< Yeremia 19 >

1 Bwana akasema hivi, “Nenda ukanunue chupa ya udongo wakati ukiwa na wazee wa watu na makuhani.
Ainsi parla l’Eternel: "Va, achète une cruche au potier qui travaille l’argile, emmène quelques-uns des anciens parmi le peuple et des anciens parmi les prêtres,
2 Kisha uende mpaka bonde la Ben Hinomu wakati wa kuingia kwenye mlango uliovunjika wa mfinyanzi, na huko utangaza maneno nitakayokuambia.
et sors dans la vallée de Ben-Hinnom, située à l’entrée de la porte de Harsit; là tu publieras les paroles que je te dicterai.
3 Ukisema, 'Sikilizeni neno la Bwana, wafalme wa Yuda na wenyeji wa Yerusalemu! Bwana wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, “Tazameni, na nitaletea msiba juu ya mahali hapa, na masikio ya kila mtu anayesikia yatawaka.
Tu diras: Ecoute la parole de l’Eternel, rois de Juda et habitants de Jérusalem! Ainsi parle l’Eternel-Cebaot, Dieu d’Israël: Voici, je fais fondre sur cet endroit une calamité telle que les oreilles en tinteront à quiconque en entendra parler.
4 Nitafanya hivyo kwa sababu wameniacha na kudharau mahali hapa. Katika mahali hapa wanatoa sadaka kwa miungu mingine ambayo hawakuijua. Wao, baba zao, na wafalme wa Yuda pia wamejaza mahali damu isiyo na hatia.
Parce qu’ils m’ont abandonné, parce qu’ils ont déshonoré cet endroit en y offrant l’encens à des dieux étrangers, à eux inconnuseux et leurs ancêtres et les rois de Juda, en remplissant cet endroit du sang des innocents,
5 Walimjengea Baali mahali pa juu na kuwachoma watoto wao kwa moto kama sadaka za kuteketezwa kwake-kitu ambacho sijawaamuru au kutaja, wala hakuingia ndani ya akili yangu.
en bâtissant les hauts-lieux de Baal, pour brûler leurs enfants comme holocaustes à Baal, ce que je n’ai ni prescrit ni recommandé et ce qui ne m’est jamais venu à la pensée.
6 Kwa hiyo, tazama, siku zinakuja-hili ndilo tamko la Bwana-ambapo mahali hapa hapataitwa tena Tofethi, bonde la Ben Hinomu, kwa kuwa litakuwa bonde la machinjo.
Aussi des jours vont-ils venir, dit l’Eternel, où l’on n’appellera plus cet endroit Tofèt et Vallée de Ben-Hinnom, mais Vallée du Massacre.
7 Katika mahali hapa nitatamgua mipango ya Yuda na Yerusalemu. Nitawafanya wapate kuuawa kwa upanga mbele ya adui zao na kwa mkono wa wale wanaotafuta maisha yao. Ndipo nitawapa miili yao kuwa chakula cha ndege wa angani na wanyama wa dunia.
En ces mêmes lieux, je mettrai à néant les projets de Juda et de Jérusalem, que je ferai succomber sous le glaive de leurs ennemis et par la main de ceux qui en veulent à leur vie, et je livrerai leurs cadavres en pâture aux oiseaux du ciel et aux animaux de la terre.
8 Ndipo nitaifanya mji huu kuwa uharibifu na kitu cha kuzomewa, kila mtu anayepita atashangaa na kuzomea kwa sababu mateso yake yote.
Je ferai de cette ville une ruine et un objet de dérision; quiconque passera près d’elle sera stupéfait et se mettra à ricaner à la vue de toutes ses plaies.
9 Nitawafanya wale nyama ya wana wao na binti zao; kila mtu atakula mwili wa jirani yake katika dhiki na katika uchungu ambao umeletwa kwao na maadui zao na wale wanaotaka maisha yao.'”
Et je les réduirai à dévorer la chair de leurs fils et la chair de leurs filles; l’un dévorera la chair de l’autre par suite du siège et de la détresse où les étreindront leurs ennemis et leurs mortels adversaires.
10 Kisha utavunja chupa ya udongo mbele ya watu ambao walikwenda pamoja nawe.
Puis tu briseras la cruche sous les yeux des gens qui t’auront accompagné,
11 Uwaambie,'Bwana wa majeshi asema hivi: nitafanya jambo hili kwa watu hawa na mji huu- hii ndiyo ahadi ya Bwana, kama vile Yeremia alivyovunja chupa ya udongo ili isiweze kutengenezwa tena. Watu watazika wafu huko Tofethi hata hapatabaki mahali pa kuzika.
et leur diras: Ainsi parle l’Eternel-Cebaot: C’Est de la sorte que je briserai ce peuple et cette ville, comme on met en pièces un vase de potier, qui ne peut plus être réparé; c’est au Tofèt qu’on ensevelira, faute d’autre place pour la sépulture.
12 Hivyo ndivyo nitakavyopafanya mahali hapa na wenyeji wake nitakapofanya jiji hili kama Tofethi, hili ndio tamko la Bwana;
Voilà comme je traiterai cet endroit, dit l’Eternel, et ses habitants, en rendant cette ville semblable au Tofèt.
13 kwa hiyo nyumba za Yerusalemu na wafalme wa Yuda watakuwa kama Tofethi, nyumba zote zilizo juu ya watu waovu wanaoabudu nyota zote za mbinguni na kumwaga sadaka za kinywaji kwa miungu mingine.'”
Les maisons de Jérusalem et les demeures des rois de Juda seront comme les sites impurs du Tofèt, oui, toutes les maisons sur les terrasses desquelles on offrait de l’encens aux milices célestes, où l’on faisait des libations aux dieux étrangers.
14 Ndipo Yeremia akatoka Tofethi, ambako Bwana amemtuma ahubiri. Akasimama katika ua wa nyumba ya Bwana, akawaambia watu wote,
Puis, Jérémie revint du Tofèt, où Dieu l’avait envoyé pour prophétiser, il s’arrêta dans la cour de la maison de l’Eternel et dit à tout le peuple:
15 “Bwana wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, Tazameni, nitawaletea mji huu na miji yake yote maafa yote niliyonena dhidi yake, kwa kuwa walifanya shingo zao kuwa ngumu na kukataa kusikiliza maneno yangu.'”
"Ainsi parle l’Eternel-Cebaot, Dieu d’Israël: Je vais faire fondre sur cette cité et sur toutes les villes qui en dépendent toute la calamité dont je l’ai menacée, car ils ont raidi leur cou et refusé d’écouter mes paroles."

< Yeremia 19 >