< Isaya 65 >

1 Nilikuwa tayari kuchaguliwa na wale ambao hawakuniomba; Nilikuwa tayari kupatikana kwa wale ambao hawakunitafuta. Nilisema, ''Niko hapa!' kwa taifa ambalo halikuita jina langu.
Objawiłem się tym, którzy się o mię nie pytali; znalezionym jest od tych, którzy mię nie szukali; do narodu, który się nie nazywał imieniem mojem. rzekłem: Otom Ja! otom Ja!
2 Nimetawanya mikono yangu siku zote kuwasumbua watu wangu, wanao tembea katika njia isiyopasa, wanaotembea kwa kufuata mawazo yao wenyewe na mipango yao.
Rozciągnąłem ręce moje na każdy dzień do ludu upornego, który chodzi drogą nie dobrą za myślami swemi;
3 Kuna watu wanoendelea kunipinga mimi, wanatoa sadaka zao katika bustani, na kuchoma ubani juu ya matofali.
Do ludu, który mię jawnie wzrusza do gniewu, ustawicznie ofiarując w ogrodach, a kadząc na cegłach;
4 Wamekaa miongoni mwa makaburi na kuangalia usiku kucha, na hula nyama ya nguruwe na mchuzi mchafu wa nyama katika vyombo vyao.
Którzy siadają przy grobach, a przy bałwanach swoich nocują; którzy jedzą świnie mięso, i polewkę obrzydłą z naczynia swego.
5 Wanasema, 'Simama mbali, usisogee karibu na mimi, maana mimi ni mtakatifu zaidi yako.' Vitu hivi ni moshi katika pua zangu, moto uwakao mchana kutwa.
Mówiąc: Odstąp precz, nie przystępuj do mnie; bom jest świętobliwszy niżeli ty. Cić są dymem w nozdrzach moich, i ogniem pałającym przez cały dzień.
6 Tazama, imeandikwa mbele yangu: Sitanyamaza, Maana nitawalipa wao tena; nitafanya malipo yao katika miguu yao,
Oto zapisano to przedemną: Nie zamilczę, ale oddam i odpłacę na łono ich.
7 kwa sababu ya dhambi zao na dhambi za baba zao kwa pamoja.'' asema Yahwe. ''Nitawajibu wao kwa kuchoma ubani juu ya milima na kunifanyia mimi juu ya vilima. Hivyo basi nitapima juu ya matendo yao ya kale katika miguu yao.''
Nieprawości wasze, także i nieprawości ojców waszych, mówi Pan, którzy kadzili po górach, a na pagórkach hańbili mię; przetoż odmierzę sprawę ich pierwszą na łono ich.
8 Yahwe asema hivi, ''Ikiwa kama juisi itapatikana katika nguzo ya zabibu, wakati mmoja ataposema, 'Usihiaribu hiyo, maa kuna uzuri ndani yake; hichi ndicho nitakachokifanya kwa niaba ya watumishi wangu: Sitawaribu wao wote.
Tak mówi Pan: Jako gdyby kto znalazł wino w gronie, i rzekłby: Nie psuj go, bo błogosławieństwo jest w niem; tak i Ja uczynię dla sług moich, że ich wszystkich nie wygubię.
9 Nitazileta koo kutoka kwa Yakobo, na kutoka Yuda wao ambao watairithi milima yangu. Niliowachagua watairithi aridhi, na watumishi wangu wataishi pale.
Bo wywiodę z Jakóba nasienie, a z Judy dzierżawcę gór moich; i posiędą ją wybrani moi, a słudzy moi tam mieszkać będą.
10 Sharoni itakuwa malisho ya makundi, na bonde la Akori itakuwa sehemu ya kupumzikia ya makundi yangu, kwa watu wangu wanaonitafuta mimi.
A Saron będzie za pastwisko owcom, a dolina Achor za legowisko wołów ludu mojego, którzy mię szukali.
11 Lakini yeye aliyeachana na Yehwe, anayeusahau mlima wangu mtakatifu, anayeandaa meza kwa bahati ya mungu, na kujaza kikombe cha mvinyo uliochanganywa na miungu inayoitwa Hatama.
Ale was, którzyście opuścili Pana, którzy zapominacie na górę świętobliwości mojej, którzy gotujecie temu wojsku stół, a którzy oddawacie temu pocztowi mokre ofiary:
12 Nitaufikisha mwisho wenu kwa upanga, na wato mtainama chini kwa kuchinjwa, Kwa sababu nilipokuita wewe, haukuitikia; nilipozungumza haukunisikliza. lakini mlifanya yaliyo mabaya katika macho yangu na kuchagua kufanya yasiyo nipendeza mimi.''
Was, mówię policzę pod miecz, tak, że wy wszyscy do zabicia schylać się będziecie, przeto, żem wołał, a nie ozwaliście mi się, mówiłem, a nie słyszeliście, aleście czynili, co złego jest przed oczyma mojemi, a czegom Ja nie chciał, obieraliście.
