< Yeremia 1 >

1 Hili ndilo neno la Yeremia mwana wa Hilikia; yeye alikuwa mmoja wa makuhani kule Anatothi katika nchi ya Benjamini.
Amo meloa dedei da Yelemaia (Hiligaia egefe) ea sia: dedei. Yelemaia da gobele salasu dunu. E da gobele salasu dunu ilia gilisisu A: nadode moilai (Bediamini soge ganodini gala) amo ganodini hawa: hamonanu.
2 Neno la BWANA lilimjia katika siku za Yosia mwana wa Amoni, mfalme wa Yuda, katika mwaka wa kumi na tatu wa utawala wake.
Yousaia (A: mone egefe) da Yuda soge ouligisu. Ea ouligisu ode 13 amoga, Hina Gode da Yelemaiama sia: i.
3 Lakini pia lilimjia katika wakati wa Yehoyakimu mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, mpaka mwezi wa tano wa mwaka wa kumi na moja wa Zedekia mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, wakati watu wa Yerusalemu walipochukuliwa kuwa watumwa.
Amola Yousaia egefe Yihoiagimi da Yuda soge ouligilaloba, Hina Gode da Yelemaiama bu sia: i. Amalalu, Hina Gode da eso bagohame ganodini Yelemaiama sia: nanu, asili, Sedegaia (Yousaia egefe eno) da Yuda ouligisu hou ode11hamoi dagoi ba: i. Amo odega, oubi biyale agoane, Yelusaleme fi dunu da mugululi asi dagoi ba: i.
4 Neno la BWANA lilinijia, likisema,
Hina Gode da nama amane sia: i,
5 “kabla sijakuumba tumboni, Nilikuchagua; kabla hujazailiwa toka tumboni Nilikutenga; Nilikufanya kuwa nabii kwa mataifa.”
“Na da dia esalusu dima i dagoi. Be amo hidadea, Na da di ilegei. Di da hame lalelegei galobawane, Na da di fifi asi gala ilima balofede hawa: hamoma: ne ilegei dagoi.”
6 “Ahaa, BWANA!” Nilisema, “mimi sijui kusema, kwa kuwa mimi ni mtoto.”
Na da bu adole i, “Ouligisudafa Hina! Na da sia: mu gogolei! Na da goi fawane!”
7 Lakini BWANA akaniambia, “Usiseme, 'mimi ni mtoto.' Utaenda kila mahali ninapokutuma, na utasema kila kitu ninachokuamuru!
Be Hina Gode da nama amane sia: i, “Di da goi fawane mae sia: ma! Be Na da dia dunu fi ilima asunasisia, ilima Na sia: dima sia: i amo huluane ilima olelema!
8 Usiwaogpe hao, kwa kuwa Mimi niko pamoja na wewe kukuokoa- asema BWANA.”
Iliba: le mae beda: ma! Bai Na da di gaga: ma: ne ani masunu. Na, Hina Gode da sia: i dagoi.”
9 Kisha BWANA akanyosh mkono wake, akagusa kinywa changu, na akaniambia, “Nimeweka maneno yangu kinywani mwako.
Amalalu, Hina Gode da Ea lobo ilua: le gadole, na lafi digili ba: le, amane sia: i, “Nabima! Na da dima dia alofele sia: ma: ne, amo sia: dima iabe goea!
10 Nimekuchagua leo juu ya mataifa na juu ya mataifa, ili kung'oa na kuvunja, kuharibu na kutupa, kujenga na kupanda.”
Wali eso Na da dima fifi asi gala amola ilia hina bagade dunu ilima hina bagade hou hamoma: ne iaha. Dia da ili fadegale fasimu amola mugulumu dawa: mu. Dia da ili wadela: lesimu dawa: mu. Amola ili bu bugimu amola hiougimu, amo amola dia da dawa: mu.”
11 Neno la BWANA lilinijia, likisema, “Yeremia, unaona nini?” Nikasema, “Ninaona tawi la mlozi.”
Hina Gode da nama amane adole ba: i, “Yelemaia! Dia da adi ba: sala: ?” Na da bu adole i, “Na da ‘amonede’ ifa ea amoda amo ba: la.”
