< Isaya 7 >
1 Siku zile wakati Ahazi mtoto wa Yothani mtoto wa Uzia, mfalme wa Yuda, Rezeni mfalme wa Amramu, na Peka mtoto wa Remaelia, mfalme wa Israeli, walienda Yerusalemu kupigana vita nao, lakini hawakuweza kushinda vita.
Aconteció en los días de Acaz, hijo de Jotam, hijo de Uzías, rey de Judá, que llegaron Rezín, rey de Aram, y Peka, hijo de Remalías, rey de Israel. Hasta Jerusalén para hacer la guerra contra ella, pero no pudieron vencerla.
2 Ilitaarifiwa kwa nyumba ya Daudi kwamba Amramu amejiunga na Efraimu. Moyo wake na moyo watu wake ukatetemeka, kama vile miti ya misitu inavyopepea kwa upepo.
Y llegó a la familia de David la noticia de que Aram había levantado sus tiendas en Efraín. Y el corazón del rey y los corazones de su pueblo se conmovieron, como los árboles del bosque temblando en el viento.
3 Ndipo Yahwe akamwambia Isaya, ''Nenda nje na kijana wako, Sheari Jashubu ukaonane na Ahazi mwisho wa mfereji wa birika la juu, katika njia kuu ya uwanja Dobi.
Entonces el Señor le dijo a Isaías: Sal ahora, tú y Sear-jasub, tu hijo, y te encontrarás con Acaz al final de la corriente que fluye desde el estanque más alto, en la carretera del campo del lavandero;
4 Mwambie, 'awe makini, awe mtulivu, asiogope au vitisho kwa sababu ya mikia hii miwili ya vingi hivi vitokavyo moshi, kwa sababu ya hasira kubwa ya Resini na Amramu, na mtoto wa Remalia.
Y dile: Cuídate y ten calma; no temas, y no dejes que tu corazón se debilite, debido a estos dos carbones humeantes, debido a la amarga ira de Rezín y Aram, y del hijo de Remalías.
5 Amramu, Ephraimu, na mtoto wa Remaeli wamepanga mabaya juu yako; wamesema, '' njooni tuwavamie Yuda na kuwaogopesha,
Porque Aram ha tramado mal contra ti, diciendo:
6 njooni tujipange na tumueweke mfalme wetu ndani ya Yuda, mtoto wa Tabaeli.''
Subamos contra Judá a invadir y aterroricemosla, y pongamos en ella un rey, el hijo de Tabeel.
7 Bwana Yahwe asema, ''haitatokea; haitaonekana,
Esta es la palabra del Señor Dios: Esto jamas se realizará.
8 maana kichwa cha Amramu ni Damaskasi, na kishwa cha Damaskasi ni Rezini. Ndani ya miaka sitini na tano, ndoto za Ephraimu zitasambaratishwa na hapatakuwa na watu.
Porque la cabeza de Aram es Damasco, y la cabeza de Damasco es Rezín y dentro de sesenta y cinco años desde ahora, Efraín será quebrantado, y ya no será un pueblo:
9 Efraimu ni kichwa Samaria, na kishwa cha Samaria ni mtoto wa Remaria. Na kama hamtasimama imara katika imani yenu, hakika hamtakuwa salama''.
Y la cabeza de Efraín es Samaria, y la cabeza de Samaria es el hijo de Remalías. Si no lo creen, tu reino no permanecerá.
10 Bwana akaongea tena na Ahazi,
Entonces Isaías volvió a decir a Acaz:
11 ''Omba ishara ya Yahwe Mungu wako; omba juu ya hilo kwa kina au kwa kiwango cha juu.'' (Sheol )
Pide al Señor tu Dios una señal, una señal en los lugares profundos del inframundo o en los cielos altos. (Sheol )
12 Lakini Ahazi anasema, sintomba wala kumjaribu Yahwe.''
Pero Acaz dijo: No pondré a prueba al Señor haciendo tal petición.
