< Yeremia 15 >

1 Kisha Bwana akaniambia, “Hata kama Musa au Samweli walisimama mbele yangu, bado sitawafikiria watu hawa. Watoe mbele yangu, ili waweze kuondoka.
Un Tas Kungs sacīja uz mani: jebšu pat Mozus un Samuēls Manā priekšā stāvētu, tomēr Man nebūtu labs prāts pie šiem ļaudīm; dzen tos nost no Mana vaiga, lai tie iet projām.
2 Ikiwa watakuambia, 'Tunapaswa kwenda wapi?' Kisha uwaambie, 'Bwana asema hivi Wale wanaotakiwa kufa wanapaswa kufa; wale waliotayarishwa kwa upanga wanapaswa kwenda kwa upanga. Wale waliopelekwa kwa njaa wanapaswa kwenda kwa njaa; na wale waliopelekwa uhamisho wanapaswa kuhamishwa.'
Un kad tie uz tevi sacīs: kurp mums būs iet? Tad saki uz tiem: tā saka Tas Kungs: kam nāve uziet, tam lai uziet, un kam zobens uziet, tam lai uziet, un kam bads uziet, tam lai uziet, un kam cietums uziet, tam lai uziet.
3 Kwa kuwa nitawapa kwa makundi manne-hili ndilo tamko la Bwana-upanga wa kuua wengine, mbwa wararue, ndege wa angani na mnyama mkali wale na kuangamiza.
Jo Es tos piemeklēšu ar četrkārtīgām mocībām, saka Tas Kungs: ar zobenu tos nokaudams un ar suņiem tos raustīdams un ar putniem apakš debess un ar zemes zvēriem, ka tie top aprīti un izdeldēti.
4 Nitawafanyia jambo lenye kutisha kwa falme zote za dunia, kwa sababu Manase mwana wa Hezekia, mfalme wa Yuda, alifanya huko Yerusalemu.
Un Es tos nodošu uz vārdzināšanu visās pasaules valstīs, Manasus, Hizkijas dēla, Jūda ķēniņa dēļ, par to, ko viņš Jeruzālemē darījis.
5 Kwa maana ni nani atakayewahurumia, Yerusalemu? Ni nani atakayeomboleza kwa ajili yako? Nani atakayegeuka kuuliza kuhusu ustawi wako?
Jo kas tevi saudzēs, Jeruzāleme, jeb kas tevi žēlos, jeb kas noies, vaicāt pēc tavas labklāšanās?
6 Umeniacha-hili ndilo tamko la Bwana-umerudi nyuma. Kwa hiyo nitawapiga kwa mkono wangu na kukuangamiza. Nimechoka kuwahurumia.
Tu mani esi atstājusi, saka Tas Kungs, tu esi atpakaļ gājusi; tāpēc Es Savu roku pret tevi gribu izstiept un tevi izdeldēt; Es esmu apnicis žēlot.
7 Kwa hiyo nitawapepea kwa kipepeo katika milango ya nchi. Nitawafukuza. Nitawaangamiza watu wangu kwani hawakurudi na kuziacha njia zao.
Un Es tos ar vētekli izvētīšu ārā pa zemes vārtiem, un Es Saviem ļaudīm nolaupīšu bērnus un tos izdeldēšu, tādēļ ka tie neatgriežas no saviem ceļiem.
8 Nitawafanya wajane wao kuwa zaidi ya mchanga wa bahari. Dhidi ya mama wa vijana nitamtuma mwangamizi mchana. Nitafanya mshtuko na hofu ghafla kuanguka juu yao.
Atraitņu Man būs vairāk viņu starpā nekā jūras smiltis. Es tiem uzvedīšu pār jaunekļu māti postītāju dienas vidū, Es piepeši uz to metīšu bailes un briesmas.
9 Mama aliyezaa watoto saba ataharibika. Atashuka. Jua lake limekuchwa wakati bado ni siku. Yeye atakuwa na aibu na kufedheheka, kwa kuwa nitawatoa wale waliosalia kwa upanga mbele ya maadui zao-hili ndilo tamko la Bwana.”
Kas septiņus bērnus dzemdējusi, iztvīks un izlaidīs savu dvēseli. Viņas saule noies vēl dienas laikā, viņa taps kaunā un par apsmieklu; un viņu atlikušos Es nodošu zobenam viņu ienaidnieku priekšā, saka Tas Kungs.
10 Ole wangu, mama yangu! Kwa maana umenizaa, mimi ambaye ni mtu wa kushindana na hoja katika nchi yote. Sijakopesha, wala hakuna mtu aliyenikopesha, lakini wote wananilaani.
