< Yeremia 15 >

1 Kisha Bwana akaniambia, “Hata kama Musa au Samweli walisimama mbele yangu, bado sitawafikiria watu hawa. Watoe mbele yangu, ili waweze kuondoka.
BOEIPA loh kai taengah, “Moses neh Samuel pataeng ka mikhmuh ah pai cakhaw pilnam taengah he ka hinglu a om moenih. Ka mikhmuh lamloh tueih lamtah coe uh saeh.
2 Ikiwa watakuambia, 'Tunapaswa kwenda wapi?' Kisha uwaambie, 'Bwana asema hivi Wale wanaotakiwa kufa wanapaswa kufa; wale waliotayarishwa kwa upanga wanapaswa kwenda kwa upanga. Wale waliopelekwa kwa njaa wanapaswa kwenda kwa njaa; na wale waliopelekwa uhamisho wanapaswa kuhamishwa.'
Tedae nang taengah, “Melam ka coe uh eh?” a ti uh atah amih te thui pah. He tah BOEIPA long ni a thui. Dueknah dongkah ham rhoek te dueknah dongla, cunghang dongkah ham rhoek te cunghang dongla, khokha dongkah ham rhoek te khokha dongla, tamna ham rhoek te tamna la om ni.
3 Kwa kuwa nitawapa kwa makundi manne-hili ndilo tamko la Bwana-upanga wa kuua wengine, mbwa wararue, ndege wa angani na mnyama mkali wale na kuangamiza.
BOEIPA kah olphong hui tah pali om tih, cunghang neh ngawn ham, ui loh a koeng ham, vaan kah vaa neh diklai rhamsa loh a ngaeh ham neh thup ham te amih ka cawh thil ni.
4 Nitawafanyia jambo lenye kutisha kwa falme zote za dunia, kwa sababu Manase mwana wa Hezekia, mfalme wa Yuda, alifanya huko Yerusalemu.
Judah manghai Hezekiah capa Manasseh loh Jerusalem kah a saii kong ah amih te diklai ram boeih ah tonganah neh ngaihuetnah la ka khueh ni.
5 Kwa maana ni nani atakayewahurumia, Yerusalemu? Ni nani atakayeomboleza kwa ajili yako? Nani atakayegeuka kuuliza kuhusu ustawi wako?
Jerusalem nang soah, unim lungma aka ti vetih, nang hamla unim aka rhaehba ve? Nang kah sadingnah bih ham, unim aka nong ve?
6 Umeniacha-hili ndilo tamko la Bwana-umerudi nyuma. Kwa hiyo nitawapiga kwa mkono wangu na kukuangamiza. Nimechoka kuwahurumia.
Kai he nan phap uh tih a hnuk la na pongpa uh akhaw BOEIPA kah olphong om. Te dongah ka kut he nang soah ka thueng ni. Kohlawt khaw ka ngak coeng dongah nang kan thup ni.
7 Kwa hiyo nitawapepea kwa kipepeo katika milango ya nchi. Nitawafukuza. Nitawaangamiza watu wangu kwani hawakurudi na kuziacha njia zao.
Amih te khohmuen vongka ah rha neh ka yah ni. Ka pilnam he a longpuei lamloh ha bal uh pawt te cakol la ka milh sak ni.
8 Nitawafanya wajane wao kuwa zaidi ya mchanga wa bahari. Dhidi ya mama wa vijana nitamtuma mwangamizi mchana. Nitafanya mshtuko na hofu ghafla kuanguka juu yao.
A taengkah nuhmai te tuitunli kah laivin lakah ka tahoeng sak ni. A manu taengah khothun kah aka rhoelrhak tongpang ka khuen pah ni. Khopuei kah lungmitnah te a soah buengrhuet ka cuhu sak ni.
9 Mama aliyezaa watoto saba ataharibika. Atashuka. Jua lake limekuchwa wakati bado ni siku. Yeye atakuwa na aibu na kufedheheka, kwa kuwa nitawatoa wale waliosalia kwa upanga mbele ya maadui zao-hili ndilo tamko la Bwana.”
Parhih aka cun khaw tahah vetih a hil awt ni. Khothaih pueng ah a khomik te tla rhoe tla vetih yahpoh neh ngam ni. Cunghang lamloh a meet te a thunkha kah mikhmuh ah ka paek ni.
10 Ole wangu, mama yangu! Kwa maana umenizaa, mimi ambaye ni mtu wa kushindana na hoja katika nchi yote. Sijakopesha, wala hakuna mtu aliyenikopesha, lakini wote wananilaani.
Anunae kai aih he. A nu nang loh, kai he khohmuen tom neh tuituknah kah hlang neh olpungkacan kah hlang lam nim nan cun. Ka pu pawt tih kai taengah pu pawt dae a pum la kai n'tap uh.
