< Yakobo 3 >
1 Ndugu zangu, siyo wengi wenu mnapaswa kuwa walimu, mkijua kwamba tutapokea hukumu kubwa zaidi.
Ka püie, nami van cun jah mtheikia saja am thawn uki. Nami ksinga kba jah mtheikie sajae cun akcea kthak däm bawkia ngthumkhyahnak angkata khamei khaie ni.
2 Kwa kuwa wote tunakosea katika njia nyingi. Kama yeyote huwa hajikwai katika maneno yake, huyo ni mtu mkamilifu, aweza kudhibiti mwili wake wote pia.
Avan naw mi hma theiki. A pyennak üng hmanak am pawh khawi tikia khyang cän kümcei lü a pumsa avan nängeiki ni.
3 Sasa kama tunaweka lijamu za farasi katika vinywa vyao wanatutii, na tunaweza kuigeuza miili yao yote.
Ngsea mpyawng cän kbüpnak üng mi kbüp lü jah kcangnak khaia mi pawh lü mi hlüeinaka mi cehpüi khawhki.
4 Tambua pia kwamba meli, ingawa ni kubwa na husukumwa na upepo mkali, zinaongozwa kwa usukani mdogo sana kwenda popote anakotaka nahodha.
Mlawngnu cän ngai süm u: däm kyaw lüpi khawkhi naw a ceh hü ni, ani cun mawngnak akdik am ktui lü mawngki naw a hlünaka a mawng ni.
5 Vivyo hivyo, ulimi ni kiungo kidogo cha mwili, lakini hujisifia makuu sana. Angalia msitu mkubwa unavyoweza kuwashwa kwa cheche ndogo ya moto!
Mlei pi acuna täng ni: dik ca kyaw lüpi akdäm kdäma awhcah theiki ni. Ia mäi dämkia maw cän pi mei ksa api naw avana uiki ti cän ngai süma!
6 Ulimi pia ni moto, ni ulimwengu wa uovu, umewekwa miongoni mwa viungo vya mwili wetu, ambao hunajisi mwili wote na huiweka juu ya moto njia ya maisha, na wenyewe kuchomwa moto wa kuzimu. (Geenna )
Mlei cun meia mäi ni. Hmanaka mdeka pi kya lü mi pumsa üng ve lü akse cun mi pumsa naküt üng kpha hüki ni. Mi pumsa avan cun pi mulai üngkhyüh lawkia mei naw avana uiki ni. (Geenna )
7 Kila aina ya mnyama wa polini, ndege, kitambaacho na kiumbe cha baharini kinadhibitiwa na wanadamu.
Mimi khyange cun naw khisa k’länge ja kphyukhae, ngnawnngvakie ja ngae cun jah näng vai kunga mi jah nängei khawhkie ni.
8 lakini hakuna mwanadamu hata mmoja ambaye anaweza kudhibiti ulimi; ni uovu usiotulia, umejaa sumu ya kufisha.
Lüpi u naw pi mlei cun am näng khawh. Mlei cun am mi kbüp khawha aksexu kya lü thihnak vai asik am beki ni.
9 Kwa ulimi twamtukuza Bwana na Baba yetu, na kwa huo twawalaani watu ambao wameumbwa kwa mfano wa Mungu.
Mi mlei cun Bawipa ja Pamhnam mhlünmtainaka pi sumei lü Pamhnama mäia mhnünmcenga kyaki khyange pi mi jah yüncenak ni.
10 Katika kinywa hichohicho husema maneno ya baraka na laana. Ndugu zangu mambo haya hayapaswi kuwa.
Mpyawng mat üngkhyüh jenak khyü ja yüncenak khyü lut lawki ni. Ka püie, ahikba am thawn yah.
11 Je, kisima kimoja huweza kutoa maji matamu na machungu?
Tui hna mat üngkhyüh aktui ja akha tui cun am lawng law thei.
12 Ndugu zangu, Je, mti wa mtini unaweza kuzaa matunda ya mzeituni, au mzabibu unazaa matunda ya mtini? Wala chemchemi ya maji chumvi haitoi maji yasio na chumvi.
Ka püie, kthei dung cun olipa am ngthei, capyit pi ktheia am ngthei, acuna kba sih naw tui kdaw am mhluh law.
13 Ni nani miongoni mwenu aliye na hekima na ufahamu? Hebu mtu huyo na aoneshe maisha mema katika kazi zake kwa unyenyekevu utokanao na hekima.
Nangmi üng kthem lü ksingkhyapki nami veki aw. Akdawa na xünsak üng mdanki lü akdaw na bilawh cun mlung mhnemnak ja pumngyam am pawhmsah a.
14 Lakini kama mnao wivu mkali na nia ya ubinafsi mioyoni mwenu, msijivune na kusema uongo mkiupinga ukweli.
Lüpi na mlung k'uma ng’eihnak, ksekhanak, kamvanak ja ngthungtak cän käh mkhye na lü nami pumngyam käh awhcah ua.
15 Hii siyo hekima ile ishukayo kutoka juu, lakini badala yake ni ya kidunia, si ya kiroho, na ni ya kipepo.
Acu banga pumngyam cun khankhaw üngkhyüh am law: khawmdek üng am sängei lü mtisa, ngmüimkhyakse ja khawkse pumngyam üng sängeiki ni.
16 Kwa kuwa palipo na wivu na ubinafsi upo, kuna vurugu na kila matendo maovu
Ng’eihnak ja kamvanak ami venaka am cunginak ja aksexu naküt pi veki.
17 Lakini hekima itokayo juu, kwanza ni safi, kisha kupenda amani, upole na ukarimu, yenye kujaa rehema na matunda mema, bila kupendelea watu fulani, na kweli.
Khan üngkhyüh lawkia pumngyam cun akcük säiha ngcim lü ani cun dim’yenak, hniphnawinak ja nglawieinak: ani cun mpyenmseinak am be lü akdawkyaa bilawhnak cun mawihahnak be pawhki ni. Ani cun limmanak ja am cuhliheinak am ve.
18 Na tunda la haki hupandwa katika amani kwa wale ambao wanatenda mambo ya amani.
Dimdeihnak pawhkia nglin, dimdeihnaka mci üngkhyüh akdawkya bilawhnak cun mawihaheinak be pawhki ni.