12 BWANA akaniambia, “umeona vyema, kwa kuwa ninaliangalia neno langu ili nilitimize.”
Hina Gode da amane sia: i, “Dafawane! Di da moloiwane ba: i dagoi. Amola Na sia: i liligi da dafawane doaga: ma: ne, Na da ba: lala.”
13 Neno la BWANA likaniji mara ya pili likisema, “Unaona nini? “Nikasema, “Ninaona chungu kikichemuka, ambacho mdomo wake unaelekea toka upande wa kaskazini,”
Amalalu, Hina Gode da nama bu sia: i, “Adi eno liligi dia da ba: sala: ?” Na da bu adole i, “Na da gagoe (north) amoga hano ofodo ganodini bubunuma heda: lebe ba: sa. Amola amo da ninima muwane guda: le aimisunu agoai ba: sa.”
14 BWANA akaniambia, “Janga litatokea kaskazini juu ya wote wanaoishi katika nchi hii.
Hina Gode da nama amane sia: i, “Gugunufinisisu hou bubunuma heda: su agoane da gagoe (north) heda: le, Yuda soge amoga wadela: lesimusa: misunu.
15 Kwa kuwa ninayaita makabila yote ya falme za kaskazini, asema BWANA. Yatakuja, na kila mmoja atasimika enzi yake katika malango ya Yerusalemu, dhidi ya kuta zote zinazoizunguka, na dhidi ya miji ya Yuda.
Bai Na da gagoe (north) fifi asi gala huluane guiguda: misa: ne wele sia: nana. Amo ga fifi asi gala ilia hina bagade da ilia fisu (fedege ilia ouligisu hou) amo Yelusaleme logo holei ga: su amola ea gagoi amola Yuda moilai huluane amo sisiga: le, amoga gaguli dagoi ba: mu.
16 Nitatamka hukumu dhidi yao juu ya uovu wao wa kuniacha, kwa kufukiza uvumba kwa miungu mingine, na kwa kuabudu kile walichotengeneza kwa mikono yao.
Na fi dunu da wadela: le hamoiba: le, Na da ilima se imunu. Ilia da Na fisiagai dagoi. Ilia da eno ogogosu ‘gode’ ilima gobele salasu hou hamosu. Ilia da loboga hamoi ‘gode’ agoaila liligi amo hamone, ilima nodone sia: ne gadosu.
17 Jiandae! Simama ukawaambie kila kitu ninachokuamuru. Usifdhaike mbele zao nisije nikakufadhaisha wewe mbele zao!
Yelemaia! Momagema! Ilima asili, Na dima sia: i liligi huluane ilima olelema. Wali, iliba: le mae beda: ma! Dia da wali ilima beda: i galea, di da ilima doaga: sea, Na da di iliba: le beda: ma: ne baligili hamomu.
18 Tazama! Leo nimekufanya kuwa mji ulio na ngome, kuwa ngome ya chuma, na ukata wa shaba dhidi ya nchi yote - dhidi ya wafalme wa Yuda, na juu ya wakuu wake, na juu ya makuhani wake, na juu ya watu wote wa nchi.
19 Watapigana na wewe, lakinai hawatakushinda, kwa kuwa nitakuwa pamoja na wewe ili kukuokoa- asema BWANA.”
Yelemaia! Nabima! Dunu huluane amo soge ganodini esala (Yuda hina bagade ili amola eagene ouligisu dunu amola gobele salasu dunu, amola mafua dunu huluane) da dima ha lamu. Be wali eso, di da ilima dabele gegema: ne, Na da dima gasa iaha. Di da gasa bagadeba: le, ilima moilai gasawane gagoi, amola ouli momomogoi amola ouliga hamoi dobea agoane ba: mu. Ilia da dima hame hasalimu. Bai Na da di gaga: ma: ne, ani esalumu. Na, HinaGode, da sia: i dagoi.”

< Yeremia 1 >