< Yeremia 10 >

1 “Sikilizeni neno ambalo BWANA anawaambieni, enyi nyumba ya Israeli.
Oe Isarel imthungkhunaw, BAWIPA ni nang koe a dei e thai haw.
2 BWANA asema hivi, 'msijifunze njia za mataifa, na msishangazwe na ishara za mbinguni, kwa kuwa mataifa hushangazwa na haya.
BAWIPA ni hettelah a dei, Jentelnaw e nuencang out hanh awh, kalvan hoi mitnoutnae kaawm nakunghai taket awh hanh. Jentelnaw teh hot patet lae hah a taki awh.
3 Kwa kuwa desturi za watu ni ubatili. Kwa kuwa mtu mmoja hukata mti msituni; kazi ya mikono ya mtu na shoka.
Taminaw e a phunglam teh ayawmyin doeh, tami buet touh ni ratu thing a tâtueng teh, kutsakkathoum ni a sak teh,
4 Kisha huzipamba kwa fedha na dhahabu. Huikaza kwa misumari na nyundo ili isitikisike.
sui ngun hoi a pathoup awh teh, a kâhuet hoeh nahanelah, sum hoi cakkin hoi king a tâhet awh.
5 Sanamu hizi ni mfano wa sanamu za kutishia ndege katika shamba la matango, kwa kuwa haziwezi kusema chochote. Hubebwa, kwa kuwa haziwezi hata kusogea hatua moja. Usiwaogope, Kwani hawawezi kutenda maovu wala mema.”
Samtuekung patetlah a kangdue teh, lawk dei thai hoeh, cet hai cet thai hoeh, hrawm lah hrawm a ngai. Hotnaw hah taket awh hanh, rucatnae banghai na poe thai hoeh, hawinae hai banghai sak thai hoeh.
6 Hakuna aliye kama wewe, BWANA. Wewe ni mkuu, na jina lako lina nguvu.
Oe BAWIPA, nang patetlah e apihai awm hoeh. Nang teh na len tangak, na min hai thaonae hoi a lentoe tangak.
7 Ni nani asiyekuwa na hofu juu yako, wafalme wa mataifa? Kwa kuwa hiki ndicho unachostahili, kwa kuwa hakuna wa kuwa kama wewe kati ya wote wenye hekima katika mataifa yote au katika hali yao ya enzi.
Nang teh, bari laipalah apimaw kaawm han. Oe miphun pueng e siangpahrang, hetheh nang na kamcunae roeroe doeh. Miphunnaw thung hoi thoseh, lungkaang pueng thung hoi thoseh, ahnimae ram thung pueng dawk hoi thoseh, nang patetlae api buet touh hai awm hoeh.
8 Wote wako sawa, ni kama wanyama na wapumbavu, wanafunzi wa samamu ambazo si chochote isipokuwa miti tu.
Ahnimouh teh abuemlahoi panuenae awm hoeh a pathu awh. Hottelah ayawmyin lah kaawm e thingmeikaphawk koehoi a cang awh.
9 Wanaleta fedha iliyofuliwa kutoka Tarshishi, na dhahabu kutoka Ufazi iliyotengenezwa na sonara, ni kazi ya ustadi. Mavazi yao ni ya rangi ya samawi na urujuani. Watu wao stadi waliyafanya haya yote.
Ngun dêi e hah Tarshish hoi a sin awh teh, sui hah Uphaz hoi a sin awh. Kutsakkathoumnaw ni sak e, suihlunkathoumnaw ni dêi e, khohnanaw dawkvah, âthi hoi paling e kutsakkathoumnaw ni a sak e seng doeh.
10 Lakini BWANA ni Mungu wa kweli. Yeye ni Mungu aliye hai na mfalme wa milele. Matetemeko yako katika hasira yake, na mataifa hayawezi kuvumilia hasira yake.
Hote BAWIPA teh Cathut katang doeh, ahni teh kahring Cathut yungyoe siangpahrang lah ao. A lungkhuek nah talai a kâhuet teh, miphun pueng ni a lungkhueknae khang thai awh hoeh.
11 Utawaambia hivi, “Miungu ambayo haikuumba mbingu na nchi itaangamia katika dunia hii na chini ya mbingu.”
Hetheh dei pouh awh, kalvan hoi talai ka sak hoeh e, cathutnaw heh, talai van hoi kalvan rahim hoi bat a kahma awh han, telah ati.
12 Aliyeiumba dunia kwa nguvu zake aliumba nchi kavu kwa hekima zake na kuzitandaza mbingu kwa fahamu zake.
Hatei, Cathut ni thaonae hoi talai heh a sak, a thoum lungangnae hoi talaivan heh a caksak teh a panuenae hoi kalvan hah a sak.
13 Sauti yake ndiyo itengenezayo muungurumo wa maji mbinguni, naye huzileta mbingu katika mwisho wa dunia. Hutengeneza radi kwa ajili ya mvua na kutuma upepo kutoka katika hazina yake.
