< Yeremia 18 >
1 Neno la Bwana lilimjia Yeremia, kusema,
[the] word which to be to(wards) Jeremiah from with LORD to/for to say
2 “Simama, uende kwa nyumba ya mfinyanzi; kwa maana nitakusikilizisha neno langu huko.
to arise: rise and to go down house: home [the] to form: potter and there [to] to hear: hear you [obj] word my
3 Basi, nikaenda nyumbani kwa mfinyanzi, na tazama! Mfinyanzi alikuwa akifanya kazi kwenye gurudumu la mfinyanzi.
and to go down house: home [the] to form: potter (and behold he/she/it *Q(K)*) to make: [do] work upon [the] wheel
4 Lakini chombo cha udongo ambacho alikuwa akikifinyanga kiliharibika mkononi mwake, kwa hiyo alibadili mawazo yake na akafanya kitu kingine ambacho kilionekana kuwa kizuri machoni pake.
and to ruin [the] article/utensil which he/she/it to make in/on/with clay in/on/with hand [the] to form: potter and to return: again and to make him article/utensil another like/as as which to smooth in/on/with eye: appearance [the] to form: potter to/for to make: do
5 Ndipo neno la Bwana likanijia, kusema,
and to be word LORD to(wards) me to/for to say
6 “Je, siwezi kuwa kama huyu mfinyanzi kwenu, nyumba ya Israeli? Angalia! Kama udongo katika mkono wa mfinyanzi-ndivyo ulivyo mkononi mwangu, nyumba ya Israeli.
like/as to form: potter [the] this not be able to/for to make: do to/for you house: household Israel utterance LORD behold like/as clay in/on/with hand [the] to form: potter so you(m. p.) in/on/with hand my house: household Israel
7 Kwa wakati mmoja, ninaweza kutangaza jambo fulani juu ya taifa au ufalme, kwamba nitaufukuza, kuuvunja, au kuuharibu.
moment to speak: promise upon nation and upon kingdom to/for to uproot and to/for to tear and to/for to perish
8 Lakini kama taifa ambalo nimefanya tamko hilo linageuka na kuacha maovu yake, basi nitaghairi nisitende maafa niliyokuwa nimepanga.
and to return: turn back [the] nation [the] he/she/it from distress: evil his which to speak: speak upon him and to be sorry: relent upon [the] distress: harm which to devise: devise to/for to make: do to/for him
9 Wakati mwingine, ninaweza kutangaza jambo fulani kuhusu taifa au ufalme, kwamba nitaujenga au kuupanda.
and moment to speak: promise upon nation and upon kingdom to/for to build and to/for to plant
10 Lakini ikiwa watafanya mabaya machoni pangu kwa kutosikiliza sauti yangu, basi nitaghairi mema ambayo nilikuwa nimewaambia nitawafanyia.
and to make: do ([the] bad: evil *Q(K)*) in/on/with eye: seeing my to/for lest to hear: hear in/on/with voice my and to be sorry: relent upon [the] welfare which to say to/for be good [obj] him
11 Basi sasa, waambie watu wa Yuda na wenyeji wa Yerusalemu, ukisema, 'Bwana asema hivi: Tazameni, nitawaangamiza. Mimi ni karibu kufinyanga mabaya dhidi yenu. Tubuni, kila mtu kutoka njia yake mbaya, hivyo njia zako na matendo yako yatakuletea mema.'
and now to say please to(wards) man: anyone Judah and upon to dwell Jerusalem to/for to say thus to say LORD behold I to form: plan upon you distress: harm and to devise: devise upon you plot to return: return please man: anyone from way: conduct his [the] bad: evil and be good way: conduct your and deed your
12 Lakini watasema, 'Hili halina maana. Tutafanya kulingana na mipango yetu wenyewe. Kila mmoja wetu atafanya mabaya kwa kuufuata uchupavu wa moyo wake.'
and to say to despair for after plot our to go: follow and man: anyone stubbornness heart his [the] bad: evil to make: do
13 Kwa hiyo Bwana asema hivi, 'Uliza watu wa mataifa, ambao wamewahi kusikia habari kama hii? Bikira wa Israeli amefanya kitendo cha kutisha.
