< Yeremia 2 >

1 Neno la BWANA lilinijia likisema,
La parole de Yahvé me fut adressée, en ces termes:
2 “Nenda ukanene katika masikio ya Yerusalemu. Useme; BWANA asema hivi: Ninakumbuka agano la uaminifu la ujana wako, upendo wako wakati tulipokuwa tumechumbiana, ulipokuwa ukinihitaji kule jangwani, katika ile nchi iliyokuwa haijapandwa.
« Va, et proclame aux oreilles de Jérusalem: « Yahvé dit », « Je me souviens pour vous de la gentillesse de votre jeunesse, votre amour en tant que mariée, comment tu m'as poursuivi dans le désert, dans une terre qui n'a pas été ensemencée.
3 Israeli alikuwa ametengwa kwa BWANA, malimbuko yake ya mavuno yake! Wote waliokula malimbuko yake walikuwa na hatia! majanga yaliwajia—asema BWANA.'”
Israël était la sainteté pour Yahvé, les prémices de son accroissement. Tous ceux qui le dévorent seront tenus pour coupables. Le malheur viendra sur eux, dit Yahvé. »
4 Sikilizeni neno la BWANA, enyi nyumba ya Yakobo na kila familia katika nyumba ya Israeli.
Écoutez la parole de Yahvé, maison de Jacob, et toutes les familles de la maison d'Israël!
5 BWANA anasema hivi, “Ni makosa gani ambayo baba zenu waliyaona kwangu, hata wakatae kunifuata mimi? hata wazifuate sanamu ambazo hazina chochote na wao kuwa si kitu?
Yahvé dit, « Quelle iniquité vos pères ont-ils trouvée en moi, qu'ils se sont éloignés de moi, et ont marché après une vanité sans valeur, et sont devenus sans valeur?
6 Wala hawakusema, BWANA yuko wapi, ambaye alitutoa katika nchi ya Misri? BWANA yuko wapi, ambaye alituongoza katika jangwa, katika nchi ya Araba na mashimo, katika nchi ya ukame na giza nene, katika nchi ambayo hakuna mtu apitaye wala hakuna mtu anayeishi humo?
Ils n'ont pas dit: « Où est l'Éternel qui nous a fait monter du pays d'Égypte? qui nous a conduit dans le désert, à travers un pays de déserts et de fosses, à travers un pays de sécheresse et d'ombre de la mort, à travers une terre que personne n'a traversée, et où aucun homme ne vivait?
7 Lakini nilwaleta katika nchi ya Kameli, ili mle matunda yake na vitu vingine vyema! Lakini mlipokuja, mliitia unajisi nchi yangu, mliufany urithi wangu kuwa chukizo!
Je vous ai fait entrer dans un pays abondant. pour manger ses fruits et ses bienfaits; mais quand vous êtes entrés, vous avez souillé mon pays, et ont fait de mon héritage une abomination.
8 Hata makuhani hawakusema, 'BWANA yuko wapi?' na watalamu wa sheria hawakunijali mimi! wachungaji wametenda dhambi dhidi yangu. Manabii wamemtolea Baali unabii na kuvitafuta vitu ambvyo havina faida.
Les prêtres ne disaient pas: « Où est Yahvé? et ceux qui s'occupent de la loi ne me connaissaient pas. Les dirigeants ont aussi transgressé mes règles, et les prophètes ont prophétisé par Baal et suivi des choses qui ne profitent pas.
9 Kwa hiyo nitaendelea kuwashitaki - hili ni neno la BWANA - na nitawashitiki watoto wa watoto wenu.
« C'est pourquoi je contesterai encore avec vous, dit Yahvé, « et je me disputerai avec les enfants de vos enfants ».
10 Kwa kuvuka kwenda hadi pwani ya Kitimu na kutazama. Tuma wajumbe kwenda Kedari na tafuta uone kama kama iliwahi kutokea hapo awali vitu kama hivi.
Car passez dans les îles de Kittim, et regardez. Envoie à Kedar, et réfléchis bien, et voir s'il y a eu une telle chose.
11 Je, taifa limebadilisha miungu, hata kama haikuwa miungu? Lakini watu wangu wameubadili utukufu wao kwa kitu ambacho hakiwezi kuwasaidia.
Une nation a changé ses dieux, qui ne sont pas vraiment des dieux? Mais mon peuple a changé sa gloire pour ce qui ne profite pas.
12 Sitajabuni, enyi mbingu kwa sababu ya hili! Tetemekeni na kuogopa -asema BWANA.
« Cieux, soyez étonnés de ce qui suit et avoir horriblement peur. Soyez très désolés », dit Yahvé.
13 Kwa kuwa watu wangu wametenda maovu mawili dhidi yangu: Wameziacha chemichemi za maji ya uhai kwa kuchimba mabarika kwa ajili yao, mabarika yanayovuja yasiyoweza kutunza maji!
