< Yakobo 1 >
1 Yakobo, mtumwa wa Mungu na wa Bwana Yesu Kristo, kwa makabila kumi na mbili yaliyotawanyika, salaam.
Nene Yakobo, mtumisi wa Chapanga na wa BAMBU Yesu Kilisitu, vikivayandikila nyenye vandu voha va Chapanga, mwemudandasiki pamulima! Nikuvajambusa!
2 Hesabuni kuwa ni furaha zaidi, ndugu zangu, mnapopita katika matatizo mbali mbali,
Valongo vangu, muvya na luheku pemwing'aiswa kwa kila njila,
3 mkijua kuwa kujaribiwa kwa imani yenu huwapa uvumilivu.
muni mmanyili kuvya kulingiwa kwa sadika yinu yati kuvapela usindimala.
4 Acheni uvumilivu uikamilishe kazi yake, kwamba muweze kukomaa kikamilifu, bila kupungukiwa katika lolote.
Mvya na uchakaka kuvya usindimala winu wihenga lihengu mugati yinu pamwishu, muni mkangala na kuvya ngati Chapanga cheigana muvyai, changali kupungukiwa chindu chochoha.
5 Lakini kama mtu kati yenu anahitaji hekima, aiombe kutoka kwa Mungu, ambaye hutoa kwa ukarimu na pasipo kukemea kwa wote wamwombao, na atawapa hekima.
Nambu ngati mmonga winu apungukiwi luhala, hinu iganikiwa amuyupa Chapanga, muni Chapanga akuvapela voha kwa umahele na kwa mtima wabwina.
6 Lakini omba kwa imani, bila shaka, kwa kuwa mwenye kutia shaka ni kama mawimbi katika bahari, huchukuliwa na upepo na kutupwa huku na huko.
Nambu iganikiwa kuyupa kwa sadika changali mtahu. Mundu mweavi na mtahu ndi ngati luyuga lwa nyanja gegikang'wa na kutagwa na chimbungululu.
7 Kwa hakika mtu huyu asifikirie kwamba atapokelewa ombi lake kutoka kwa Bwana;
Muni mundu ngati mwenuyo akotoka kuhuvalila kuvya yati ipokela chochoa kuhuma kwa BAMBU.
8 mtu huyu ana nia mbili, si imara katika njia zake zote.
Mundu mweavi na mtahu na mweavi na maholo gavili kwa lukumbi lumonga mwangahotola kuhamula cha kuhenga pa goha geihenga.
9 Ndugu maskini anapaswa kujivuna katika kusimama kwake juu,
Vandu vevakumsadika Kilisitu vevavi vangangu viganikiwa kuheka pala Chapanga peakumkweha,
10 wakati huo huo ndugu tajiri katika unyenyekevu wake, kwa sababu atatoweka kama ua la kondeni katika shamba analopita.
vandu vana vindu vyamahele vevakumsadika yikumgana kuheka peihuluswa na Chapanga. Muni mundu mweavi na vindu vyamahele yati iwuka na kuyaga ngati manyahi ga mdahi.
11 Jua huchomoza na joto la kuunguza kukausha mimea, na maua huanguka na uzuri wake hufa. Vivyo hivyo watu matajiri watachakaa katikati ya kazi zao.
Lilanga lihumila na kuganyala mahamba, na manyahi gaki gigwa na ubwina waki woha uyaga. Mewawa yati yivya kwa mundu mweavi na vindu vyamahele yati ifwa mumahengu gaki.
12 Amebarikiwa mtu yule anayevumilia majaribu, kwa kuwa baada ya kushinda jaribu hilo, atapokea taji ya uzima, ambayo imeahidiwa kwa wale wampendao Mungu.
Amotisiwa mundu yula mweisindimala mukulingiwa, muni akamala kusindimala mukulingiwa, yati ipewa njombi ya wumi ndi Chapanga alagini kuvapela vala veavaganili.
13 Mtu yeyote hapaswi kusema anapojaribiwa, “Jaribu hili linatoka kwa Mungu,” kwa sababu Mungu hajaribiwi na uovu, na Mungu mwenyewe hamjaribu yeyote.
Ngati mundu ilingiwa akotoka kujova, “Nilingiwa na Chapanga.” Muni mwene Chapanga nakumlinga mundu yoyoha kwa uhakau.
14 Kila mtu hujaribiwa na tamaa zake mbaya zinazomshawishi na kumvuta mbali.
Nambu mundu ilingiwa peihutika na kuyonjwa na mnogo waki uhakau.
