< Yeremia 13 >

1 Bwana aliniambia hivi, “Nenda ukape nguo ya kitani na kuiweka karibu na kiuno chako, lakini usiiweke kwenye maji kwanza.”
thus to say LORD to(wards) me to go: went and to buy to/for you girdle flax and to set: put him upon loin your and in/on/with water not to come (in): come him
2 Kwa hiyo nilinunua vazi kama vile Bwana alivyoagiza, na nikafunga karibu na kiuno changu.
and to buy [obj] [the] girdle like/as word LORD and to set: put upon loin my
3 Ndipo neno la Bwana likanijia mara ya pili, kusema,
and to be word LORD to(wards) me second to/for to say
4 “Twaa vazi lako ulilolinunua lililo karibu na kiuno chako, uinuke, ukasafiri mpaka Frati. Ukaifiche huko katika mwamba wa jabali.
to take: take [obj] [the] girdle which to buy which upon loin your and to arise: rise to go: went Euphrates [to] and to hide him there in/on/with cleft [the] crag
5 Basi nikaenda na kuificha katika Frati kama vile Bwana alivyoniamuru.
and to go: went and to hide him in/on/with Euphrates like/as as which to command LORD [obj] me
6 Baada ya siku nyingi, Bwana akaniambia, “Simama, urudi Frati. Ukaichukue nguo ambayo nilikuambia ufiche.”
and to be from end day many and to say LORD to(wards) me to arise: rise to go: went Euphrates [to] and to take: take from there [obj] [the] girdle which to command you to/for to hide him there
7 Kwa hiyo nikarudi Frati na kuchimba na kuchukua nguo mahali pale nilipoificha. Lakini tazama! Nguo hiyo ilikuwa imeharibika; haikuwa nzuri kabisa.
and to go: went Euphrates [to] and to search and to take: take [obj] [the] girdle from [the] place which to hide him there [to] and behold to ruin [the] girdle not to prosper to/for all
8 Ndipo neno la Bwana likanijia tena, kusema,
and to be word LORD to(wards) me to/for to say
9 “Bwana asema hivi, Nitakiangamiza kiburi cha Yuda na Yerusalemu.
thus to say LORD thus to ruin [obj] pride Judah and [obj] pride Jerusalem [the] many
10 Watu hawa waovu wanaokataa kusikia neno langu, ambao huenda katika ugumu wa mioyo yao, ambao hufuata miungu mingine ili kuabudu na kuinama-watakuwa kama hii nguo isiyofaa kwa lolote.
[the] people [the] this [the] bad: evil [the] refusing to/for to hear: hear [obj] word my [the] to go: follow in/on/with stubbornness heart their and to go: went after God another to/for to serve: minister them and to/for to bow to/for them and to be like/as girdle [the] this which not to prosper to/for all
11 Kwa maana kama vile vazi lililofungwa kwenye viuno vya mtu, ndivyo nimefainya nyumba yote ya Israeli na nyumba yote ya Yuda zimefungwa kwangu- hili ndilo tamko la Bwana-wawe watu wangu, ili kunifanya jina, sifa, na heshima. Lakini hawakunisikiliza.
for like/as as which to cleave [the] girdle to(wards) loin man so to cleave to(wards) me [obj] all house: household Israel and [obj] all house: household Judah utterance LORD to/for to be to/for me to/for people and to/for name and to/for praise and to/for beauty and not to hear: hear
12 Basi uwaambie neno hili, 'Bwana, Mungu wa Israeli, asema hivi Kila chupa itajazwa divai.' Watakuambia, 'Je, hatujui kwamba kila chupa itajazwa divai?'
and to say to(wards) them [obj] [the] word [the] this thus to say LORD God Israel all bag to fill wine and to say to(wards) you to know not to know for all bag to fill wine
13 Basi uwaambie,' Bwana asema hivi: Tazama, nitawajaza kila mkaaji wa nchi hii ulevi, na wafalme wanaokaa kiti cha Daudi, na makuhani, na manabii, na wenyeji wote wa Yerusalemu.
and to say to(wards) them thus to say LORD look! I to fill [obj] all to dwell [the] land: country/planet [the] this and [obj] [the] king [the] to dwell to/for David upon throne his and [obj] [the] priest and [obj] [the] prophet and [obj] all to dwell Jerusalem drunkenness
14 Ndipo nitawagonganisha kila mtu na mwenzake baba na watoto wao pamoja; hili ndilo tamko la Bwana-sitawahurumia au kuwa na huruma, wala sitawarehemu kutoka kwenye uharibifu.
