< Isaya 64 >

1 ''Oh, ikiwa umeigawa kwa kuifungua mbingu na kushuka chini! Milima inetikisika mbele yako,
I wolde that thou brakist heuenes, and camest doun, that hillis fletiden awei fro thi face,
2 ni kama vile moto uunguzao vichaka, moto uchemshao maji. Oh, jina lako lingejulikana kwa maadui wako, na ya kwamba mataifa yangetetemeka mbele yako!
and failiden as brennyng of fier, and brente in fier; that thi name were made knowun to thin enemyes, and folkis weren disturblid of thi face.
3 Awali, ulipofanya mambo ya ajabu ambayo hatukuyategemea, ulishuka chini, milima ikatetemeka mbele zako.
Whanne thou schalt do merueils, we schulen not abide. Thou camest doun, and hillis fletiden awei fro thi face.
4 Tangu nyakati za kale hakuna hata mmoja aliyesikia au kujua, wala jicho kuona Mungu yeyote karibu yake, ni nani afanyae mambo haya kwake anayemsubiri yeye.
Fro the world thei herden not, nethir perseyueden with eeris; God, non iye siy, withouten thee, what thingis thou hast maad redi to hem that abiden thee.
5 Umekuja kuwasidia wale wanaofurahia kutenda yaliyo ya haki, wale wanaowaita kuwakumbusha njia zake na kumheshimu yeye. Ulipatwa na hasira tulipotenda dhambi. Katika njia zako daima tutakombolewa.
Thou mettist hym that is glad, and doith riytfulnesse; in thi weies thei schulen bithenke on thee. Lo! thou art wrooth, and we synneden; in tho synnes we weren euere, and we schulen be saued.
6 Maana sote tumekuwa kama mmoja aliye na unajisi, na matendo yetu ya haki yamekuwa kama hedhi kali. Sote tumenyauka kama majani; maovu yetu, ni kama upepo, unaotupeperusha sisi mbali.
And alle we ben maad as an vncleene man; alle oure riytfulnessis ben as the cloth of a womman in vncleene blood; and alle we fellen doun as a leef, and our wickidnessis as wynd han take awei vs.
7 Hakuna hata mmoja anayeita jina lako, hakuna anayefanya jitihada za kukushika wewe; maana umeuficha uso wako mbali na sisi na kutufanya sisi kuwa takataka katika mkono wa maovu yetu.
Noon is, that clepith thi name to help, that risith, and holdith thee; thou hast hid thi face fro vs, and thou hast hurtlid doun vs in the hond of oure wickidnesse.
8 Na lakini, Yahwe, wewe ni baba yetu; sisi ni udongo. Wewe ni mfinyanzi wetu; sisi ni kazi ya mkono wako.
And now, Lord, thou art oure fadir; forsothe we ben cley, and thou art oure maker, and alle we ben the werkis of thin hondis.
9 Usiwe na hasira kubwa, Yahwe, wala daima usikumbuke maovu dhidi yetu, tafadhali sisi sote, watu wako.
Lord, be thou not wrooth ynow, and haue thou no more mynde on oure wickidnesse. Lo! Lord, biholde thou, alle we ben thi puple.
10 Miji yenu mitakatifu imekuwa jangwa; Sayuni imekuwa jangwa, Yerusalemu imekuwa ukiwa.
The citee of thi seyntuarie is forsakun, Sion is maad deseert, Jerusalem is desolat;
11 Hekalu letu takatifu na zuri. mahali ambapo baba zetu walikusifu wewe, limeangamizwa kwa moto, na kila kilichokuwa karibu kiliharibiwa.
the hous of oure halewyng and of oure glorie, where oure fadris herieden thee, is maad in to brennyng of fier; and alle oure desirable thingis ben turned in to fallyngis.
12 Je unawezaje kuendelea kumshika, Yahwe? Unawezaje kutulia kimya na kuendelea kutufedhehesha sisi?''
Lord, whether on these thingis thou schalt witholde thee? schalt thou be stille, and schalt thou turmente vs greetli?

< Isaya 64 >