< Yakobo 2 >
1 Ndugu zangu msiifuate imani ya Bwana Yesu Kristo, Bwana wa utukufu, kwa kupendelea watu fulani.
Vakwangu, kanzi mu wondi kwi intumelo ina kwa Simwine Jesu Kreste, Simwine we nkanya, kuketulula vantu vamwi ni kusa tenda vamwi hande.
2 Kama mtu fulani akiingia kwenye mikutano yenu amevaa pete za dhahabu na mavazi mazuri, pia akaingia masikini mwenye mavazi machafu,
Mukuti zumwi muntu wi njila mwikopano yenu na zwete iseka lye gauda kwi munwe ni zi zwato zilotu, mi kwiza kwi njila injevwe yo zwete zi zwato zina ikwe.
3 na mkaonyesha kumjali zaidi yule mwenye mavazi mazuri na kusema, “Tafadhari wewe keti hapa mahali pazuri” lakini mkamwambia yule masikini, “Wewe simama pale,” au “Kaa chini ya miguu yangu.”
Haiva no lola ko zuna muntu yo zwete zi zwato zilotu ni kuta kuti, “Wi kale mu chivaka chi lotu,” kono ku mukwame we njevwe uti, “Zimane kuna,” kapa “Wikale ha fasi a' matende angu,”
4 Je, hamuhukumiani ninyi wenyewe, na kuwa waamuzi wenye mawazo mabaya?
Kamuli atuli mukati kenu? Kachimwava muvatuli mu mihupulo yenu mivilala?
5 Sikilizeni, ndugu zangu wapendwa, je, Mungu hakuwachagua masikini wa dunia kuwa matajiri katika imani na kurithi ufalme aliowaahidia wampendao?
Muteke, vakwangu vasakahala, kena kuti Ireeza ava keti va njemwe veinu inkanda kuva va fumite mwi' tumelo ni kuva vayoli va muvuso wa va sepisi kwa vana va musaka?
6 Lakini mmewadharau masikini! Je, sio matajiri wanaowatesa ninyi, na sio wao wanaowaburuta mahakamani?
Kono inwe muva nyefule va njevwe! Imi kanji vona vava mitwali ku chikota?
7 Je, si matajiri wanaolitukana jina lile zuri ambalo kwalo mnaitiwa?
Kahena nji vona va tuka izina ilotu limu wila kulili?
8 Hata hivyo, kama mwaitimiza ile sheria ya kifalme kama ilivyoandikwa katika maandiko, “Utampenda jirani yako kama wewe mwenyewe,” mwafanya vyema.
Kono hanu, haiva wi zuziliza mulao wa chilena, ku amana ni mañolo, “Usake yo vambene naye sina moli sakila iwe umwine.” u tenda hande.
9 Lakini kama mkipendelea baadhi ya watu, mnatenda dhambi, mwahukumiwa na sheria kuwa ni wavunja sheria.
Kono haiva no saka vamwi vantu no ketulala vamwi, u chita chivi, imi u atulwa choku chola mulao.
10 Kwa kuwa yeyote atiiye sheria yote, na bado akajikwaa katika nukta moja tu, amekuwa na hatia ya kuvunja sheria yote!
Iye yense yo kuteka mulao, linu haiva no chola mulao umwina chi wachola milao yonse.
11 Kwa kuwa Mungu aliyesema, “Usizini,” ndiye pia aliyesema, “Usiue.” Kama hauzini, lakini una uwa, umekwishavunja sheria ya Mungu.
Iye ya vati, “Kanzi ulundi vusangu,” imi linu avati, “Kanzi wihahi.” Haiva no satendi vusangu, kono haiva niwi haya, chiwa va mucholi wa mulao.
12 Kwa hiyo zungumzeni na kutii kama wale ambao mko karibu kuhukumiwa na sheria ya uhuru.
Linu u wambe sina nja va vete ni va atulwe cha mukwa wa mulao we ntukuluho.
13 Kwa kuwa hukumu huja pasipo huruma kwa wale wasio na huruma. Huruma hujitukuza juu ya hukumu.
Mi inkatulo ka ize ni kusena chishemo kwa vana va sana vava tondezi chi shemo. Chi shemo chizunda inkatulo.