11 Bwana akasema “Je sitakuokoa kwa manufaa? Kwa hakika nitawafanya maadui wako waombe msaada wakati wa msiba na dhiki.
BOEIPA loh, “Nang he kan hlah rhoe kan hlah tang mahpawt nim? A then ham tah yoethae tue vaengah, thunkha neh citcai tue vaengah nang te kan doo tang mahpawt nim?
12 Je, mtu anaweza kusaga chuma? Hasa chuma kutoka kaskazini iliyochanganywa na shaba?
Tlangpuei lamkah thi loh thi neh rhohum a khaem thai a?
13 Nitawapa adui zako utajiri wako na hazina yako kama nyara za bure. Nitafanya hili kwa sababu ya dhambi zako zote zilizofanywa ndani ya mipaka yako yote.
Na khorhi tom kah na tholhnah cungkuem dongah mah na khuehtawn neh na thakvoh khaw maeh la ka mop vetih a phu om mahpawh.
14 Ndipo nitakufanya utumikie adui zako katika nchi ambayo huijui, maana moto utawaka, ukawaka katika ghadhabu yangu juu yako.”
Ming pawt khohmuen kah na thunkha te kam paan sak ni. Ka thintoek hmai neh nangmih kan hlae vetih na ung uh ni.
15 Wewe mwenyewe wajua, Bwana! Unikumbuke na kunisaidia. Ukanilipie kisasi kwa ajili ya wanaonifuata. Katika uvumilivu wako usiniondoe. Utambue kwamba nimekuwa na aibu kwa ajili yako. Maneno yako yamepatikana, na nikayala.
BOEIPA namah loh na ming. Kai m'poek lamtah kai he n'hip mai. Kai aka hloem rhoek soah kai yueng la phulo nawn. Na thintoek a ueh pawt dongah nim kai nan loh. Nang ham kokhahnah ka phueih he poek.
16 Maneno yako yalikuwa furaha kwangu, furaha yangu kwa moyo wangu; kwa maana jina lako linatangazwa juu yangu, Bwana, Mungu wa majeshi.
Na ol a hmuh uh coeng dongah te ni ka caak. Na ol tah na ol la a om dongah kai ham omngaihnah neh ka thinko kohoenah la poeh. Kai taengah caempuei Pathen BOEIPA namah ming ni a khue.
17 Sikuketi katika mkutano wa wale waliosherehekea au waliofurahi. Nimeketi kwa faragha kwa sababu ya mkono wako wenye nguvu, kwa maana umenijaza na hasira.
Aka luem tih ka sundaep rhoek kah baecenol dongah ka nuen moenih. Kai he kosi nan hah sak dongah na kut dong bueng ah ni ka ngol.
18 Kwa nini maumivu yangu yanaendelea na jeraha langu halitibiki, linakataa kuponywa? Je, utakuwa kama maji ya udanganyifu kwangu, maji yanayokauka?
Balae tih ka thakkhoeihnah om yoeyah a? Ka hmasoe neh aka rhawp loh hoeih ham a aal. Cak uh pawt tih tui hong bangla kai taengah na om khaw na om ve.
19 Kwa hiyo Bwana asema hivi, “Yeremia, Ikiwa utatubu, nitakurejesha, nawe utasimama mbele yangu na kunitumikia. Kwa maana ukitenganisha mambo ya kipumbavu kwa vitu vya thamani, utakuwa kama kinywa changu. Watu watakuja kwako, lakini wewe mwenyewe usirudi kwao.
Te dongah BOEIPA loh he ni a thui. Na mael tih nang taengla ka mael daengah ni ka mikhmuh ah na pai eh. Carhut lakah a phu aka tlo ha thoeng atah kamah ka bangla na om ni. Amih te nang taengla ha mael cakhaw nang te amih taengla na mael mahpawh.
20 Nitakufanya kama ukuta wa shaba usioweza kuingilika kwa watu hawa, nao watapigana vita dhidi yako. Lakini hawatakushinda, kwa kuwa mimi ni pamoja nawe ili kuokoa na kukuponya-hili ndilo tamko la Bwana-
Nang tah pilnam taengah he rhohum vongtung neh a cakrhuet la kang khueh ni. Nang m'vathoh thil cakhaw nang te n'noeng uh mahpawh. Nang khang ham neh nang huul hamla nang taengah ka om.
21 kwa maana nitakuokoa mikononi mwa waovu na kukukomboa katika mkono wa mshindani.”
Te dongah boethae kah kutrham lamloh nang kang huul vetih hlanghaeng kah kutpha lamloh nang kan tlan ni.

< Yeremia 15 >