< Yeremia 19 >
1 Bwana akasema hivi, “Nenda ukanunue chupa ya udongo wakati ukiwa na wazee wa watu na makuhani.
Saaledes sagde HERREN: Gaa hen og køb dig et Krus hos Pottemageren, tag nogle af Folkets og Præsternes Ældste med
2 Kisha uende mpaka bonde la Ben Hinomu wakati wa kuingia kwenye mlango uliovunjika wa mfinyanzi, na huko utangaza maneno nitakayokuambia.
og gaa ud i Hinnoms Søns Dal ved Indgangen til Potteskaarporten og udraab der de Ord, jeg taler til dig!
3 Ukisema, 'Sikilizeni neno la Bwana, wafalme wa Yuda na wenyeji wa Yerusalemu! Bwana wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, “Tazameni, na nitaletea msiba juu ya mahali hapa, na masikio ya kila mtu anayesikia yatawaka.
Du skal sige: Hør HERRENS Ord, Judas Konger og Jerusalems Borgere: Saa siger Hærskarers HERRE, Israels Gud: Se, jeg sender over dette Sted en Ulykke, saa det skal ringe for Ørene paa enhver, der hører derom,
4 Nitafanya hivyo kwa sababu wameniacha na kudharau mahali hapa. Katika mahali hapa wanatoa sadaka kwa miungu mingine ambayo hawakuijua. Wao, baba zao, na wafalme wa Yuda pia wamejaza mahali damu isiyo na hatia.
fordi de forlod mig og gjorde dette Sted fremmed og tændte Offerild der for andre Guder, som hverken de eller deres Fædre før kendte til, og Judas Konger fyldte dette Sted med skyldfries Blod,
5 Walimjengea Baali mahali pa juu na kuwachoma watoto wao kwa moto kama sadaka za kuteketezwa kwake-kitu ambacho sijawaamuru au kutaja, wala hakuingia ndani ya akili yangu.
og de byggede Ba'alshøjene for at brænde deres Børn i Ild som Brændofre til Ba'al, hvad jeg ikke havde paabudt eller talt om, og hvad aldrig var opkommet i min Tanke.
6 Kwa hiyo, tazama, siku zinakuja-hili ndilo tamko la Bwana-ambapo mahali hapa hapataitwa tena Tofethi, bonde la Ben Hinomu, kwa kuwa litakuwa bonde la machinjo.
Se, derfor skal Dage komme, lyder det fra HERREN, da dette Sted ikke mere skal hedde Tofet og Hinnoms Søns Dal, men Morddalen.
7 Katika mahali hapa nitatamgua mipango ya Yuda na Yerusalemu. Nitawafanya wapate kuuawa kwa upanga mbele ya adui zao na kwa mkono wa wale wanaotafuta maisha yao. Ndipo nitawapa miili yao kuwa chakula cha ndege wa angani na wanyama wa dunia.
Jeg gør Juda og Jerusalem raadvilde paa dette Sted og lader dem falde for Sværdet for deres Fjenders Øjne og for deres Haand, som staar dem efter Livet, og jeg giver Himmelens Fugle og Jordens Dyr deres Lig til Føde.
8 Ndipo nitaifanya mji huu kuwa uharibifu na kitu cha kuzomewa, kila mtu anayepita atashangaa na kuzomea kwa sababu mateso yake yote.
Jeg gør denne By til Gru og Spot; alle, der kommer forbi, skal grue og spotte over alle dens Saar.
9 Nitawafanya wale nyama ya wana wao na binti zao; kila mtu atakula mwili wa jirani yake katika dhiki na katika uchungu ambao umeletwa kwao na maadui zao na wale wanaotaka maisha yao.'”
Jeg lader dem æde deres Sønners og Døtres Kød, den ene skal æde den andens Kød under Belejringen og den Trængsel, deres Fjender og de, der staar dem efter Livet, volder dem.
10 Kisha utavunja chupa ya udongo mbele ya watu ambao walikwenda pamoja nawe.
Knus saa Kruset i de Mænds Paasyn, der følger med dig,
11 Uwaambie,'Bwana wa majeshi asema hivi: nitafanya jambo hili kwa watu hawa na mji huu- hii ndiyo ahadi ya Bwana, kama vile Yeremia alivyovunja chupa ya udongo ili isiweze kutengenezwa tena. Watu watazika wafu huko Tofethi hata hapatabaki mahali pa kuzika.
og sig til dem: Saa siger Hærskarers HERRE: Jeg vil knuse dette Folk og denne By, som man knuser et Lerkar, saa det ikke kan heles igen. De døde skal jordes i Tofet, fordi Pladsen til at jorde paa ikke slaar til.
12 Hivyo ndivyo nitakavyopafanya mahali hapa na wenyeji wake nitakapofanya jiji hili kama Tofethi, hili ndio tamko la Bwana;
Saaledes vil jeg gøre med dette Sted og dets Indbyggere, lyder det fra HERREN, idet jeg gør denne By til et Tofet:
13 kwa hiyo nyumba za Yerusalemu na wafalme wa Yuda watakuwa kama Tofethi, nyumba zote zilizo juu ya watu waovu wanaoabudu nyota zote za mbinguni na kumwaga sadaka za kinywaji kwa miungu mingine.'”
Jerusalems og Judas Kongers Huse skal blive urene som Tofets Sted, alle de Huse, paa hvis Tage de tændte Offerild for al Himmelens Hær og udgød Drikofre for andre Guder.
14 Ndipo Yeremia akatoka Tofethi, ambako Bwana amemtuma ahubiri. Akasimama katika ua wa nyumba ya Bwana, akawaambia watu wote,
Derpaa gik Jeremias fra Tofet, hvorhen HERREN havde sendt ham for at profetere, og stod frem i Forgaarden til HERRENS Hus og sagde til alt Folket:
15 “Bwana wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, Tazameni, nitawaletea mji huu na miji yake yote maafa yote niliyonena dhidi yake, kwa kuwa walifanya shingo zao kuwa ngumu na kukataa kusikiliza maneno yangu.'”
Saa siger Hærskarers HERRE, Israels Gud: Se, over denne By og alle Byerne, der hører til den, sender jeg al den Ulykke, jeg har truet den med, fordi de gjorde Nakken stiv og ikke hørte mine Ord.