< Isaya 7 >
1 Siku zile wakati Ahazi mtoto wa Yothani mtoto wa Uzia, mfalme wa Yuda, Rezeni mfalme wa Amramu, na Peka mtoto wa Remaelia, mfalme wa Israeli, walienda Yerusalemu kupigana vita nao, lakini hawakuweza kushinda vita.
Judah siangpahrang Uzziah capa Jotham, a capa Ahaz siangpahrang se navah, Siria siangpahrang Rezin hoi Isarel siangpahrang Remaliah capa Pekah tinaw teh Jerusalem tuk hanlah a kamthaw awh. Hateiteh, kangcoung hoeh.
2 Ilitaarifiwa kwa nyumba ya Daudi kwamba Amramu amejiunga na Efraimu. Moyo wake na moyo watu wake ukatetemeka, kama vile miti ya misitu inavyopepea kwa upepo.
Siria ram ni Ephraim ram hah a kâuep tie hah Devit imthung ni a thai navah, kahrawngum vah thingkungnaw teh kahlî ni a kâhuet sak e patetlah siangpahrang e lung hoi khocanaw e lung hai thouk a kâhuet.
3 Ndipo Yahwe akamwambia Isaya, ''Nenda nje na kijana wako, Sheari Jashubu ukaonane na Ahazi mwisho wa mfereji wa birika la juu, katika njia kuu ya uwanja Dobi.
Hat toteh, BAWIPA ni Isaiah koe lawk a dei pouh e teh, nang hoi na capa Shear-Jashub hoi rei cet roi nateh, kapâsukung e laikawk teng ceinae lam, atunglae tuikhu teng vah, Ahaz siangpahrang hah dawn nateh, na kâhmo toteh na dei pouh hane teh,
4 Mwambie, 'awe makini, awe mtulivu, asiogope au vitisho kwa sababu ya mikia hii miwili ya vingi hivi vitokavyo moshi, kwa sababu ya hasira kubwa ya Resini na Amramu, na mtoto wa Remalia.
Kâhruetcuet nateh, lawkkamuem lah awmh. Taket hanh. Hmai sungsung ka khu e hete thingtu kahni touh tie Siria siangpahrang Rezin hoi Remaliah capa tinaw teh a lung puenghoi ka khuek nakunghai, na lungpuen hanh.
5 Amramu, Ephraimu, na mtoto wa Remaeli wamepanga mabaya juu yako; wamesema, '' njooni tuwavamie Yuda na kuwaogopesha,
Siria ram, Ephraim ram, Remaliah capanaw ni, maimouh ni Judah ram lah cei awh vaiteh, peng kayei awh sei,
6 njooni tujipange na tumueweke mfalme wetu ndani ya Yuda, mtoto wa Tabaeli.''
ram lungui vah Tabeel capa hah siangpahrang lah tat awh sei, telah nange a vang lah kahawihoehe pouknae hoi a kâcai awh
7 Bwana Yahwe asema, ''haitatokea; haitaonekana,
Hatei, Bawipa Jehovah ni, hottelah kangcoung mahoeh, hottelah tho mahoeh ati.
8 maana kichwa cha Amramu ni Damaskasi, na kishwa cha Damaskasi ni Rezini. Ndani ya miaka sitini na tano, ndoto za Ephraimu zitasambaratishwa na hapatakuwa na watu.
Siria ram e lû teh Damaskas kho, Damaskas kho e lû teh Rezin, kum 65 touh thung Ephraim teh ram lah ao hoeh nahanelah, a raphoe han.
9 Efraimu ni kichwa Samaria, na kishwa cha Samaria ni mtoto wa Remaria. Na kama hamtasimama imara katika imani yenu, hakika hamtakuwa salama''.
Ephraim e lû teh Samaria, Samaria e lû teh Remaliah capa doeh. Na yuem awh hoehpawiteh, na kangdout katang awh mahoeh atipouh.
10 Bwana akaongea tena na Ahazi,
Hahoi, BAWIPA na Cathut koe mitnoutnae hah het haw.
11 ''Omba ishara ya Yahwe Mungu wako; omba juu ya hilo kwa kina au kwa kiwango cha juu.'' (Sheol )
Adungnae koehai thoseh, a rasangnae hmuen koehai thoseh, kâhet haw telah BAWIPA Cathut ni Ahaz koe atipouh. (Sheol )
12 Lakini Ahazi anasema, sintomba wala kumjaribu Yahwe.''
Hatei, Ahaz ni ka kâhet mahoeh. BAWIPA hai ka tanouk mahoeh atipouh.
