< Yeremia 14 >

1 Neno la Bwana lilimjia Yeremia kuhusu ukame,
И бысть слово Господне ко Иеремии о бездождии.
2 “Wayahudi waomboleze; basi milango yake ianguke. Wao wanaomboleza kwa ajili ya ardhi; Kilio chao kwa Yerusalemu kimepaa juu.
Рыдала Иудеа, и врата ея разрушишася, и отемнишася на земли, и вопль Иерусалима взыде.
3 Wenye nguvu huwatuma watumishi wao kwa ajili ya maji. Wanapoingia kwenye visima, hawawezi kupata maji. Wote wanarudi hawajafanikiwa; Wao hufunika vichwa vyao na aibu.
И вельможи его послаша менших своих к воде: приидоша на кладязи и не обретоша воды, и отнесоша сосуды своя тщы: постыждени суть и посрамлени, и покрыша главы своя.
4 Kwa sababu hii ardhi imepasuka, kwa maana hakuna mvua katika nchi. Wakulima huwa na aibu na kufunika vichwa vyao.
И дела земли оскудеша, яко не бяше дождя на землю: постыждени суть земледелцы, покрыша главы своя.
5 Kwa maana hata kunguru huwaacha wanawe katika mashamba, kwa maana hakuna nyasi.
И еленицы на ниве родиша и оставиша, яко не бе травы.
6 Punda mwitu husimama kwenye mabonde yaliyo wazi na hupiga upepo kama mbweha. Macho yao yanashindwa kufanya kazi, kwa maana hakuna mimea.
Онагри сташа на камениих, браша в себе ветр яко змиеве, оскудеша очи их, яко не бе травы.
7 Hata ingawa maovu yetu yanatushuhudia, Bwana, tenda kwa ajili ya jina lako. Kwa sababu matendo yetu yasiyo na imani yamezidi; tumekutenda dhambi.
Беззакония наша противусташа нам: Господи, сотвори нам ради имене Твоего, яко мнози греси наши пред Тобою, Тебе согрешихом.
8 Matumaini ya Israeli, yule anayemwokoa wakati wa dhiki, kwa nini utakuwa kama mgeni katika nchi, kama mtu akaaye nchi ya kigeni ambaye hujinyoosha na kutumia hutumia usiku mmoja tu?
Ожидание Израилево, Господи, Спасителю наш во время скорби! Вскую яко пришлец еси на земли и яко путник укланяющься во виталище?
9 Kwa nini utakuwa kama mtu aliyechanganyikiwa, kama shujaa ambaye hawezi kuokoa mtu yeyote? Kwa maana wewe u katikati yetu, Bwana! Jina lako limetangazwa juu yetu. Usiondoke
Еда будеши якоже человек спяй, или аки муж не могий спасти? Ты же в нас еси, Господи, и имя Твое призвано бысть на нас, не забуди нас.
10 Bwana awaambia hivi watu hawa “Kwa kuwa wanapenda kutanga tanga, hawakuzuia miguu yao kufanya hivyo.” Bwana hafurahi nao. Sasa anawakumbusha uovu wao na ameadhibu dhambi zao.
Сия глаголет Господь людем сим: возлюбиша подвизати нозе свои и не упокоишася, и Бог не благопоспеши в них, ныне воспомянет беззакония их и посетит грехи их.
11 Bwana akaniambia, Usiombe kwa ajili ya watu hawa.
И рече Господь ко мне: не молися о людех сих во благо:
12 Maana ikiwa wanafunga, sitasikiliza kulia kwao; na wanapotoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za unga, sitawafurahia. Kwa maana nitawaangamiza kwa upanga, njaa, na tauni.
егда поститися будут, не услышу прошения их, и аще принесут всесожжения и жертвы, не благоволю в них: яко мечем и гладом и мором Аз скончаю их.
13 Ndipo nikasema, “Ee Bwana, Bwana! Angalia! mabii wanawaambia watu, 'Huwezi kuona upanga; hakutakuwa na njaa kwako, kwa kuwa nitakupa usalama wa kweli mahali hapa.'”
