< Isaya 61 >
1 Roho ya Bwana Yahwe i juu yangu, maana Yahwe amenipaka mafuta mimi kuhiubiri habari njema kwa wenye taabu. Amenituma mimi kuwaponywa waliopondeka mioyo, kutangaza uhuru kwa wafungwa, na kufungua gereza ili waliofungwa waweze kutoka.
The spirit of the Lord Jehovah is upon me, For Jehovah hath anointed me; He hath sent me to publish good tidings to the distressed, To bind up the broken-hearted, To proclaim liberty to the captives, And the opening of the prison to them that are bound;
2 Amenituma mimi kuutangaza mwaka wa Yahwe uliokubalika, siku ya kisasi cha Mungu wetu, na kuwafariji wale wote wanaomboleza.
To proclaim the year of mercy from Jehovah, And the day of vengeance from our God; To comfort all that mourn;
3 Amenituma mimi - kuwapa wale waoombolezao katika Sayuni -kuwapa wao kilemba cha majivu, mafuta ya furaha badala ya kuomboleza, vazi la kusifu katika eneo la roho ya ubutu, kuwaita mialoni ya haki, iliyooteshwa na Yahwe, ili aweze kutukuzwa.
To give gladness to the mourners in Zion; To give them a beautiful crown instead of ashes, The oil of joy for mourning, The garment of praise for the spirit of heaviness, So that they shall be called blessed terebinth-trees, The plantation of Jehovah for his glory.
4 Wataijenga tena mahali pa kale palipohaibiwa; wataparejesha mahali palipokuwa na ukiwa. Watairejesha miji iliyoharibiwa, Mahali penye ukiwa kutoka vizazi vingi vilivyopita.
They shall build up the old ruins; They shall raise up the ancient desolations; They shall repair the cities laid waste, The desolations of many generations.
5 Wageni watasimama na kulisha makumdi yako, na watoto wa wageni watafanya kazi kwenye mashamba yako na mizabu.
Strangers shall stand up and feed your flocks, And the sons of the alien shall be your ploughmen and vine-dressers;
6 Mtaitwa makuhani wa Yahwe; watawaita watumishi wa Mungu wetu. Mtakula utajiri wa mataifa, na utajivuinia katika utajiri wake.
But ye shall be named the priests of Jehovah, Men shall call you the ministers of our God. Ye shall eat the riches of the nations, And in their glory shall ye make your boast.
7 Badala yake aibu yenu itaongezeka; na badala ya fedhea walifurahia juu ya sehemu yao. Hivyo basi sehemu yao itaongezeka mara mbili katika nchi na furaha ya milele itakuwa yao.
For your shame shall ye have a double reward; And for ignominy ye shall rejoice in your portion; Therefore in your land ye shall possess double; Everlasting joy shall be your portion.
8 Maana Mimi, Yahwe, ninapenda haki, na ninachukia wizi na vurugu zisizo za haki. Nitawalipa wao kataka haki na Nitafanya agano la milele na wao.
For I, Jehovah, love justice, I hate rapine and iniquity, I will give them their reward with faithfulness, And an everlasting covenant will I make with them.
9 Uzao wao utajulikana miongoni mwa mataifa, na watoto wao miongoni mwa watu. Wote watakaowaona watawakubali wao, kwamba ni watu wangu ambao Yahwe amewabariki.
Their race shall be illustrious among the nations, And their offspring among the people; All that see them shall acknowledge That they are a race which Jehovah hath blessed.
10 Nitafurahia sana katika Yahwe; Katika Mungu nitafurahia. Maana amenivika mimi kwa vazi la wokovu; amenivika mimi kwa vazi la haki, kama bwana harusi aliyejipamba mwenywe kwa kilemba, na kama bibi harusi aliyejipamba kwa vito.
“I will greatly rejoice in Jehovah; My soul shall exult in my God; For he hath clothed me with the garments of salvation; He hath covered me with the mantle of deliverance. As the bridegroom decketh himself with his turban, And as the bride adorneth herself with her jewels.”
11 Maana kama nchi inavyozalisha miti inayochipukia na kama bustani inavyofanya miti yake ikuie, hivyo Bwana atasasbabisha haki na sifa kuchipukia mbele ya mataifa yote.
For as the earth putteth forth her shoots, And as a garden causeth its plants to spring forth, So shall the Lord Jehovah cause salvation to spring forth; And praise before all the nations.