14 Kuna uzuri gani, ndugu zangu, kama mtu anasema ninayo imani, lakini hana matendo? Je, imani hiyo yaweza kumwokoa?
Linu bulotu njovihi, vakwangu, haiva zumwi uta kuti wina intumelo, linu na sena musevezi? kana iyo intumelo mwi muhaza?
15 Kama ndugu wa kiume au wa kike ni muhitaji wa mavazi au chakula cha kila siku,
Tute kuti unizalwa naye wa mukwame kamba wa mwankazi kazwete hande imi nasena zilyo ilyo' zuva.
16 na mmoja wenu akawaambia, “Nendeni kwa amani, mkaote moto na mle vizuri,” lakini hamuwapi mahitaji muhimu ya mwili, hiyo yafaaa nini?
Tute kuti zumwi kwenu uta kuvali, “Muyende chenkozo, mutukutilwe mutukutilwe imi mwi kuta.” Haiva no savahi zintu zisakahala za muvili, vulotu njo vuhi?
17 Hali kadhalika, imani pekee, kama haina matendo, imekufa.
Munzila iswana intumelo chayo, Haiva intumelo kaina musevezi, musevezi, ifwile.
18 Bado mtu fulani anaweza kusema, “Una imani, na mimi ninayo matendo.” Nionyeshe imani yako pasipo matendo, nami nitakuonyesha imani yangu kwa matendo yangu.
Niha kuva vulyo zumwi uwola ku wamba, wina intumelo, ime nina misevezi.” Nitondezi intumelo yako mi ime kani kutondezi intumelo yangu cha misevezi yangu.
19 Waamini kuwa kuna Mungu mmoja; uko sahihi. Lakini mapepo nayo yanaamini hivyo na kutetemeka.
Uzumina kuti kwina Ireeza yenke; u panga nenza. Mi nanga madimona a zumina kuti, mi a chacha.
20 Je, unataka kujua, ewe mtu mpumbavu, namna ambavyo imani hiyo pasipo matendo isivyofaa?
Musaka kwi ziva, mukwame wa chihole, mukuti intumelo isena misevezi kaina intuso?
21 Je, si baba yetu Abrahamu alihesabiwa haki kwa matendo alipomtoa mwanawe Isaka juu ya madhabahu?
Kana kuti Abrahama ishetu, kana ava chitwa yo sheyemi ka misevezi, che nako yava viki Isaka hi aletare?
22 Mnaona kuwa imani yake ilifanya kazi na matendo yake, na kwa matendo yake, imani yake ilifikia kusudio lake.
Mu mbwene kuti intumelo iva sevezi ni misevezi yakwe, mi intumelo yakwe iva kuli cha misevezi yakwe.
23 Maandiko yalitimizwa yasemayo, “Abrahamu alimwamini Mungu, na akahesabiwa kuwa ni mwenye haki.” Hivyo Abrahamu aliitwa rafiki wa Mungu.
Mi kuva izuzi likizwe chiva ñoletwe mwi nzwi chata kuti, “Abrahama ava zumini kwa Ireeza, mi ava valiwa yo shiyemi.” Imi ava sumpwa mulikani wa Ireeza.
24 Mwaona kuwa kwa matendo mtu huhesabiwa haki, na si kwa imani tu.
Mubwene kuti che misevezi muntu ava cheniswa cha misevezi insiñi che intumelo yo nke vulyo.
25 Hali kadhalika, je, hakuwa Rahabu yule kahaba alihesabiwa haki kwa matendo, alipowakaribisha wajumbe na kuwapeleka kwa barabara nyingine?
Cha mukwa wina vulyo, Rahaba wa mushahi, ava chitwa yo shiyemi chi misevezi, cha nako ya va tambuli va tumiwa, mi ni kuva tumina che nzila ingi.
26 Kwa kuwa kama vile mwili usipokuwa na roho umekufa, vivyo hivyo imani pasipo matendo imekufa.
Sina muvili hau kauhana ku luhuho u file, mi intumelo mu ikalile haiva kaina misevezi ifwile