« Car mon peuple a commis deux maux: ils m'ont abandonné, moi, la source d'eau vive, et se sont taillés des citernes: des citernes cassées qui ne peuvent pas contenir d'eau.
14 Je, Israeli ni mtumwa? Kwani hakuzaliwa nyumbani? Kwa nini sasa amekuwa nyara?
Israël est-il un esclave? Est-il né dans l'esclavage? Pourquoi est-il devenu un captif?
15 Wanasimba wameunguruma dhidi yake. Wamepiga kelele sana na kuifanya kuwa ukiwa. Miji yake imeharibiwa na kubaki bila watu.
Les jeunes lions ont rugi contre lui et ont élevé leur voix. Ils ont fait de ses terres des déchets. Ses villes sont brûlées, sans habitant.
16 Pia watu wa Nufu na Tahapanesi watakinyoa kichwa chako.
Les enfants de Memphis et de Tachpanès ont brisé la couronne de ta tête.
17 Je, hamkufanya haya kwa ajili yenu mlipomwacha BWANA, wakati Mungu wenu, alipokuwa akiwaongoza njiani?
« N'est-ce pas vous qui l'avez provoqué? en ce que tu as abandonné Yahvé ton Dieu, quand il te conduisait par le chemin?
18 Kwa hiyo, kwa nini kutafuta msaada Misri na kunywa maji ya Shihori? Kwa nini kutafuta msaada Ashuru na kunywa maji ya Mto Frati?
Maintenant, que gagnez-vous à aller en Égypte, pour boire les eaux du Shihor? Ou bien, pourquoi voulez-vous aller jusqu'en Assyrie, pour boire les eaux du fleuve?
19 Uovu wako unakukemea, na maasi yako yatakuadhibu. Kwa hiyo yafikiri hayo; tambua kuwa ni uovu na uchungu kwenu ninyi kuniacha mimi, BWANA Mungu wako, na kutokuwa na hofu yangu - asema BWANA wa majeshi.
« Ta propre méchanceté te corrigera, et votre retour en arrière vous réprimandera. Sachez donc et voyez que c'est une chose mauvaise et amère, que tu as abandonné Yahvé ton Dieu, et que ma crainte ne soit pas en vous, dit le Seigneur, Yahvé des Armées.
20 Kwa kuwa niliivunja nira yenu mliyokuwa nayo wakati wa kale; Nilivichana vifungo vyako kutoka kwako. Lakini bado ulisema, 'Sitamtumikia!' tangu ulipopiga magoti katika kila kilima kuusogelea kila mti wenye majani mabichhi, enyi makahaba.
« Car il y a longtemps que j'ai brisé ton joug, et briser vos liens. Tu as dit: « Je ne servirai pas ». car sur chaque haute colline et sous chaque arbre vert, tu t'es incliné, jouant la prostituée.
21 Lakini mimi mwenyewe niliwapanda kama mzabibu niliouchagua, mbegu iliyokamilika. Lakini tazama jinsi ulivyobadilika mbele yangu, na kuwa mzabibu usiofaa na mzabibu pori!
Pourtant, je t'avais planté une vigne noble, une semence pure et fidèle. Comment donc êtes-vous devenus pour moi les branches dégénérées d'une vigne étrangère?
22 Kwa kuwa hata kama utajisafisha mwenyewe mtoni na kuoga kwa sabuni kali, bado dhambi yako ni madoa mbele yangu - asema BWANA Mungu.
Car si tu te laves avec de la lessive, et utiliser beaucoup de savon, mais ton iniquité est marquée devant moi », dit le Seigneur Yahvé.
23 Wawezaje kusema, 'Mimi sijanajisika! Mimi sjaenda kwa Mabaal?' Tazama tabia zako zilivyokuwa bondeni! Tambua kile ulichofanya, wewe ngamia mwepesi! akimbiaye katika njia yake!
« Comment pouvez-vous dire: « Je ne suis pas souillé »? Je ne me suis pas attaqué aux Baals? Voyez votre chemin dans la vallée. Sachez ce que vous avez fait. Tu es un dromadaire rapide qui parcourt ses chemins,
24 Wewe ni punda wa mwitu, aliyeizoelea nyika, avutaye pumzi za upepo usiofaa katika tamaa ya kuishi! Ni nani awezaye kumgeuza anapotafuta dume la kumpanda? Na punda dume amtafutaye hajichoshi mwenyewe. Huenda kwake wakati wa mwezi wa kupandwa.
un âne sauvage habitué au désert, qui renifle le vent dans sa soif. Quand elle est en chaleur, qui peut la repousser? Tous ceux qui la cherchent ne se lasseront pas. Dans son mois, ils la trouveront.
25 Lazima uizuie miguu yako isikose kiatu na koo lako kuwa na kiu! Lakini umesema, 'Hakuna matumaini! Hapana! Nawapenda wageni nami huwatafuta!'