15 Ndipo baada ya tamaa ya dhambi kubeba mimba, dhambi huzaliwa, na baada ya dhambi kukomaa sawasawa, huishia katika mauti.
Peukiyilekela mnogu uhakau ukutalalila yiveleka kumbudila Chapanga, na kumbudila Chapanga yikakangalayi yileta lifwa.
16 Ndugu zangu wapendwa, msidanganyike.
Valongo vangu mkoto kukongeka!
17 Kila zawadi iliyo nzuri na kila zawadi iliyokamilika hutoka juu, hushuka chini kutoka kwa Baba wa nuru. Kamwe habadiliki kama kivuli kibadilikavyo.
Kila chipanji chabwina na kila njombi yangapungula yihuma kunani kwa Dadi, Muwumba wa lumuli, ndi angang'anamuka na kawaka ulangisa wowoha wa kung'anamuka.
18 Mungu alichagua kutupa sisi uzima kwa Neno la kweli, ili kwamba tuweze kuwa kama uzao wa kwanza miongoni mwa viumbe vyake.
Kwa kugana kwaki mwene ating'anamwisi kupitila lilovi la uchakaka, muni tivya ngati mabenu ga kutumbula pagati ya viumbi vyaki.
19 Mnajua hili, ndugu zangu wapendwa. Kila mmoja anapaswa kuwa mwepesi wa kusikia, siyo mwepesi wa kuongea wala kukasirika,
Valongo vangu vaganu mkumbuka lijambu lenili! Kila mundu ndi kuyuwanila kanyata na akotoka kuvya myeywa wa kuyangula mewa akotoka kuyoma kanyata.
20 kwa kuwa hasira ya mwanadamu haiwezi kutenda haki ya Mungu.
Muni vandu vevana ligoga nakuhotola kuhenga gabwina palongolo ya Chapanga.
21 Kwa hiyo wekeni mbali uchafu wa dhambi na ubaya wote ulio mahali popote, na kwa unyenyekevu lipokeeni neno lililopandwa ndani yenu, ambalo lina uwezo wa kuokoa roho zenu.
Hinu ndi mtaga kutali kuyovalela kwinu na matendu goha gahakau, mjivika pahi ya Chapanga na kupokela kwa ungolongondi lilovi lila lelipandiwi mumitima yinu, ndi lelihotola kuvasangula mwavene.
22 Litiini neno, msilisikie tu, mkijidanganya nafsi zenu wenyewe.
Mkoto kujikonga mwavene kwa kuyuwanila ndu lilovi laki, nambu mulihenga chelijova.
23 Kwa kuwa kama yeyote alisikiaye neno bila kulitendea kazi ni sawa na mtu ajiangaliaye uso wake halisi katika kioo.
Ndava muni mundu yoyoha mweiyuwanila lilovi nambu nakulihengela lihengu mwenuyo ndi ngati mundu mweakujilola pamihu paki muchilolilo.
24 Hujitathimini uso wake, na huenda zake na baada ya muda mfupi husahau anavyofanana.
Akujilola mwene, kangi ihamba na kukosiwa cheavi.
25 Bali mtu yule anayeiangalia kwa uangalifu sheria kamili, sheria ya uhuru, na kuendelea kuitii, si kwa sababu yeye ni msikilizaji anayesahau, huyu mtu atabarikiwa anapoitenda.
Nambu mundu mweilola bwina malagizu yeyivi yabwina neju yeyikuvalekekesa vandu, na mundu mwenuyo akayendelela kukamula malagizu ago, ndi lepi kuyuwana ndu nambu kandahi kukosiwa, nambu akuihengela, mundu mwenuyo yati imotisiwa mukila chindu cheikita.
26 Ikiwa mtu yeyote atafikiri mwenyewe kuwa ni mtu wa dini, lakini hawezi kuutawala ulimi wake, huudanganya moyo wake na dini yake ni bure.
Ngati mundu akajiholalela kuvya akumuyogopa na kumfugamila Chapanga, na kuni akuudilalila lulimi lwaki, hinu kumuyupa kwa Chapanga kwangali mana na akujikonga wamwene.
27 Dini iliyo safi na isiyoharibiwa mbele za Mungu wetu na Baba ni hii: kuwasaidia yatima na wajane katika mateso yao, na kujilinda wenyewe na ufisadi wa dunia.
Njila yabwina na chakaka ya kumuyupa Chapanga ndi yeniyi: Kuvatangatila vakiva na valipwela mu ng'ani kwavi, na kujiyangalila wamwene ukoto kuhakaswa na mulima uwu.