and to shatter them man: anyone to(wards) brother: compatriot his and [the] father and [the] son: child together utterance LORD not to spare and not to pity and not to have compassion from to ruin them
15 Sikilizeni na makini. Msiwe na kiburi, kwa kuwa Bwana amesema.
to hear: hear and to listen not to exult for LORD to speak: speak
16 Mtukuze Bwana, Mungu wako, kabla ya hajaleta giza, na kabla ya kuifanya miguu yako kuwa na mashaka juu ya milima wakati wa jioni. Kwa maana unatarajia mwanga, lakini ataugeuza kuwa mahali pa giza, na kuwa giza nene.
to give: give to/for LORD God your glory in/on/with before to darken and in/on/with before to strike foot your upon mountain: mount twilight and to await to/for light and to set: make her to/for shadow (and to set: make *Q(K)*) to/for cloud
17 Kwa hiyo ikiwa husikilizi, nitaomboleza peke yangu kwa sababu ya kiburi chako. Hakika macho yangu yatalia na kutoa machozi, kwa sababu kundi la Bwana limechukuliwa mateka.
and if not to hear: hear her in/on/with hiding to weep soul my from face: because pride and to weep to weep and to go down eye my tears for to take captive flock LORD
18 “Mwambieni mfalme na mama wa malkia, 'Jinyenyekezeni, na kukaa chini, kwa maana taji juu ya kichwa chako, kiburi chako na utukufu wako, umeanguka.'
to say to/for king and to/for queen to abase to dwell for to go down head your crown beauty your
19 Miji ya Negebu itafungwa, bila mtu wa kufungua. Yuda watachukuliwa mateka, wote uhamishoni.
city [the] Negeb to shut and nothing to open to reveal: remove Judah all her to reveal: remove peace: completely
20 Inua macho yako na angalia wale wanaokuja kutoka kaskazini. Je, ni kundi gani alilokupa, kundi ambalo lilikuwa zuri sana kwako?
(to lift: look *Q(K)*) eye your (and to see: see *Q(K)*) [the] to come (in): come from north where? [the] flock to give: give to/for you flock beauty your
21 Je, unasema nini wakati Mungu anawaweka wale ambao uliwafundisha kuwa marafiki? Je, huu si mwanzo wa maumivu ya utungu ambayo yatakuchukua kama mwanamke aliye katika kuzaa?
what? to say for to reckon: overseer upon you and you(f. s.) to learn: teach [obj] them upon you tame to/for head: leader not pain to grasp you like woman to beget
22 Kisha unaweza kusema moyoni mwako, 'Kwa nini mambo haya yanatokea kwangu?' Itakuwa kwa uovu wa maovu yako ambapo marinda yako yamefunuliwa na umeumizwa.
and for to say in/on/with heart your why? to encounter: chanced me these in/on/with abundance iniquity: crime your to reveal: uncover hem your to injure heel your
23 Je, watu wa Kushi hubadilisha rangi yao ya ngozi, au chui hubadilisha madoa yake? Ikiwa ndivyo, basi wewe mwenyewe, ingawa unazoea uovu, utaweza kufanya mema.
to overturn Ethiopian skin his and leopard spot his also you(m. p.) be able to/for be good disciple be evil
24 Kwa hiyo nitawaangamiza kama makapi ambayo yanaangamia katika upepo wa jangwa.
and to scatter them like/as stubble to pass to/for spirit: breath wilderness
25 Hii ndiyo niliyokupa, sehemu ambayo nimekuagiza kwako-hili ndilo tamko la Bwana - kwa sababu umenisahau na kuamini katika udanganyifu.
this allotted your portion garment your from with me utterance LORD which to forget [obj] me and to trust in/on/with deception
26 Kwa hiyo mimi mwenyewe nitaondoa nguo zako, na sehemu zako za siri zitaonekana.
and also I to strip hem your upon face your and to see: see dishonor your
27 Uzinzi na ubembe wako, aibu ya tabia yako ya uasherati kwenye milima na katika mashamba! Nitayafanya yaonekane, mambo haya ya machukizo! Ole wako, Yerusalemu! Hutaki kuwa safi. Je! Hili litaendelea kwa muda gani?”
adultery your and neighing your wickedness fornication your upon hill in/on/with land: country to see: see abomination your woe! to/for you Jerusalem not be pure after how still

< Yeremia 13 >