< Yakobo 4 >

1 Ugonvi na migogoro miongoni mwenu vyatoka wapi? Haviinuki kutoka katika tamaa zenu mbaya zinazoleta vita ndani ya washirika wenu?
¿Cuál es la causa de las guerras y peleas entre ustedes? ¿No son sus pasiones lo que está en lucha interna en sus cuerpos?
2 Mnatamani kile msichokuwa nacho. Mnauwa na mnafukuzia kile msichoweza kuwa nacho. Mnapigana na kugombana, na bado hampati kwa sababu hamumwombi Mungu.
Desean, y no obtienes su deseo, matán; están llenos de envidia y no puedes obtener su deseo, entonces estás peleando y se hacen la guerra; ustedes no obtienen su deseo, porque no lo piden.
3 Mnaomba na hampokei kwa sababu mnaomba kwa ajili ya mambo mabaya, ili kwamba muweze kuvitumia kwa tamaa zenu mbaya.
Hacen su petición pero no lo obtienen, porque lo piden. Incorrectamente, por egoísmo para su propio placer.
4 Enyi wazinzi! Hamjui kwamba urafiki na ulimwengu ni uadui dhidi ya Mungu? Kwa hiyo, yeyote aamuaye kuwa rafiki wa ulimwengu hujifanya mwenyewe adui wa Mungu.
¡Oh, almas adúlteras! ¿no saben que ser amigos de este mundo es ser enemigos de Dios? Todo hombre que desee ser amigo de este mundo se odia a sí mismo.
5 Au mnadhani maandiko hayana maana yasemapo kwamba Roho aliyoweka ndani yetu ana wivu sana kwa ajili yetu?
O piensan que es en vano lo que dicen las Sagradas Escrituras, el Espíritu que Dios puso en nuestros corazones nos anhela celosamente?
6 Lakini Mungu hutoa neema zaidi, ndiyo maana maandiko husema, “Mungu humpinga mwenye kiburi, lakini humpa neema mnyenyekevu.”
Pero él da más gracia. Por eso dice, Dios está en contra de los hombres orgullosos, pero él da gracia a aquellos que se humillan ante él.
7 Hivyo, jitoeni kwa Mungu. Mpingeni ibilisi na yeye atakimbia kutoka kwenu.
Sométanse a Dios; resistan al diablo y él huirá de ustedes.
8 Sogeeni karibu na Mungu, na yeye atakaribia karibu nanyi. Safisheni mikono yenu, enyi wenye dhambi, na takaseni mioyo yenu, enyi wenye nia mbili.
Acérquense a Dios y él se acercará a ustedes. Limpien sus manos, pecadores. Purifiquen sus corazones, ustedes que quieren amar al mundo y a Dios a la vez.
9 Huzunikeni, ombolezeni, na kuria! Geuzeni kicheko chenu kuwa huzuni na furaha yenu kuwa maombolezo.
Aflíjanse con tristeza y llanto; dejen que su risa se convierta en dolor y su alegría en dolor.
10 Jinyenyekezeni wenyewe mbele za Bwana, na atawainua juu.
Humíllense ante los ojos del Señor y serán exaltados por él.
11 Msineneane kinyume ninyi kwa ninyi, ndugu. Mtu anenaye kinyume na ndugu yake, au kumhukumu ndugu yake, hunena kinyume na sheria na huihukumu sheria ya Mungu. Mkiihukumu sheria, hamuitii sheria, bali mnaihukumu.
No digan mal el uno contra el otro, mis hermanos. El que dice mal contra su hermano o juzga a su hermano, dice mal contra la ley y juzga la ley; y al juzgar la ley, no eres un hacedor de la ley, sino un juez.
12 Ni mmoja tu ambaye ni mtoa sheria na hakimu, Mungu, yeye ambaye ana uwezo wa kuokoa na kuangamiza. Wewe ni nani ambaye unamhukumu jirani yako?
Hay un solo juez y legislador, incluso el que tiene el poder de la salvación y la destrucción; pero ¿quién eres tú para ser el juez de tu vecino?
13 Sikilizeni, ninyi msemao, “Leo au kesho tutakwenda katika mji huu, na kukaa mwaka huko, na kufanya biashara, na kutengeneza faida.”
Qué tonto es decir: Hoy o mañana iremos a esta ciudad, y estaremos allí por un año y haremos negocios allí y obtendremos riquezas:
14 Ni nani ajuaye nini kitatokea kesho, na maisha yenu ni nini hasa? Kwa kuwa mnafanana kama ukungu unaotokea kwa muda mfupi na kisha hupotea.
Cuando no están seguros de lo que sucederá mañana. Que es con su vida? Es una niebla, que se ve por un tiempo y luego se va.
15 Badala yake mngesema, “kama ni mapenzi ya Bwana, tutaishi na tutafanya hiki au kile.”
Pero lo correcto sería decir: Si es el placer del Señor y si todavía estamos vivos, haremos esto y lo otro.
16 Lakini sasa mnajivuna juu ya mipango yenu. Majivuno yote hayo ni uovu.
Pero ahora se regocijan en su orgullo, y todo ese regocijo es malo.
17 Kwahiyo, kwake yeye ajuaye kutenda mema lakini hayatendi, kwake huyo ni dhambi.
El hombre que tiene conocimiento de cómo hacer el bien y no lo hace, para él es pecado.

< Yakobo 4 >