« Empêchez vos pieds d'être nus, et votre gorge de la soif. Mais tu as dit: « C'est en vain ». Non, car j'ai aimé des étrangers, et je les suivrai.
26 Kama aibu ya mwizi ilivyo anapokuwa amekamatwa, ndivyo aibu ya Israeli itakavyokuwa - wao, wafalme wao, malikia wao, makuhani na manabii wao!
Comme le voleur a honte quand on le trouve, et la maison d'Israël a honte... eux, leurs rois, leurs princes, leurs prêtres et leurs prophètes,
27 Hawa ndio wale waiambiayo miti, 'Ninyi ndio baba zangu,' na mawe, 'Ninyi ndio mlinizaa.' Kwa kuwa migongo yao hunitazama na siyo nyuso zao. Hata hivyo, wakati wa shida husema, 'Amka utuokoe!'
qui disent au bois: « Tu es mon père ». et une pierre: « Tu m'as donné naissance ». car ils m'ont tourné le dos, et non leur visage, mais au moment de leur détresse, ils diront: « Lève-toi et sauve-nous! ».
28 Lakini iko wapi ile miungu mliyojitengenezea? Acha hao wainuke kama wanaweza kuwaokoa wakati wa shida, kwa kuwa hizo sanamu zenu zina idadi sawa na miji yenu, katika Yuda.
« Mais où sont vos dieux que vous vous êtes faits? Laissez-les se lever, s'ils peuvent vous sauver au moment où vous êtes dans le pétrin, car tu as autant de dieux que tu as de villes, ô Juda.
29 Kwa hiyo kwa nini kunituhumu kwa kufanya makosa? Ninyi nyote mmeniasi - asema BWANA wa majeshi.
« Pourquoi voulez-vous me disputer? Vous avez tous péché contre moi, dit Yahvé.
30 Nimewadhibu watu wenu bure. Wala hawakutaka kurudiwa. Upanga wako umewaangamiza manabii wenu kama kama simba aangamizaye!
« C'est en vain que j'ai frappé tes enfants. Ils n'ont reçu aucune correction. Votre propre épée a dévoré vos prophètes, comme un lion destructeur.
31 Enyi watu wa kizazi hiki! Sikilizeni neno langu, neno la BWANA! Je, nimekuwa jangwa kwa Israeli? Au nchi yenye giza nene? Kwa nini watu wangu husema, 'Acha tuzungukezunguke, hatutakuja kwako tena'?
Génération, considère la parole de Yahvé. Ai-je été un désert pour Israël? Ou une terre de ténèbres épaisses? Pourquoi mon peuple dit-il: « Nous nous sommes détachés »? Nous ne viendrons plus chez toi »?
32 Je, mwanamwali anaweza kusahau mapambo yake, na bibi arusi mavazi yake? Lakini watu wngu wamenisahau mimi kwa siku nyingi!
« Une vierge peut-elle oublier ses ornements, ou une mariée sa tenue? Mais mon peuple m'a oublié pendant des jours sans nombre.
33 Jinsi mlivyotengeneza njia zenu vizuri ili kutafuta mapenzi. Hata mmewafundisha njia zenu wanawake waovu.
Comme tu prépares bien ton chemin pour chercher l'amour! C'est pourquoi tu as même enseigné tes voies aux méchantes femmes.
34 Damu ambayo ilikuwa ndio uhai wa watu wasio na hatia, imeonekana katika mavazi yenu. Hawa watu hawajawahi kuonekana katika matendo maovu.
Le sang des âmes des pauvres innocents se trouve aussi dans tes jupes. Vous ne les avez pas trouvés en train d'entrer par effraction, mais c'est à cause de toutes ces choses.
35 Pamoja na mambo haya yote, wewe unaeendelea kusema kuwa hauna hatia. Kwa hakika hasira ya BWANA itageuka kutoka kwangu. 'Lakini tazama! Utahukumiwa kwa sababu, 'Sikutenda dhambi.'
Tu as pourtant dit: « Je suis innocent. Sa colère s'est détournée de moi. « Voici, je vais vous juger, parce que tu dis: « Je n'ai pas péché ».
36 Kwa nini mnatangatanga kwa urahisi katika njia zenu? Pia Misri itawahuzunisha sana, kama ilivyokuwa kwa Ashuru.
Pourquoi faites-vous tant d'efforts pour changer vos habitudes? Tu auras aussi honte de l'Égypte, comme vous avez eu honte de l'Assyrie.
37 Mtaondoka hapo mkiwa mmehuzunika sana, mkiwa mmeweka mikono vichwani mwenu, kwa kuwa BWANA amemkutaa yule mliyemtumainia, kwa hiyo hamtapata msaada toka kwao,”
Vous quitterez aussi ce lieu avec les mains sur la tête; car Yahvé a rejeté ceux en qui vous vous êtes confiés, et vous ne prospérerez pas avec eux.

< Yeremia 2 >