И рекох: сый Господи Боже, се, пророцы их прорицают и глаголют: не узрите меча, и глад не будет вам, но истину и мир дам на земли и на месте сем.
14 Bwana akaniambia, 'manabii wanatabiri uongo kwa jina langu. Sikuwafukuza, wala sikuwapa amri au kusema nao. Lakini maono ya udanganyifu na ya maana, uchawi wa udanganyifu unaotokana na akili zao ndicho wanachowahubiria.”
И рече Господь ко мне: лживо пророцы прорицают во имя Мое, не послах их, ни заповедах им, ни глаголал есмь к ним: понеже видения лжива и гадания и волшебства и произволы сердца своего тии прорицают вам.
15 Kwa hiyo Bwana asema hivi, “Kwa habari ya manabii wakihubiri kwa jina langu, ambao mimi siwakutuma; wale wanaosema kuwa hakutakuwa na upanga wala njaa katika nchi hii mabii hawa wataangamia kwa upanga na njaa.
Сего ради сия глаголет Господь о пророцех, иже пророчествуют во имя Мое ложная, и Аз не послах их, иже глаголют: мечь и глад не будет на земли сей: смертию лютою умрут и гладом скончаются пророцы тии.
16 Na watu waliopewa utabiri watafukuzwa nje ya barabara za Yerusalemu kwa sababu ya njaa na upanga; kwa kuwa hakuna mtu wa kuwazikas-wao, na wake zao, na wana wao, wala binti zao; kwa maana nitamwaga uovu wao wenyewe juu yao.
И людие, имже тии пророчествуют, будут извержени на путех Иерусалима от лица меча и глада, и не будет погребаяй их, и жены их и сынове их и дщери их, и излию на них злая их.
17 Sema neno hili kwao 'Acha macho yangu yatokwe machozi, usiku na mchana. wala yasikome, kwa kuwa kutakuwa na kuanguka kwa bikira, binti ya watu wangu - jeraha kubwa lisilotibika.
И речеши к ним слово сие: да изведут очи ваши слезы день и нощь, и да не престанут, яко сотрением великим сотрена (дева) дщерь людий моих и язвою злою зело.
18 Ikiwa nitatoka kwenye shamba basi angalia! kuna wale waliouawa kwa upanga. Na kama nitakuja mjini, basi, tazama! kuna wale walio na ugonjwa wa njaa. Hata nabii na kuhani wote wanatembea juu ya nchi bila maarifa.'”
Аще изыду на поле, и се, заклани мечем: и аще вниду во град, и се, истаявшии гладом: яко пророк и священник отидоша в землю, еяже не ведяху.
19 Je! Umemkataa kabisa Yuda? Je, unaichukia Sayuni? Kwa nini umetupiga wakati hakuna uponyaji kwetu? Tulitumaini amani, lakini hapakuwa na kitu kizuri-na kwa wakati wa uponyaji, lakini tazama, kuna hofu tu.
Еда отмещущь отвергл еси Иуду, и от Сиона отступи душа Твоя? Вскую поразил еси нас, и несть нам изцеления? Ждахом мира, и не бяху благая: времене уврачевания, и се, боязнь.
20 Tunakubali, Bwana, makosa yetu, uovu wa babu zetu, kwa kuwa tumekukosea.
Познахом, Господи, грехи нашя, беззакония отец наших, яко согрешихом пред Тобою.
21 Usitukatae! Kwa ajili ya jina lako, usikifedheheshe kiti chako cha enzi cha utukufu. Kumbuka na usivunje agano lako na sisi.
Престани ради имене Твоего, не погуби престола славы Твоея: воспомяни, не разори завета Твоего иже с нами.
22 Je, kuna miongoni mwa sanamu za mataifa yeyote zinazoweza kuifanya mbingu kutoa mvua? Je, si wewe, Bwana Mungu wetu, ambaye hufanya jambo hili? Tunatumaini kwako, kwa kuwa umefanya mambo haya yote.
Еда есть во изваянных языческих, иже дождит? Или небеса могут дати влагу свою? Не Ты ли еси, Господи Боже наш? И пождем Тебе, Господи, Ты бо сотворил еси вся сия.

< Yeremia 14 >