< Isaya 9 >

1 Viza itaondolewa kwa yeyote ambaye yuko kwenye dhiki. Katika kipindi cha awali aliifedhehesha nchi ya Zebuluni na nchi ya Naftali, lakini kipindi cha baadae ataifanya itukuke, njia ya kuelekea baharini, mbele ya Yordani na mataifa ya Galilaya.
Bet tumsība nepaliks, kur (tagad) bēdas; pirmajā laikā Viņš kaunā licis Zebulona zemi un Naftalus zemi, bet pastara laikā Viņš cels godā jūrmalu, AizJardāni un pagānu Galileju.
2 Watu wanotembeakatika giza wameona wameona mwanga mkubwa; wale waishio katika nchi ya uvuli wa mauti, mwanga umewaka juu yao.
Tie ļaudis, kas staigā tumsībā, redz lielu gaišumu; kas dzīvo nāves ēnas zemē, pār tiem spīd spožums.
3 Umeliongeza taifa; umeongeza furaha yao. Wamefurahia mbele yako kama furaha ya kipindi cha mavuno, kama watu wanavyofurahi kugawanya nyara.
To tautu Tu esi vairojis; lielu prieku Tu tai esi devis; tie priecāsies Tavā priekšā, tā kā priecājās pļaujamā laikā, tā kā līksmojās laupījumu dalot.
4 Maana nira ya mzigo wake, boriti katika mabega yake, fimbo ya mkandamizaji, umesambaratisha ndoto kama siku ya Midiamu.
Jo viņu nastas jūgu un viņu muguras rīksti un viņu dzinēja dzenuli Tu esi salauzis kā Midijana laikā.
5 Kila buti likanyagalo gasia na vazi limekwisha kwenye damu itachomwa, mafuta kwa moto.
Jo kurpes, autas uz kara troksni, un drēbes, apgānītas asinīm, taps sadedzinātas un no uguns aprītas.
6 Kwetu mtoto amezaliwa, kwetu mtoto ametoka; na mtawala atakuwa kwenye mabega yake; na jina lake ataitwa mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa Amani.
Jo viens bērns mums dzimis, viens dēls mums dots, un valdība ir uz Viņa kamieša; un Viņa vārds top saukts: Brīnums, Padoma devējs, Varenais Dievs, Mūžīgais tēvs, Miera lielkungs.
7 Enzi yake na amani yake haitakuwa na mwisho, maana anatawala katika kiti cha enzi cha Daudi, na juu ya ufalme wake, ataanzisha hukumu ya haki, tangu sasa na hata milele. Bidii ya Yahwenwa majeshi itafanya haya.
Lai valdība top vairota, un mieram nav gala uz Dāvida goda krēsla un Viņa valstībā, ka Viņš to sataisa un stiprina ar tiesu un taisnību no šī laika mūžīgi. To darīs Tā Kunga Cebaot karstums.
8 Bwana alituma neno juu ya Yakobo, na ikaanguka juu ya Israeli,
Tas Kungs vienu vārdu ir sūtījis pie Jēkaba, un tas ir nolaidies pie Israēla.
9 Watu wote watajua, Hata Samaria na wakazi wote wa Samaria, wanaongea kwa kiburi na moyo wenye kiburi,
Un visi ļaudis to samanīs, Efraīms un Samarijas iedzīvotāji, kas lielībā un sirds lepnībā saka:
10 Matofali yameanguka, lakini tutajenga tena kwa jiwe la patasi; mkuyu umekatwa chini, lakini tutaotesha mierezi katika eneo lao.
Ķieģeļi gruvuši, bet ar cirstiem akmeņiem atkal uztaisīsim, meža vīģu koki ir nocirsti, bet viņu vietā stādīsim ciedru kokus.
11 Hivyo basi Yahwe atamwinua juu yao Rezini, adui zake, atawakoroga adui zake,
Jo Tas Kungs paaugstina Recina pretiniekus pār viņu un saskubina viņa ienaidniekus,
12 Waaramea upande wa mashariki, na wafilisti upande wa magharibi. Nao watamla Israeli kwa mdomo uliowazi. katika mambo yote haya hasira yake haijapungua; badala yake ameunyosha mkono wake nje.
Sīriešus no rītiem un Fīlistus no vakariem, ka tie Israēli ēd pilnā mutē. Ar visu to Viņa dusmība nenovēršas, un Viņa roka vēl ir izstiepta.
13 Lakini hawatageuka kwa yule anayewapiga wao, wala kumtafuta Yahwe wa majeshi.
Bet tie ļaudis negriežas pie Tā, kas tos sit, un nemeklē To Kungu Cebaot.
14 Hivyo basi yao atakata kichwa nakiwiwili cha Israeli, kuti na nyasi, katika siku moja.
Tādēļ Tas Kungs nocirtīs no Israēla galvu un asti, zaru un celmu vienā dienā.
15 Viongozi na watu wenye vyeo na manabii wanaofundisha kuwa uongo ni mkia.
Vecaji un augstie ir tā galva, bet pravietis, kas melus māca, tā aste.
16 Wale wanaowaongoza watu hawa wanawaongoza vibaya, na wale wanaongozwa wameangamia.
Jo šo ļaužu vadoņi ir viltnieki, un kas no tiem top vadīti, tie iet bojā.
17 Hivyo basi Bwana atafurahia juu ya vijana wadogo wala hatakuwa na huruma kwa yatima na wajane, maana kila mmoja hana Mungu na ni watenda dhambi, na kila mdomo unazungumza matendo mabaya. Mambo yote haya, hasira yake haijapungua; badala yake mkono wake umenyooka hata sasa.
Tādēļ Tas Kungs par viņu jaunekļiem nepriecāsies un neapžēlosies par viņu bāriņiem un atraitnēm, jo tie visi ir blēži un ļaundari, un ikviena mute runā blēņas. Ar visu to Viņa dusmība nenovēršas, un Viņa roka vēl ir izstiepta.
18 Matendo mabaya yataungua kama moto, moto hulao mbigili na miiba; itachoma hata vichaka vya mwitu, na safu ya moshi mkubwa upaa.
Jo bezdievība deg kā uguns un aprij ērkšķus un dadžus un aizdedzina mežu biezumus un augsti dūmi paceļas gaisā.
19 Japo hasira ya Yahwe wa majeshi imeunguza, na watu ni kama mafuta kwenye moto. Hakuna mtu aliyemuacha ndugu yake.
Jo caur Tā Kunga Cebaot bardzību zeme kvēlo, un ļaudis ir kā uguns barība, un viens otru nežēlo.
20 Watanyakuwa chakula katika mkono kulia lakini bado watasikia njaa; watakula chakula kwa mkono wa kushoto lakini hawataridhika. Kila mmoja atakula nyama ya mkono wake mwenyewe.
Pa labo roku rij, un tomēr ir izsalkuši, un pa kreiso roku ēd, un tomēr nav paēduši, ikkatrs ēd sava elkoņa miesu,
21 Manase; kwa pamoja watavamia Yuda. Mambo yote haya, hasira yake haitapungua; badala yake, amenyoosha mkono wake hata sasa.
Manasus Efraīmu, un Efraīms Manasu, un abi kopā pret Jūdu. Ar visu to Viņa dusmība nenovēršas, un Viņa roka vēl ir izstiepta.

< Isaya 9 >