< Yeremia 13 >

1 Bwana aliniambia hivi, “Nenda ukape nguo ya kitani na kuiweka karibu na kiuno chako, lakini usiiweke kwenye maji kwanza.”
TUHAN menyuruh aku pergi membeli sarung pendek dari lenan dan memakainya, tapi aku tidak boleh mencelupkannya ke dalam air.
2 Kwa hiyo nilinunua vazi kama vile Bwana alivyoagiza, na nikafunga karibu na kiuno changu.
Maka pergilah aku membeli sarung pendek itu, lalu memakainya.
3 Ndipo neno la Bwana likanijia mara ya pili, kusema,
Kemudian TUHAN berbicara lagi kepadaku, katanya,
4 “Twaa vazi lako ulilolinunua lililo karibu na kiuno chako, uinuke, ukasafiri mpaka Frati. Ukaifiche huko katika mwamba wa jabali.
"Pergilah ke Sungai Efrat, dan sembunyikan sarung pendek itu di celah-celah batu."
5 Basi nikaenda na kuificha katika Frati kama vile Bwana alivyoniamuru.
Maka sesuai dengan perintah TUHAN pergilah aku dan menyembunyikan sarung pendek itu di dekat Sungai Efrat.
6 Baada ya siku nyingi, Bwana akaniambia, “Simama, urudi Frati. Ukaichukue nguo ambayo nilikuambia ufiche.”
Beberapa waktu kemudian TUHAN menyuruh aku pergi lagi ke Sungai Efrat untuk mengambil sarung pendek itu.
7 Kwa hiyo nikarudi Frati na kuchimba na kuchukua nguo mahali pale nilipoificha. Lakini tazama! Nguo hiyo ilikuwa imeharibika; haikuwa nzuri kabisa.
Maka pergilah aku, dan mengeluarkan sarung pendek itu dari tempat aku menyembunyikannya. Ternyata sarung itu sudah lapuk, dan sama sekali tidak berguna lagi.
8 Ndipo neno la Bwana likanijia tena, kusema,
Lalu TUHAN berbicara lagi kepadaku, kata-Nya,
9 “Bwana asema hivi, Nitakiangamiza kiburi cha Yuda na Yerusalemu.
"Begitulah caranya Aku akan bertindak terhadap orang Yehuda dan penduduk Yerusalem. Aku akan menghancurkan keangkuhan mereka yang luar biasa itu.
10 Watu hawa waovu wanaokataa kusikia neno langu, ambao huenda katika ugumu wa mioyo yao, ambao hufuata miungu mingine ili kuabudu na kuinama-watakuwa kama hii nguo isiyofaa kwa lolote.
Bangsa yang jahat ini sangat keras kepala dan tak mau taat kepada-Ku. Mereka beribadat dan berbakti kepada ilah-ilah lain. Itu sebabnya mereka akan menjadi seperti sarung pendek yang tak berguna itu.
11 Kwa maana kama vile vazi lililofungwa kwenye viuno vya mtu, ndivyo nimefainya nyumba yote ya Israeli na nyumba yote ya Yuda zimefungwa kwangu- hili ndilo tamko la Bwana-wawe watu wangu, ili kunifanya jina, sifa, na heshima. Lakini hawakunisikiliza.
Seperti sarung pendek terikat erat pada pinggang pemakainya, demikianlah Aku bermaksud supaya umat Israel dan Yehuda terikat erat pada-Ku. Dengan demikian mereka menjadi umat-Ku yang membuat nama-Ku terpuji dan dihormati. Tapi, mereka tidak mau menurut kepada-Ku."
12 Basi uwaambie neno hili, 'Bwana, Mungu wa Israeli, asema hivi Kila chupa itajazwa divai.' Watakuambia, 'Je, hatujui kwamba kila chupa itajazwa divai?'
TUHAN Allah berkata kepadaku, "Yeremia, sampaikanlah pesan-Ku kepada orang Israel bahwa setiap guci tempat anggur harus diisi penuh dengan anggur. Mereka akan menjawab, 'Masakan kami tidak tahu bahwa setiap guci harus dipenuhi dengan anggur?'
13 Basi uwaambie,' Bwana asema hivi: Tazama, nitawajaza kila mkaaji wa nchi hii ulevi, na wafalme wanaokaa kiti cha Daudi, na makuhani, na manabii, na wenyeji wote wa Yerusalemu.
Maka katakanlah kepada mereka bahwa orang-orang di negeri ini, raja-raja keturunan Daud, para imam, nabi, dan seluruh penduduk Yerusalem akan Kuisi penuh dengan anggur sampai mabuk.
14 Ndipo nitawagonganisha kila mtu na mwenzake baba na watoto wao pamoja; hili ndilo tamko la Bwana-sitawahurumia au kuwa na huruma, wala sitawarehemu kutoka kwenye uharibifu.
Lalu mereka akan Kubenturkan satu sama lain. Tua dan muda akan Kuperlakukan demikian tanpa ampun. Mereka akan Kubinasakan tanpa merasa sayang atau kasihan. Aku, TUHAN, telah berbicara."
