< Yeremia 10 >

1 “Sikilizeni neno ambalo BWANA anawaambieni, enyi nyumba ya Israeli.
Kuulkaa sana, jonka Herra on puhunut teitä vastaan, te Israelin heimo.
2 BWANA asema hivi, 'msijifunze njia za mataifa, na msishangazwe na ishara za mbinguni, kwa kuwa mataifa hushangazwa na haya.
Näin sanoo Herra: "Älkää totutelko itseänne pakanain menoon älkääkä kauhistuko taivaan merkkejä, sillä pakanat niitä kauhistuvat.
3 Kwa kuwa desturi za watu ni ubatili. Kwa kuwa mtu mmoja hukata mti msituni; kazi ya mikono ya mtu na shoka.
Sillä kansat noudattavat turhia jumalia; sillä ne ovat puuta, joka hakataan metsästä, puusepän kätten tekemiä, työaseella tehtyjä.
4 Kisha huzipamba kwa fedha na dhahabu. Huikaza kwa misumari na nyundo ili isitikisike.
Ne koristetaan hopealla ja kullalla sekä kiinnitetään nauloilla ja vasaroilla, niin etteivät ne horju.
5 Sanamu hizi ni mfano wa sanamu za kutishia ndege katika shamba la matango, kwa kuwa haziwezi kusema chochote. Hubebwa, kwa kuwa haziwezi hata kusogea hatua moja. Usiwaogope, Kwani hawawezi kutenda maovu wala mema.”
Ne ovat kuin linnunpelätin kurkkumaalla, eivät ne voi puhua; kantamalla täytyy niitä kantaa, sillä eivät ne voi astua. Älkää peljätkö niitä, sillä eivät ne voi pahaa tehdä; mutta eivät ne myöskään voi tehdä hyvää.
6 Hakuna aliye kama wewe, BWANA. Wewe ni mkuu, na jina lako lina nguvu.
Ei ole ketään sinun vertaistasi, Herra; sinä olet suuri, ja suuri ja voimallinen on sinun nimesi.
7 Ni nani asiyekuwa na hofu juu yako, wafalme wa mataifa? Kwa kuwa hiki ndicho unachostahili, kwa kuwa hakuna wa kuwa kama wewe kati ya wote wenye hekima katika mataifa yote au katika hali yao ya enzi.
Kuka ei sinua pelkäisi, sinä kansojen kuningas? Sillä siihen sinä olet arvollinen. Sillä kaikissa kansojen viisaissa ja kaikissa heidän valtakunnissansa ei ole yhtäkään sinun vertaistasi.
8 Wote wako sawa, ni kama wanyama na wapumbavu, wanafunzi wa samamu ambazo si chochote isipokuwa miti tu.
He ovat kaikki tyynni järjettömiä, tyhmiä. Turhain jumalien opettamista! Ne ovat puuta,
9 Wanaleta fedha iliyofuliwa kutoka Tarshishi, na dhahabu kutoka Ufazi iliyotengenezwa na sonara, ni kazi ya ustadi. Mavazi yao ni ya rangi ya samawi na urujuani. Watu wao stadi waliyafanya haya yote.
ohueksi taottua hopeata, joka tuodaan Tarsiista, ja Uufaan kultaa, taiturin ja kultasepän kätten tekoa. Punasinistä ja punaista purppuraa on niiden puku. Taitajain tekoa ovat ne kaikki.
10 Lakini BWANA ni Mungu wa kweli. Yeye ni Mungu aliye hai na mfalme wa milele. Matetemeko yako katika hasira yake, na mataifa hayawezi kuvumilia hasira yake.
Mutta Herra on totinen Jumala; hän on elävä Jumala ja iankaikkinen kuningas. Hänen vihastansa vapisee maa, ja kansat eivät kestä hänen suuttumustansa.
11 Utawaambia hivi, “Miungu ambayo haikuumba mbingu na nchi itaangamia katika dunia hii na chini ya mbingu.”
Sanokaa heille näin: Jumalat, jotka eivät ole tehneet taivasta eikä maata, ne katoavat maan päältä ja taivaan alta.
12 Aliyeiumba dunia kwa nguvu zake aliumba nchi kavu kwa hekima zake na kuzitandaza mbingu kwa fahamu zake.
Hän on tehnyt maan voimallansa, vahvistanut maanpiirin viisaudellansa ja levittänyt taivaat taidollansa.
13 Sauti yake ndiyo itengenezayo muungurumo wa maji mbinguni, naye huzileta mbingu katika mwisho wa dunia. Hutengeneza radi kwa ajili ya mvua na kutuma upepo kutoka katika hazina yake.
