< Yakobo 3 >

1 Ndugu zangu, siyo wengi wenu mnapaswa kuwa walimu, mkijua kwamba tutapokea hukumu kubwa zaidi.
Kena vungi vwa vantu, va swanela ku va varuti, va kwangu. Twizive kuti mwi se ni tu tambwile inkatulo ikolete kuhita.
2 Kwa kuwa wote tunakosea katika njia nyingi. Kama yeyote huwa hajikwai katika maneno yake, huyo ni mtu mkamilifu, aweza kudhibiti mwili wake wote pia.
Mi twese tu tatalika mwi nzila zingi. Heva zumwi ka tataliki mu zi wambo, nji kuti mukwame wizwile, yo woola ku yendisa muvili wakwe wonse.
3 Sasa kama tunaweka lijamu za farasi katika vinywa vyao wanatutii, na tunaweza kuigeuza miili yao yote.
Hanu heva ni tuvika inkwele mu milomo ye mbizi mi ili kuti zi tuzuwe, tu woola ku yendisa nimivili yazo yonse.
4 Tambua pia kwamba meli, ingawa ni kubwa na husukumwa na upepo mkali, zinaongozwa kwa usukani mdogo sana kwenda popote anakotaka nahodha.
Kwina vulyo ni ku zisepe, ni hazili zi kando zi yendiswa luhuho lukando, zi futumwina kwina muchila munini konse kwa saka yo zi kovocha.
5 Vivyo hivyo, ulimi ni kiungo kidogo cha mwili, lakini hujisifia makuu sana. Angalia msitu mkubwa unavyoweza kuwashwa kwa cheche ndogo ya moto!
Chamukwa wina vulyo lulimi chilama cha muvili chinini, mihe lu li kumusa cha zintu zikando. Mu lemuhe hape mulilo munini mu wola ku hisikiza muzuka mukando.
6 Ulimi pia ni moto, ni ulimwengu wa uovu, umewekwa miongoni mwa viungo vya mwili wetu, ambao hunajisi mwili wote na huiweka juu ya moto njia ya maisha, na wenyewe kuchomwa moto wa kuzimu. (Geenna g1067)
Lulimi nalo mulilo, Inkanda ye chivi ivikitwe mu zilama za muvili wonse. Lu tampeka muvili wonse inkwe ni kutumbika kwi intuto ya vuhalo. Nji lona lwine luli vika mwi lyangalilo. (Geenna g1067)
7 Kila aina ya mnyama wa polini, ndege, kitambaacho na kiumbe cha baharini kinadhibitiwa na wanadamu.
Mi cha mifuta ya zi nyolozi za mwi Inkanda, zi zuni, zi hahave, mi ni zi vumbantu za mwi wate zi tapiswa mi zi va tapiswa ni vantu.
8 lakini hakuna mwanadamu hata mmoja ambaye anaweza kudhibiti ulimi; ni uovu usiotulia, umejaa sumu ya kufisha.
Kono, cha lulimi, kakwina mukati kenu yo wola ku lu tapisa. Ka luwoleki ku luyendisa lwina vuvi, lwizwile chifanu chi fwile.
9 Kwa ulimi twamtukuza Bwana na Baba yetu, na kwa huo twawalaani watu ambao wameumbwa kwa mfano wa Mungu.
Chalo tulumbeka Simwine ni Tayo, mi chalo tukuta muntu, uzo ava vumbwa cha kuswana ni Ireeza.
10 Katika kinywa hichohicho husema maneno ya baraka na laana. Ndugu zangu mambo haya hayapaswi kuwa.
Kuzwa mu mulomo uswana kuzwa imbuyoti ni chikuto. Va kwangu, izi zintu kazi swaneli ku tendahala.
11 Je, kisima kimoja huweza kutoa maji matamu na machungu?
Kana mulonga u wola kwitila ku wi yalukila ku zwisa menzi malotu ni avava?
12 Ndugu zangu, Je, mti wa mtini unaweza kuzaa matunda ya mzeituni, au mzabibu unazaa matunda ya mtini? Wala chemchemi ya maji chumvi haitoi maji yasio na chumvi.
Kana isamu lye feiga, va kwangu, li wola kuleta i oli? Kapa masamu amuwomba, kuvika feiga? Kana ku woleka kuti menzi ena mwinyo kuzwe ena menzi atavusa.
13 Ni nani miongoni mwenu aliye na hekima na ufahamu? Hebu mtu huyo na aoneshe maisha mema katika kazi zake kwa unyenyekevu utokanao na hekima.
Njeni yo talifite ni kutwisiso mukati kenu? Muleke uzo muntu atotendeze vuhalo vulotu cha mitendo ya vuntu cha vutali.
14 Lakini kama mnao wivu mkali na nia ya ubinafsi mioyoni mwenu, msijivune na kusema uongo mkiupinga ukweli.
Kono heva mwina muna uvava ni kaani, mwi kulo zenu, sanzi mu litembi mi ku chenga ku amana ni vuniti.
15 Hii siyo hekima ile ishukayo kutoka juu, lakini badala yake ni ya kidunia, si ya kiroho, na ni ya kipepo.
Uvu kena nji vutali vu zwila kwi wulu. Kono, vwe Inkanda, vwa vantu, vwa vazimu.
16 Kwa kuwa palipo na wivu na ubinafsi upo, kuna vurugu na kila matendo maovu
Mi hena muna ni inkani, nji hena ku lyangana ni misevezi yonse ina ikwe.
17 Lakini hekima itokayo juu, kwanza ni safi, kisha kupenda amani, upole na ukarimu, yenye kujaa rehema na matunda mema, bila kupendelea watu fulani, na kweli.
Kono vutali vuzwa kwiwulu, vunjolola, linu inkozo, kuluka, insoni, chishemo ni zihantu zilotu, ka kwina chishweka ni mwipo.
18 Na tunda la haki hupandwa katika amani kwa wale ambao wanatenda mambo ya amani.
Mi zihantu zi njolola zi vwalwa mwi inkozo mukati kavo valeta inkozo.

< Yakobo 3 >