13 Hivyo Isaya akajibu, ''sikilizen, nyumba ya Daudi. Je haijatosha kwa watu kuujaribu uvumilivu wa watu? Je ni lazima kuujaribu uvumilivu wa Mungu?
Y él dijo: Escucha ahora, oh familia de David: ¿no es suficiente que estés llevando a los hombres al disgusto? ¿Harás lo mismo con mi Dios?
14 Hivyo basi Mungu mwenyewe atawapa yeye mwenywe ishara: ona, mwanamke bikira atapata mimba na kumzaa mtoto, na atamwita Emanueli.
Por esta causa, el mismo Señor te dará una señal; una joven ahora está embarazada, y ella dará a luz un hijo, y ella le dará el nombre de Emanuel.
15 Atakula siagi na asali na wakati anapojua kuyakataa maovu na kuchagua mema.
La cuajada y la miel serán su alimento, cuando tenga la edad suficiente para tomar una decisión entre el mal y el bien.
16 Maana kabla mtoto ajajua kuyakataa maovu na kuchagua mema, nchi ambayo wewe unawachukia wafalme itakuwa ukiwa.
Porque antes de que el niño tenga la edad suficiente para tomar una decisión entre el mal y el bien, la tierra cuyos dos reyes que ahora temen se habrá convertido en un desperdicio.
17 Yahwe ataleta juu yako, juu ya watu wako, na juu ya nyumba ya baba yako siku hazijatimmia tangu Efraimu alipompokea Yuda- atamleta mfalme wa Asiria.''
El Señor está a punto de enviarte a ti, a tu pueblo y a la casa de tu padre, un tiempo de angustia que no ha habido desde los días de la separación de Efraín de Judá; Incluso la venida del rey de Asiria.
18 Mda huo Yahwe atapuliza filimbikwa ajili ya kupaa kutoka mkondo wa umbali wa Misri, na maana nyuki kutoka nchi ya Asiria.
Y será en ese día que el Señor hará un sonido para la mosca que está al final de los ríos de Egipto, y para la abeja que está en la tierra de Asiria.
19 Zitakuja na kukaa chini ya korongo, ndani ya mapango ya miamba, kwenye vichaka vya miba, na kwenye malisho.
Y vendrán, cubriendo todos los valles desolados, y los agujeros de las rocas, y las espinas, y todos los lugares de riego.
20 Katika mda huo Bwana atamnyoa kichwani kichwani na nywele za miguuni kwa wembe ulioazimwa mto Efrarate— mfalme wa Asiria - na vilevile utasafisha ndevu zote.
En ese día, el Señor rasurara el pelo de la cabeza y de los pies, así como el pelo de la cara, con una cuchilla alquilada del otro lado del río; con el rey de Asiria.
21 Siku hiyo, mtu atahifadhi ndama na na kondoo wawili,
Y será en ese día que un hombre dará comida a una vaca joven y dos ovejas;
22 na kwasababu ya maziwa yatakayo patikana ni mengi, atakula siagi, maana kila atakaye bakia kwnye nchi atakula siagi na asali.
Y darán tanta leche que él podrá tener cuajada para su comida; porque la cuajada y la miel serán la comida de todos los que aún viven en la tierra.
23 Mda huo, kutakuwa na maelfu ya mizabibu na thamani elfu za shekeli, hakutakuwa na kitu zaidi ya kuzalisha mbigiri na miiba.
Y será en ese día que en todos los lugares donde antes había mil vides valoradas en mil siclos de plata, no habrá más que maleza y espinas.
24 Watu watenda pale kuwinda kwa upinde, kwa sababu nchi yote itazalisha mbigiri na miiba.
Los hombres vendrán allí con arcos y flechas, porque toda la tierra estará llena de maleza y espinos.
25 Watakaa mbali na vilima vitalimwa kwa jembe, kwa sababu ya hofu ya mbigiri na miiba, lakini hapo patakuwa mahali pa kuchungia ngo'mbe na kondoo
Y enviarán los bueyes y las ovejas a todas las colinas que antes se trabajaban con azadón, porque solo es espinos y maleza y servirán solo para pastizales.