< Yakobo 5 >
1 Njoni sasa, enyi mlio matajiri, lieni kwa sauti ya juu kwa sababu ya taabu inayokuja juu yenu.
Enzaji eshi amwe mwemuli bhatakili, lilaji hwizu ilyapamwanya afwane na malabha gagahwenza hwilimwe.
2 Utajiri wenu umeharibiwa na mavazi yenu yametafunwa na wadudu waharibifu.
Utakili wenyu unachishe na amenda genyu gasyolilwe ne vikoko bhabhanankanga.
3 Dhahabu zenu na fedha zenu zimekosa thamani, na uharibifu wake utashuhudia dhidi yenu na kuangamiza miili yenu kama moto. Mmejiwekea hazina yenu katika siku za mwisho.
Dhahabu ezyenyu ne hela zyenyu zikosile thamani, unankanyi wakwe waioneha hwilimwe na hwanyamile amabele genyu neshi omwoto. Mhwebhesheye embuto yenyu husiku zwa humalishilo.
4 Tazameni, malipo ya watendakazi-wale ambao hamjawalipa kwa kuvuna katika mashamba yenu- wanalia! Na kilio cha wale waliovuna mazao yenu kimeyafikia masikio ya Bwana wa Majeshi.
Enyaji ensombo zwa bhabhabhombo embombo bhala abhene semubhasombile bhabhakonjele mumagonda genyu- bhalila! Na shililo shabhala bhabhakonjele eviyao vyenyu shifishile mmakutuga Gosi uwa bhanajeshi.
5 Mmeishi kwa anasa duniani na kujifurahisha ninyi wenyewe. Mmejinenepesha mioyo yenu kwa siku ya machinjo.
Mkheye enembibhi ezwamu na hwisongwe amwe mwemwe. Mwibolosyezwe amoyo genyu husiku zwa sinzwe.
6 Mmemhukumu na kumuua mwenye haki asiyeweza kuwapinga.
Mlonjile nu hugoje owelyoli yasawezizwe abhakhane.
7 Kwa hiyo vumilieni, ndugu, mpaka ujio wa Bwana, kama mkulima husubiri mavuno ya thamani toka katika nchi, akisubiri kwa uvumilivu kwa ajili yake, mpaka mvua za kwanza na zile za mwisho zikinyesha.
Nantele gimbizwaji, bhaholo, mpaka nayezela o Gosi, neshi obhovi na gola amavuno age thamani afume msi agolela na jimbizwe kwaji ya mwahale, paka evula ezwahwanda na zila ezwa pamalishilo nkazwatonya.
8 Pia ninyi muwe wavumilivu; kazeni mioyo yenu, kwa sababu kuja kwake Bwana ni karibu.
Nantele namwe mubhe bhasivi; pinyi amoyo genyu, antele awenze hwakwa O Gosi ali papepe.
9 Ndugu, msinung'unikiane ninyi kwa ninyi, kusudi msije mkahukumiwa. Tazama, hakimu anasimama mlangoni.
Bhaholo mgaje hwilombulozwe mwemwe hwa mwemwe ili msaha longwe. Enya, olonzi ayemeleye palyango.
10 Kwa mfano, ndugu, angalieni mateso na uvumilivu wa manabii walionena katika jina la Bwana.
Umfano, oholo, enyelezi malabha na ujivi wa kuwa bhabha yanjile hwi tawa lya Gosi.
11 Tazama, twawaita wale wanaovumilia, “heri.” Mmesikia uvumilivu wa Ayubu, na mnalijua kusudi la Bwana kwa ajili ya Ayubu, ni kwa jinsi gani Bwana amejaa huruma na rehema.
Enye, tibhakwizwa bhala ajivi, “heri.” Mwemwozwe ujivi wa Ayubu, na mlimenye lyapanjile Ogosi hwa Ayubu, hwanamna wele Ogosi amemile ehuruma ne rehema.
12 Zaidi ya yote, ndugu zangu, msiape, aidha kwa mbingu ama kwa nchi, au kwa kiapo cha aina nyingine. Bali hebu “ndiyo” yenu na imaanishe “ndiyo” na “hapana” yenu na imaanishe “hapana,” ili kwamba msije kuangukia chini ya hukumu.
Antele gonti muvaholo bhane, msahashele alape, wala alapila emwanya ama husi wala, hushilapo shoshonti Eshamwao antele “ena” yenyu ibhanje yelyoli “ena” ye ne “ndadi” yenyu ebhanje yelyoli “ndadi,” mganje agwele pasi eyalongwe.
13 Kuna yeyote miongoni mwenu ana mateso? Lazima aombe. Je, mtu yeyote ni mwenye kuchangamka? Na aimbe sifa.
Ahweli yeyonti miongoni mwenu hwilimwe ana makabha? Ulazima alabhe antele omuntu yeyonti achangamusha? Nu antele esifa.
14 Je, kuna yeyote miongoni mwenu aliye mgonjwa? Na awaite wazee wa kanisa, nao wazee wa kanisa waombe juu yake, wakimpaka mafuta katika jina la Bwana,
Antele aweli yayonti mwilimwe yalinobhinu? Na abhakwizwe abhazee abheshimanza bhape abhazehe, abhazehe abheshibhanza bhalabhehwamwahale bhapashe amafuta hwitawa lya Gosi,
15 na maombi ya imani yatamponya mgonjwa, na Bwana atamwinua. Na kama atakuwa ametenda dhambi, Mungu atamsamehe.
nendao eye lyeteho ebhahuponye ubhinu, na Gosi abhahubhusye. Nkashile abhombile embibhi, Ungolobhe abhahusajile.
16 Kwa hiyo ungameni dhambi zenu ninyi kwa ninyi, na kuombeana kila mmoja na mwenzake, ili muweze kuponywa. Maombi ya mwenye haki huzaa matokeo makubwa.
Eshi fugamili embibhi zwenyu mwemwe hwa mwemwe na mputilane shila muntu no wamwao, ili mpone emputo eja umuntu uwelyoli epapa amatokeyo amagosi.
17 Eliya alikuwa mtu mwenye hisia kama zetu, aliomba kwa juhudi kwamba mvua isinyeshe, na haikunyesha katika nchi kwa muda wa miaka mitatu na miezi sita.
U Eliya alimuntu neshete aputile nebidi aje evula igajetonye na sehatonyele msi humaha gatatu nu mezi sita.
18 Na Eliya aliomba tena, na mbingu zilimwaga mvua juu ya nchi na nchi ikatoa mavuno.
Na o Eliya aputile nantele na emwanya ihitile evula pasi nu esi yafumizwe amavuno.
19 Ndugu zangu, kama yeyote miongoni mwenu anapotoka kutoka kwenye ukweli, lakini mtu mwingine akamrejesha,
Bhaholo bhane nkashile yoyonti miongoni mwenu atega afume mlyoli antele omuntu owenje wawezwa,
20 hebu na ajue kuwa yeyote amwongozaye mwenye dhambi kuondoka katika njia yake ya ukosaji ataponya nafsi yake kutoka katika mauti na atafunika wingi wa dhambi.
omunye aje yoyonti yahulongozwa yalinembibhi huwefwe hwidala ibhibhi abhayiponye enafsi yakwe afume hufwa abhavunje uwinji uwehubibhe.