13 Hivyo Isaya akajibu, ''sikilizen, nyumba ya Daudi. Je haijatosha kwa watu kuujaribu uvumilivu wa watu? Je ni lazima kuujaribu uvumilivu wa Mungu?
Hat toteh, Isaiah ni Oe Devit imthungnaw, thai awh haw. Nangmouh ni tami na hnueai sak dueng laipalah, kai ni ka bawk e Cathut hai na hnueai sak awh han namaw.
14 Hivyo basi Mungu mwenyewe atawapa yeye mwenywe ishara: ona, mwanamke bikira atapata mimba na kumzaa mtoto, na atamwita Emanueli.
Hatdawkvah, BAWIPA ma ni nangmanaw hah mitnout na poe awh han. Khenhaw! Tanglakacuem buet touh ni capa vawn vaiteh, ca tongpa a khe han. Hote capa hah Immanuel telah a min phung han.
15 Atakula siagi na asali na wakati anapojua kuyakataa maovu na kuchagua mema.
Ahni ni, kahawihoehe hah a takhoe teh, kahawi e hah a rawi thai totouh, sanutui pakak e hoi khoitui hah a ca han.
16 Maana kabla mtoto ajajua kuyakataa maovu na kuchagua mema, nchi ambayo wewe unawachukia wafalme itakuwa ukiwa.
Hote camo ni, kahawihoehe a takhoe teh kahawi e a rawi thai hoehnahlan nang ni na taki e siangpahrang kahni touh ni, a uknaeram teh pahnawt e ram lah ao han.
17 Yahwe ataleta juu yako, juu ya watu wako, na juu ya nyumba ya baba yako siku hazijatimmia tangu Efraimu alipompokea Yuda- atamleta mfalme wa Asiria.''
Ephraim ni Judah koehoi a tâco takhai hnin hoiyah, kaawm boihoeh e hnin hah nange lathueng hai thoseh, na imthungnaw lathueng hai thoseh, BAWIPA ni a Assiria siangpahrang a tho khai han.
18 Mda huo Yahwe atapuliza filimbikwa ajili ya kupaa kutoka mkondo wa umbali wa Misri, na maana nyuki kutoka nchi ya Asiria.
Hote hnin navah, Izip sawkcanaw dawk e bitseinaw hai thoseh, Assiria ram e khoinaw hai thoseh, BAWIPA ni a hroecoe han.
19 Zitakuja na kukaa chini ya korongo, ndani ya mapango ya miamba, kwenye vichaka vya miba, na kwenye malisho.
Hotnaw tho awh vaiteh, tami kingdinae koe ravonaw, lungha lungngoumnaw, buruknaw, saring ni canei e ramnaw pueng dawk king akawi awh han.
20 Katika mda huo Bwana atamnyoa kichwani kichwani na nywele za miguuni kwa wembe ulioazimwa mto Efrarate— mfalme wa Asiria - na vilevile utasafisha ndevu zote.
Hat hnin vah, palangpui namran lah kaawm e hlai e Assiria siangpahrang pataca hoi, na sam hoi na khokmuen hah BAWIPA ni na ngaw pouh han. Na pâkhamuen hai na ngaw pouh han.
21 Siku hiyo, mtu atahifadhi ndama na na kondoo wawili,
Hat hnin vah, tami buet touh ni maito buet touh, tu kahni touh paca pawiteh,
22 na kwasababu ya maziwa yatakayo patikana ni mengi, atakula siagi, maana kila atakaye bakia kwnye nchi atakula siagi na asali.
sanutui buem pouh vaiteh, sanutui pakak e a ca han. Ram dawk ka cawi rae pueng ni sanutui pakak e hoi khoitui a ca awh han.
23 Mda huo, kutakuwa na maelfu ya mizabibu na thamani elfu za shekeli, hakutakuwa na kitu zaidi ya kuzalisha mbigiri na miiba.
Hatnavah, misurkung 1,000 touh ka tawn niteh, tangka 1,000 touh ka phu e misur takha pueng haiyah, pâkhing hoi akawi han.
24 Watu watenda pale kuwinda kwa upinde, kwa sababu nchi yote itazalisha mbigiri na miiba.
Licung hoi pala patuem awh vaiteh, hete hmuen koe a cei awh han. Talaivan pueng pâkhing hoi akawi han.
25 Watakaa mbali na vilima vitalimwa kwa jembe, kwa sababu ya hofu ya mbigiri na miiba, lakini hapo patakuwa mahali pa kuchungia ngo'mbe na kondoo
Tokso hoi tai teh vu e law pueng hai, pâkhing kecu apinihai a cei ngai hoeh dawkvah, maito pânae, tunaw ni coungroenae lah ao han.