, makuhani na manabii wao!
Comme un larron est confondu quand il est surpris, ainsi seront confondus les enfants d'Israël, et leurs rois, et leurs princes, et leurs prêtres, et leurs prophètes.
27 Hawa ndio wale waiambiayo miti, 'Ninyi ndio baba zangu,' na mawe, 'Ninyi ndio mlinizaa.' Kwa kuwa migongo yao hunitazama na siyo nyuso zao. Hata hivyo, wakati wa shida husema, 'Amka utuokoe!'
Ils ont dit au bois: Tu es mon père; et au marbre: Tu m'as engendré; et ils m'ont tourné le dos, et non la face. Et au jour de leurs maux ils diront: Seigneur, levez-vous et sauvez-nous!
28 Lakini iko wapi ile miungu mliyojitengenezea? Acha hao wainuke kama wanaweza kuwaokoa wakati wa shida, kwa kuwa hizo sanamu zenu zina idadi sawa na miji yenu, katika Yuda.
Et où sont tes dieux, que tu t'es fabriqués? Se lèveront-ils? te sauveront-ils au jour de ton malheur? car tu avais autant de dieux que de villes, Juda; et dans toutes les rues de Jérusalem on sacrifiait à Baal.
29 Kwa hiyo kwa nini kunituhumu kwa kufanya makosa? Ninyi nyote mmeniasi - asema BWANA wa majeshi.
Pourquoi me parlez-vous? Vous avez tous été impies, et tous vous avez péché contre moi, dit le Seigneur.
30 Nimewadhibu watu wenu bure. Wala hawakutaka kurudiwa. Upanga wako umewaangamiza manabii wenu kama kama simba aangamizaye!
En vain j'ai frappé vos enfants; vous n'en avez point été corrigés; le glaive a détruit vos prophètes, comme un lion dévorant, et vous n'en avez pas été épouvantés.
31 Enyi watu wa kizazi hiki! Sikilizeni neno langu, neno la BWANA! Je, nimekuwa jangwa kwa Israeli? Au nchi yenye giza nene? Kwa nini watu wangu husema, 'Acha tuzungukezunguke, hatutakuja kwako tena'?
Écoutez la parole du Seigneur: Voici ce que dit le Seigneur: Ai-je été un désert, ou une terre aride pour Israël? Pourquoi mon peuple a-t-il dit: Nous ne voulons pas de maître, nous n'irons plus à vous?
32 Je, mwanamwali anaweza kusahau mapambo yake, na bibi arusi mavazi yake? Lakini watu wngu wamenisahau mimi kwa siku nyingi!
Est-ce qu'une jeune épouse oublie sa parure, et une vierge les bandelettes de son sein? Et moi, mon peuple m'a oublié durant des jours sans nombre.
33 Jinsi mlivyotengeneza njia zenu vizuri ili kutafuta mapenzi. Hata mmewafundisha njia zenu wanawake waovu.
Quel bien fais-tu encore dans ta voie, pour rechercher ma tendresse? Tu ne fais rien; au contraire, tu as fait le mal pour souiller tes voies.
34 Damu ambayo ilikuwa ndio uhai wa watu wasio na hatia, imeonekana katika mavazi yenu. Hawa watu hawajawahi kuonekana katika matendo maovu.
Et l'on a trouvé dans tes mains le sang d'âmes innocentes. Je ne les ai point vus dans des tombeaux, mais au pied de chaque chêne.
35 Pamoja na mambo haya yote, wewe unaeendelea kusema kuwa hauna hatia. Kwa hakika hasira ya BWANA itageuka kutoka kwangu. 'Lakini tazama! Utahukumiwa kwa sababu, 'Sikutenda dhambi.'
Et tu as dit: Je suis innocente, détournez de moi votre colère. Mais voilà que j'entrerai en jugement avec toi, parce que tu as dit: Je n'ai point péché;
36 Kwa nini mnatangatanga kwa urahisi katika njia zenu? Pia Misri itawahuzunisha sana, kama ilivyokuwa kwa Ashuru.
Parce que, pleine de mépris pour moi, tu es rentrée dans tes anciennes voies. Et tu seras déshonorée par l'Égypte, comme tu l'as été par Assur,
37 Mtaondoka hapo mkiwa mmehuzunika sana, mkiwa mmeweka mikono vichwani mwenu, kwa kuwa BWANA amemkutaa yule mliyemtumainia, kwa hiyo hamtapata msaada toka kwao,”
D'où tu es sortie les mains sur la tête; car le Seigneur a rejeté ton espérance, et en Égypte tu n'auras aucune prospérité.