< Isaya 7 >

1 Siku zile wakati Ahazi mtoto wa Yothani mtoto wa Uzia, mfalme wa Yuda, Rezeni mfalme wa Amramu, na Peka mtoto wa Remaelia, mfalme wa Israeli, walienda Yerusalemu kupigana vita nao, lakini hawakuweza kushinda vita.
And it was in [the] days of Ahaz [the] son of Jotham [the] son of Uzziah [the] king of Judah he went up Rezin [the] king of Aram and Pekah [the] son of Remaliah [the] king of Israel Jerusalem for battle on it and not he was able to engage in battle on it.
2 Ilitaarifiwa kwa nyumba ya Daudi kwamba Amramu amejiunga na Efraimu. Moyo wake na moyo watu wake ukatetemeka, kama vile miti ya misitu inavyopepea kwa upepo.
And it was told to [the] house of David saying it has stood Aram with Ephraim and it shook heart his and [the] heart of people his as shake [the] trees of [the] forest from before a wind.
3 Ndipo Yahwe akamwambia Isaya, ''Nenda nje na kijana wako, Sheari Jashubu ukaonane na Ahazi mwisho wa mfereji wa birika la juu, katika njia kuu ya uwanja Dobi.
And he said Yahweh to Isaiah go out please to meet Ahaz you and Shear-jashub son your to [the] end of [the] conduit of the pool upper to [the] highway of [the] field of [the] washer.
4 Mwambie, 'awe makini, awe mtulivu, asiogope au vitisho kwa sababu ya mikia hii miwili ya vingi hivi vitokavyo moshi, kwa sababu ya hasira kubwa ya Resini na Amramu, na mtoto wa Remalia.
And you will say to him take care and show quietness may not you be afraid and heart your may not it be weak from [the] two [the] stumps of pieces of firewood smoking these by [the] heat of [the] anger of Rezin and Aram and [the] son of Remaliah.
5 Amramu, Ephraimu, na mtoto wa Remaeli wamepanga mabaya juu yako; wamesema, '' njooni tuwavamie Yuda na kuwaogopesha,
Because for it has planned on you Aram harm Ephraim and [the] son of Remaliah saying.
6 njooni tujipange na tumueweke mfalme wetu ndani ya Yuda, mtoto wa Tabaeli.''
Let us go up on Judah and let us demolish it and let us break into it to ourselves and let us make king a king in [the] midst of it [the] son of Tabeel.
7 Bwana Yahwe asema, ''haitatokea; haitaonekana,
Thus he says [the] Lord Yahweh not it will stand and not it will happen.
8 maana kichwa cha Amramu ni Damaskasi, na kishwa cha Damaskasi ni Rezini. Ndani ya miaka sitini na tano, ndoto za Ephraimu zitasambaratishwa na hapatakuwa na watu.
For [is] [the] head of Aram Damascus and [is] [the] head of Damascus Rezin and in yet sixty and five year[s] it will be shattered Ephraim from a people.
9 Efraimu ni kichwa Samaria, na kishwa cha Samaria ni mtoto wa Remaria. Na kama hamtasimama imara katika imani yenu, hakika hamtakuwa salama''.
And [is] [the] head of Ephraim Samaria and [is] [the] head of Samaria [the] son of Remaliah if not you will believe for not you will be established.
10 Bwana akaongea tena na Ahazi,
And he repeated Yahweh to speak to Ahaz saying.
11 ''Omba ishara ya Yahwe Mungu wako; omba juu ya hilo kwa kina au kwa kiwango cha juu.'' (Sheol h7585)
Ask for yourself a sign from with Yahweh God your make deep [as] Sheol or make high upwards. (Sheol h7585)
12 Lakini Ahazi anasema, sintomba wala kumjaribu Yahwe.''
And he said Ahaz not I will ask and not I will put to [the] test Yahweh.
13 Hivyo Isaya akajibu, ''sikilizen, nyumba ya Daudi. Je haijatosha kwa watu kuujaribu uvumilivu wa watu? Je ni lazima kuujaribu uvumilivu wa Mungu?
And he said hear please O house of David ¿ [too] little for you [is] to make weary people that you will make weary also God my.
14 Hivyo basi Mungu mwenyewe atawapa yeye mwenywe ishara: ona, mwanamke bikira atapata mimba na kumzaa mtoto, na atamwita Emanueli.
Therefore he will give [the] Lord he to you a sign there! the young woman [will be] pregnant and [will] bear a son and she will call name his Immanu-el.
15 Atakula siagi na asali na wakati anapojua kuyakataa maovu na kuchagua mema.
Curd and honey he will eat to knowing his to reject the evil and to choose the good.
16 Maana kabla mtoto ajajua kuyakataa maovu na kuchagua mema, nchi ambayo wewe unawachukia wafalme itakuwa ukiwa.
For before he will know the lad to reject the evil and to choose the good it will be forsaken the land which you [are] feeling dread of [the] two kings its.
17 Yahwe ataleta juu yako, juu ya watu wako, na juu ya nyumba ya baba yako siku hazijatimmia tangu Efraimu alipompokea Yuda- atamleta mfalme wa Asiria.''
He will bring Yahweh on you and on people your and on [the] house of father your days which not they have come from [the] day departed Ephraim from with Judah [the] king of Assyria.
18 Mda huo Yahwe atapuliza filimbikwa ajili ya kupaa kutoka mkondo wa umbali wa Misri, na maana nyuki kutoka nchi ya Asiria.
And it will be - in the day that he will whistle Yahweh for the fly which [is] at [the] end of [the] canals of Egypt and for the bee which [is] in [the] land of Assyria.
19 Zitakuja na kukaa chini ya korongo, ndani ya mapango ya miamba, kwenye vichaka vya miba, na kwenye malisho.
And they will come and they will settle all of them in [the] wadis of the cliffs and in [the] clefts of the rocks and on all the thornbushes and in all the watering-places.
20 Katika mda huo Bwana atamnyoa kichwani kichwani na nywele za miguuni kwa wembe ulioazimwa mto Efrarate— mfalme wa Asiria - na vilevile utasafisha ndevu zote.
In the day that he will shave [the] Lord with a razor hired on [the] other sides [the] River with [the] king of Assyria the head and [the] hair of the feet and also the beard it will sweep away.
21 Siku hiyo, mtu atahifadhi ndama na na kondoo wawili,
And it will be in the day that he will preserve alive a person a heifer of [the] herd and two sheep.
22 na kwasababu ya maziwa yatakayo patikana ni mengi, atakula siagi, maana kila atakaye bakia kwnye nchi atakula siagi na asali.
And it will be from [the] abundance of producing of milk he will eat curd for curd and honey he will eat every [one who] remains in [the] midst of the land.
23 Mda huo, kutakuwa na maelfu ya mizabibu na thamani elfu za shekeli, hakutakuwa na kitu zaidi ya kuzalisha mbigiri na miiba.
And it will be in the day that it will be every place where it was there a thousand vine[s] for a thousand silver the thorn[s] and the> bush[es] it will become.
24 Watu watenda pale kuwinda kwa upinde, kwa sababu nchi yote itazalisha mbigiri na miiba.
With arrows and with bow anyone will go there for thorn[s] and bush[es] it will be all the land.
25 Watakaa mbali na vilima vitalimwa kwa jembe, kwa sababu ya hofu ya mbigiri na miiba, lakini hapo patakuwa mahali pa kuchungia ngo'mbe na kondoo
And all the hills which with the hoe they were hoed! not you will go there fear of thorn[s] and bush[es] and it will become pastureland of ox[en] and a trampling place of sheep.

< Isaya 7 >