Khoparit lawk a tho nah, kalvan e tuinaw hah pawlawk a cai, talai poutnae koehoi tâmai a tâco sak. Sumpapalik teh kho a rak sak teh hnoim thung dawk hoi kahlî a tho sak.
14 Kila mtu amekuwa mjinga, hawana maarifa. Kila mfua chuma ameaibishwa kwa sanamu zake. Maana sanamu yake ya kuyeyushwa ni uongo; hakuna pumzi ndani yake.
Tami pueng ni bang a panue awh hoeh dawk panuenae tawn awh hoeh, suihlunkathoumnaw ni hai a dei awh e hah a kayakhai. Ahnimouh ni a thuk awh e meikaphawk hah teh, ayawmyin pui doeh, kâha hai tawn awh hoeh.
15 Ni ubatili tu, ni kazi ya udanganyifu; zitapotea wakati wa hukumu.
Aphu awm hoeh, dumyennae thaw lah doeh ao, rek lah ao awh toteh, he a kahma awh han.
16 Lakini Mungu ni fungu la Yakobo, si kama hawa, kwa kuwa yeye ndiye aliyeviumba vitu vyote. Israeli ni kabila ya urithi wake; BWANA wa majeshi ndiye jina lake.
Jakop ni a pang hanelah hetnaw patetlah awm awh mahoeh, bangkongtetpawiteh, ahni teh bangpueng kasakkung lah ao, Isarel heh râw lah ao teh, a min teh ransahu BAWIPA doeh.
17 Kusanya vitu vyako na uiache nchi, wewe ambaye umekuwa ukiishi katika mazingiwa haya.
Nangmouh rapan thung kaawmnaw uknaeram dawk kaawm e na hnonaw hah pâkhueng leih.
18 Kwa kuwa BWANA asema hivi, “Tazama, Ni tayari kuwatupa wakazi wa nchi nje wakati huu. Nitawasababishia huzuni, na itakuwa hivyo.”
Bangkongtetpawiteh, BAWIPA ni hettelah a dei, atuvah, hete ram thung vah kaawm taminaw hah kai ni ka tâkhawng han, ahnimouh van vah kângairunae ka pha sak han.
19 Ole wangu! Kwa sababu ya mifupa yangu iliyovunjika, Jeraha zangu zimeumia. Kwa hiyo nilisema. “Hakika haya ni maumivu, lakini lazima nivumilie.”
Ka patawnae dawk yawthoe lah ka o. Hmâ ka ca e heh a patawpoung oe! Hatei, hetheh reknae doeh ka khang hanlah ao, ka ti rah.
20 Hema yangu imeharibiwa, na kamba za hema yangu zote zimekatwa. Wamewachukua watoto wangu wote, Kwa hiyo hawaishi tena. Hakuna tena mtu wa kuitandaza hema yangu au wa kuziinua pazia za hema yangu.
Kaie rim teh a rawk teh, kaie ruinaw pueng koung a thouk toe. Ka capanaw hai kai koe hoi koung a cei awh teh, buet touh hai awm awh hoeh toe, kaie rim ka sak hane awm hoeh toe, ka o nahan ka sak hane hai awm hoeh.
21 Kwa kuwa wachungaji wamekuwa wapumbavu. Hawamtafuti BWANA. Kwa hiyo hawana mafanikio; Kondoo wao wote wamesambaa.
Tukhoumnaw hai bang panuek awh hoeh, BAWIPA koe pacei e hah panuek awh hoeh, hatdawkvah, a hmacawn awh hoeh, a tuhunaw koung a kâkayei awh han.
22 Taarifa imewadia, “Tazama! inakuja, tetemeko kubwa linakuja kutoka katika nchi ya kaskazini kuifanya miji ya Yuda kuwa ukiwa, na maficho ya mbweha.
Khenhaw! atunglae ram koehoi runae kalenpui Judah khopuinaw kingdi sak vaiteh, kahrawnguinaw onae lah o sak nahane pawlawk a kamthang.
23 Ninajua, BWANA, kwamba njia ya mtu haiji kutoka kwake. Wala hakuna mtu atembeaye anayeongoza hatua zake mwenyewe.
Aw, BAWIPA tami hringnae heh amae nahoeh, tie ka panue, tami ni a khok takannae lam hai amae nahoeh.
24 Ee BWANA, unirudi, kwa hukumu za haki, si kwa hasira zako vinginevyo utaniangamiza.
BAWIPA, kai heh na lungkhuek laihoi laipalah, lannae hoi na pathoup haw telah nahoeh pawiteh, na kahmat sak langvaih.
25 Mwaga hasira zako kwa mataifa ambao hawakujui na katika familia ambazo hawakuiti kwa jina lako. Kwa kuwa wamemla Yakobo na kumwangamiza kabisa na kuyafanya makao yake kuwa ukiwa.
Nang kapanuekhoehnaw hoi na min ka kaw hoeh e Jentel miphunnaw van vah, na lungkhueknae hah awi haw. Bangkongtetpawiteh, ahnimouh ni Jakop hah he a ca awh. A khosaknae ram haiyah kingdi han.

< Yeremia 10 >