to/for so thus to say LORD to ask please in/on/with nation who? to hear: hear like/as these horror to make: do much virgin Israel
14 Je, theluji ya Lebanoni imetoka milima yenye miamba juu ya pande zake? Je, mito ya mlima inayotoka mbali iliharibiwa, mito hiyo ya baridi?
to leave: forsake from rock Sirion snow Lebanon if: surely yes to uproot water be a stranger cool to flow
15 Hata hivyo watu wangu wamesahau. Wamefanya sadaka kwa sanamu zisizo na maana na wamefanya mashaka katika njia zao; wameacha njia za kale za kutembea katika njia ndogo.
for to forget me people my to/for vanity: vain to offer: offer and to stumble them in/on/with way: road their path forever: antiquity to/for to go: walk path way: road not to build
16 Nchi yao itakuwa ya hofu, kitu cha kuzomewa milele. Kila mtu atakayepita karibu naye atashuhudia na kutingisha kichwa chake.
to/for to set: make land: country/planet their to/for horror: appalled (piping *Q(K)*) forever: enduring all to pass upon her be desolate: appalled and to wander in/on/with head his
17 Nitawaangamiza mbele ya adui zao kama upepo wa mashariki. Nitawageuzia kisogo, wala sio uso wangu, siku ya msiba wao.'”
like/as spirit: breath east to scatter them to/for face: before enemy neck and not face to see: see them in/on/with day calamity their
18 Basi watu wakasema, “Njoni, tufanye njama dhidi ya Yeremia, maana sheria haitapotea kabisa kwa makuhani, wala ushauri kutoka kwa wenye hekima, au maneno ya manabii. Njoo, mshambulie kwa maneno yetu na tusisikilize tena chochote anachosema.”
and to say to go: come! and to devise: devise upon Jeremiah plot for not to perish instruction from priest and counsel from wise and word from prophet to go: come! and to smite him in/on/with tongue and not to listen to(wards) all word his
19 Sikiliza, Ee Bwana! Na kusikiliza sauti ya adui yangu.
to listen [emph?] LORD to(wards) me and to hear: hear to/for voice opponent my
20 Je, maafa kutoka kwao itakuwa malipo yangu kwa kuwa mema kwao? Kwa maana wamenichimbia shimo. Kumbuka jinsi nilivyosimama mbele yako ili niseme mema kwa ajili yao na kugeuza ghadhabu yako isiwapate.
to complete underneath: instead welfare distress: evil for to pierce pit to/for soul: life my to remember to stand: stand I to/for face: before your to/for to speak: speak upon them welfare to/for to return: turn back [obj] rage your from them
21 Basi uwape watoto wao njaa, na uwatie mikononi mwa wale wanaotumia upanga. Basi, waache wanawake wao wafiwe na kuwa wajane, na watu wao watauawa, na vijana wao wauawe kwa upanga wa vita.
to/for so to give: give [obj] son: child their to/for famine and to pour them upon hand: power sword and to be woman: wife their childless and widow and human their to be to kill death youth their to smite sword in/on/with battle
22 Kelele ya kusikitisha isikiwe kutoka katika nyumba zao, kama utakapoleta washambuliaji ghafla juu yao. Kwa kuwa wamechimba shimo kunikamata na wameficha mitego katika miguu yangu.
to hear: hear outcry from house: home their for to come (in): bring upon them band suddenly for to pierce (pit *Q(K)*) to/for to capture me and snare to hide to/for foot my
23 Lakini wewe, Bwana, unajua mipango yao yote dhidi yangu ya kuniua. Usisamehe uovu na dhambi zao. Usiondoe dhambi zao mbali nawe. Badala yake, waache waangamizwe mbele yako. Tenda juu yao wakati wa ghadhabu yako.
and you(m. s.) LORD to know [obj] all counsel their upon me to/for death not to atone upon iniquity: crime their and sin their from to/for face: before your not to wipe (and to be *Q(K)*) to stumble to/for face: before your in/on/with time face: anger your to make: do in/on/with them