13 Bwana Yahwe asema hivi, ''Tazama, mtumishi atakula, lakini atashikwa na njaa; tazama mtumishi wangu atakunywa lakini atakuwa na kiu; tazama mtumishi wangu atashangilia, lakini atatiwa katika aibu.
Przetoż tak mówi panujący Pan: Oto słudzy moi jeść będą, a wy łaknąć będziecie; oto słudzy moi pić będą, a wy pragnąć będziecie; oto słudzy moi weselić się będą, a wy zawstydzeni będziecie.
14 Tazama, mtumishi wangu atapiga kelele za furaha kwa sababu ya furaha ya moyo, lakini utalia kwa sababu ya maumivu ya moyo, na mtapiga kelele kwa sababu ya kusagwa kwa roho zenu.
Oto słudzy moi wykrzykać będą od radości serdecznej, a wy będziecie wołać od boleści serca, i od skruszenia ducha wyć będziecie.
15 Nanyi mtaliacha jina lenu nyuma kama laana kwa watu niliowachagua wazungumze; Mimi Bwana Yahwe, Nitakuwa wewe; Nitawaita watumishi wangu kwa jina lingine.
I zostawicie imię wasze na przeklinanie wybranym moim, gdy was pomorduje panujący Pan, a sługi swe nazwie innem imieniem.
16 Yeyote atakaye tamka baraka juu ya nchi atabarikiwa na mimi, Mungu wa kweli. Yeyote achukuae kiapo juu ya nchi anaapa na mimi, Mungu wa kweli, kwa sababu matatizo ya nyuma yatasaulika, maana yatafichwa machoni pangu.
Ten, który sobie będzie błogosławił na ziemi, będzie sobie błogosławił w Bogu prawdziwym; a kto będzie przysięgał na ziemi, będzie przysięgał przez Boga prawdziwego; w zapomnienie zaiste przyjdą te uciski pierwsze, a będą zakryte od oczów moich.
17 Maana tazama, Ninakaribia kuumba mbingu mpya na nchi mpya; na mambo ya kale hayatakumbukwa tena wala kufikiriwa katika akili.
Albowiem oto Ja tworzę niebiosa nowe, i ziemię nową, a nie będą wspominane rzeczy pierwsze, ani wstąpią na serce.
18 Lakini mtakuwa na furaha na kushangilia daima kwa nitakachokiumba. Tazama, Ninakaribia kuumba Yerusalemu mpya kama furaha na watu wake wenye furaha.
Owszem weselcie się, a radujcie się na wieki wieków z tego, co Ja stworzę; bo oto Ja stworzę Jeruzalem na radość, a lud jego na wesele.
19 Nitafurahia juu ya Yerusalemu watu wangu; kuomboleza na kilio cha dhiki akitasikika tena ndani yake.
I rozraduję się w Jeruzalemie, a weselić się będę w ludu moim; a nie będzie słychać w nim głosu płaczu i głosu narzekania.
20 Hakuna tena mtoto atakayeishi pale japo kwa siku chache; wala mzee kufa kabla ya mda wake. Yule atakayekufa katika umri wa miaka mia moja atachukuliwa kama mtu mdogo. Yeyote ambaye atashindwa kufikia umri wa miaka mia moja atachukuliwa kama laana.
Nie będzie tam więcej nikogo w wieku dziecinnym, ani starca, któryby nie dopełnił dni swoich; bo dziecię we stu latach umrze; ale grzesznik, choćby miał i sto lat, przeklęty będzie.
21 Watazijenga nyumba na kukaa huko, na watapanda mizabibu na kula matunda yake.
Pobudują też domy, a będą w nich mieszkali; nasadzą też winnic, a będą jeść owoce ich.
22 Hawatajenga nyumba na wengine waishi humo; hawatapanda, na wengine wale; maana kama siku za miti zitakuwa siku za watu wangu. Watu wangu wataishi kikamilifu kwa kazi ya mikono yao.
Nie będą budować tak, aby tam inszy mieszkał; nie będą szczepić, aby inny jadł; bo dni ludu mojego będą jako dni drzewa, a dzieła rąk swoich do zwietszenia używać będą wybrani moi.
23 Hawatafanya kazi bure, wala kuzaa kwa kusikitishwa. Maana ni watoto wa waliobarikiwa na Yahwe, pamoj na koo zao.
Nie będą robić próżno, ani płodzić będą na postrach; bo będą nasieniem błogosławionych od Pana, oni i potomkowie ich z nimi.
24 Kabla hawajaita, nitaitika; na wakati wanaendele kuzungumza, ntisikia. Mbwa mwitu na kondoo watachungwa pamoja, na simba atakula majani kama ng'ombe; lakini udongo utakuwa chakula cha nyoka.
Nadto stanie się, że pierwej niż zawołają, Ja się ozwę; jeszcze mówić będą, a Ja wysłucham.
25 Hawataumiza tena wala kuharibujuu ya mlima wangu mtakatifu,'' asema Yahwe.
Wilk z barankiem paść się będą społem; lew jako wół plewy jeść będzie, a wężowi proch będzie chlebem jego; nie będą szkodzić ani zatracać na wszystkiej górze świętej mojej, mówi Pan.

< Isaya 65 >