Kun hän jylisee, käy vetten pauhina taivaalla, ja hän nostaa pilvet maan ääristä, tekee salamat ja sateen ja tuo tuulen sen säilytyspaikoista.
14 Kila mtu amekuwa mjinga, hawana maarifa. Kila mfua chuma ameaibishwa kwa sanamu zake. Maana sanamu yake ya kuyeyushwa ni uongo; hakuna pumzi ndani yake.
Järjetön on jokainen ihminen, tietoa vailla, häpeän saa jokainen kultaseppä veistetystä kuvasta, petosta on hänen valamansa kuva, eikä niissä henkeä ole.
15 Ni ubatili tu, ni kazi ya udanganyifu; zitapotea wakati wa hukumu.
Turhuutta ne ovat, naurettavia tekeleitä; kun niiden rangaistus tulee, ne hukkuvat.
16 Lakini Mungu ni fungu la Yakobo, si kama hawa, kwa kuwa yeye ndiye aliyeviumba vitu vyote. Israeli ni kabila ya urithi wake; BWANA wa majeshi ndiye jina lake.
Näiden kaltainen ei ole hän, joka on Jaakobin osa, sillä hän on kaiken Luoja, ja Israel on hänen perintösukunsa: Herra Sebaot on hänen nimensä.
17 Kusanya vitu vyako na uiache nchi, wewe ambaye umekuwa ukiishi katika mazingiwa haya.
Kokoa tavarasi maasta pois, sinä, joka piiritettynä istut.
18 Kwa kuwa BWANA asema hivi, “Tazama, Ni tayari kuwatupa wakazi wa nchi nje wakati huu. Nitawasababishia huzuni, na itakuwa hivyo.”
Sillä näin sanoo Herra: Katso, tällä haavaa minä linkoan pois maan asukkaat ja ahdistan heitä, niin että saavat tarpeeksensa."
19 Ole wangu! Kwa sababu ya mifupa yangu iliyovunjika, Jeraha zangu zimeumia. Kwa hiyo nilisema. “Hakika haya ni maumivu, lakini lazima nivumilie.”
Voi minua minun vammani tähden! Kipeä on minun haavani; mutta minä sanon: Tämä on minun vaivani, minun on se kannettava.
20 Hema yangu imeharibiwa, na kamba za hema yangu zote zimekatwa. Wamewachukua watoto wangu wote, Kwa hiyo hawaishi tena. Hakuna tena mtu wa kuitandaza hema yangu au wa kuziinua pazia za hema yangu.
Minun telttani on hävitetty, ja kaikki minun telttaköyteni ovat katkotut; minun lapseni ovat lähteneet luotani, eikä niitä enää ole. Ei ole enää, kuka telttani pystyttäisi ja nostaisi seinieni kankaan.
21 Kwa kuwa wachungaji wamekuwa wapumbavu. Hawamtafuti BWANA. Kwa hiyo hawana mafanikio; Kondoo wao wote wamesambaa.
Sillä paimenet olivat järjettömät eivätkä etsineet Herraa; sentähden he eivät menestyneet, vaan koko heidän laumansa hajotettiin.
22 Taarifa imewadia, “Tazama! inakuja, tetemeko kubwa linakuja kutoka katika nchi ya kaskazini kuifanya miji ya Yuda kuwa ukiwa, na maficho ya mbweha.
ni kuuluu! Katso, se tulee, suuri pauhina pohjoisesta maasta, tekemään Juudan kaupungit autioiksi, aavikkosutten asunnoksi.
23 Ninajua, BWANA, kwamba njia ya mtu haiji kutoka kwake. Wala hakuna mtu atembeaye anayeongoza hatua zake mwenyewe.
Minä tiedän, Herra, ettei ihmisen tie ole hänen vallassansa, eikä miehen vallassa, kuinka hän vaeltaa ja askeleensa ohjaa.
24 Ee BWANA, unirudi, kwa hukumu za haki, si kwa hasira zako vinginevyo utaniangamiza.
Kurita minua, Herra, mutta kohtuudella, äläkä vihassasi, ettet minua ylen vähäiseksi tekisi.
25 Mwaga hasira zako kwa mataifa ambao hawakujui na katika familia ambazo hawakuiti kwa jina lako. Kwa kuwa wamemla Yakobo na kumwangamiza kabisa na kuyafanya makao yake kuwa ukiwa.
Vuodata vihasi pakanain ylitse, jotka eivät sinua tunne, ja sukukuntain ylitse, jotka eivät sinun nimeäsi avuksensa huuda. Sillä he ovat syöneet Jaakobin, ovat hänet syöneet ja lopettaneet, ja tehneet autioksi hänen asuinsijansa.

< Yeremia 10 >