< Yeremia 12 >

1 Wewe ni mwenye haki, Bwana, wakati wowote ninapoleta mashitaka kwako. Lazima nikuambie sababu yangu ya kulalamika: Kwa nini njia za waovu hufanikiwa? Watu wote wasiokuwa na imani wanafanikiwa.
"Jika aku mengajukan perkaraku di hadapan-Mu, ya TUHAN, tentulah akan terbukti bahwa Engkaulah yang benar. Tapi aku ingin juga menanyakan kepada-Mu soal keadilan: Mengapa orang jahat makmur? Mengapa justru orang tak jujur yang berhasil?
2 Wewe uliwapanda nao wakawa na mizizi. Wanaendelea kuzaa matunda. Wewe upo karibu nao katika vinywa vyao, lakini mbali na mioyo yao.
Kautanam mereka seperti tumbuh-tumbuhan, lalu mereka berakar, bertumbuh, dan berbuah. Mereka selalu berbicara yang baik-baik tentang diri-Mu, tetapi dalam hati, mereka sebenarnya tidak peduli kepada-Mu.
3 Lakini wewe mwenyewe unanijua, Bwana. Umeona mimi na kuchunguza moyo wangu. Waondoe kama kondoo wa kuchinjwa. Ukakaweke tayari kwa siku ya kuchinjwa.
Tetapi Engkau, ya TUHAN, mengenal aku. Engkau melihat apa yang kulakukan, dan Engkau mengetahui bagaimana perasaan hatiku terhadap-Mu. Giringlah orang-orang jahat itu keluar, bawalah mereka seperti domba ke pembantaian. Jagalah mereka sampai tiba waktunya mereka disembelih.
4 Je! Nchi itakauka kwa muda gani, na mimea katika kila shamba itaota kwa sababu ya uovu wa wenyeji wake? Wanyama na ndege wameondolewa. Hakika, watu wanasema, “Mungu hajui nini kitatokea kwetu.”
Sampai berapa lama lagi negeri ini kering, dan rumputnya layu di setiap ladang? Burung dan binatang lainnya mati karena kejahatan bangsa kami. Mereka berkata, bahwa aku tidak akan melihat nasib mereka."
5 Bwana akasema, “Kweli, wewe, Yeremia, umetembea na askari wa miguu na wamechoka, unawezaje kushindana dhidi ya farasi? Ikiwa unashuka chini ya nchi iliyo salama, utafanyaje katika misitu karibu na Yordani?
TUHAN berkata, "Yeremia, jika engkau menjadi lelah berlomba dengan manusia, mana mungkin engkau berlomba dengan kuda? Jika di tanah yang aman engkau ketakutan, apakah yang akan kaulakukan apabila kau berada di hutan belukar di tepi Yordan?
6 Kwa maana hata ndugu zako na familia ya baba yako wamekudharau na kukukemea kwa sauti kubwa. Usiwaamini, hata kama wanasema mambo mazuri kwako.
Engkau sudah dikhianati bahkan oleh sanak saudaramu sendiri; mereka ikut menyerang engkau. Janganlah percaya kepada mereka, meskipun kata-kata mereka manis."
7 Nimeiacha nyumba yangu; Nimeacha urithi wangu. Nimewatia watu wangu wapendwa mikononi mwa adui zake.
TUHAN berkata, "Tempat tinggal-Ku tidak lagi Kupedulikan, negeri yang menjadi milik-Ku telah Kutinggalkan, dan umat-Ku yang Kukasihi telah Kuserahkan ke tangan musuh-musuhnya.
8 Urithi wangu umekuwa kwangu kama simba katika tundu; yeye hujiweka juu yangu kwa sauti yake mwenyewe, hivyo nimemchukia.
Umat pilihan-Ku melawan Aku; seperti singa di rimba demikianlah mereka mengaum terhadap-Ku. Itulah sebabnya Aku membenci mereka.
9 Malipo yangu ya thamani ni fisi, na ndege wenye madoadoa karibu na kichwa chake. Nenda, ukakusanye viumbe vyote vilivyomo katika mashamba, na uwalete ili wale.
