< Isaya 61 >

1 Roho ya Bwana Yahwe i juu yangu, maana Yahwe amenipaka mafuta mimi kuhiubiri habari njema kwa wenye taabu. Amenituma mimi kuwaponywa waliopondeka mioyo, kutangaza uhuru kwa wafungwa, na kufungua gereza ili waliofungwa waweze kutoka.
L’esprit du Seigneur est sur moi, parce que le Seigneur m’a oint; pour annoncer sa parole à ceux qui sont doux, il m’a envoyé, pour guérir ceux qui ont le cœur contrit, pour prêcher la grâce aux captifs, et l’ouverture des prisons à ceux qui y sont renfermés;
2 Amenituma mimi kuutangaza mwaka wa Yahwe uliokubalika, siku ya kisasi cha Mungu wetu, na kuwafariji wale wote wanaomboleza.
Pour publier l’année de la réconciliation du Seigneur, et le jour de la vengeance de notre Dieu; pour consoler tous ceux qui pleurent;
3 Amenituma mimi - kuwapa wale waoombolezao katika Sayuni -kuwapa wao kilemba cha majivu, mafuta ya furaha badala ya kuomboleza, vazi la kusifu katika eneo la roho ya ubutu, kuwaita mialoni ya haki, iliyooteshwa na Yahwe, ili aweze kutukuzwa.
Pour disposer et donner à ceux qui pleurent dans Sion une couronne au lieu de cendre, de l’huile de joie au lieu de deuil, un manteau de louange au lieu d’un esprit de tristesse; et ils seront appelés dans Sion, les héros de la justice, et la plantation du Seigneur pour le glorifier.
4 Wataijenga tena mahali pa kale palipohaibiwa; wataparejesha mahali palipokuwa na ukiwa. Watairejesha miji iliyoharibiwa, Mahali penye ukiwa kutoka vizazi vingi vilivyopita.
Et ils rempliront d’édifices des lieux déserts depuis des siècles; ils relèveront d’anciennes ruines, et ils rétabliront des cités abandonnées, désolées pendant plusieurs générations.
5 Wageni watasimama na kulisha makumdi yako, na watoto wa wageni watafanya kazi kwenye mashamba yako na mizabu.
Et il se trouvera parmi vous des étrangers, et ils feront paître vos troupeaux; et des fils d’étrangers seront vos laboureurs et vos vignerons.
6 Mtaitwa makuhani wa Yahwe; watawaita watumishi wa Mungu wetu. Mtakula utajiri wa mataifa, na utajivuinia katika utajiri wake.
Mais vous, vous serez appelés les prêtres du Seigneur; on vous nommera les ministres de notre Dieu; vous mangerez la richesse des nations, vous vous enorgueillirez de leur gloire.
7 Badala yake aibu yenu itaongezeka; na badala ya fedhea walifurahia juu ya sehemu yao. Hivyo basi sehemu yao itaongezeka mara mbili katika nchi na furaha ya milele itakuwa yao.
Au lieu de votre double confusion et honte, ils loueront leur partage; à cause de cela dans leur terre, ils posséderont le double, une joie éternelle sera pour eux.
8 Maana Mimi, Yahwe, ninapenda haki, na ninachukia wizi na vurugu zisizo za haki. Nitawalipa wao kataka haki na Nitafanya agano la milele na wao.
Parce que moi, le Seigneur, j’aime la justice, et j’ai en haine la rapine dans l’holocauste, j’établirai leur œuvre dans la vérité, je ferai avec eux une alliance perpétuelle.
9 Uzao wao utajulikana miongoni mwa mataifa, na watoto wao miongoni mwa watu. Wote watakaowaona watawakubali wao, kwamba ni watu wangu ambao Yahwe amewabariki.
Et on connaîtra sa race parmi les nations, et ses rejetons au milieu des peuples; tous ceux qui les verront reconnaîtront qu’ils sont la race qu’a bénie le Seigneur.
10 Nitafurahia sana katika Yahwe; Katika Mungu nitafurahia. Maana amenivika mimi kwa vazi la wokovu; amenivika mimi kwa vazi la haki, kama bwana harusi aliyejipamba mwenywe kwa kilemba, na kama bibi harusi aliyejipamba kwa vito.
Me réjouissant, je me réjouirai dans le Seigneur, mon âme exultera en mon Dieu; parce qu’il m’a revêtu des vêtements du salut, et du manteau de la justice il m’a enveloppé comme l’époux paré d’une couronne, et comme l’épouse ornée de ses colliers.
11 Maana kama nchi inavyozalisha miti inayochipukia na kama bustani inavyofanya miti yake ikuie, hivyo Bwana atasasbabisha haki na sifa kuchipukia mbele ya mataifa yote.
Car comme la terre produit son germe, et comme un jardin fait germer sa semence, ainsi le Seigneur Dieu fera germer la justice et la louange devant toutes les nations.

< Isaya 61 >