< Isaya 7 >

1 Siku zile wakati Ahazi mtoto wa Yothani mtoto wa Uzia, mfalme wa Yuda, Rezeni mfalme wa Amramu, na Peka mtoto wa Remaelia, mfalme wa Israeli, walienda Yerusalemu kupigana vita nao, lakini hawakuweza kushinda vita.
And it came to pass in the days of Achaz the son of Jotham, the son of 'Uzziyahu, the king of Judah, that Rezin the king of Syria, and Pekach the son of Remalyahu, the king of Israel, went up toward Jerusalem to war against it; but were not able to make an attack upon it.
2 Ilitaarifiwa kwa nyumba ya Daudi kwamba Amramu amejiunga na Efraimu. Moyo wake na moyo watu wake ukatetemeka, kama vile miti ya misitu inavyopepea kwa upepo.
And it was told unto the house of David, saying, Syria is encamped with Ephraim; and his heart trembled, with the heart of his people, as the trees of the forest are shaken before the wind.
3 Ndipo Yahwe akamwambia Isaya, ''Nenda nje na kijana wako, Sheari Jashubu ukaonane na Ahazi mwisho wa mfereji wa birika la juu, katika njia kuu ya uwanja Dobi.
And the Lord said unto Isaiah, Go forth now to meet Achaz, thou with Shear-yashub thy son, to the end of the aqueduct of the upper pool, on the highway of the washer's field;
4 Mwambie, 'awe makini, awe mtulivu, asiogope au vitisho kwa sababu ya mikia hii miwili ya vingi hivi vitokavyo moshi, kwa sababu ya hasira kubwa ya Resini na Amramu, na mtoto wa Remalia.
And thou shalt say unto him, Take heed, and be quiet; fear not, and let thy heart not become faint because of these two stumps of smoking firebrands, before the fierce anger of Rezin with Syria, and of the son of Remalyahu.
5 Amramu, Ephraimu, na mtoto wa Remaeli wamepanga mabaya juu yako; wamesema, '' njooni tuwavamie Yuda na kuwaogopesha,
Forasmuch as Syria, [with] Ephraim and the son of Remalyahu, have taken evil counsel against thee, saying,
6 njooni tujipange na tumueweke mfalme wetu ndani ya Yuda, mtoto wa Tabaeli.''
Let us go up against Judah, and besiege it, and let us make a breach therein for us, and set up as king in the midst of it the son of Tabeal:
7 Bwana Yahwe asema, ''haitatokea; haitaonekana,
Thus hath said the Lord Eternal, It shall not succeed, and it shall not come to pass.
8 maana kichwa cha Amramu ni Damaskasi, na kishwa cha Damaskasi ni Rezini. Ndani ya miaka sitini na tano, ndoto za Ephraimu zitasambaratishwa na hapatakuwa na watu.
For the head of Syria is Damascus, and the head of Damascus is Rezin: and within sixty and five years shall Ephraim be broken, to be no more a people.
9 Efraimu ni kichwa Samaria, na kishwa cha Samaria ni mtoto wa Remaria. Na kama hamtasimama imara katika imani yenu, hakika hamtakuwa salama''.
And the head of Ephraim is Samaria, and the head of Samaria is Remalyahu's son. If ye will not believe, surely ye shall not have permanence.
10 Bwana akaongea tena na Ahazi,
And the Lord continued to speak unto Achaz, saying,
11 ''Omba ishara ya Yahwe Mungu wako; omba juu ya hilo kwa kina au kwa kiwango cha juu.'' (Sheol h7585)
Ask thee a sign from the Lord thy God; ask it in the depth, or high up above. (Sheol h7585)
12 Lakini Ahazi anasema, sintomba wala kumjaribu Yahwe.''
But Achaz said, I will not ask, and I will not tempt the Lord.
13 Hivyo Isaya akajibu, ''sikilizen, nyumba ya Daudi. Je haijatosha kwa watu kuujaribu uvumilivu wa watu? Je ni lazima kuujaribu uvumilivu wa Mungu?
And he said, Hear ye now, O house of David! Is it too little for you to weary men, that ye will weary also my God?
14 Hivyo basi Mungu mwenyewe atawapa yeye mwenywe ishara: ona, mwanamke bikira atapata mimba na kumzaa mtoto, na atamwita Emanueli.
Therefore will the Lord himself give you a sign: behold, this young woman shall conceive, and bear a son, and she shall call his name 'Immanu-el, [God with us].
15 Atakula siagi na asali na wakati anapojua kuyakataa maovu na kuchagua mema.
Cream and honey shall he eat, so soon as he knoweth to refuse the evil, and to choose the good.
16 Maana kabla mtoto ajajua kuyakataa maovu na kuchagua mema, nchi ambayo wewe unawachukia wafalme itakuwa ukiwa.
For before yet the child shall know to refuse the evil, and to choose the good, shall be forsaken the land, of the kings of which thou feelest dread.
17 Yahwe ataleta juu yako, juu ya watu wako, na juu ya nyumba ya baba yako siku hazijatimmia tangu Efraimu alipompokea Yuda- atamleta mfalme wa Asiria.''
The Lord will bring over thee, and over thy people, and over thy father's house, days that have not come, from the day that Ephraim withdrew from Judah, —the king of Assyria.
18 Mda huo Yahwe atapuliza filimbikwa ajili ya kupaa kutoka mkondo wa umbali wa Misri, na maana nyuki kutoka nchi ya Asiria.
And it shall come to pass on that day, that the Lord will call for the fly that is in the uttermost end of the streams of Egypt, and for the bee that is in the land of Assyria.
19 Zitakuja na kukaa chini ya korongo, ndani ya mapango ya miamba, kwenye vichaka vya miba, na kwenye malisho.
And they shall come, and shall encamp, all of them, in the desolate valleys, and in the clefts of the rocks, and upon all thorn-hedges, and upon all bushes.
20 Katika mda huo Bwana atamnyoa kichwani kichwani na nywele za miguuni kwa wembe ulioazimwa mto Efrarate— mfalme wa Asiria - na vilevile utasafisha ndevu zote.
On the same day will the Lord shave with the razor that is hired, from among those on the other side of the river, with the king of Assyria, the head, and the hair of the feet: and also the beard shall it entirely remove.
21 Siku hiyo, mtu atahifadhi ndama na na kondoo wawili,
And it shall come to pass on that day, that a man shall nourish [but] one young cow, and two sheep;
22 na kwasababu ya maziwa yatakayo patikana ni mengi, atakula siagi, maana kila atakaye bakia kwnye nchi atakula siagi na asali.
And it shall happen, that for the abundance of milk which they shall give he shall eat cream; for cream and honey shall eat every one that is left in the midst of the land.
23 Mda huo, kutakuwa na maelfu ya mizabibu na thamani elfu za shekeli, hakutakuwa na kitu zaidi ya kuzalisha mbigiri na miiba.
And it shall come to pass on that day, that every place, where there are [now] a thousand vines worth a thousand silver shekels, shall be, —yea, this shall be [given up] to briers and thorns.
24 Watu watenda pale kuwinda kwa upinde, kwa sababu nchi yote itazalisha mbigiri na miiba.
With arrows and with bows shall men enter thither; because all the land shall become [covered with] briers and thorns.
25 Watakaa mbali na vilima vitalimwa kwa jembe, kwa sababu ya hofu ya mbigiri na miiba, lakini hapo patakuwa mahali pa kuchungia ngo'mbe na kondoo
And all mountains that are worked with the mattock, there shall not come thither the fear of briers and thorns: and they shall serve for the pasture of oxen, and for the treading of sheep.

< Isaya 7 >