Ak vai, man, mana māte, ka tu mani esi dzemdējusi, strīdus vīru un ķildas vīru visai zemei! Es neesmu aizdevis un man nav aizdevuši tomēr visi mani lād.
11 Bwana akasema “Je sitakuokoa kwa manufaa? Kwa hakika nitawafanya maadui wako waombe msaada wakati wa msiba na dhiki.
Tas Kungs sacīja: tiešām, Es tevi stiprināju uz labu, tiešām, Es daru, ka nelaimes laikā un spaidu laikā ienaidnieks lūgdamies pie tevis griezīsies.
12 Je, mtu anaweza kusaga chuma? Hasa chuma kutoka kaskazini iliyochanganywa na shaba?
Vai tad ar dzelzi var salauzt, ziemeļa dzelzi un varu?
13 Nitawapa adui zako utajiri wako na hazina yako kama nyara za bure. Nitafanya hili kwa sababu ya dhambi zako zote zilizofanywa ndani ya mipaka yako yote.
Tavu padomu un tavu mantu Es nodošu par laupījumu bez maksas, un to visu tavu grēku dēļ pa visām tavām robežām.
14 Ndipo nitakufanya utumikie adui zako katika nchi ambayo huijui, maana moto utawaka, ukawaka katika ghadhabu yangu juu yako.”
Un Es likšu taviem ienaidniekiem to nest uz zemi, ko tu nepazīsti. Jo Manas bardzības uguns ir iededzies, tas degs pār jums.
15 Wewe mwenyewe wajua, Bwana! Unikumbuke na kunisaidia. Ukanilipie kisasi kwa ajili ya wanaonifuata. Katika uvumilivu wako usiniondoe. Utambue kwamba nimekuwa na aibu kwa ajili yako. Maneno yako yamepatikana, na nikayala.
Ak Kungs, Tu to zini, piemini mani un piemeklē mani un atrieb mani pie maniem vajātājiem! Pēc Savas lēnprātības neņem mani nost; zini, ka es Tevis dēļ topu nievāts.
16 Maneno yako yalikuwa furaha kwangu, furaha yangu kwa moyo wangu; kwa maana jina lako linatangazwa juu yangu, Bwana, Mungu wa majeshi.
Kad Tavs Vārds man notika, tad es to esmu uzņēmis, un Tavs Vārds man ir bijis par prieku un par sirds līksmību, jo es esmu nosaukts pēc Tava Vārda, ak Kungs Dievs Cebaot!
17 Sikuketi katika mkutano wa wale waliosherehekea au waliofurahi. Nimeketi kwa faragha kwa sababu ya mkono wako wenye nguvu, kwa maana umenijaza na hasira.
Es neesmu sēdējis smējēju draudzē un neesmu priecājies (ar tiem); Tavas rokas dēļ es esmu vientulis sēdējis, jo Tu mani esi pildījis ar skumību.
18 Kwa nini maumivu yangu yanaendelea na jeraha langu halitibiki, linakataa kuponywa? Je, utakuwa kama maji ya udanganyifu kwangu, maji yanayokauka?
Kāpēc tad manas sāpes nemitās, un mana mocība ir tik grūta, ka negribās dziedinājumu? Vai Tu man gribi būt kā viltīga upe, kā ūdens, kas izsīkst.
19 Kwa hiyo Bwana asema hivi, “Yeremia, Ikiwa utatubu, nitakurejesha, nawe utasimama mbele yangu na kunitumikia. Kwa maana ukitenganisha mambo ya kipumbavu kwa vitu vya thamani, utakuwa kama kinywa changu. Watu watakuja kwako, lakini wewe mwenyewe usirudi kwao.
Tāpēc Tas Kungs tā saka: ja tu atgriezīsies, tad Es tevi griezīšu atpakaļ un tu stāvēsi Manā priekšā. Un ja tu izšķirsi to, kas cienīgs no tā, kas niecīgs, tad tu būsi tā kā Mana mute. Tiem būs pie tevis griezties, bet tu negriezīsies pie viņiem.
20 Nitakufanya kama ukuta wa shaba usioweza kuingilika kwa watu hawa, nao watapigana vita dhidi yako. Lakini hawatakushinda, kwa kuwa mimi ni pamoja nawe ili kuokoa na kukuponya-hili ndilo tamko la Bwana-
Jo Es tevi ceļu šiem ļaudīm par stipru vara mūri; tie gan pret tevi karos, bet tevi nepārspēs; jo Es esmu ar tevi, tevi atpestīt un tevi izglābt, saka Tas Kungs.
21 kwa maana nitakuokoa mikononi mwa waovu na kukukomboa katika mkono wa mshindani.”
Tiešām, Es tevi atpestīšu no ļauno rokas un tevi izglābšu no briesmīgo dūres.

< Yeremia 15 >