Mereka seperti burung yang diserang oleh elang dari segala pihak. Panggillah segala binatang hutan untuk turut menghabiskan mereka.
10 Wachungaji wengi wameharibu shamba langu la mizabibu. Wameipoteza sehemu yangu yote ya ardhi; Waligeuza sehemu yangu nzuri kuwa jangwa, ukiwa.
Banyak penguasa asing telah merusak kebun anggur-Ku dan menginjak-injak ladang-ladang-Ku. Negeri-Ku yang indah mereka ubah menjadi padang gurun yang sepi.
11 Wamemfanya kuwa ukiwa. Ninaomboleza kwa ajili yake; yeye ni ukiwa. Nchi yote imefanywa kuwa ukiwa, kwa maana hakuna mtu aliyeweka haya moyoni mwake.
Ya, Aku melihat mereka menjadikan negeri-Ku tempat sepi yang menyedihkan. Seluruhnya terlantar, tak ada yang memperhatikan.
12 Waangamizi wamekuja juu ya maeneo yote yaliyo wazi jangwani, kwa maana upanga wa Bwana unakula kutoka upande mmoja wa nchi hadi mwingine. Hakuna usalama katika nchi kwa kiumbe chochote kilicho hai.
Dari seberang padang gurun di pegunungan, orang-orang datang untuk merampok. Aku mendatangkan peperangan untuk merusak seluruh negeri sehingga tak seorang pun dapat hidup damai.
13 Walipanda ngano lakini mavuno ya miiba. Wao wamechoka kutokana na kazi lakini hawajapata chochote. Basi muaibike kwa faida yenu kwa sababu ya ghadhabu ya Bwana.”
Umat-Ku menabur gandum, tapi durilah yang dituai. Mereka bersusah payah tapi usahanya tidak berhasil. Aku sangat murka sehingga panenan mereka gagal."
14 Bwana asema hivi dhidi ya majirani zangu wote, waovu wanaopiga milki niliyowarithisha watu wangu Israeli, “Tazama, mimi ndimi ambaye nitawafukuza kutoka nchi yao wenyewe, nami nitaifuta nyumba ya Yuda kutoka kati yao.
TUHAN berkata, "Inilah pesan-Ku tentang negara-negara tetangga Israel yang telah merusak negeri yang Kuberikan kepada umat-Ku Israel. Seperti tanaman yang dicabut dari tanah, demikianlah orang-orang jahat itu akan Kukeluarkan dari negeri-negeri mereka, dan Yehuda akan Kulepaskan dari genggaman mereka.
15 Ndipo baada ya kuangamiza mataifa hayo, itatokea kwamba nitakuwa na huruma juu yao na kuwaleta tena; Nitawarudi-kila mtu kwa urithi wake na nchi yake.
Tetapi setelah mengeluarkan mereka, Aku akan mengasihani mereka lagi; setiap bangsa akan Kubawa kembali ke negerinya sendiri.
16 Kisha itakuwa ikiwa mataifa hayo yatajifunza kwa makini njia za watu wangu, kuapa kwa jina langu 'Kama Bwana anaishivyo!' vile vile kama walivyowafundishwa watu wangu kuapa kwa Baali, basi watajengwa katikati ya watu wangu.
Jika mereka dengan sepenuh hati mau menerima agama umat-Ku dan mau bersumpah dengan berkata, 'Demi TUHAN yang hidup,' --seperti dahulu mereka mengajar umat-Ku bersumpah demi Baal--maka mereka pun akan tergolong umat-Ku dan menjadi makmur.
17 Lakini kama hakuna yeyote anayesikiliza, basi nitaling'oa taifa hilo. Kwa hakika litang'olewa na kuharibiwa-hili ndilo tamko la Bwana.”
Tetapi bangsa yang tidak mau menuruti Aku, akan Kucabut seperti tanaman dan Kupunahkan. Aku, TUHAN, telah berbicara."

< Yeremia 12 >