15 Sikilizeni na makini. Msiwe na kiburi, kwa kuwa Bwana amesema.
Umat Israel, TUHAN telah berbicara! Jangan angkuh, dengarkan Dia!
16 Mtukuze Bwana, Mungu wako, kabla ya hajaleta giza, na kabla ya kuifanya miguu yako kuwa na mashaka juu ya milima wakati wa jioni. Kwa maana unatarajia mwanga, lakini ataugeuza kuwa mahali pa giza, na kuwa giza nene.
TUHAN Allahmu harus kauagungkan sebelum Ia mendatangkan kegelapan, dan kakimu tersandung di pegunungan, sebelum terang yang kauharapkan diubah-Nya menjadi kekelaman.
17 Kwa hiyo ikiwa husikilizi, nitaomboleza peke yangu kwa sababu ya kiburi chako. Hakika macho yangu yatalia na kutoa machozi, kwa sababu kundi la Bwana limechukuliwa mateka.
Jika kau enggan mendengarkan, aku akan menangis dengan diam-diam. Dengan rasa pilu kutangisi keangkuhanmu itu. Air mataku akan berlinang karena umat TUHAN diangkut sebagai tawanan.
18 “Mwambieni mfalme na mama wa malkia, 'Jinyenyekezeni, na kukaa chini, kwa maana taji juu ya kichwa chako, kiburi chako na utukufu wako, umeanguka.'
TUHAN berkata kepadaku, "Suruh raja dan ibu suri turun dari takhtanya, sebab mahkotanya yang indah sudah jatuh dari kepalanya.
19 Miji ya Negebu itafungwa, bila mtu wa kufungua. Yuda watachukuliwa mateka, wote uhamishoni.
Kota-kota Yehuda di bagian selatan sedang dikepung, dan tak ada yang dapat menerobosi kepungan itu. Semua orang Yehuda sudah diangkut ke pembuangan."
20 Inua macho yako na angalia wale wanaokuja kutoka kaskazini. Je, ni kundi gani alilokupa, kundi ambalo lilikuwa zuri sana kwako?
TUHAN berkata kepada penduduk Yerusalem, "Perhatikanlah! Musuh-musuhmu sedang datang dari utara! Di manakah orang-orang yang harus kamu lindungi dan yang sangat kamu banggakan itu.
21 Je, unasema nini wakati Mungu anawaweka wale ambao uliwafundisha kuwa marafiki? Je, huu si mwanzo wa maumivu ya utungu ambayo yatakuchukua kama mwanamke aliye katika kuzaa?
Apa yang akan kamu katakan jika orang-orang yang kamu perlakukan sebagai kawan-kawanmu mengalahkan dan menguasai kamu? Pasti kamu akan merasa sakit seperti wanita yang sedang melahirkan.
22 Kisha unaweza kusema moyoni mwako, 'Kwa nini mambo haya yanatokea kwangu?' Itakuwa kwa uovu wa maovu yako ambapo marinda yako yamefunuliwa na umeumizwa.
Barangkali kamu bertanya mengapa semuanya itu menimpa dirimu, mengapa pakaianmu dirobek dan kamu diperkosa. Ketahuilah bahwa itu terjadi karena dosamu terlalu besar.
23 Je, watu wa Kushi hubadilisha rangi yao ya ngozi, au chui hubadilisha madoa yake? Ikiwa ndivyo, basi wewe mwenyewe, ingawa unazoea uovu, utaweza kufanya mema.
Dapatkah orang hitam mengubah warna kulitnya, atau harimau menghilangkan belangnya? Tentu tidak! Begitu juga kamu yang biasa berbuat jahat tidak mungkin berbuat baik.
24 Kwa hiyo nitawaangamiza kama makapi ambayo yanaangamia katika upepo wa jangwa.
Aku akan menceraiberaikan kamu seperti sekam ditiup angin dari padang gurun.
25 Hii ndiyo niliyokupa, sehemu ambayo nimekuagiza kwako-hili ndilo tamko la Bwana - kwa sababu umenisahau na kuamini katika udanganyifu.
Itulah nasibmu yang telah Kutentukan karena kamu telah melupakan Aku, dan telah percaya kepada ilah-ilah palsu.
26 Kwa hiyo mimi mwenyewe nitaondoa nguo zako, na sehemu zako za siri zitaonekana.
Aku sendiri akan merobek pakaian dari badanmu supaya kamu menjadi telanjang dan malu.
27 Uzinzi na ubembe wako, aibu ya tabia yako ya uasherati kwenye milima na katika mashamba! Nitayafanya yaonekane, mambo haya ya machukizo! Ole wako, Yerusalemu! Hutaki kuwa safi. Je! Hili litaendelea kwa muda gani?”
Aku sudah melihat kamu melakukan hal-hal yang Kubenci. Aku telah melihat kamu mengejar ilah-ilah lain di bukit dan di ladang, seperti seorang laki-laki tergila-gila terhadap istri orang lain atau seperti kuda jantan bernafsu terhadap kuda betina. Penduduk Yerusalem, celakalah kamu! Kapan kamu akan bebas dari semua kejahatan?"

< Yeremia 13 >