< Yakobo 2 >

1 Ndugu zangu msiifuate imani ya Bwana Yesu Kristo, Bwana wa utukufu, kwa kupendelea watu fulani.
Bhalongo bhangu musijhikesi imani jha Bwana Yesu Kristu, Bwana bhwa utukufu, kwa kupendelela bhanu fulani.
2 Kama mtu fulani akiingia kwenye mikutano yenu amevaa pete za dhahabu na mavazi mazuri, pia akaingia masikini mwenye mavazi machafu,
Kama munu fulani akahingilayi mu lukomanu kati jha muenga afwalili pete sya dhahabu ni maguanda manofu, Kabhele akajhingila maskini jhaajhele ni maguanda machafu,
3 na mkaonyesha kumjali zaidi yule mwenye mavazi mazuri na kusema, “Tafadhari wewe keti hapa mahali pazuri” lakini mkamwambia yule masikini, “Wewe simama pale,” au “Kaa chini ya miguu yangu.”
na mwalasili kun'jali nesu jhola jha ajhele ni maguanda manofu ni kujobha, “Chondi bhebhe tamayi apa jha ujhele ni maguanda manofu, “Lakini mwan'jobhili masikini jhola, “Bhebhe jhemayi pala.” au tamayi pasi pa magolo gha nene.”
4 Je, hamuhukumiani ninyi wenyewe, na kuwa waamuzi wenye mawazo mabaya?
Je, mwihuku mulana mwebhene, ni kujha bhaamuzi bhabhajhele ni mabhwasu mabhibhi?
5 Sikilizeni, ndugu zangu wapendwa, je, Mungu hakuwachagua masikini wa dunia kuwa matajiri katika imani na kurithi ufalme aliowaahidia wampendao?
Mup'elesiajhi bhalongo bhangu bhaganwa, je, K'yara abhasalili lepi bhab'onji bha dunia, kujha matajiri mu iihiani nikurithi bhufalme bhwa abha ahidili bhabhan'ganili?
6 Lakini mmewadharau masikini! Je, sio matajiri wanaowatesa ninyi, na sio wao wanaowaburuta mahakamani?
Lakini mubhajimu ili bhabonji! Je bhatajiri lepi bhabhakabheta sya muenga, na bhenelepi bhabhakabharundusya mu mahakama?
7 Je, si matajiri wanaolitukana jina lile zuri ambalo kwalo mnaitiwa?
Je, matajiri lepi bhabhakaliligha lihina lela linofu ambalyo mwikutibhwa?
8 Hata hivyo, kama mwaitimiza ile sheria ya kifalme kama ilivyoandikwa katika maandiko, “Utampenda jirani yako kama wewe mwenyewe,” mwafanya vyema.
Hata naha, kama mwitimisya jhela sheria jha kifalme kama kya jhilembibhu mu majkandiku, “Wibetakun'gana jirani gha jhobhi kama ghwe muene,” Mwiketa kinofu.
9 Lakini kama mkipendelea baadhi ya watu, mnatenda dhambi, mwahukumiwa na sheria kuwa ni wavunja sheria.
Lakini kama mwipendelela baadhi jha bhanu, mwibetakubhamba dhambi mwihukumibhwa ni sheria kujha ndo bhavunja sheria.
10 Kwa kuwa yeyote atiiye sheria yote, na bado akajikwaa katika nukta moja tu, amekuwa na hatia ya kuvunja sheria yote!
Kwa kujha jhejhioha jhaitii sheria jhioha, ni akona akikungufuili mu nukta jhimonga tu, ajhhele ni hatia jha kuvunja sheria jhioha!
11 Kwa kuwa Mungu aliyesema, “Usizini,” ndiye pia aliyesema, “Usiue.” Kama hauzini, lakini una uwa, umekwishavunja sheria ya Mungu.
Kwa kujha K'yara jha ajobhili, “Usikomil kama wihonganalepi, lakini wikoma umelili kubomola sheria jha K'yara.
12 Kwa hiyo zungumzeni na kutii kama wale ambao mko karibu kuhukumiwa na sheria ya uhuru.
Henu mulongelayi ni kutii kama bhanfa ambabho bha mujhele karibu kuhukumulibhwa ni sheria jha uhuru.
13 Kwa kuwa hukumu huja pasipo huruma kwa wale wasio na huruma. Huruma hujitukuza juu ya hukumu.
Kwa kujha hukumu jhihida bila huruma kwa bhala bhabhabeli kujha ni huruma. Huruma jhikiwa tukusya kunani jha hukumu.
14 Kuna uzuri gani, ndugu zangu, kama mtu anasema ninayo imani, lakini hana matendo? Je, imani hiyo yaweza kumwokoa?
Kujhe ni unofu bholokhi bhalongo bhangu, kama munu ijobha nijhe ni imani lakini ajhelepi ni matendo? Je, imani ejhu njhihotola kumwokola?
15 Kama ndugu wa kiume au wa kike ni muhitaji wa mavazi au chakula cha kila siku,
kama bhalongosi au bhakidala ndo jhailonda ghwa maguanda au kya kulya kya khila ligono.
16 na mmoja wenu akawaambia, “Nendeni kwa amani, mkaote moto na mle vizuri,” lakini hamuwapi mahitaji muhimu ya mwili, hiyo yafaaa nini?
Ni mmonga bhinu akabhajobhela, “Mulotayi kwa amani mukajhotayi muoto na mkaliajhi kinofu.” Lakini mukabhapelalepi mahitaji, mhimu gha mbele, ejhu jhifu ajhi kiki?
17 Hali kadhalika, imani pekee, kama haina matendo, imekufa.
Hali mebhu, imani jhiene kama jhibeli kujha ni matendu, jhifuili.
18 Bado mtu fulani anaweza kusema, “Una imani, na mimi ninayo matendo.” Nionyeshe imani yako pasipo matendo, nami nitakuonyesha imani yangu kwa matendo yangu.
Bado munu fulani i9bhwesya kujobha, “Ujhe ni imani, ni nene nijhe ni matendo.” Nilasiajhi imani jha jhobhi bila matendo, nani nibeta kulasya imani jha nene kwa matendo gha nene.
19 Waamini kuwa kuna Mungu mmoja; uko sahihi. Lakini mapepo nayo yanaamini hivyo na kutetemeka.
Bhaamini kujha ajhe K'yara mmonga: ujhe sahihi. Lakini mapepo na ghene ghiamini mebhu ni kud'egeda.
20 Je, unataka kujua, ewe mtu mpumbavu, namna ambavyo imani hiyo pasipo matendo isivyofaa?
Je wilonda kumanya, ewe munu mpumbafu namna ambavyo imani ejhu bila matendo kyajholondekalepi?
21 Je, si baba yetu Abrahamu alihesabiwa haki kwa matendo alipomtoa mwanawe Isaka juu ya madhabahu?
Je, Dadi jhinu Abramu lepi jhaabhalangibhu haki kwa matendo paambosili mwanamunu Isaka panani pa madhabhahu?
22 Mnaona kuwa imani yake ilifanya kazi na matendo yake, na kwa matendo yake, imani yake ilifikia kusudio lake.
Mwabhwene imani jha muene jhabhombili mbombo ni matendo gha muene, ni kwa matendo gha muene, imani jha muene jhafikili kusudio lya muene.
23 Maandiko yalitimizwa yasemayo, “Abrahamu alimwamini Mungu, na akahesabiwa kuwa ni mwenye haki.” Hivyo Abrahamu aliitwa rafiki wa Mungu.
Majhandiku ghatimisibhu ghaghijobha, Abrahamu an'jobhili K'yara, na abhalangibhu kujha ndo mwenye haki.” Efyo Abrahamu akutibhu rafiki ghwa K'yara.
24 Mwaona kuwa kwa matendo mtu huhesabiwa haki, na si kwa imani tu.
Mwilola kujha kwa matendo munu ibhelangibhwa haki, na sio kwa imani jhiene.
25 Hali kadhalika, je, hakuwa Rahabu yule kahaba alihesabiwa haki kwa matendo, alipowakaribisha wajumbe na kuwapeleka kwa barabara nyingine?
Hali mabhu je, ajhelepi Rahabu jhola kahaba jhaabhalangibhu haki kwa matendo, bho abhakaribisi bhajumbe ni kubhapeleka kwa Baraba jhenge?
26 Kwa kuwa kama vile mwili usipokuwa na roho umekufa, vivyo hivyo imani pasipo matendo imekufa.
Kwa kujha kama vile mb'ele likabelajhi kujha ni roho ufuili fefuefu mebhu imani bila matendo jhifuili.

< Yakobo 2 >